MSHIRIKI KUTOKA UGANDA KABIITO AMESOMA VIZURI KULIKO WOTE TUMELIA/"MIMI HAYANIHUSU NI KAZI YA MAJAJI

  Рет қаралды 71,586

Najat Said

Najat Said

Күн бұрын

Пікірлер: 196
@saidmbegu7017
@saidmbegu7017 3 жыл бұрын
MW.MNGU AWAJAALIE NYOTE MLIO MSHIKA MKONO KABIITO
@muhsinisihaka7739
@muhsinisihaka7739 3 жыл бұрын
Hatukuona kumkosoa hata maramoja
@aishahassan8334
@aishahassan8334 3 жыл бұрын
Mashallah
@mahmoodalghefeili5370
@mahmoodalghefeili5370 3 жыл бұрын
@@muhsinisihaka7739 yule hakukosolewa sababu hajakosea kilichomkost pumz maskin alipumzika sehem zisizostahil kupumzika
@alheidygaltriples5517
@alheidygaltriples5517 3 жыл бұрын
@@mahmoodalghefeili5370 kwl kbsaaaa
@khadijanjama8721
@khadijanjama8721 3 жыл бұрын
Aamin
@Farryunique
@Farryunique 3 жыл бұрын
Kabito The Star 🌟🤩 don't give up sheikh, you have a bright future ahead. Allah is with you and our prayers with you. You are the next winner 🏆just improve ur self where you went wrong, and the No. 1 is waiting for you........ In shaa Allah.
@rayamohammed130
@rayamohammed130 3 жыл бұрын
Mashaallah Sheikh Nurdin pamoja na ukhty wetu Najat kwa kumfariji Kabiito wetu kipenz cha watanzania,,,ametusimua kwa kweli cku ile yani siamini ila ni mipango ya Allah,,azid kukaza buti mwakani Inshaallah
@neemafatu7885
@neemafatu7885 3 жыл бұрын
Ila mimi namkubali sana kabiito .upande wangu nawaamini majaji ila nahisi tunamuhurumia sana kabiito kwa alivyo labda, ukijumlisha na usomaji wake mzuri basi imechangia mara dufu.naamini ushindani ni mkubwa TUWADHANIE MAJAJI VIZURI .
@nahiyahamdan5281
@nahiyahamdan5281 3 жыл бұрын
I'm very proud of you my younger brother kabito🇺🇬🇺🇬🇺🇬🇺🇬🇺🇬🇺🇬🇺🇬
@maimunahassan5047
@maimunahassan5047 3 жыл бұрын
MashaAllah beautiful recitation may Allah protect him
@ramsikhamis7083
@ramsikhamis7083 3 жыл бұрын
Niliumia saanaa mm pamoja na marafiki zangu pale uwanjani tukaondoka kwa hasiraa,, mpaka machozii yalinitoka kwa uchungu yaani ata Top 4,,,..!!!apanaaa apanaa jamaniii 😤🙌
@muhammadmassoud5121
@muhammadmassoud5121 3 жыл бұрын
Nawasihi ndugu zangu turidhike na haki iliotendeka majaji wamejitahidi sana. Kazi hiyo ni ngumu sana hakika wamejitahidi.Mashaallah Allah awahifadhi.
@lacroquetalacroqueta6813
@lacroquetalacroqueta6813 3 жыл бұрын
Allah akubariki sister Najat kwa kazi zako nzuri za khairats katika kila kitu, Allah akupe afya nzuri na furaha katika maisha yako ya hapa na kesho siku ya malipo na waisilamu wote.Fajazakumullahu khairan sister 🥀🌹💮🌸🌸💐💐⚘🌷🌷🌻🌻🌺🍁🍁🍀🍀🌱🍀🌿🌾🌾☘🌱🌴🌳🌲🪴🍂⚘🌷🌼🌼🌻🌺🌺🍇🍇🍇🍇🍇🍇🍇🍇🍈🍈🍉🍊🍊🍊🍋🍋🍍🥭🥭🍎🍎🍏🍐🍑🍑🍒🍓🫐🥝🥝🍎🍎🍏🍏🍎🍎🍇🍇🍇🍇🍇🍈🍉🍉🍉🍉🍉🍉🍉🍉🍉🍇🍏🍏🍏🍉🍉🍑🍑🍑🍋🍋🍓🍓🍓🍌🍌🍍🫐🫐🫐🫐🥭🥭🥝🍎🍎🍏🍏🍏🍐🍐🍑🍑🍒🍒🍓🍓🍓🍓🍓🍓🍓🍓🍓🍓🍓🍒🍒🍒🍇🍇🍇🍇🍇🍇🍇🍇🍇🍇🍉🍉🍉🍉🍉🍉🍉🍉🍉🍉🍎🍎🍏🍐🍐🍑🍒🍓🍓🍓🍒🍒
@nuliahkhamis6152
@nuliahkhamis6152 3 жыл бұрын
Kabito mdogo wangu mwenyezi mungu akujalie afya njema. Umejitaidi sana
@AbuuAslam-
@AbuuAslam- 5 ай бұрын
Amiin
@aishamohamed4842
@aishamohamed4842 3 жыл бұрын
Exactly Hata mimi Najat nilikuwa natizama nilijua yeye ndio mshindi nilikuwa disappointed sana kuona Kapito hakushinda
@rokiroki1825
@rokiroki1825 3 жыл бұрын
Nikweli ndug zangu qur'an inamipangilio ukisoma vibaya unaleta maana tofauti turidhike na masgehe wetu
@jumamohamed3168
@jumamohamed3168 3 жыл бұрын
@@salamamohamed5805 Watu hawataki kujifunza Qurani wanavutiwa na ushabiki wa sauti ya mtu badala ya kuzingatia huku na usomaji wa Qurani kwa ujumla wake.
@ramsikhamis7083
@ramsikhamis7083 3 жыл бұрын
Ata kama ndo ata Top 4 apana aisee tuseme ma elf ya watanzania wanaolalamika awaijui vizur qur aan
@othmanbakari6033
@othmanbakari6033 3 жыл бұрын
@salama Mohammed turidhike kuwa ni qadar ya Allah hakupata nafasi ambayo baadhi walitarajia..na pia majaji walitenda haki kadri Allah alivyowawezesha Mashallah(Allah awazdishie kheri). Ila ukisema kuna aya aliisahau unaweza ukaulizwa ni aya IPI! ...hebu angalia vzr aya alizoulizwa, ..ya 12:10(Surat Yunus), kisha aya ya 50:27(Surat Nnamli), na Aya ya 17:52(Surat At-tur)...Naomba nisaameh kama nmekukwaza, sio lengo langu...Ramadhan Mubarak
@salamamohamed5805
@salamamohamed5805 3 жыл бұрын
@@othmanbakari6033 Wala hukunikwazwa tupo kwenye kuelimishana shukran....
@othmanbakari6033
@othmanbakari6033 3 жыл бұрын
@@salamamohamed5805 Shukran sana sana...Allah atujaalie mwema...Aamin Aamin.
@athumanimgumia7209
@athumanimgumia7209 5 ай бұрын
Mungu awajaalie wote walioshiriki na waliopa moyo Kabito, God bless you all for the what made, that is the best way to Go to God. Tabaraka ladhy biyadihil mulku wahuwa ghala kuli shay in Gadiru.
@mariammammu9641
@mariammammu9641 3 жыл бұрын
Haiwezekani watu wote tuguswe na usomaji wake alaf sio mshindi.....KABIITO NI MSHINDI WA KWELI
@ramsikhamis7083
@ramsikhamis7083 3 жыл бұрын
Ebuu niambiyee ma Dear
@omanilady
@omanilady 3 жыл бұрын
Well done dear Naj.. wa JazaakUmAllah kheir dunia walAakheera kwa wote yaaRab mashekhe wetu majaji wetu na watoto/ndugu zetu wote mahaafidh wa Quraan.. tunamuomba Allah atujaalie sote min ahal’Quraan na vizazi vyetu 🤲🤲🤲 Amen 🙏
@telaamtauta2227
@telaamtauta2227 3 жыл бұрын
😭😭😭😭mashaallah mwenyezi mungu atampa maranyingine inshaallah kasoma.vizuri lakini mahali ndio wanajuwa max zaidi
@hamilhashir4452
@hamilhashir4452 3 жыл бұрын
Kabiito Masha Allah jazaka Allahul khair
@aliseif8729
@aliseif8729 3 жыл бұрын
Mm kwaushauri hao wasklizaji waliokuja kuna watu wana sklz yakutosha wanaijua vzur Quran Kuanzia tahfeedh, hukmu, saut, nasheria nyengine za Quran Lkn kwavile kuna majaj walio chaguliwa Tukubaliane nao Inshaallah
@user-cf7gw2gi3v
@user-cf7gw2gi3v 3 жыл бұрын
Inshaallah allah atamlipa pepo kwani malipo ya hapa Duniani silolote sichochote nakilakinacho tokea nikadari yake allah
@masouddaud4075
@masouddaud4075 3 жыл бұрын
Allah amfanyie wepec kabito ashiriki tena mwaka ujao
@kakaamkumbwa180
@kakaamkumbwa180 3 жыл бұрын
Majaji 4 tu waliomsikia kabito ni zaidi ya 60.000 kwa mkapa tu bado kupitia tv tz nzima. Nawote hao wamempitisha kabito. Nakosa kubwa lilianzia kwa fundi mitambo kupitia kwa jaji yule wa mweusi Ndio waliomkosesha ushindi kabito kwa makisudi. Kishki hakikisha Majaji wanafanyiwa usaili ili kujuwa uwezo wao .
@zakialustan722
@zakialustan722 3 жыл бұрын
Nyinyi watanzania muna shida ,nyinyi ni madakatari,marefa,leo mmefika mbali mnajifanya majaji wa Quran ,shame on you
@suhel5209
@suhel5209 3 жыл бұрын
Imemuathiri sana naona, mungu ampe nguvu
@ukhtynaa005
@ukhtynaa005 3 жыл бұрын
Kabito my younger brother never lose hope come back again next year in shaa Allah for the competition and I do believe that you will make it's better more than this year @Nash005
@suhel5209
@suhel5209 3 жыл бұрын
Najat umefanya kazi nzuri sanaa
@hassanajiruu7793
@hassanajiruu7793 2 жыл бұрын
Tunaomba majaji walio amua washindi wa tano bora na kabito akuema tafadhalini nawaomba Muelezeni mwalimu wa kabito marekebisho mmnayo hitaji kabito ayarekebishe Mwakani InshaaAllah Tunamuhitaji ashirikishwe Katika Msabaka mwakani InsaaAllah panapo Majaliwa .Sheik Kishki Twaomba litimizwe ombi tafadhal. Mallah awabariki nyote
@nasmachoma7814
@nasmachoma7814 3 жыл бұрын
Umeifanya vizuri sana Dada Allah akuzidishie zaidi yaicho mashaallah shekh kishki
@lacroquetalacroqueta6813
@lacroquetalacroqueta6813 3 жыл бұрын
Asalam Alaikum, MashaaAllah, Ramadhan Mubarak ✨♥Fajazakumullahu khairan 🌹🥀🥀🌺🌻🌻🌼🌼🌷⚘⚘💐🌸🌸💮🌱🌱🌱🌲🌲🌳🌴🌵🌵🌾🌾🌿🌿☘☘🍀🍁🍁🍂🍃🍃🏵🌹🌹🥀🥀🌺🌺🌻🌼🌷💐🌸🌸💮💮⚘⚘🌷🌷🌻🌳🌴🌵🌾🌿🌿🌿🌱🌱🪴🌲🌳🌳🌴🌴🌵🌵🌱🌱🍀🍀🍀🍁🍂🍃🍃🍃🌹🌹🥀🌺🌺🌺🌹🌹🥀🌼🌼🌼🌷⚘⚘⚘⚘⚘⚘⚘⚘⚘⚘🌷🌺🏵🌹🌹🌹🥀🥀🌺🌺🌻🌻🌼🌼🌷⚘⚘💐💐💐💐💐💐💐💐🌸🌸🌸🌸🌸💮💮💮🌹🌹🌹🥀🌺🌻🌻🌼🌷🌷⚘⚘🌹🥀🥀🥀🌺🌺🌻🌻🌼🌼🌷⚘⚘⚘⚘⚘
@nooraallahuakibarumwenyeez3079
@nooraallahuakibarumwenyeez3079 3 жыл бұрын
Nikweli shekhe kishiki uwiislam una sheria zake na Qur ani ina hukumu zake mfano ukikosey herufi 1 tuu kuitamka km ilivyo bc maana ya ile neno inabadilika au ukipunguza herufi 1 maana inabadilika au ukiongeza herufi 1 maana inabadilika haya yote huwez kuyafahamu ww usiyona elimu lazima usome Allah awahifadhi wote waislam na waliyosom
@raziaidd2392
@raziaidd2392 3 жыл бұрын
Ma shaa Allah
@faidhatiamii9425
@faidhatiamii9425 3 жыл бұрын
Mashaallah m.mungu amjaalie
@missmoona4497
@missmoona4497 3 жыл бұрын
Wallah nami aliniumiza sana, shauku yangu ashinde sauti tu inavutia niliumia sana😭😭😭😭😭😭
@ukhtynaa005
@ukhtynaa005 3 жыл бұрын
Justice must be done to kabito .Why this he was expecting alots for this musabaqa .does it's means katika hao washindi watano hawakuwa na makosa hta moja ama mbili katika ahkamu tajweed
@rayyanibra4076
@rayyanibra4076 3 жыл бұрын
hata sisi na familie yangu hapa belgium huyo kijana ndio mshindi masha allah kapito
@muhammadmrmj6228
@muhammadmrmj6228 3 жыл бұрын
Nyny hatamkasema alieshinda ndio anae tangazwa nyny mnenogewa na sauti t watu wanaangalia quran inasomwaje hukmu matashi na mengneyo sasa ww hjasoma nyamaza sio utoe ushindi
@sulemohd4812
@sulemohd4812 3 жыл бұрын
Mashallah dada hadinalia
@nyatya199
@nyatya199 3 жыл бұрын
@Abubakar Mohammed usiwadhanie vibaya wamejitahidi kiasi chao
@mbarakbausi6503
@mbarakbausi6503 3 жыл бұрын
😭😭😭😭masikini very sad wallah no fear not fear kabisa
@allykeita704
@allykeita704 3 жыл бұрын
Beautiful voice
@allykeita704
@allykeita704 3 жыл бұрын
Huo ndio uislam aisee kila kitu ni kadary akxante kabiito
@mariamsudi8845
@mariamsudi8845 3 жыл бұрын
Mashaallah tabalakallah
@jaybaba2700
@jaybaba2700 3 жыл бұрын
hamuna la kusema hata mujitetee vp hakika hyo kabiito allah atamlipa pepo zaid ya hyo malipo yenu
@sakohassangulled7687
@sakohassangulled7687 3 жыл бұрын
Love you kabiito Allah is with you mashallah
@kagujjeramadhan4101
@kagujjeramadhan4101 3 жыл бұрын
Masha Allah
@user-xj7ek3bo4w
@user-xj7ek3bo4w 5 ай бұрын
Kabito mungu akujaliye kila lamafanikiy ishaallah🤲🤲🇺🇬
@zainabjuma6266
@zainabjuma6266 3 жыл бұрын
Huyu kijana katusisimuwa sana ...mashaallah
@mishigambagamba6302
@mishigambagamba6302 3 жыл бұрын
Yaaani Mimi nililia jamani mtt anasauti maa shaa Allah nilijua atashinda
@abufauzan9417
@abufauzan9417 3 жыл бұрын
@@mishigambagamba6302 shida sio sauti kinachozingatiwa ni ahkam
@user-vd7um1bz8b
@user-vd7um1bz8b 3 жыл бұрын
MashAllah JazakAllah 🙏🙏🙏❤
@lacroquetalacroqueta6813
@lacroquetalacroqueta6813 3 жыл бұрын
MashaaAllah MashaaAllah
@ahmedsalim9002
@ahmedsalim9002 3 жыл бұрын
Yani mm cjui kama ntaifuta audio yake tuombe mwakan ashiriki tuuuu
@ukhtynaa005
@ukhtynaa005 3 жыл бұрын
Assalamu aleikum warahamatu allahi wabarakatu
@HalimaHalima-id2cb
@HalimaHalima-id2cb 3 жыл бұрын
Mashallah mashallah mashallah alhamdulillah
@user-br3sc8bm4t
@user-br3sc8bm4t 2 жыл бұрын
Mie nimekosa hata nguvu machozi yanamwagika tu yaani Allah ampe subra inshaallah tupo pamoja Ushindi upo mbele yako usikate TAMAA
@salummhina4857
@salummhina4857 5 ай бұрын
Sauti ni sawa kapata nahilo ndilo tuliowengi tuna HUKUMU.Majaji wana HUKUMU nyingi zaidi ya Sauti tuu.Mimi naamini sana wenye dhamana yaani majaji.Kwani huyu aliyeshinda sio mtanzania pia:Sasa huwezi changanya HUKUMU na hisia
@user-vv1te9fu8q
@user-vv1te9fu8q 5 ай бұрын
Majaji wako right mashaallah
@user-qe8xp6ii1u
@user-qe8xp6ii1u 3 жыл бұрын
Hayo mashindano ni Ya Al hikma foundation.Na sio ya Kimataifa. Kabito amehifadhi vzr ila Hana Tajweed nzur. Na pia haya Mashindani Ni Hayafai kwani yanaharib Msingi wa Dini
@abufauzan9417
@abufauzan9417 3 жыл бұрын
Duh mashindano yanaharibu misingi gani ?? Ebu twambie
@saumuseif9189
@saumuseif9189 3 жыл бұрын
Mashaallah
@telaamtauta2227
@telaamtauta2227 3 жыл бұрын
Shukrani sana dada uliye mzawadia mabiito
@mimiapa8436
@mimiapa8436 3 жыл бұрын
Jamani tupeni No tumchangie tuoneshe mapenzi yetu kwake
@najatsaid2326
@najatsaid2326 3 жыл бұрын
Namba ipo kwenye Videos tazama kwa Umakini
@mimiapa8436
@mimiapa8436 3 жыл бұрын
@@najatsaid2326 asante
@ramsikhamis7083
@ramsikhamis7083 3 жыл бұрын
Mm inaniumaa mpaka machoz yalinitoka nikasepa zangu pale uwanjanii
@UmufarnaUmuAlya
@UmufarnaUmuAlya 5 ай бұрын
Mashaallh
@nshonabdll9363
@nshonabdll9363 3 жыл бұрын
Ndo mjue I hk ni ya kapito kbs ndo mana tuna ll mika
@telaamtauta2227
@telaamtauta2227 3 жыл бұрын
Hiyo nikweli sheikh kishki angeshinda. Tanzania watu wanngesema.ilishapangwa Bora mashindano huyo wambalii
@thakibuiddi1857
@thakibuiddi1857 3 жыл бұрын
Sas jman nyie mnaangalia sauti nzuri kuruan inasheriayake nahukumu yake pia sio kuangalia sauti
@ramsikhamis7083
@ramsikhamis7083 3 жыл бұрын
Wajumbe mpaka kwenye Quran daaa baalaaa...!!! kuna kitu kinaitwa Lead objective ata uku cc kwenye mahakama ipoo lakini kilichotokea daaa very offend
@muhamadamingucci6842
@muhamadamingucci6842 3 жыл бұрын
Allah akuzidishie najat
@nshonabdll9363
@nshonabdll9363 3 жыл бұрын
Yn uyu ndo ilibidi awe wakwanza kbs kapito kasoma vizur kuliko wote
@salamamohamed5805
@salamamohamed5805 3 жыл бұрын
Hapo Kuna Aya ameisahau ndio iliyimuangusha
@allyfutto8763
@allyfutto8763 3 жыл бұрын
Mashaallah.
@fatimasaid5795
@fatimasaid5795 3 жыл бұрын
Machaallh
@alikauku7516
@alikauku7516 2 жыл бұрын
Mashallah 🤲🤲🤲
@mariamhomar320
@mariamhomar320 2 жыл бұрын
Mwenyezmungu amuongezee baraka
@mariamhomar320
@mariamhomar320 2 жыл бұрын
Inshaallah
@mufid707
@mufid707 3 жыл бұрын
MashaAllah Tabarak Llah
@fauziahfamaushebz3740
@fauziahfamaushebz3740 3 жыл бұрын
Allah knowz best🙂
@maymunamakungu6265
@maymunamakungu6265 3 жыл бұрын
MaashaAllah Kabito
@lelasalum555
@lelasalum555 3 жыл бұрын
Kabito mashaalh
@zaidahussenehussene590
@zaidahussenehussene590 3 жыл бұрын
Machaalla
@tauhidaahmada1488
@tauhidaahmada1488 3 жыл бұрын
Kabiito mashaallh wingi tulitarajia ushindi wako tu lkn cjui ni kaz ya majajaji hatuwez jua undan
@hassaniidrissa5916
@hassaniidrissa5916 3 жыл бұрын
Cabito abdullbasti swamadu, nice one🎤🎤🎤🎤🎤🎤🎧
@hassaniidrissa5916
@hassaniidrissa5916 3 жыл бұрын
Cabito cabito cabitoooooooooooooo masha'allah,
@hassaniidrissa5916
@hassaniidrissa5916 3 жыл бұрын
Sheikh bado ujaelezea ni kitugani alichokosea cabito ili ajifunze siku nyingine naomba maelezo yakunitosheleza sheikh wangu,,, why cabito has failed?
@hassaniidrissa5916
@hassaniidrissa5916 3 жыл бұрын
Sawa kishki wewe nimekuelewa kidogo, next time be careful with the points,
@rayaomar6299
@rayaomar6299 5 ай бұрын
Mie nnavyoona bora wote walioshirik wapewe zawad kwa sababu si mchezo kuhifadh Quran
@zuhuramwarizo9810
@zuhuramwarizo9810 5 ай бұрын
Mashllaha allah. Amuifadhi kijana huyu
@handenitakuru6696
@handenitakuru6696 5 ай бұрын
Hivi kwani Uganda 🇺🇬 hawaongei kiswahili jamani mpka huyo Kabito haeleiwi au hawezi zungumza kiswahili ?
@mbarakbausi6503
@mbarakbausi6503 3 жыл бұрын
😭😭😭😭we need to do something for him.........his number please
@Ahmad.ali1-r9o
@Ahmad.ali1-r9o 3 жыл бұрын
Kabisa boss
@najatsaid2326
@najatsaid2326 3 жыл бұрын
Number the number is in this video look good
@muhammadmassoud5121
@muhammadmassoud5121 3 жыл бұрын
Hata mm nilijua kabito ndio mshindi lakini baada ya kurudia kuwasikiliza mmoja mmoja nimeamini majaji walitenda haki ilio sawa kabisa.
@Nabiilkhamis
@Nabiilkhamis 5 ай бұрын
Kanito fanya ujuwe kiswahili bwana
@RukiyaButoyi-sk5nm
@RukiyaButoyi-sk5nm 5 ай бұрын
Hawo wenye kulalamika eti wajaji hawatenada haki basi hamjuwi kwakweli.skilizeni kile kisomo ca ule kijana aliye toka wakwanza.Allahu Akbar alistahiki kabisa ila na kabito yuko vizuri saaana lakini haki ilitendeka muace kusema bitu hamna ujuzi nabyo please.Majaji walitenda haki kabisa
@suhel5209
@suhel5209 3 жыл бұрын
Tumchangieni kabito aende umra ishallah
@ayishaayisha8053
@ayishaayisha8053 3 жыл бұрын
Mimi naona kasoma vizuri ni lafuzi tuh .
@suhel5209
@suhel5209 3 жыл бұрын
Me pia huyu mganda nilimtabiri kushinda but nimeshanga sanaa
@adilhabib8988
@adilhabib8988 3 жыл бұрын
Kusoma Alhamdullah kasoma vizur sana lkn kabitto kasoma Tajwid hayo ni mashindao ya Tartil
@fatimasaid5795
@fatimasaid5795 3 жыл бұрын
👌❤️❤️❤️❤️❤️❤️👌👌
@nooraallahuakibarumwenyeez3079
@nooraallahuakibarumwenyeez3079 3 жыл бұрын
Kila 1 kajaaliwa makadiliyo yake km mm Allah kanijaaliy sauti nzury san yausomaj pia na ukalili ila kuhifadhi kwangu mtihani hap bd sijajaaliwa km sehemu za kusimama na kuwanza km alivyosom shekhe kishiki wallah sipat ht %1 hhhhh ila kwa sauti na ukalili km kebito nazan nafaulu tunapaswa kuendeley kusoma dini ya Allah na kuijuwa vizury siyo kuchukuliy juu juu simpo ila alivyosom huyo mganda albino nimependa
@ashrafahiddimtambalala4810
@ashrafahiddimtambalala4810 3 жыл бұрын
Maashaallah
@user-xf3it7nc5n
@user-xf3it7nc5n 5 ай бұрын
Kwel turidike n majaji wetu walio chaguliwa
@MohamedAhmed-dm8zr
@MohamedAhmed-dm8zr 3 жыл бұрын
Guyzz , the judges wamesoma sana na hawaezi kumdhulumu mtu hivi hivi , Kuna harf alikua haezi kuzitoa vizuri mueleweni hivo msione mtu amesoma sauti nzuri sana mkasema ndo mshindi kumbukeni Kuna Tajweed , Kuna Adaaul Quran , waqf ibtidai angalieni video ma judge wakisema hua wana angalia nini
@muhammadussama8560
@muhammadussama8560 3 жыл бұрын
Maashallah tabaarakallah
@burundishallsmile1day109
@burundishallsmile1day109 3 жыл бұрын
👍🏾🙏🏾
@fatimasaid5795
@fatimasaid5795 3 жыл бұрын
❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️
@muhammadmrmj6228
@muhammadmrmj6228 3 жыл бұрын
Walio toa maamuzi wamesoma na wanaijua quran sasa ww ulie kua hujasoma anaweza kuja mtu ana sauti mzur na mwengne ana mbaya wakasoma quran bc utampa alie nasaut mzur kwa7b hujasoma kumbe huyo mwenye saut mzur ndio kakufuru
@allymtungunyu9335
@allymtungunyu9335 3 жыл бұрын
Mbona munaongea mambo msiyoyajua nyie inamaana mtu akikosea kakufuru? Kasome kwanza ujue hukmu za allah
@muhammadmrmj6228
@muhammadmrmj6228 3 жыл бұрын
@@allymtungunyu9335 ndio quran ukiisoma t bila kuijua unakosea na ubadilisha maana na ukibadili maana ndio ushakufuru na ndio maana tunapomaliza kusoma tuna staghafiru kama nimekisea nisamehet cna mda wa kubishana na ndugu yangu muislam
@muhammadmrmj6228
@muhammadmrmj6228 3 жыл бұрын
@Mtanzania Halisi Thamahani kabla huja reply soma vizr iyo comment yangu uilewe than nimekosea nirekebishe ilasoma vizur kua makini usiwe mwenye kureply t usichokifahamu. Thamahani sana
@abuuammar8900
@abuuammar8900 3 жыл бұрын
Happy wanaolalamika sisemi hawajui kusoma قرآن Bali wamezoea aunt wanapenda kusikiliza nyimbo name wanpenda kuimba nakama niupendeleo mbona hakupewa ushindi mtanzania ? alafu hizo nidhanambaya kuwadhania waislaam waliyokua majaji
@muhammadmrmj6228
@muhammadmrmj6228 3 жыл бұрын
@@abuuammar8900 pp shukran
@khadijamgambo6874
@khadijamgambo6874 3 жыл бұрын
Hii ndo Tanzania
@rahma_bint_djuma
@rahma_bint_djuma 3 жыл бұрын
Aiseeee kabito 🥺🥺
@adilhabib8988
@adilhabib8988 3 жыл бұрын
Kwa mfano engekua ni Tajwid enge pewa ushindi moja kwa 1
@ramadhanimtetu7246
@ramadhanimtetu7246 3 жыл бұрын
KABIITO UMEWEZA AISEE
@fatimasaid5795
@fatimasaid5795 3 жыл бұрын
🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏😭❤️
@BalkissMuhammad-c5o
@BalkissMuhammad-c5o 5 ай бұрын
Bismillah mashallah❤
@AbdallahalmasMikidadi-rx7xw
@AbdallahalmasMikidadi-rx7xw Жыл бұрын
Kweli bhana
@fatimasaid5795
@fatimasaid5795 3 жыл бұрын
❤️❤️❤️❤️😭😭😭
@razatrazat6833
@razatrazat6833 3 жыл бұрын
Corruption iko hapo
@kakaamkumbwa180
@kakaamkumbwa180 3 жыл бұрын
Majaji mushkel
@kutailadifi2854
@kutailadifi2854 3 жыл бұрын
Mafii muskhel
@dullahoroond5241
@dullahoroond5241 3 жыл бұрын
Rushwa mpaka katika usomaji wa Qur'ani nini
@SakinaSakinat-qd9rs
@SakinaSakinat-qd9rs 5 ай бұрын
SUBHANALLAH toa dhana mbaya hii mambo ya Qur'an
Al-Hikma Qur'an Competition 2021
11:46
MCHOTA ONLINE
Рет қаралды 10 М.
He bought this so I can drive too🥹😭 #tiktok #elsarca
00:22
Elsa Arca
Рет қаралды 48 МЛН
Шок. Никокадо Авокадо похудел на 110 кг
00:44
KABITO KUTOKA UGANDA AWANYANYUA TENA WAISLAM UWANJA WA TAIFA
6:17
Kishki Online TV
Рет қаралды 77 М.
Memri TV Compilation #13 | Arab TV Memes
13:57
TheDudeFromTheHood
Рет қаралды 79 М.
SENTENCING OF ACTING INSPECTOR GENERAL OF POLICE GILBERT MASENGELI
19:01
Citizen TV Kenya
Рет қаралды 27 М.
Selma Bekteshi - Al Jazeera Documentary Video with English Subtitle
6:47
Selma Mishela
Рет қаралды 1,2 МЛН
He bought this so I can drive too🥹😭 #tiktok #elsarca
00:22
Elsa Arca
Рет қаралды 48 МЛН