Nilikuwa nasoma injili ya leo kutoka 1corithians 9 then I decided to read the whole book. After finishing chapter one nikaona link ya huu wimbo ndio nikaamua kuusikiliza. Imekuwa nikama wananiimbia hio chapter tena ....Ndio nikajua Mungu anaongea......
@LemboSosela-c6i12 күн бұрын
Hongereni Sana kwaya ya mt. Kizito kwa uinjilishaji kupitia njia ya uimbaji, mungu aendelee kuwaongoza vema katika uimbaji wenu na kumtumikia
@marianyalusi562117 күн бұрын
Hongereni sana❤
@georgewebstar345522 күн бұрын
Kazi safi hii..... Mungu azidi kuwainua
@mumyhendry2919Ай бұрын
Mungu awabarki zaidi na zaidi mzid kueneza injili ya Kristo Ulimwenguni kotee!!!Nawapenda sana♥️♥️♥️🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇪🇦🇪🇦🇪🇦
@eliaskilima225628 күн бұрын
❤❤❤ Nyie watu mnajua aiseeee 🥰🥰🥰🥰
@lewiszakayo829419 күн бұрын
Wimborne mzuri, hongera wanakwaya wa KMK
@milliejagero578929 күн бұрын
You are destined for greatness Erick. Continue soaring higher 🎉🎉
@charitywanini374216 күн бұрын
❤❤❤ Amazing
@maliatabuerenesti6681Ай бұрын
Hongereni sna kwa kazi nzuri sna bioa kumsahau Vinny kwenye ubora wake kinanda
@mellenarasa8497Ай бұрын
MT Kizito Makuburi I really love your songs even those of 8yrs back. You guys are really amazing. Watching 👀 from Kenya 🇰🇪 ❤❤
@johnbasil9054Ай бұрын
Mungu Awabariki kwa utume wenu wa uimbaji mnatugusa Sana ktk tafakari zenu.Amina
@ciscasebiguri3278Ай бұрын
Congratulations kmk, tunawafwata kutoka DRC
@albanusmwaniaАй бұрын
Wapi likes za KMK very nice song
@LuciaMagaria26 күн бұрын
Mungu awabariki kazi nzuri sana
@Bonnae..11Ай бұрын
No1 Leo pongezeni
@emmanuelkiio59221 күн бұрын
Nyimbo nzuri💯💯
@Syoks4U22 күн бұрын
Nice song. It gives me the Mhubiri Silvanus Ouko vibes❤
@shijalugiko4053Ай бұрын
Hongereni sana Wanakizi nawapata Vizuri Nikiwa hapa Sumbawanga. Hakika Kristo hawezi kugawanyika
@benedictojanuary4930Ай бұрын
Kwaya Ya kimataifa, Kwaya ya Kuigwa na Kwaya zingine zote hapa Tanzania 💪 Hongereni Kwa Kazi nzuri
@thomasnduva9662Ай бұрын
Kmk ndio jiko la kupika mziki wa kikatoliki mwenye anakataa ainue mkono na ajue atakua.....
@essykemmy999725 күн бұрын
Such an amazing song.. forever catholic ❤
@janefrolakalinga5664Ай бұрын
Hongeren sn
@fridoliusrushunju9093Ай бұрын
Big up wana kizito, Barikiwa sana 🙏💪
@jacksonvalence7365Ай бұрын
Hakika wimbo umebeba ujumbe wenye baraka nyingi za kumjua kristu hongereni kmk makuburi
@Rafaeljay76.Ай бұрын
Congratulations for a nice piece.
@jamesmakongo3890Ай бұрын
wimbo mzuri sana ukiusikiliza vizuri unapata chochote kile hasa katika ulimwengu wa sasa ulojaa matabaka...pongezi kwako mtunzi unafikiri mbali sana ungekuwa mgreek ningekuita Plato🙌
@emmanuelwambua72120 күн бұрын
Mmetisha kweli kweli
@baziliosasila5064Ай бұрын
Nilijua tu mkija lazima mje na kitu kizito kama jina la kwaya lenyewe. Hongereni sana!
@justinamwikali497523 күн бұрын
Hongereni
@zush3127 күн бұрын
Beautiful amazing sounds. One day invite me to sing with you. I love this choir
@JamesNjuguna-ck7ldАй бұрын
Nyinyi ni wa Baraka kwa kweli,,na mzidi kutubariki kwa nyimbo nzuri....
@nyagwangacornelius9493Ай бұрын
Hongera sana🎉 naona sura nyingi mpya
@asteriakomba567028 күн бұрын
Wimbo mzuri
@martinmurimi5240Ай бұрын
Bonge la mziki!! Siachi kuusikiza. Kazi nzuri hii. Napenda Rhythm ya wimbo huu. Mapigo yamejidhihirisha visawa sawa. Ujumbe nao ni mzito kwetu. Yaani muziki umeandaliwa. Hongereni sana wanaKMK. Mungu azidi kuwasaidia mnapoendeleza uinjilishaji kwa uimbaji wenu mzuri. Nimependezwa na shairi la tatu, hakika ni jambo la kutafakari kila tunapokusanyika katika madhabahu ya Mungu.
@nyotasingersАй бұрын
Asante mwalimu wangu Kwa hiyo observation. Nahisi kwamba wimbo huu umetolewa Kwa wakati mwafaka zaidi. Kipindi ambacho watu wanaacha majukumu na kazi za kumtumikia mwenyezi Mungu, sio Kwa sababu kuu, bali minong'ono, kujipiga kifua na mengineo. Swali ni je, tunapogawanyika kwa mambo yatutengayo na Kristo, tumebatizwa Kwa jina la mambo hayo? Watu na mambo hayo, vilisulubiwa kwa ajili yetu? Yaani tumuishie Kristo tu, tutende kazi zake bila kujali maneno ya watu
@lendukushikeiya723029 күн бұрын
This is the most interesting song. I really like it
@JoyceMlay-y6dАй бұрын
❤❤❤ hongereni sana mungu azidi kutukunzwa milele na milele
@alexmwenda2036Ай бұрын
Huu wimbo mmetisha hongereni Kwa ujumbe wa kutuweka wakristo katika jumuiya Moja ya BWANA mmoja yaani KRISTO🙏🙏🙏
@simiyuwesonga8446Ай бұрын
Ever top. My favorite choir congratulations. Love you from Kenya
@JasmineOrekАй бұрын
Nice one
@peterkinuthia3593Ай бұрын
Thank you so much. God bless you wanakizito.
@SmilingMonarchButterfly-kh4veАй бұрын
Waah 🤗🤗❤️❤️❤️🔥
@abelmlandali1894Ай бұрын
Duh hongereni sana
@boisarea8550Ай бұрын
Hongereni sana waimbaji, I like the song, kazi Mungu isonge mbele, kristu ni mmoja kwa ajili yetu sote,
@francismaina1000Ай бұрын
What a powerful message!......"maji ya ubatizo sio maji ya ukabila", so much applicable for us here in Kenya. Asanteni sana kwa huu ujumbe wenu
@fredrickkioko-j4rАй бұрын
Siku zote kmk motoo
@januarius-js2xlАй бұрын
Kwa kweli mnatukosha sana.... hongereni sana kwaya ya Mtakatifu kizito Makuburi 🔥🔥🔥 Salamu nyingi kwa Juliana sendwa
@teddyjude70625 күн бұрын
A very nice song
@mutigamcanthony175527 күн бұрын
Something about this song reminds me about songs I used to listen to on KBC in the 90s and early 2000
@franciskironjo9369Ай бұрын
Kali sanaaa +254 twawapeda sana kwa utume wenuuuu
@eddyjosephmagenge9658Ай бұрын
Hakika Kristo ni yule yule Jana Leo na hata milele, na wema wake wadhihirika Kwa kila kiumbe. Hongereni sana Wana MKM
@peterkioko5984Ай бұрын
Hongereni Kwa uinjilisti ,,, a powerful message na sauti tamu sana. Hongera mtunzi pia ,,,,,
@nyotasingersАй бұрын
Wimbo mzuri sana kwa ajili ya umoja wa wakristo
@Arati3Ай бұрын
Safi kabisaa 🥰
@kadodamilingaАй бұрын
Hakika mmetupiga na kitu KIZITO Kama jina lenu ❤❤❤
@roinusamungu792Ай бұрын
Lots of Congratulations for the good work.....Hakika Kazi ni nzuri✊✊✊✊
@eddyjosephmagenge9658Ай бұрын
Hongereni sana waimbaji wazuri na utunzi uliotukuka . Mungu azidi kuwabariki
@gabrielbyarugaba7429Ай бұрын
Thank you for leading us with beautiful hymns and worshipping of the Lord. Swahili is not my first language but I enjoy everything. I pray you come one day and animate during martyrs' day celebrations. Please start the process of making this happen. I see mama nyerere paying prigrimage to Namugongo every 3rd of June. We must have you one day and this is possible with you showing some interest. Gabriel from Uganda.
@MchainaT2Ай бұрын
Great ❤
@johnsadiki2657Ай бұрын
Mmmm, ni mara nyingine tena. Pongezi KMK Makuburi kwa uinjilishaji huu
@martinngangaАй бұрын
Hongereni sana kwa kazi hii safi. Eric Mwaniki utunzi wa hali ya juu
@chrisdesonofgod6074Ай бұрын
The quality at its best🌷
@lucymwita597521 күн бұрын
Hongera sana KMK,Holy Trinity Studios na Divine Studios kwa kazi nzuri 🔥🔥🔥
@rosemarylwiwa29 күн бұрын
Mko well organized #kizito# mnajua bhna❤❤❤❤❤
@drewcastro9996Ай бұрын
KMK, barikiweni sana jaman
@stephenhaule6492Ай бұрын
Thank you makuburi
@josephakotha-p2dАй бұрын
Good song
@lopusingiromoses6109Ай бұрын
Mwenyezi Mungu Aendelee kuwabariki na sauti tamu. I really enjoy everything in the song ❤
@EagerBooks-hg7xnАй бұрын
Wimbo mzuri sana honereni, ninaombi km mnaweza kutupa makala fupifupi ya kila mwimbaji wa kmk tuwafahamu hata kidogo
@kadodamilingaАй бұрын
Muziki mzuri wenye sauti tamu Mungu awabariki sana ❤🎉👏🙏🏿
@gloriamrema664223 күн бұрын
Mungu azidi kuwabaki ktk uimbaji mwema🎉🎉🎉
@sistyandrea1931Ай бұрын
Anayejua anajua tu hongereni watu wa nyumbani
@yesunimwema449721 күн бұрын
Amen 🙏🙏🙏🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🙏🙏
@DamianEligyАй бұрын
Great song
@JudithRehemaАй бұрын
Nawapendwa Sana Kwa nyumba zenyu mzidi kubarikiwa Sana💪
@janefrolakalinga5664Ай бұрын
Nice song Mungu na awabariki sn muendelee kutuinjilisha
@josephkioko9121Ай бұрын
Wa kwaza kucomment from Kenya
@jacintawangari7567Ай бұрын
Big up makumburi choir, from Kenya be blessed
@JovinJosephatАй бұрын
Kazi nzuri chama langu
@janeturuka3934Ай бұрын
Hongereni sana wimbo🔥🔥🔥
@ulirkimsackyАй бұрын
Mmetisha sana 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉 👏👏👏👏
@Prisca_RegineАй бұрын
Lots and lots of Congratulations to you guys👌Wimbo mmeutendea haki 💯💯
@JoshWilly-h8kАй бұрын
Kazi nzuri mungu awabariki
@andrewmushi8274Ай бұрын
Hakika nyinyi mmetumwa kuuinjilisha ulimwengu ❤❤❤
@fidelisluvanda3585Ай бұрын
KMK always you do the best,🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹
@renathaburchard555429 күн бұрын
Kweli waulize amegawanyika mara ngapi jamani ubatizo mara mbili inatisha kweli
@PeacefulDaisies-jk2xqАй бұрын
Kaz nzuri
@Agnes-ib5enАй бұрын
Kmk moto kama pasi
@mumyhendry2919Ай бұрын
❤❤❤❤❤❤
@RaphaelKipchumbaАй бұрын
Nampongeza sana kwa mtunzi kwa utunzi wa hali ya juu na pia waimbaji kwa kuonyesha umahiri wenu kama kawaida, Mungu azidi kuwabariki