MWAGALA (MSEMAJI WA TABORA): ADAI, "SIMBA WAMETUOTEA" | AWAGUSIA YANGA | NBCPL: TABORA UTD 0-3 SIMBA

  Рет қаралды 126,265

Ayoma Media

Ayoma Media

Күн бұрын

Пікірлер: 586
@denisjoseph8754
@denisjoseph8754 6 күн бұрын
Hongera zake, anafaa kuwa msemaji. Amechangamsha mechi kwa kiasi kikubwa tu. Mungu akubariki
@angellomarcel5677
@angellomarcel5677 6 күн бұрын
Aende zake fyuuuu
@edwinechrizestom
@edwinechrizestom 6 күн бұрын
Yeaah sure kaleta hamsha hamsha, kaleta tation kubwa, ndo maana watu wamejitokeza,
@kombojuma312
@kombojuma312 6 күн бұрын
Hongera sana msemaji uko profinal wasemaji engine wanatakiwa wajifuze kitu kwa huyu msemaji wa tabora
@MATEOJOSEPH-nc8gf
@MATEOJOSEPH-nc8gf 6 күн бұрын
Washabiki wa Ubaya Ubwela❤tujuane kwenye like wameshenyetwa Tabora lkn wamenuna Mwakakundi fc
@EliasMolell-xx5nz
@EliasMolell-xx5nz 6 күн бұрын
Ety ilikua iwageukie Simba huyu mshangazi anumwa na mavi mwakani xo mbaki
@SalumMbongo
@SalumMbongo 6 күн бұрын
Unajitahidi sana mama kutetea kazi yako, Hongera kwa kuwa msemaji wa Tabora.
@Jumamaduka240
@Jumamaduka240 6 күн бұрын
Christina Mwagala nampongeza sana. Huyu ndiyo chanzo cha kuujaza uwanja na kwa sasa Ukimtoa Ahamed Ally katika usemaji wa timu. Basi Christina Mwagala. 🎉🎉🎉🎉 yake. This is Simba Mama
@angellomarcel5677
@angellomarcel5677 6 күн бұрын
Hata asingeongea uwanja ungejaa Simba wana Mashabiki kila sehemu
@FahadAbubakari-y3f
@FahadAbubakari-y3f 6 күн бұрын
Sahihi
@bahatimshali2731
@bahatimshali2731 6 күн бұрын
😂😂😂😂
@badendavid8456
@badendavid8456 6 күн бұрын
Vizuri kaipongeza Simba
@Jumamaduka240
@Jumamaduka240 6 күн бұрын
@@angellomarcel5677 Amini nakwambia kujaa kwa uwanja kumechagizwa sana na huyo Dada. Maana kaifanya mechi izumgumuzwe sana
@PaulElias-w3w
@PaulElias-w3w 6 күн бұрын
Unajitahidi sana semaji uko vizuri sana mama🏅
@Ibrahim-ne3in
@Ibrahim-ne3in 6 күн бұрын
Kubishana na mwanamke n dhambi ndio maana tulikua tunakuangalia tu mamaaa...pole tunawapenda mama zetu
@CikeTanzania
@CikeTanzania 6 күн бұрын
Uko vizuri dada hongera sana.😂😂😂 umechangamsha mechi
@neemamwijage
@neemamwijage 6 күн бұрын
Mnajiliwaza tu
@CikeTanzania
@CikeTanzania 6 күн бұрын
@@neemamwijage tunajiliwaza na nini
@sigfridchristian1890
@sigfridchristian1890 6 күн бұрын
Hiyo kaz ya msemaj hakosi cha kuongea upo vzr😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@EdwardKatana-h7m
@EdwardKatana-h7m 6 күн бұрын
Hongera semaji wa Tabora
@RamadhanMwahingi
@RamadhanMwahingi 6 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂helaaa za watu ludisheni
@khanjosph7226
@khanjosph7226 6 күн бұрын
Wewe mwenyewe umefurahi kufungwa na simba
@zuhuranasoro8923
@zuhuranasoro8923 5 күн бұрын
Umemuone ee😅
@khamismassoud8533
@khamismassoud8533 6 күн бұрын
Ety tabora tumefungwa lakini tumejaza uwanja😂😂😂😂😂
@NyasanaTv-ol4ix
@NyasanaTv-ol4ix 6 күн бұрын
ok uko sawa dada lakini juma mwiko wanakusubilia kulipa kisasi tena sio kisasi wanampango kukuzalilisha
@aminiunambwe7768
@aminiunambwe7768 6 күн бұрын
Sema kanaongea kiprofessianal sanaaaa
@geoffreywilliam6225
@geoffreywilliam6225 6 күн бұрын
Hongera dada umeongea vizuri mno.
@habibuhabibu9728
@habibuhabibu9728 6 күн бұрын
Hiv kaolewa huyo kama vip tuopoe maana alitujambisha dah😂😂
@CaptainFaudhiTz5383
@CaptainFaudhiTz5383 6 күн бұрын
Msimbe tuuu
@DavidMbwilo-qk1bz
@DavidMbwilo-qk1bz 6 күн бұрын
Huyu ukimchunguza vizuri ni shabiki WA Simba 😂😂😂😂
@elizeusrwilanga7786
@elizeusrwilanga7786 6 күн бұрын
Hongera mama maana na wewe umefurahia kufungwa 😮
@peteromary8764
@peteromary8764 6 күн бұрын
Waoooooh hongera Christina sasa umeshakomaa kimpira
@HusnatShabani
@HusnatShabani 5 күн бұрын
Tumekufanyia ubaya ubwela 🦁 🦁❤❤❤
@benitx994
@benitx994 6 күн бұрын
Christina Sasa unajua Mpira hongela Sana umekomaa
@hassanyassin-ny3qh
@hassanyassin-ny3qh 6 күн бұрын
Ongera cristina. Kwanza kwa kukubali matokeo. Piya umefanikiwa kuujaza uwanja. Maana tunajuwa kererezote zile ilikuwa lengo uujaze uwanja. Nahilo umefanikiwaa. Hii ndio ubaya ubwela 😅😅😅😅
@OS-pf6op
@OS-pf6op 6 күн бұрын
Nyie mshukuruni Gamond!
@mayengochacha483
@mayengochacha483 6 күн бұрын
Hongera Nyiingi
@ziahdapox3729
@ziahdapox3729 6 күн бұрын
Shida ya kuwa na kizazi cha karibu!. Muda wote unawashwa
@saxannjo6173
@saxannjo6173 5 күн бұрын
VIEWS Zaidi ya laki 1 kwa siku Moja. AISEE HUYU MWAGALA ANAWEZA KUWA MKUBWA KULIKO KAMWE NA AHMED,,, nimeamin kuwa wale wanabebwa na BRANDS.. Big Up sana TINA
@MacrinaKanyaruju
@MacrinaKanyaruju 6 күн бұрын
Dada msalimie afande wangu afande abwao mwambie nampenda sn ni kiongozi bora kwangu❤❤❤❤
@YonahLemaxhon
@YonahLemaxhon 6 күн бұрын
Hongera mama
@victuskimario5586
@victuskimario5586 6 күн бұрын
Hongera sana umeikubali simba
@JoseHaule-tx7lu
@JoseHaule-tx7lu 6 күн бұрын
Huna lolote rudisheni pesa za watu😂😂😂😂😂😂
@twahakachuru9648
@twahakachuru9648 6 күн бұрын
😂😂
@elizabethlukoo4662
@elizabethlukoo4662 6 күн бұрын
😂😂😂😂😂
@Joshuajohn-se1jb
@Joshuajohn-se1jb 6 күн бұрын
😂😂😂😂😂
@NICASMBORE
@NICASMBORE 6 күн бұрын
Hongera,wewe si kama ,,,unafaa kuwa msemaj
@IdrisamoAllyNado_24
@IdrisamoAllyNado_24 6 күн бұрын
Dada upo good mi bianafsi yangu nime kuelewa👏👏👏
@edwinechrizestom
@edwinechrizestom 6 күн бұрын
Yeaah kijitahida sana game imekuwa na amasa kubwa sana
@AllyMohamed-w5x
@AllyMohamed-w5x 6 күн бұрын
Hongeraaa saaaana mama unakomaaa
@Mumlion2624
@Mumlion2624 6 күн бұрын
Hongera uwanja umejaa mama
@WilbrodClaud
@WilbrodClaud 6 күн бұрын
Hongera mshangazi😢😂
@chedielimrutu6955
@chedielimrutu6955 6 күн бұрын
Safi sana kweli unajua kusema na kutishia tuliogopa kweli. Wewe unastahili
@shangwefisima54
@shangwefisima54 6 күн бұрын
😂😂😂😂
@edwinechrizestom
@edwinechrizestom 6 күн бұрын
😂😂😂
@PulvatgidionlamekPulvatglamek
@PulvatgidionlamekPulvatglamek 6 күн бұрын
Simba laha jaman jaman❤❤
@DaudMakoyejr
@DaudMakoyejr 6 күн бұрын
Daaah haya bhana
@nasseralhatmi1762
@nasseralhatmi1762 6 күн бұрын
Pumbavuu huyo Sorokoto Utafungwa na Simba Ukitaka usitake Nyauuuuu Wewe
@antonyndinga8890
@antonyndinga8890 6 күн бұрын
Dada upo vzr
@eliasmsitapher449
@eliasmsitapher449 6 күн бұрын
🎉🎉🎉🎉🎉 mwanamke unapambna
@SittajrAndrea
@SittajrAndrea 6 күн бұрын
Yaan ww ndo ukamfunge simba kweli Simba yenye Camara golini kweli Hii simba ni nyingine sana
@jameskilasi5131
@jameskilasi5131 6 күн бұрын
Safi sana unafaa kuwa msemaji upo vzr
@ImmanuelMwakibinga
@ImmanuelMwakibinga 6 күн бұрын
Alafu Leo umependeza sana 😊😊😊😊
@mayengochacha483
@mayengochacha483 6 күн бұрын
Safii saana Madame
@gibsonjosephat6352
@gibsonjosephat6352 6 күн бұрын
Mimi nawakubali sana Tabora United wanacheza kimbinu, kasi Kila timu ikipita kwake wanawatwanga😂😂😂😂
@KhusseinahmadKhamis
@KhusseinahmadKhamis 6 күн бұрын
🎉 hongera dada
@AllenOsitin-i5w
@AllenOsitin-i5w 6 күн бұрын
Kamdomo wew
@RasMsimbazi
@RasMsimbazi 6 күн бұрын
Ukifungwa una sauti nzuriii
@ManaseJubilate-kk2gz
@ManaseJubilate-kk2gz 5 күн бұрын
Tunahifadhi maneno yako🙌
@AdamNdaki-n6q
@AdamNdaki-n6q 6 күн бұрын
Tabora mmejaza uwanja au mechi imejaza uwanja??? Dah kweli mwanamke mdomo unao
@peterkaombwe6251
@peterkaombwe6251 6 күн бұрын
Umeanza kuongeza vizuri ila katikati umehalibu Simba nikubwa sio 🐸🐸🐸 Christina hii ndio simba usijifaliji
@gidionjohn3065
@gidionjohn3065 6 күн бұрын
Nbc standing
@ramadhanmahongole9293
@ramadhanmahongole9293 6 күн бұрын
HUYU DADA ANAJUA KUCHANGAMSHA MECHI LEO UWANJA UMEJAA KWASABABU YAKE HONGERA MSEMAJI UNAJUA SANA KUHAMASISHA
@bahatimshali2731
@bahatimshali2731 6 күн бұрын
Mashabiki wa Simba ndio wamejazwa na huyu?
@ramadhanmahongole9293
@ramadhanmahongole9293 6 күн бұрын
@bahatimshali2731 ndiyo ana akili sana huyu dada
@sethjohnson7266
@sethjohnson7266 6 күн бұрын
Mashabiki waliojaza uwanja siyonwa Tabora utd bali Simba sc
@furahachuma9039
@furahachuma9039 6 күн бұрын
Ni wa yanga, waliamini Ubwela watapoteza dhidi ya Tabora.
@ImaniMogha
@ImaniMogha 6 күн бұрын
Pole sana sisi nyuki tunakumbati na tunawapiga busu
@JustinMwanawima
@JustinMwanawima 6 күн бұрын
Nimecheka sana Kwa sauti
@rajabuhassan1932
@rajabuhassan1932 6 күн бұрын
Kweliii unasitahiri kuwa maemaji umeongea vitu vya maana sana
@RamadhanMwahingi
@RamadhanMwahingi 6 күн бұрын
Tokaaaa weeee kwani hamkujuaaaa tunakichapaaa leo😂😂😂😂 kavueee chupiiii ukooo
@MapesaIdd
@MapesaIdd 6 күн бұрын
Pole yako
@IsayaGarimoshi-x1u
@IsayaGarimoshi-x1u 6 күн бұрын
mungu akubaliki dada kamdomo kwisha
@LaurentMagesa-iv5yt
@LaurentMagesa-iv5yt 6 күн бұрын
Wewe ni msemaji bora sana
@AlbertLambert-b4p
@AlbertLambert-b4p 6 күн бұрын
Huna jipya.. used ww..
@AlbertLambert-b4p
@AlbertLambert-b4p 6 күн бұрын
Kaaaw KIMYAAAAA. Ushakua mdebwedo.
@Jerie-q1c
@Jerie-q1c 6 күн бұрын
Dada anafaa sana analeta amsha amsha SANA kwenye ligi
@leejems142
@leejems142 6 күн бұрын
Mdom umekuponz 😂😂😂
@SalumMwinyi-h7i
@SalumMwinyi-h7i 6 күн бұрын
Huyu dada yupo vzr so hongera kwake
@Last403
@Last403 6 күн бұрын
Huyu dada amechanganyikiwa daaa japo mimi ni mshabiki wa yanga.😂
@KivumaTalha
@KivumaTalha 6 күн бұрын
Namkubari semaji
@zakaria924
@zakaria924 6 күн бұрын
Nyuki anakumbatiwa, vipi Fadlu ana mbinu za kumkumbatia😂😂
@godfreymanento2810
@godfreymanento2810 6 күн бұрын
Nyuki amekumbatiwa😂😂
@sabasminazi5169
@sabasminazi5169 6 күн бұрын
Kumbe leo Simba wamecheza na wanawake wa tabora.
@shaphiasabani5760
@shaphiasabani5760 6 күн бұрын
Inavoonyesha uyu dada wakati wa tendo uwa hanajamba sana😂😂😂😂
@YusufOmar-hh3xx
@YusufOmar-hh3xx 6 күн бұрын
Hamna kitu wew nenda kalale
@FaustineAlphonce
@FaustineAlphonce 6 күн бұрын
Safi sana simba guvu moja.
@HenryRichard-z1f
@HenryRichard-z1f 6 күн бұрын
Mashindano gani hiyo game ilikuwa ni harusi😮😮😮😮😮😮auuuu
@geofreymlegimusimu
@geofreymlegimusimu 6 күн бұрын
WE UNAMJUA SIMBA MNYAMA ,SIMBA WA KIMATAIFA MNYAMA MNYAMA KA MDOMO , TUNAOMBA ZILE MILLION 50 zetu
@deusmasomi1091
@deusmasomi1091 6 күн бұрын
Nataka nikuoeee mimi pasi milioni ana mke tena kwa ndoa RC
@abelimaganga417
@abelimaganga417 6 күн бұрын
Kajitahidi sana jamani angalia uwanja ulivyojaaa ni kazi yake hongera sana ila simba siyo ya kuodharau mam
@bahatimshali2731
@bahatimshali2731 6 күн бұрын
Waliojaa ni Simba
@BernadDimosso-h6c
@BernadDimosso-h6c 6 күн бұрын
Pole sana mwanamke
@pastordominicmabula6363
@pastordominicmabula6363 6 күн бұрын
Kamdomoooooo😂
@amanikingu2267
@amanikingu2267 6 күн бұрын
Ww mama ww kweli we ni mshangazi
@yohanakananika3586
@yohanakananika3586 6 күн бұрын
Duru inayokuja tena😂😂😂😂
@EmmanuelMwita-vr4qz
@EmmanuelMwita-vr4qz 6 күн бұрын
😅😅😅😅 pole n
@JacksonMbites
@JacksonMbites 6 күн бұрын
Huyu dada msemaji bora sana
@LuandaRamadhan
@LuandaRamadhan 6 күн бұрын
Nampongeza sana huyu dada anaweza sana kufanya hamasa ya mpira. Anatakiwa atafutiwe ofisi hata pale TFF. Simba nguvu moja
@SalumKhamiss
@SalumKhamiss 6 күн бұрын
Unawapongeza mashabiki wenu wapi😂😂😂
@lightnessjulius-b1e
@lightnessjulius-b1e 6 күн бұрын
Umekubali unajitapaga mno
@OmaryMaliba
@OmaryMaliba 6 күн бұрын
Kumbe Dem mwenyewe ni pisi Kari namna hii!?, dah!, me nampenda huyu😍
@jamesmwabhongolo5482
@jamesmwabhongolo5482 6 күн бұрын
Gwee Ugweee kalumbu gwandile kangi...
@JofraySabath
@JofraySabath 6 күн бұрын
Dada anaongea huyuu, haon ata aibu 😅😅
@abdulkarimmahmoud8499
@abdulkarimmahmoud8499 6 күн бұрын
Ha ha ha ha 😂😂😂😂 nyie my wetu
@ShukuTete-wb1fp
@ShukuTete-wb1fp 6 күн бұрын
Wanaume wa daa
@Jayseruog-mu6vx
@Jayseruog-mu6vx 6 күн бұрын
Duru ndo nin🦁
@ClemenceShooo
@ClemenceShooo 6 күн бұрын
Ongera dada leo umekuwa msemaji halali kabisa
@KijanaMollel-zj2cs
@KijanaMollel-zj2cs 6 күн бұрын
Unaongea vizuri juu kichapo ushaapata
@zakajose
@zakajose 6 күн бұрын
Msenge kweli ww
@mudymudy-ki7ie
@mudymudy-ki7ie 5 күн бұрын
Mmepewa hela
@rashidinjama3546
@rashidinjama3546 6 күн бұрын
Msenge simba ni kubwa sana usidananishe na katimu chako cha mchongo
@SALIMMUUNGWANA-he9it
@SALIMMUUNGWANA-he9it 6 күн бұрын
Huyu dada ana njia poa sana zakiusemaji
@XhebbyCrown
@XhebbyCrown 6 күн бұрын
😂😂pole sana
JERRY MURO AMLIPUA RAIS WA YANGA ENG. HERIS/ ATOKE KWENYE UONGOZI
21:41
The evil clown plays a prank on the angel
00:39
超人夫妇
Рет қаралды 53 МЛН
“Don’t stop the chances.”
00:44
ISSEI / いっせい
Рет қаралды 62 МЛН
BAYGUYSTAN | 1 СЕРИЯ | bayGUYS
36:55
bayGUYS
Рет қаралды 1,9 МЛН
MZEE SAID ATAKA KUMEZA MTU, HII NDIO SIMBA TUNAYOITAKA, SIO KINA SAIDO
8:41
The evil clown plays a prank on the angel
00:39
超人夫妇
Рет қаралды 53 МЛН