Mt. Kizito Makuburi - Je! Kristo Amegawanyika? (Official Music Video)

  Рет қаралды 44,835

KMK MAKUBURI

KMK MAKUBURI

Күн бұрын

Пікірлер: 112
@janetmutune3457
@janetmutune3457 21 күн бұрын
Nilikuwa nasoma injili ya leo kutoka 1corithians 9 then I decided to read the whole book. After finishing chapter one nikaona link ya huu wimbo ndio nikaamua kuusikiliza. Imekuwa nikama wananiimbia hio chapter tena ....Ndio nikajua Mungu anaongea......
@LemboSosela-c6i
@LemboSosela-c6i 12 күн бұрын
Hongereni Sana kwaya ya mt. Kizito kwa uinjilishaji kupitia njia ya uimbaji, mungu aendelee kuwaongoza vema katika uimbaji wenu na kumtumikia
@marianyalusi5621
@marianyalusi5621 17 күн бұрын
Hongereni sana❤
@georgewebstar3455
@georgewebstar3455 22 күн бұрын
Kazi safi hii..... Mungu azidi kuwainua
@mumyhendry2919
@mumyhendry2919 Ай бұрын
Mungu awabarki zaidi na zaidi mzid kueneza injili ya Kristo Ulimwenguni kotee!!!Nawapenda sana♥️♥️♥️🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇪🇦🇪🇦🇪🇦
@eliaskilima2256
@eliaskilima2256 28 күн бұрын
❤❤❤ Nyie watu mnajua aiseeee 🥰🥰🥰🥰
@lewiszakayo8294
@lewiszakayo8294 19 күн бұрын
Wimborne mzuri, hongera wanakwaya wa KMK
@milliejagero5789
@milliejagero5789 29 күн бұрын
You are destined for greatness Erick. Continue soaring higher 🎉🎉
@charitywanini3742
@charitywanini3742 16 күн бұрын
❤❤❤ Amazing
@maliatabuerenesti6681
@maliatabuerenesti6681 Ай бұрын
Hongereni sna kwa kazi nzuri sna bioa kumsahau Vinny kwenye ubora wake kinanda
@mellenarasa8497
@mellenarasa8497 Ай бұрын
MT Kizito Makuburi I really love your songs even those of 8yrs back. You guys are really amazing. Watching 👀 from Kenya 🇰🇪 ❤❤
@johnbasil9054
@johnbasil9054 Ай бұрын
Mungu Awabariki kwa utume wenu wa uimbaji mnatugusa Sana ktk tafakari zenu.Amina
@ciscasebiguri3278
@ciscasebiguri3278 Ай бұрын
Congratulations kmk, tunawafwata kutoka DRC
@albanusmwania
@albanusmwania Ай бұрын
Wapi likes za KMK very nice song
@LuciaMagaria
@LuciaMagaria 26 күн бұрын
Mungu awabariki kazi nzuri sana
@Bonnae..11
@Bonnae..11 Ай бұрын
No1 Leo pongezeni
@emmanuelkiio592
@emmanuelkiio592 21 күн бұрын
Nyimbo nzuri💯💯
@Syoks4U
@Syoks4U 22 күн бұрын
Nice song. It gives me the Mhubiri Silvanus Ouko vibes❤
@shijalugiko4053
@shijalugiko4053 Ай бұрын
Hongereni sana Wanakizi nawapata Vizuri Nikiwa hapa Sumbawanga. Hakika Kristo hawezi kugawanyika
@benedictojanuary4930
@benedictojanuary4930 Ай бұрын
Kwaya Ya kimataifa, Kwaya ya Kuigwa na Kwaya zingine zote hapa Tanzania 💪 Hongereni Kwa Kazi nzuri
@thomasnduva9662
@thomasnduva9662 Ай бұрын
Kmk ndio jiko la kupika mziki wa kikatoliki mwenye anakataa ainue mkono na ajue atakua.....
@essykemmy9997
@essykemmy9997 25 күн бұрын
Such an amazing song.. forever catholic ❤
@janefrolakalinga5664
@janefrolakalinga5664 Ай бұрын
Hongeren sn
@fridoliusrushunju9093
@fridoliusrushunju9093 Ай бұрын
Big up wana kizito, Barikiwa sana 🙏💪
@jacksonvalence7365
@jacksonvalence7365 Ай бұрын
Hakika wimbo umebeba ujumbe wenye baraka nyingi za kumjua kristu hongereni kmk makuburi
@Rafaeljay76.
@Rafaeljay76. Ай бұрын
Congratulations for a nice piece.
@jamesmakongo3890
@jamesmakongo3890 Ай бұрын
wimbo mzuri sana ukiusikiliza vizuri unapata chochote kile hasa katika ulimwengu wa sasa ulojaa matabaka...pongezi kwako mtunzi unafikiri mbali sana ungekuwa mgreek ningekuita Plato🙌
@emmanuelwambua721
@emmanuelwambua721 20 күн бұрын
Mmetisha kweli kweli
@baziliosasila5064
@baziliosasila5064 Ай бұрын
Nilijua tu mkija lazima mje na kitu kizito kama jina la kwaya lenyewe. Hongereni sana!
@justinamwikali4975
@justinamwikali4975 23 күн бұрын
Hongereni
@zush31
@zush31 27 күн бұрын
Beautiful amazing sounds. One day invite me to sing with you. I love this choir
@JamesNjuguna-ck7ld
@JamesNjuguna-ck7ld Ай бұрын
Nyinyi ni wa Baraka kwa kweli,,na mzidi kutubariki kwa nyimbo nzuri....
@nyagwangacornelius9493
@nyagwangacornelius9493 Ай бұрын
Hongera sana🎉 naona sura nyingi mpya
@asteriakomba5670
@asteriakomba5670 28 күн бұрын
Wimbo mzuri
@martinmurimi5240
@martinmurimi5240 Ай бұрын
Bonge la mziki!! Siachi kuusikiza. Kazi nzuri hii. Napenda Rhythm ya wimbo huu. Mapigo yamejidhihirisha visawa sawa. Ujumbe nao ni mzito kwetu. Yaani muziki umeandaliwa. Hongereni sana wanaKMK. Mungu azidi kuwasaidia mnapoendeleza uinjilishaji kwa uimbaji wenu mzuri. Nimependezwa na shairi la tatu, hakika ni jambo la kutafakari kila tunapokusanyika katika madhabahu ya Mungu.
@nyotasingers
@nyotasingers Ай бұрын
Asante mwalimu wangu Kwa hiyo observation. Nahisi kwamba wimbo huu umetolewa Kwa wakati mwafaka zaidi. Kipindi ambacho watu wanaacha majukumu na kazi za kumtumikia mwenyezi Mungu, sio Kwa sababu kuu, bali minong'ono, kujipiga kifua na mengineo. Swali ni je, tunapogawanyika kwa mambo yatutengayo na Kristo, tumebatizwa Kwa jina la mambo hayo? Watu na mambo hayo, vilisulubiwa kwa ajili yetu? Yaani tumuishie Kristo tu, tutende kazi zake bila kujali maneno ya watu
@lendukushikeiya7230
@lendukushikeiya7230 29 күн бұрын
This is the most interesting song. I really like it
@JoyceMlay-y6d
@JoyceMlay-y6d Ай бұрын
❤❤❤ hongereni sana mungu azidi kutukunzwa milele na milele
@alexmwenda2036
@alexmwenda2036 Ай бұрын
Huu wimbo mmetisha hongereni Kwa ujumbe wa kutuweka wakristo katika jumuiya Moja ya BWANA mmoja yaani KRISTO🙏🙏🙏
@simiyuwesonga8446
@simiyuwesonga8446 Ай бұрын
Ever top. My favorite choir congratulations. Love you from Kenya
@JasmineOrek
@JasmineOrek Ай бұрын
Nice one
@peterkinuthia3593
@peterkinuthia3593 Ай бұрын
Thank you so much. God bless you wanakizito.
@SmilingMonarchButterfly-kh4ve
@SmilingMonarchButterfly-kh4ve Ай бұрын
Waah 🤗🤗❤️❤️❤️🔥
@abelmlandali1894
@abelmlandali1894 Ай бұрын
Duh hongereni sana
@boisarea8550
@boisarea8550 Ай бұрын
Hongereni sana waimbaji, I like the song, kazi Mungu isonge mbele, kristu ni mmoja kwa ajili yetu sote,
@francismaina1000
@francismaina1000 Ай бұрын
What a powerful message!......"maji ya ubatizo sio maji ya ukabila", so much applicable for us here in Kenya. Asanteni sana kwa huu ujumbe wenu
@fredrickkioko-j4r
@fredrickkioko-j4r Ай бұрын
Siku zote kmk motoo
@januarius-js2xl
@januarius-js2xl Ай бұрын
Kwa kweli mnatukosha sana.... hongereni sana kwaya ya Mtakatifu kizito Makuburi 🔥🔥🔥 Salamu nyingi kwa Juliana sendwa
@teddyjude706
@teddyjude706 25 күн бұрын
A very nice song
@mutigamcanthony1755
@mutigamcanthony1755 27 күн бұрын
Something about this song reminds me about songs I used to listen to on KBC in the 90s and early 2000
@franciskironjo9369
@franciskironjo9369 Ай бұрын
Kali sanaaa +254 twawapeda sana kwa utume wenuuuu
@eddyjosephmagenge9658
@eddyjosephmagenge9658 Ай бұрын
Hakika Kristo ni yule yule Jana Leo na hata milele, na wema wake wadhihirika Kwa kila kiumbe. Hongereni sana Wana MKM
@peterkioko5984
@peterkioko5984 Ай бұрын
Hongereni Kwa uinjilisti ,,, a powerful message na sauti tamu sana. Hongera mtunzi pia ,,,,,
@nyotasingers
@nyotasingers Ай бұрын
Wimbo mzuri sana kwa ajili ya umoja wa wakristo
@Arati3
@Arati3 Ай бұрын
Safi kabisaa 🥰
@kadodamilinga
@kadodamilinga Ай бұрын
Hakika mmetupiga na kitu KIZITO Kama jina lenu ❤❤❤
@roinusamungu792
@roinusamungu792 Ай бұрын
Lots of Congratulations for the good work.....Hakika Kazi ni nzuri✊✊✊✊
@eddyjosephmagenge9658
@eddyjosephmagenge9658 Ай бұрын
Hongereni sana waimbaji wazuri na utunzi uliotukuka . Mungu azidi kuwabariki
@gabrielbyarugaba7429
@gabrielbyarugaba7429 Ай бұрын
Thank you for leading us with beautiful hymns and worshipping of the Lord. Swahili is not my first language but I enjoy everything. I pray you come one day and animate during martyrs' day celebrations. Please start the process of making this happen. I see mama nyerere paying prigrimage to Namugongo every 3rd of June. We must have you one day and this is possible with you showing some interest. Gabriel from Uganda.
@MchainaT2
@MchainaT2 Ай бұрын
Great ❤
@johnsadiki2657
@johnsadiki2657 Ай бұрын
Mmmm, ni mara nyingine tena. Pongezi KMK Makuburi kwa uinjilishaji huu
@martinnganga
@martinnganga Ай бұрын
Hongereni sana kwa kazi hii safi. Eric Mwaniki utunzi wa hali ya juu
@chrisdesonofgod6074
@chrisdesonofgod6074 Ай бұрын
The quality at its best🌷
@lucymwita5975
@lucymwita5975 21 күн бұрын
Hongera sana KMK,Holy Trinity Studios na Divine Studios kwa kazi nzuri 🔥🔥🔥
@rosemarylwiwa
@rosemarylwiwa 29 күн бұрын
Mko well organized #kizito# mnajua bhna❤❤❤❤❤
@drewcastro9996
@drewcastro9996 Ай бұрын
KMK, barikiweni sana jaman
@stephenhaule6492
@stephenhaule6492 Ай бұрын
Thank you makuburi
@josephakotha-p2d
@josephakotha-p2d Ай бұрын
Good song
@lopusingiromoses6109
@lopusingiromoses6109 Ай бұрын
Mwenyezi Mungu Aendelee kuwabariki na sauti tamu. I really enjoy everything in the song ❤
@EagerBooks-hg7xn
@EagerBooks-hg7xn Ай бұрын
Wimbo mzuri sana honereni, ninaombi km mnaweza kutupa makala fupifupi ya kila mwimbaji wa kmk tuwafahamu hata kidogo
@kadodamilinga
@kadodamilinga Ай бұрын
Muziki mzuri wenye sauti tamu Mungu awabariki sana ❤🎉👏🙏🏿
@gloriamrema6642
@gloriamrema6642 23 күн бұрын
Mungu azidi kuwabaki ktk uimbaji mwema🎉🎉🎉
@sistyandrea1931
@sistyandrea1931 Ай бұрын
Anayejua anajua tu hongereni watu wa nyumbani
@yesunimwema4497
@yesunimwema4497 21 күн бұрын
Amen 🙏🙏🙏🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🙏🙏
@DamianEligy
@DamianEligy Ай бұрын
Great song
@JudithRehema
@JudithRehema Ай бұрын
Nawapendwa Sana Kwa nyumba zenyu mzidi kubarikiwa Sana💪
@janefrolakalinga5664
@janefrolakalinga5664 Ай бұрын
Nice song Mungu na awabariki sn muendelee kutuinjilisha
@josephkioko9121
@josephkioko9121 Ай бұрын
Wa kwaza kucomment from Kenya
@jacintawangari7567
@jacintawangari7567 Ай бұрын
Big up makumburi choir, from Kenya be blessed
@JovinJosephat
@JovinJosephat Ай бұрын
Kazi nzuri chama langu
@janeturuka3934
@janeturuka3934 Ай бұрын
Hongereni sana wimbo🔥🔥🔥
@ulirkimsacky
@ulirkimsacky Ай бұрын
Mmetisha sana 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉 👏👏👏👏
@Prisca_Regine
@Prisca_Regine Ай бұрын
Lots and lots of Congratulations to you guys👌Wimbo mmeutendea haki 💯💯
@JoshWilly-h8k
@JoshWilly-h8k Ай бұрын
Kazi nzuri mungu awabariki
@andrewmushi8274
@andrewmushi8274 Ай бұрын
Hakika nyinyi mmetumwa kuuinjilisha ulimwengu ❤❤❤
@fidelisluvanda3585
@fidelisluvanda3585 Ай бұрын
KMK always you do the best,🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹
@renathaburchard5554
@renathaburchard5554 29 күн бұрын
Kweli waulize amegawanyika mara ngapi jamani ubatizo mara mbili inatisha kweli
@PeacefulDaisies-jk2xq
@PeacefulDaisies-jk2xq Ай бұрын
Kaz nzuri
@Agnes-ib5en
@Agnes-ib5en Ай бұрын
Kmk moto kama pasi
@mumyhendry2919
@mumyhendry2919 Ай бұрын
❤❤❤❤❤❤
@RaphaelKipchumba
@RaphaelKipchumba Ай бұрын
Nampongeza sana kwa mtunzi kwa utunzi wa hali ya juu na pia waimbaji kwa kuonyesha umahiri wenu kama kawaida, Mungu azidi kuwabariki
@efethamtavangu4290
@efethamtavangu4290 26 күн бұрын
Mtunzi nadhani ni mtoto wa Benard Mukasa.
@FainesKitinusa
@FainesKitinusa Ай бұрын
Haleluya mmetisha🎉❤🔥
@mrkazilo
@mrkazilo Ай бұрын
Wimbo mzuri sana huu ❤
@manchestercityfan8715
@manchestercityfan8715 Ай бұрын
Nice song, keep it up.
@lucianostephano
@lucianostephano Ай бұрын
@JosephJoseph-sm2be
@JosephJoseph-sm2be Ай бұрын
The soul I own, ❤ kmk
@IvanNangoli
@IvanNangoli Ай бұрын
Congratulations ❤
@sostenessmdede3646
@sostenessmdede3646 Ай бұрын
Hamna baya makuburi kwaya
@ELEONORAKILAKA
@ELEONORAKILAKA 11 күн бұрын
🎉🎉🎉🎉
@VictoireKalombo-p7m
@VictoireKalombo-p7m Ай бұрын
Mungu awabariki 🇨🇩🇨🇩❤❤❤❤
@veronicawanza2567
@veronicawanza2567 14 күн бұрын
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@angelomugendi
@angelomugendi Ай бұрын
KMK ❤❤❤
Mt. Kizito Makuburi - 150(Official Music Video)
10:21
KMK MAKUBURI
Рет қаралды 5 МЛН
NYIMBO ZA KATOLIKI ZA MAMA BIKIRA MARIA 1
21:53
NICKTOM MEDIA SERVICES
Рет қаралды 18 М.
Minecraft Creeper Family is back! #minecraft #funny #memes
00:26
Don't look down on anyone#devil  #lilith  #funny  #shorts
00:12
Devil Lilith
Рет қаралды 10 МЛН
NITAKUSHUKURU - ERIC KOBIA ft LAWRENCE KAMEJA
5:39
Eric Kobia
Рет қаралды 133 М.
TUMEUONA MKONO WAKO  -  MTUNZI:Ben Nturama KWAYA YA MT. YOSEFU ALAMANO PAROKIA YA KIBADA, DSM
9:51
JOSEPH ALLAMANO CHOIR -KIBADA KIGAMBONI
Рет қаралды 16 М.
Mt. Kizito Makuburi - Hamkujua? (Official Music Video)
7:57
KMK MAKUBURI
Рет қаралды 731 М.
AIC Chang'ombe Choir (CVC)  -  MAWAKILI (Official Live Video)
7:59
AIC Chang'ombe Choir (CVC)
Рет қаралды 28 М.
Mt. Kizito Makuburi - Wewe ni Mungu (Official Music Video)
9:29
KMK MAKUBURI
Рет қаралды 9 МЛН