Napenda kuona watu wakiingia kwenye ufugaji bora wa mbwa. Safi ndugu yangu mringo
@johaivenemil26083 ай бұрын
Hivii Vipindii huwa ni vizurii sanaa kwenye hii channel ilaa napenda kutoa maoni yangu kwa haswa wanakuwa wanahoji they should atleast do some home work sababu apaa tukiangalia tunajaribu kutafta cha kujifunza wasiwe kama wanapiga story wawe na vitu crucial vya kuuliza iswe na wao wanashangaa they should atleast have something ili na watazamaji kupata madini ya kutoshaa
@mosespeter56183 ай бұрын
Mimi nipo south Africa Pretoria hongera sana ndugu yangu nimkwel aina hii ya mbwa inabei sana nitatafuta mawasiliano yako kunakitu umeniongeza sana .
@mringoboerboel3 ай бұрын
Ahsante sana kaka karb sana
@user-nb6yh2bn9y3 ай бұрын
MiMi niko jurbg ila nataka kuamia Pretoria wajina wangu mpaka jina la Baba yangu 🥰🥰🥰🇿🇦
@mringoboerboel3 ай бұрын
@@user-nb6yh2bn9y ooh aise naagiza sana mbwa hapo kak nikama second home
@Josephkisava3 ай бұрын
Kaka naomba mawasiliano yakoo
@user-zu5ee3qe6u3 ай бұрын
Haya na ww tafuta mbwa uje utuzie milioni3
@geofreymsofe44293 ай бұрын
Hongera ndugu umejitahidi inabidi utafute na breeds nyingine
@nwntz3 ай бұрын
Safi sana kijana mwenzangu ✊✊✊
@highlightboy2553 ай бұрын
MSOMI WA DEGREE TATU ANAUZA NYANYA KARATU OYAA WANANGU TUPAMBANE TUJIAJIRI
@clementhiddi14863 ай бұрын
Ndiyo maana ya kusoma ili ujitambue.
@lefinhoAbubakary3 ай бұрын
Boom Allah atuongezee kweny kaz ya mikono yetu
@KhalifaMustapha-lx7ni3 ай бұрын
Gongradulation 🎉 brother god stand with you on your business ❤❤
@aloycemathew39263 ай бұрын
Nakubari kakaaaa!!!!! Mringo hardweare
@jumaamohamed28153 ай бұрын
Hao mbwa ni noma kabisa aisee, Wana hatari sana
@CharlesChizo-se2qt3 ай бұрын
sio masihara hata me ndo kazi yangu hiii ukiona km dharau hv ila wanahela nzuri hao viumbe ooohoooo
@komboitembe96723 ай бұрын
Ww uko wap mwana
@YogweMwakulola2 ай бұрын
Yaani hamjui ata hesabu 8+16 ni 30 kweli ?
@dstar84543 ай бұрын
goood sema mm nnamtafuta alabai dog nnaweza kumpataje?na shingapi hata kama ana miez 2 powaaa
@user-gd2xj3xd1b3 ай бұрын
Rajab handsome
@user-zu5ee3qe6u3 ай бұрын
Duh ni bora uweke cctv tu yaani milion2😂 akiugua ama kufa 😢
@RegobertoNyalu3 ай бұрын
Naomb namb yak
@shaddybmc83423 ай бұрын
NONDO WA ARUSHA Ndio Kiboko yao.
@eyezarc12393 ай бұрын
Kuna mixer kook wengi pale
@dismasmtui7293 ай бұрын
Nondo aliniuzia mbwa mgonjwa nimehangaika naye mpaka amekufa juzi, nikanunua mbwa mwingine kumbe alicross na mbwa wa mtaani.Kwa hiyo ukideal naye unatakiwa uwe makini sana!. Huwa anachukua mbwa wa watu wengine halafu anasema ni wa kwake.
@benahdesigner3 ай бұрын
@@dismasmtui729duuh jamaa sio kumbe
@SarahLyimo-wr3ed3 ай бұрын
Mimi nahitaji huyo mbwa nipe mawasiliano yakopls
@amrandonwayz34453 ай бұрын
kaka pupy wako viwango sana ntarudi kuchukua wengine aisee
@mringoboerboel3 ай бұрын
Karb sana mkuu
@hmedoggftherljih1993 ай бұрын
Bruh unahitaji elimu zaidi (dogshandler)
@mringoboerboel3 ай бұрын
Yes kk ni kweli bado najifunza
@jospehfabian78563 ай бұрын
16+8=30
@hellenmwemutsi8413 ай бұрын
😅😅
@user-so3gy2io8l3 ай бұрын
Halooooo
@godlema61043 ай бұрын
Kumbe mwenye degree nae nimsomi
@barakarobertmochungu3 ай бұрын
Sasa mbona mmeandika mbwa 300 badala ya 30
@abellymwambwiga3 ай бұрын
Unapatikana wap
@mringoboerboel3 ай бұрын
Nipo dsm msongola
@allandavid8703 ай бұрын
Degree elimu ya kawaida siku hizi, huezi muita mwenye degree msomi
@Gamba813 ай бұрын
Basi tumuite mvuvi
@IsaacMichael-fw4cx3 ай бұрын
Wewe unavyosema degree ndogo kwenu Kuna maprofesa wangapi?
@user-gy7mk8ur1f3 ай бұрын
Ww sawa professor
@mosespeter56183 ай бұрын
Yan duniani wenye wivu hawakosi nikuulize bongo kiwango cha awali kumuajili mtu Na kiwango cha mshahara cha level ya serikali nikipi upuhuzi Tu jamaa amepiga Tena economic salute kwake Sana 🎉
@IsaacMichael-fw4cx3 ай бұрын
@@mosespeter5618 kutokana na chuki na wivu wabongo wanapenda kukosoa Kila kitu ✓ ukinunua gari utasikia gari gani hili ✓ ukijenga utasikia nyumba gani ✓ ukioa utasikia mke gani huyo ✓ ukapata kazi utasikia kazi gani hyo Hawawezi kusifia wanaweza kukosoa tuu
@rukiyamohammed29453 ай бұрын
Congrats Rajab❤
@mringoboerboel3 ай бұрын
Thanks so much
@user-if8mb3xo8h3 ай бұрын
Mzee wa sotele
@mringoboerboel3 ай бұрын
Yes 😂
@dennisnyakilambo39923 ай бұрын
wale wa mapema tujuane kwa likes
@samtechtanzania32523 ай бұрын
bei gani namtaka mmoja
@mringoboerboel3 ай бұрын
2.5m
@kashuradiocles10683 ай бұрын
Rajabu nakupataje aiseee
@tupacthedon71043 ай бұрын
16+8 =30 😂😂😂 Bado hamjasema😂😂
@himidiwekabuje84023 ай бұрын
😂😂😂
@danieljoseph16103 ай бұрын
Hawa huwa wanatimiza tu mashart ya waganga wao, ununue mbwa 5milion afu hio pesa utairudisha vip? Waongo sana hawa
@InnocentRichard-qs8ux3 ай бұрын
Sawa masikini ww
@sadikidaudi4603 ай бұрын
Kiukweli kwenye hesabu sijamuelewa yaani bei yakununua kubwa kuliko yakuuza labda kama mbwa anazaa watoto 100
@AnziraniShirima3 ай бұрын
@@sadikidaudi460 mbwa jike mmoja anagharim 5million faida kwake ni watoto watakao zaliwa na mbwa jike huyo mfno jike kazaa watoto sita kila mtoto 2million lazima apate faida
@GibsonNtamamilo3 ай бұрын
Kama wewe si mfugaji utakuwa na mawazo hayo. Kwa sisi wafugaji kwa bei ya hao mbwa faida lazima upate. Hao mbwa wanapendwa sana na wafanyabiashara kuinda mali. Sasa amenunua miloni 5 na ni jike. Akizaa watotoo 10 awamu ya kwanza @2,500,000/= anapata milion 25/=. Na mbwa anazaa mara 3 kwa mwaka. Vipi hapo faida hakuna?