Kuna wazuri wako huko nje wanahangaika hawana waume,endelea mchukulia poa mumeo - Ukht Fatma Mdidi

  Рет қаралды 70,098

Kalamutz

Kalamutz

Күн бұрын

Пікірлер: 104
@noormohamedali3557
@noormohamedali3557 3 ай бұрын
Mashaalah ustadha mola akubariki umenena ya msingi sana mola akuhifadhi na sheytan na wasiokutakia mema
@saidindizeye2206
@saidindizeye2206 Жыл бұрын
dah! ukhty maada nzuri saana twakuomba angalau kwetu BURUNDI kwa maana ndoa zaangamia balaaa... wa jazzakallah kheir
@rukiamashaka7577
@rukiamashaka7577 Жыл бұрын
MashaAllah nakupenda Mungu akulipe akujengee nyumba peponi in shaa Allah
@myunaniniahmad6463
@myunaniniahmad6463 Жыл бұрын
Hii ni kinyume, tukikaa hatucheki bali tunalia.😭😭😭😭😭 yaa rabbi tujaalie waume wema na wake wema. Ila mwanamume akiwa mwanamme kweli na mwanamke anakua mwana mke kweli.
@zuwenavuai-e6g
@zuwenavuai-e6g Жыл бұрын
Maashallah dada kwakweli tukiyasikia mawaidha yako tunaimarika saana na pia tunapata kujiamini
@zaerajuma9159
@zaerajuma9159 Жыл бұрын
Karibu kwetu Burundi 🇧🇮
@feiswalsalim2117
@feiswalsalim2117 Жыл бұрын
Mim na mkee akuqe maaidizi wamalengo na mwelekezi wa maisha yetu ndio sababu yakuowa mkee mqema
@SanurKasimu
@SanurKasimu Жыл бұрын
Kazakallahu khaira😊 darasa hii nzuri sana ukht maashaalla
@hassanalhusein1819
@hassanalhusein1819 Жыл бұрын
Assalamualaikum Daaaah kweli ni msiba ata mm ninapata elimu ingali naona vijana wengi wanapigana kisa mke kanunua nguo lakin hajawahi uliza mkewang anaendaga wap anarudi mudagan kajisitiri vp na wengine ata ibadat ningumu anategemea familianjema kupitia familia ambayo aifwati Mungu, toa ilimu dada yangu Mungu anakuona atakama sisi atukuoni bimana shetan ametekauma huu wahii kaum
@noormohamedali3557
@noormohamedali3557 3 ай бұрын
Mashaalah mawaidha nzuri
@babuloliondo74
@babuloliondo74 Жыл бұрын
Asante dada yangu mwenyezi mungu akusaidiye rakira raeri dada yangu masharraa
@AmnazoFuraha
@AmnazoFuraha 20 күн бұрын
Assalam aliekum warahmatullah wabarakat twabiye wajibu wa mke kwa mume wake
@abdulsimbarakiye4145
@abdulsimbarakiye4145 Жыл бұрын
Asalaam aleikum warhatullah wa barakatuh hajath mawadha mazuri sana maisha Allah
@EmmanuelSibomana-y6i
@EmmanuelSibomana-y6i Жыл бұрын
Mungu akupe umli mlefu
@HidayaAli-r7q
@HidayaAli-r7q Жыл бұрын
Ahsante sana ukht pammana sana usikate tamaa huu ni ulimwengu ulio kosa taaluma bora yeye niko zanzibar
@kazungukakiyo
@kazungukakiyo Жыл бұрын
Hongera saana ukhty, Allah akuzidishie ufahamu na uzidi kutuelimisha nasi kwa upana na marefu zaidi.
@fatmahussein1238
@fatmahussein1238 Жыл бұрын
MashaAllah ukhty Allah akuzidishie hikma una nasaha nzuri sana❤❤❤
@nuruhabibasally
@nuruhabibasally Жыл бұрын
Asante usthadha kwa mawaidha insha'allah mwezi mungu atujaliee kheri ya dunia hata akhera insha'allah 🤲🤲
@اسماعيلاياد-ق3م
@اسماعيلاياد-ق3م Жыл бұрын
Asante sana
@a.856
@a.856 Жыл бұрын
Jazakallah khayran
@GHOSTWORKER19
@GHOSTWORKER19 Жыл бұрын
Following closely from Kenya 🇰🇪. ALLAH BARIK.
@OpokaKasim
@OpokaKasim Жыл бұрын
Masha Allah mama
@abdulhajiahmed8735
@abdulhajiahmed8735 Жыл бұрын
MashaALLAH tabaraka LAAH, salute kwa khudba njema yenye maadili mema nakupa kongole
@BalemesaValelian
@BalemesaValelian 11 ай бұрын
Nakupenda kwa ajili ya allah
@MuniraM-c3t
@MuniraM-c3t Жыл бұрын
Maashallah tabaraallah ❤
@AbdulLisma
@AbdulLisma Жыл бұрын
Mashaallah tabarakaallah Allahuakbar 😘🥰
@TaarabChannel
@TaarabChannel Жыл бұрын
Musisahau kupitia na kwangu wapenzi watazamaji ❤❤❤
@ZawadiMohamed-m9y
@ZawadiMohamed-m9y Жыл бұрын
Allwah akubaariki dada yang
@tembeleyamungu3230
@tembeleyamungu3230 Жыл бұрын
Mashallah mungu akufanyie wepesi amiin.
@myunaniniahmad6463
@myunaniniahmad6463 Жыл бұрын
Yani ni kweli kabisa kuna watu wengi sana wanazini na wanajua wako kwenye ndoa.
@TatuRajabu-cz6jz
@TatuRajabu-cz6jz Жыл бұрын
Kunasababu,na subira inahitajika pia,huwezi kutoka bila sababu
@ishaerly5675
@ishaerly5675 Жыл бұрын
@@TatuRajabu-cz6jz hakuna sababu itakayo fanya mtu azini nje ya ndoa,ikitokea kama mwanaume ana tatizo mwanamke ana haki na kushauriana na mumewe ili watatuwe hio tatizo na ikishindikana mke ana haki kuomba talaka ila kwa kuzini hio sio sababu.
@mohamedmussa7258
@mohamedmussa7258 Жыл бұрын
​@@TatuRajabu-cz6jz unachukuliaje Jambo la kizini??? Hakika ni Jambo baua kabisa muislam kizini. Na kwasasa imekuwa ni Jambo la kawaida mpaka mtu unasema kunasababu!!!! Allaahul mistaan
@AyshaHamis-qw3gi
@AyshaHamis-qw3gi Жыл бұрын
​@@TatuRajabu-cz6jz kuwe na sabb kusiwe na sababa dadangu zinaa imekatazwa ni dhamb kubwa sana Mwenyezimung ajasema katika ndoa mkiwa na sababu zenu mutoke nje ya ndoa sheria zipo zimewekwe ikiwa hakuna maelewan mazur kwenye ndoa unafata sheria na utaratib wak ...Dini yetu rahis sana ila ss tunaifany kuw ngumu Allahuyaalam
@JohnAlmasi-hd9lf
@JohnAlmasi-hd9lf Жыл бұрын
Mashallah 😂😂wambie ukeli wamabo ndoa ni mzuri sana Bora uvumilie
@thedon8467
@thedon8467 Жыл бұрын
Jambo zuri hili
@shannarsaidSwahili
@shannarsaidSwahili Жыл бұрын
BarakaAllah
@bentybenty2343
@bentybenty2343 Жыл бұрын
Masha ALLAH
@MoshiYahya-o3k
@MoshiYahya-o3k Жыл бұрын
Mashaaallaah
@NsanzabahiziRehema
@NsanzabahiziRehema Жыл бұрын
Karibu Burundi 🇧🇮❤
@kaliskaguzkalis4424
@kaliskaguzkalis4424 Жыл бұрын
Namtafa mwenye dini na tabia njema mwembamba mrefu umri 20-25 rangi si tatizo iwe ni ya asili kwa ajili ya Allah
@alifayadh9005
@alifayadh9005 Жыл бұрын
Sema ukweli mama that's the truth Allah akuhifadhi wenye ku complain na hii daawa nikia uko weak na ndo wako aidha mume or mke ndio haikufurashi ukweli
@NassirSaid-d7i
@NassirSaid-d7i Жыл бұрын
Kaeni nyinyi basi mtoe ayo mawaidha si wanaume nyinyi
@husnamasoud4989
@husnamasoud4989 Жыл бұрын
Mashallah
@abuhudhaifashomary4988
@abuhudhaifashomary4988 Жыл бұрын
Mashaallah
@NASSORMUYUGUMBI
@NASSORMUYUGUMBI Жыл бұрын
Masha Allah, safi
@ZainabIssa-r1j
@ZainabIssa-r1j Жыл бұрын
Unaziniwa,,na,,waumeambao,,siwaumezako jitazamekwanzawewe mzimamowakonisahihi huonikwamba unatoka,njeyandoa,kwakujirusha,mtandaoni nakama,,unafikira,,jitoemtandaoni
@MrsHasina-q2x
@MrsHasina-q2x Жыл бұрын
Walykm salm
@feiswalsalim2117
@feiswalsalim2117 Жыл бұрын
Aslm dada hata mwanayo wakiume anaezakuwa mlinzi na mkinga viwangi husishwa
@JumaHamad-i3f
@JumaHamad-i3f Жыл бұрын
Waislam acheni kutoa maneno yasio maan acheni watu wafike ujumbe hawa hawaiimbi nyimbo
@hamadbakar7091
@hamadbakar7091 Жыл бұрын
Nyinyi wengine kwanza nendeni mukasome maana inaonekana munakasirika kwa kulinganiwa washenzi nyinyi na chaajabu wengi muliokosowa ni wanawake na nyinyi wanaume ni mabwege tuu inaonekana mumezoweya kufanyiwa hayo majanga na munaridhika nayo
@hamzafishten9560
@hamzafishten9560 Жыл бұрын
Mama yangu Allah akulipe walinganiye
@hamadbakar7091
@hamadbakar7091 Жыл бұрын
Yani nyinyi munao kosowa nyinyi wanaume tena acheni ubwege huoo
@NiceWatson-y7e
@NiceWatson-y7e Жыл бұрын
Pia mnapenda kuhukum mtu cjui watu wapoje me wananiuz kwakwel na mnatafsir dini vibaya et saut sasa saut what?
@ZainabJolie
@ZainabJolie Жыл бұрын
Napata vip namba za ukhty fatma plss
@usrahismail3196
@usrahismail3196 Жыл бұрын
Ila wanamtandao wamefanya kosa kuweka picha za wasichana kuwaanika
@yia73
@yia73 Жыл бұрын
Assalam alaikum wako wapi madada tuka lete uposa InshaAllah
@NiceWatson-y7e
@NiceWatson-y7e Жыл бұрын
Wananiuz much know et uislam umekataza mwanamke asitoe elim mtandaon enz hizo mtandao ulikuwepo pia hadi afanye darasa hapo hakujua hilo mnajifanya waislam sana et asitoe elim hadharan mnataka atoe elim chumban piten kule tunamsikiliza na yanatusaidia sana na tunaxid kumuombea heri every day
@ramdhwaOmary
@ramdhwaOmary Жыл бұрын
Anatuelimisha sisi ambao hatijapaya muda wa kuhudhuria dars hizo
@ramdhwaOmary
@ramdhwaOmary Жыл бұрын
Kama ww unaudhika tuachie cc tunaofaidika na mafunzo haya
@hafidhalikitutu-hq1dt
@hafidhalikitutu-hq1dt Жыл бұрын
Assalaam alaykum warahmatullah acheni hasadi kwani anaimba
@hashimsalim1203
@hashimsalim1203 Жыл бұрын
Mm nko tayari halali ndio tunataka dada wko wpi
@Mariam-od8ok
@Mariam-od8ok Жыл бұрын
Faida unatoa ila kpz chg saut ya mwanamke ni stra unavojianika mtandaoni sio maadili ya uislam kwa mwanamke
@kazungukakiyo
@kazungukakiyo Жыл бұрын
Faida yako nn,kama uko elimu na hutaifundisha,,,,,,mwenzako anaifundisha wee wasema anajianika mitandaoni....Acha husuda wewe..
@AbdulWahab-rm9ei
@AbdulWahab-rm9ei Жыл бұрын
Nataka bibi Niko tayari
@JohnAlmasi-hd9lf
@JohnAlmasi-hd9lf Жыл бұрын
SI hiza Malaki ya mapesa munigawiee
@mohamedmussa7258
@mohamedmussa7258 Жыл бұрын
Sasa hizi darsa za wanawake kwann mwazirusha KZbin??? Hakika ni haramu mwanamke kupaza sauti yake mbele za wanaume. Halaf nahuyo cameraman mbona anawarecord audience??
@AmriAmri-hy6sg
@AmriAmri-hy6sg Жыл бұрын
Acheni ujinga hamna wema hata elim yenu ni finyu huyu mama anaongea nawakina mama wenzake kosa lipowapi? Hakuwaita muingie k chaneli yake acheni wenye akili wafaidke na mawaidha
@kazungukakiyo
@kazungukakiyo Жыл бұрын
Umesema kweli,,mm mukenya lakini natamani saana mawaidha ya ukhut.
@alifayadh9005
@alifayadh9005 Жыл бұрын
Swadakta mama Allah akuhifafhi duniani na akhera
@alifayadh9005
@alifayadh9005 Жыл бұрын
Akuhifadhi
@fahamimiraji2338
@fahamimiraji2338 Жыл бұрын
Mashallah allah akulipe mama
@MarimSali
@MarimSali Жыл бұрын
Bora wachukue maan mume mwenyewe ukimwambia kusukuvaa Ana dai nguo zenu ziko gali lkn yuaomba mungu ampe pesa aongeze mke aya uyu nae utamwambia nn wakati dera moja limemshi je mawili ata weza wangu naende iliakapate amlete ndoani ayaone vzr
@ZainabIssa-r1j
@ZainabIssa-r1j Жыл бұрын
Kweli unatoa,,elimu,,lakini,,,uko,n'nje,ya,,stara,,sautiyako,,na,,surayako hutakiwi,,kuonekana,,na,,waume,,ambaosiwaumezako kama,unaaminihivyo,,jiepushena,mitandao
@josephkalwani
@josephkalwani Жыл бұрын
Hata kwetu kwenye ukristo hatufundishiwi hivi mabinti kwaajiri ya ndoa
@johnwilson2969
@johnwilson2969 Жыл бұрын
Swali Kama ndoa ni lbada kwa nini sasa wakati wakisha ndoa mnasema muone kwa wema namuwachane kwa wema lnakuje kuhusu kuhalalisha kuachana au taraka na hii niIBADA KUU
@halimambwanachamosihumans7134
@halimambwanachamosihumans7134 Жыл бұрын
Ni ubinadamu mkishindwana basi muachane kwa wema na si kutesana au mmoja kuteseka ,
@kazungukakiyo
@kazungukakiyo Жыл бұрын
​@@halimambwanachamosihumans7134MashaAllah, dada umepatia jawabu,,mwenye swali kimya.
@NassirSaid-d7i
@NassirSaid-d7i Жыл бұрын
Acheni mambo ya kijinga nyinyi kwaio asitoe mawaidha au?
@saidsobongo912
@saidsobongo912 Жыл бұрын
Hukatazi kusomesha lakn tumia njia iliyo fundishwa kwani kunawanawake wangapi wanaelimu nawanafundisha majumbani badlika dada Kwa Allah pya kuna maswali
@haroubhbm5728
@haroubhbm5728 Жыл бұрын
Unapotaka kumkosoa mtu tafuta njia mzuri ya kumkosoa na sio mipasho tumia hekma kwa mfano ingependeza zaidi kutumia burka usionekane sura yako hapo kidogo ingependeza zaidi Allah atuongoze zaid samahani kama itakuwa nimekukwaza kwa kukujibu😊❤
@saidsobongo912
@saidsobongo912 Жыл бұрын
@@haroubhbm5728 umeongea vzr ila ukitazama comment yangu ya mwanzo katka hizo comment mbili nilizo tuma utaelewa kua nimeanza vip kwahvo nashauri hakikisha unajibu kwa kuelewa alicho ongea mtu sorry
@mamuamtoto
@mamuamtoto Жыл бұрын
@saidobongo912&haroubhbm5728:Assalam Alaykum Warahmatullah Wabarakatuh Ukhty Fatma anaongea vizuri hakuna mipasho,mm napendelea aelimishe mitandaoni
@saidsobongo912
@saidsobongo912 Жыл бұрын
@@mamuamtoto mimi cjasema yakua hazungumzi vzr bl uisilam hauruhusu mwanamke kutangaza dini kwa njia hyo
@ZuberiZuberi-oi9ci
@ZuberiZuberi-oi9ci Жыл бұрын
Hongera dada yetu kwa kuzungumza na wanaweke wenzio na kuwpa elim
@saidsobongo912
@saidsobongo912 Жыл бұрын
Faida unatoa ila kazi hii yakujitangaza kama mwanamke au kufanya kazi ya Kutangaza dini kwa njihii umeipata wapi katika uisilam Au umesahau allah na mtume yuwasema nini kuhusu manamke kujihifadh kuanzia saut yake na mengne..
@silvergibson2656
@silvergibson2656 Жыл бұрын
Yeye ni mfano wa Bi Aisha
@hamisigunguda9715
@hamisigunguda9715 Жыл бұрын
Miaka 20_35 . anayetaka kuolewa sifa dini, mwili mkubwa, mweupe, mwadilifu
@safaamohammed8704
@safaamohammed8704 Жыл бұрын
Sijamuona km kalegeza sauti hapo Au hakuvaa mavazi ambayo hayatakiwi amejistiri alhamdulillah sasa mengne yep Tusiufanye uislam wetu ukawa mgumu
@OthmanRashidRashid
@OthmanRashidRashid Жыл бұрын
No no no no saut hiyo mama
@NiceWatson-y7e
@NiceWatson-y7e Жыл бұрын
Mnataka ajifiche ndan mnaopendq kukosoa watu nyie ndo wakwanza kufanya dhamb endelea Uht tunakusikiliza
@vbffgh4106
@vbffgh4106 8 ай бұрын
Mashallah
@mwanahamisiselemani7119
@mwanahamisiselemani7119 Жыл бұрын
Mashaallah
WATOTO WA KIKE WANAVUA NGUO MBELE YA WANAWAKE WENZAO
48:30
黑天使只对C罗有感觉#short #angel #clown
00:39
Super Beauty team
Рет қаралды 36 МЛН
Cheerleader Transformation That Left Everyone Speechless! #shorts
00:27
Fabiosa Best Lifehacks
Рет қаралды 16 МЛН
coco在求救? #小丑 #天使 #shorts
00:29
好人小丑
Рет қаралды 120 МЛН
“Don’t stop the chances.”
00:44
ISSEI / いっせい
Рет қаралды 62 МЛН
SAIKOLOJIA YA MWANAMME
53:34
Elmi TV
Рет қаралды 46 М.
SIFA HIZI ZINATOSHA KUMTULIZA MUME
20:12
AL FATAH TV ONLINE
Рет қаралды 81 М.
Mwanamke Jifunze kunyamaza - Ukht Fatma Mdidi
1:05:20
Kalamutz
Рет қаралды 12 М.
Saikolojia ya Mwanaume
1:17:37
Madam Leila Abubakar
Рет қаралды 18 М.
KIDANI EP 47:-SIRI YA KUISHI NA MKE MWENZA MWENYE HEKAHEKA
56:31
Kidani Show
Рет қаралды 18 М.
黑天使只对C罗有感觉#short #angel #clown
00:39
Super Beauty team
Рет қаралды 36 МЛН