MSINILETEE UMADHEHEBU TU OFISINI/WALID NI YULEYULE TU/ SITAKI KUNYENYEKEWA KABISA/NAOMBENI DUA ZENU.

  Рет қаралды 36,021

Saimu gwao Online tv

Saimu gwao Online tv

Күн бұрын

Saimu Gwao Online Tv ni chanell inayojihusisha sana na vipindi vya dini vyenye mafunzo kwa jamii na matukio tofauti yenye manufaa Tunapatikana Masjid Mtoro Jijini Dar Es salaam. Kwa mawasiliano zaidi 0713471090

Пікірлер: 69
@alhilaltvonline
@alhilaltvonline Жыл бұрын
Allah akuhifadhi sheikh. Maneno ya hekima kubwa. Ukijishusha, Allah hukupandisha.
@taifaonlinetv.3670
@taifaonlinetv.3670 Жыл бұрын
Mimi ni mkristu kwa hapa kweli Shehe uko vizuri sana , na Mungu akupe maisha marefu.
@hanspop6961
@hanspop6961 Жыл бұрын
Mashallah Shekh Walid napenda sana Mawaidha yako Allah akunze na akupe Nguvu 2nd Nampongeza Muft wetu kwa kukuona Allah Awape Afya njema wote Viongozi wetu 🙏🏾🙏🏾
@calvinshirima2654
@calvinshirima2654 Жыл бұрын
Huyu shekhe nimempenda sana Sio mropokaji kama Alie pita
@hanspop6961
@hanspop6961 Жыл бұрын
Allah Akupe Afya njema shekh Walid Nampongeza Muft wetu kwa kukuona
@allykhamisrashidi8294
@allykhamisrashidi8294 Жыл бұрын
Kwanza nakupa hongera shekh kwa nafasi hiyo na ninakuombea Allah akuhifadhi na cheo hicho na a kujaalie hekima busara ktk cheo hiko, akukinge na hasa di za watu na majini .
@mrishongwikwi6448
@mrishongwikwi6448 Жыл бұрын
Mashaallah, Allah akutilie wepesi katika kazi yako shekh Walid.
@johnmalembo6464
@johnmalembo6464 Жыл бұрын
Huyu ni shehe kweli... Ndani ya Maneno yake nimepata Radha ya haki, unyenyekevu, utu, uchaji wa Mwenyezi Mungu, n.k Kwa utakatifu.... Iwe heri Kwa watz
@michaelally5213
@michaelally5213 Жыл бұрын
Allah akuzidishie maarifa ili uzidi kutufahamisha inshaallah
@binbaya923
@binbaya923 Жыл бұрын
Allah akufanyie wepesi Sheikh Walid
@ashooraashoora1180
@ashooraashoora1180 Жыл бұрын
Mashaa'Allah mwenyez Mungu akuhifadhi na mitian katika hii dunia na akupe subra afya njema na akufariji nafsi yako yarabiy ❤️
@amirihakimu8748
@amirihakimu8748 Жыл бұрын
Sheikh Walid hakika MWENYEZI MUNGU AKUJAALIE sana MWENYEZI MUNGU akikupa MTIHANI AKUJAALIE na jibu la MTIHANI ahsante kwa mwaaidha ya kuipokea ramadhani ndani ya nyoyo zetu Wala SI miili yetu MWENYEZI MUNGU AKUJAALIE KILA la KHERI a hakimu
@calvinshirima2654
@calvinshirima2654 Жыл бұрын
Hongeren waislamu mmepata chuma
@barwani890
@barwani890 Жыл бұрын
Mashaallah sheikh waliid tabarak rahman maneno mazuri
@hajisanyagi4171
@hajisanyagi4171 Жыл бұрын
MashaAllah azidi kumpa afya, azidi kuwaongeza Waislam
@ashahassan2667
@ashahassan2667 Жыл бұрын
Mashaallah alhamdullilah alla akupe siha njema
@eshasalim5496
@eshasalim5496 Жыл бұрын
Allahumma Amiin
@jamaldinabubakary9507
@jamaldinabubakary9507 Жыл бұрын
حياك الله يا شيخنا الجليل الحبيب شيخ وليد
@ramadhanqasim9484
@ramadhanqasim9484 Жыл бұрын
Mola takuafiqia inshallah
@Arishafa547
@Arishafa547 Жыл бұрын
Mashallah tabarakallah swadkta 🙏 💯 💯 💯 💯
@eshasalim5496
@eshasalim5496 Жыл бұрын
Wa Alaykum Salaam Warahmatullah Wabarakatuh. Maa Shaa ALLAH, Tabaaraka ALLAH. ALLAHU BAARIK
@mozain9892
@mozain9892 Жыл бұрын
😢
@MwanaidiJuma-hw8tb
@MwanaidiJuma-hw8tb 3 ай бұрын
Mashallah sheikh walid ❤❤
@shakirashakira-gc2yw
@shakirashakira-gc2yw Жыл бұрын
Ma shaa llah in shaa llah tunakuombea
@BIGBOSS-hl3bu
@BIGBOSS-hl3bu Жыл бұрын
Tatizo la huyu na aliyepita ni busara huyu anabusara kubwa sana mashallah
@husseinkoja4986
@husseinkoja4986 Жыл бұрын
MashaaAllah Allah akuepushe na hasira
@jumakhamis226
@jumakhamis226 Жыл бұрын
Jazaka Allah khaira shekh walid
@saidjunior5247
@saidjunior5247 Жыл бұрын
Sheikh ulishawai kuzungumzia masuhr y kutaja sifa za wtu kumbe ukidhapt madarak ni lazima utaje sfa za watu
@allysamson4821
@allysamson4821 Жыл бұрын
Masha Allah,ujumbe mzuri
@sophianyangalio3796
@sophianyangalio3796 Жыл бұрын
Walaikum salam warahamatullahi wabarakatuh
@abdalamakajula3883
@abdalamakajula3883 Жыл бұрын
Ma Shaa Allah
@alisaidabdallah1480
@alisaidabdallah1480 Жыл бұрын
Swadaktar sheikh walid
@abdulhida8291
@abdulhida8291 Жыл бұрын
Barak Allah feeq
@shamsishaaban6695
@shamsishaaban6695 Жыл бұрын
Sheikh maneno mazuri sanna haya
@mahmoudsultan4019
@mahmoudsultan4019 Жыл бұрын
MashaaAllah
@sudymgeni701
@sudymgeni701 Жыл бұрын
Swala la madhehebu kaka umenena.sawa sawa
@manilabonalumanula9210
@manilabonalumanula9210 Жыл бұрын
Madhehebu ndani ya dini yoyote ni upinzani na biashara na hayo hayatakiwi sisi wote ni wamoja.
@pppppp4195
@pppppp4195 Жыл бұрын
​@@manilabonalumanula9210 Allah akubarik
@DHULKIFLYDHULQARNAIN-tw2rc
@DHULKIFLYDHULQARNAIN-tw2rc Жыл бұрын
Safi sana
@abuuwaziri4656
@abuuwaziri4656 Жыл бұрын
Allah Akuifadhi 🤲
@shukurukoll7269
@shukurukoll7269 Жыл бұрын
Msimamo thabiti, Alhamdulillah!
@allycomm1553
@allycomm1553 Жыл бұрын
Hakuna msimamo apo anakusanya mpaka makundi yaliopotea ktk njia y sawa kwak yy hakuna shda hana tofaut n yule alie mkaim
@mbarouksalim1568
@mbarouksalim1568 Жыл бұрын
Mm najiuliza huyu shekhe wwalidi atapishwa lini kuna nn kwani kuna sheria gani kwani inayofanya asiapishwe mnamchunguza kwani shekhe walidi hamumjui ?kama hamumjui bado ss tunamjuwa sasa tunaomba mumuapishe kuna nn kwani? Nakuomba baba yangu mufti
@fahadfaraj6474
@fahadfaraj6474 Жыл бұрын
Kwanza hakuna kuapishwa pili ni kawaida wote walopita wanapewa kama ukaimu baada ya miezi sita anatangazwa tena na mufti kuwa shekhe wa mkoa hivyo wali si geni wakti utafika na itakua
@athumanomary8144
@athumanomary8144 Жыл бұрын
Shekh mkuu na mufty wa tz tunakuomba kiongozi wetu haujakosea kumteuwa shekh Walid kukaimu ushekh wamkoa shekh ninakuomba umkabidhi full kuwa shekh wamkoa wa dar
@shabaniissa3464
@shabaniissa3464 Жыл бұрын
Alhamdulillah
@ngoni7944
@ngoni7944 Жыл бұрын
Huku kukaa chini kunaumiza mgongo sana hasa kwa watu wazima, labda ndio sababu hawakai muda mrefu kusikiliza mawaidha
@adonis-bx7ht
@adonis-bx7ht Жыл бұрын
We mchokozi kweli 🤣🤣. Hawa wamezoea kukaa chini tangu wadogo hata majumbani wengine hata wawe matajiri vipi hukaa kunako mabusati.
@abdulnaseermrisho4342
@abdulnaseermrisho4342 Жыл бұрын
Hata kukaa kwenye mabenchi kuna umiza makalio,fata yako
@ngoni7944
@ngoni7944 Жыл бұрын
@@adonis-bx7ht wanaua migongo yao, ndio maana wazee wengi wa kiislamu wakitembea wamepinda migongo sababu ni kukaa chini misikitini
@husseinbutoyi8675
@husseinbutoyi8675 Жыл бұрын
اكتبِ المقاديرِ❌ اكتبِ المقاديرَ✅
@abubakartengeza1978
@abubakartengeza1978 Жыл бұрын
نطق الشيخ كلمة مقادير بدون الألف واللام وزاد في الكلمة ياء المتكلم وقال اكتب مقاديري. كن منصفا يا حبيبي. بارك الله فيك
@iddishame6596
@iddishame6596 Жыл бұрын
Sasa ndio nini
@ZuleikhaAbdallah
@ZuleikhaAbdallah Жыл бұрын
​@@abubakartengeza1978 Asante sheikh abuubakar tengeneza Nakujua tangu uhai wa sheikh Muhammad bakar tanga shamsil maarifil islamiyya
@ramadhanlipendelee3496
@ramadhanlipendelee3496 Жыл бұрын
Hivi Mtume Muhammad (SAW) alikuwa dhehebu gani na mimi nifuate.
@abdulmfaumemohamed6977
@abdulmfaumemohamed6977 Жыл бұрын
Muislam
@husseinally5550
@husseinally5550 Жыл бұрын
Swali hili linakufunua kuwa hujui mambo mengi sana.kaa darasanni
@omarkhamis4804
@omarkhamis4804 Жыл бұрын
Jua maana ya dhehebu mwanzo
@jumakapilima7295
@jumakapilima7295 Жыл бұрын
@@husseinally5550 jibu swali, mtume alikuwa dhehebu gani?
@jumakapilima7295
@jumakapilima7295 Жыл бұрын
@@omarkhamis4804 jibu swali mtume alikuwa dhehebu gani?
Or is Harriet Quinn good? #cosplay#joker #Harriet Quinn
00:20
佐助与鸣人
Рет қаралды 50 МЛН
The FASTEST way to PASS SNACKS! #shorts #mingweirocks
00:36
mingweirocks
Рет қаралды 15 МЛН
DAARUL DAY 2024 | SHEIKH WALID | USIJISIFU NA ELIMU TAFUTA TABIA YA JUU
4:57
UTAMU WA MAHARAJAN
ZINJIBAR TV
Рет қаралды 4
TUHUMA NZITO ZINAZOIKUMBUKA MADRASAT NAJAH ZAJIBIWA {Dufu moto}
30:29