Jamani nimekuwa mtu wa tatu kutazama na wakwanza kukoment mwanzo wa movie hii.
@mkashmirmakochela810 ай бұрын
Mkojan
@davidoscooper2379 ай бұрын
Sasa ukipata hizo like unafaidk na nn Unashindwa kumuombea like madebe fundi aloumiza kichwa Ili ww upate funzo tunampa like Ili kumtia moyo je ww nn faida ya like au kisa mda mwingi unatumia mtandaon fany kaz ndg
@albinusnyaiyo261410 ай бұрын
Mbwela mzee wa big boss
@fatumakushonda427710 ай бұрын
Hii Kali mana wale wakali wangu wote wamo❤🎉kaka mbwela nakuaminia tu sana❤😂😂😂👊
Jamn kweli mambo mengine muhimu sana 😅😅😅 napenda sana😊😊😊
@LiangGirle10 ай бұрын
Kwakuwa nimemuona mbwela ndomana nimeangalia hii movie
@Femactors10 ай бұрын
❤❤❤❤kazi nzuri sana
@zaitunimuhaso96346 ай бұрын
Bwela much love from Kenya 🇰🇪❤❤
@wisedulayo653110 ай бұрын
Duhh fundi dole gumba katoa rasta 😅😅 unyama sana
@henryyonah10 ай бұрын
mbwela wajina
@Boniphaceshayo510 ай бұрын
Move mbaya sana😂😂😂
@user-ld4iz7cb8n10 ай бұрын
Good job ❤❤❤
@hassannduwimana802510 ай бұрын
Nice job mr Mbwela
@mwanamisikifogo86910 ай бұрын
Nitarudi❤❤❤❤❤❤🎉
@filexingutia36209 ай бұрын
Manamba❤❤❤😂😂😂
@MsobiAmos10 ай бұрын
Jamani tafadhali iendeee nizuri sana
@blaisekadhafi355910 ай бұрын
Doligumba we ni noma mwanang
@azizimohamed917110 ай бұрын
kiukweli mmefanya vizuri Sana braza madebe Pamoja na dada viola na mbwela pia hongereni kwakazi nzury Niko naitazama hapa sasaiv nimimi azizi mohamed mushi nikiwa hapa lusaka Zambia
@user-lj5tz3kz9m9 ай бұрын
❤
@mick79boy10 ай бұрын
Epsd 2 tafadhar jamn nimeipenda nipeni like zangu
@user-up9ol9rc7o7 ай бұрын
❤❤
@selemanizuhura90169 ай бұрын
JITAHIDINI KUBALANCE SAUTIII . Yaan mtu unaangalia movie na rimot mkonon kama unaendesha drone
@mosquitoonlinetv274010 ай бұрын
Jaman Jaman huyu mzee mbona katoa tusi kuwa Sana "Fankulo" anaijua maana yake
@aishajuma1810 ай бұрын
Manaake nin😢😅😅
@mosquitoonlinetv274010 ай бұрын
@@aishajuma18 hilo ni neno la kiitaliano linaandikwa Ma 'fankulo lenye maana ya Ma = but, however Fankulo = fuck, screw it
@aishajuma1810 ай бұрын
@@mosquitoonlinetv2740 duuuh 🤣🤣🤣
@mosquitoonlinetv274010 ай бұрын
@@aishajuma18 hapo sasa utaelewa kwann hatupaswi kucheka tu tunapo sikia mbongo kaongea lugha tofauti na kiswahili tunacho kjua
@RizikiZiki9 ай бұрын
Maskini inasikitisha kweli 😅
@arashjeshi264610 ай бұрын
Noma sana nakukubali miaka mia
@nahayodaniel82297 ай бұрын
Uyu jamaa majabei ameludi 😂😂😂😅
@mwanarusi981810 ай бұрын
Mash allah
@user-xl8bs8be3s10 ай бұрын
Kaká Mimi ni shabiki was kwaza tatizo ruga Mimi naongea kireno
@sarahmollel985610 ай бұрын
Bonge la series wasadau big up sana endeleeni kutuburudisha support zetu mnazo ❤❤
@sentsent148410 ай бұрын
Sasa hii ndio kali bwela pokea salamu zangu
@user-xn9cp8dt5c10 ай бұрын
Oya we Jamaa unatuliaga sana napenda uigizaji wako My brother
@Fred12Daniel10 ай бұрын
Big up sna my friend Anna
@Mpakauseme10 ай бұрын
Mnaogiza maisha halisi hii inanifanya nipende maigizo yenu
@twalihamohamedi89810 ай бұрын
Iko hot sana
@user-mh6ns9pm8q10 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤
@user-vc3fy9fb8p10 ай бұрын
Movie tamu sana leta muendelezo plz
@tambwe10 ай бұрын
Good Job Kaka Mkuu
@kiswaswadu213210 ай бұрын
Tamuu❤❤❤
@vinniechymall980110 ай бұрын
Kongole Atsumani Manamba nilikua nimezimiss video zako
@user-fy4op1sw2f10 ай бұрын
😂😂😂😂mzee majabei😂😂😂😂
@nahayodaniel82297 ай бұрын
😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😂
@elizabethmahenzo722010 ай бұрын
❤❤❤
@AminaBashiru-qh8fo10 ай бұрын
❤❤❤❤
@user-qo1pu4nd8x10 ай бұрын
Ni kwli binadamu unawza ukampaka wanja akapndza na we akakpak pilpl
@mwayeleabdalla981410 ай бұрын
Huyo mzee atakufa na pressure
@Mpakauseme10 ай бұрын
🤣🤣🤣🤣
@vjbatybaty756610 ай бұрын
Good movie
@mbwankilobwa794110 ай бұрын
Nice
@mrambathomas952910 ай бұрын
Ila mzee Majaliwa kaporomosha matusi mseto😂😂😂😂
@muhsinjuma533510 ай бұрын
Hii majabei nae yupo tatizo huyu mzee anaongea sana
@gerrardbabho10 ай бұрын
Jama ushauri wenye tunapata lakina atutimizi😂
@dotoomary688910 ай бұрын
Dole kanyoa
@habibuabuu960910 ай бұрын
Yani madebe anatukatisha tamaa anatiwa picha alafu aiishi shilingi imeniuma
@user-sw5ux7rj6q10 ай бұрын
Nice movie
@user-fq2sg6yy7y10 ай бұрын
❤❤❤❤❤
@aishaothman78210 ай бұрын
Huyo kaka alosema binaadam walikuwa ngedere macho yake yanatisha sikwaubaya lakini 😢😢
@ndayishimiyeeloi311310 ай бұрын
Timbwili imebuma kuisha
@mpayufilm10 ай бұрын
bado inaendelea
@mkasihamad722510 ай бұрын
Uyu mzee uku pia yuko tatizo uyu mzee anaongea sana mpka anakera😂😂😂
@amysimba841910 ай бұрын
Saaan
@minnahjuma-uo3cm9 ай бұрын
Me hata simuelewagi kwakwel
@user-og2ug5di5u10 ай бұрын
Nc movie
@mwajabumiraji797510 ай бұрын
Hii imeeenda
@RaphaelMichael-yx7xf10 ай бұрын
😢
@user-ov9nj7hp1s10 ай бұрын
Mbona mwatwambia ni movie ya madebe alafu ni mjitu mengine?
@RaphaelMichael-yx7xf10 ай бұрын
Tatizo sauti dogo
@saidiabdalahshabani94110 ай бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@tunumussa94510 ай бұрын
2 ep
@yohanekopilato-wn3lo10 ай бұрын
Mtume kama punda wa kilongwee😂😂😂😂😂
@mwasimwajambo468610 ай бұрын
Jamani mi mwisho nipeni likes bc
@ukhtyzainab725410 ай бұрын
Thanks
@aishaibrahim560710 ай бұрын
Timbwili ndo bs ama
@mpayufilm10 ай бұрын
itapanda leo saa 12 jioni
@lukmanomar678410 ай бұрын
Movie znakuw na saut ya chini hadi uweke aer phone au ?? Simu uwek skioni wekea maik kwa karibu