Mt. Kizito Makuburi - 150(Official Music Video)

  Рет қаралды 5,110,770

KMK MAKUBURI

KMK MAKUBURI

Күн бұрын

Miaka 150 ya uinjilishaji Tanzania! Furaha ya uinjilishaji🎶🔥✨
Welcome to KMKMAKUBURI,
You can support evangelism through
⭐MPESA TILL NUMBER🇰🇪: 9948385
NAME: EVELYN JEPKEMEI
⭐MPESA LIPA NAMBA 🇹🇿: 5425652
Name: KWAYA YA MTAKATIFU KIZITO
⭐MPESA 🇹🇿: +255742000089
Name: KWAYA YA MTAKATIFU KIZITO
⭐Bank Name: Kenya Commercial Bank (KCB)
A/C No: 3390899162
Name: KWAYA MT. KIZITO - MAKUBURI
Branch: OYSTERBAY -Dar es Salaam, Tanzania
Swift code: KCBLTZTZ
You're warmly welcome

Пікірлер: 814
@lameckmeshak1394
@lameckmeshak1394 3 жыл бұрын
jamani mimi ni msabato huu wimbo siwezi kulala bila kusikiliza hizi saut nzuri za Roman Cotholic mbarikiwe sana
@jovinarybwoma7307
@jovinarybwoma7307 6 жыл бұрын
Yaani huyu Mwl kila kazi yake huwa ni Kali sana. Hongera sana baba Bernard Mukasa kwa kazi yako nzuri. Furaha ya injili ni kushirikishana amina
@esterpius328
@esterpius328 3 жыл бұрын
ahsante bwana kwaajili yawaimbaji.
@jamesgeu5314
@jamesgeu5314 3 жыл бұрын
Mimi Ni mkatoliki kabisa hii nyimbo inanikumbusha mbali Sana kipindi hicho Niko tabora nilikua mwenyekiti mkuu wa kwaya ya vijana parokia ya kashishi ahsanteni Sana Wana kwaya wenzag
@theresiatamba5074
@theresiatamba5074 4 жыл бұрын
Acha nijivunie kuwa mkatoric kiukweli raha sanaa
@dioclesbuberwa8172
@dioclesbuberwa8172 6 жыл бұрын
Mt kizito haijawai kuniangusha mungu azidi kuwapa nguvu na imani tele
@ponsianonyangachi6805
@ponsianonyangachi6805 5 жыл бұрын
Duh km namuona Mr.B.mukasa duuuuh ww kwel kipajiiii baba
@anneopero8617
@anneopero8617 2 жыл бұрын
Pongezi Makuburi muko mbele Sana.. keep up
@davidnchoji
@davidnchoji 4 жыл бұрын
Hii ndo top three yangu katika uimbaji...👇 1 Mt. Kizito Makuburi, 2 Mt.Kizito Makuburi and 3 Mt Kizito Makuburi. You guys are so talented and awesome... Mnanibariki sana, niko na ndoto ya kuimba kwaya hii...Mungu nipe uhai na afya Amina🙏
@traudkamugisha1288
@traudkamugisha1288 6 жыл бұрын
Dah!!!! Mkasa ni shida kwakweli Mungu akubariki sana na kwaya
@agnessjosephath4330
@agnessjosephath4330 6 жыл бұрын
Hongera sana nawapenda sana natamani kufika dar nijumuike siku moja kwenye ibada
@melaniamasambu4085
@melaniamasambu4085 6 жыл бұрын
hamjawahi kukosea Mungu azidi kuwapigania katika kutangaza neno lake kupitia uimbaji
@geofreypaul3191
@geofreypaul3191 6 жыл бұрын
Kazi nzurii sitachoka kuaiangali hii kazi ya miaka 150 ya uinjilishaji
@josephemanuelngugagu2090
@josephemanuelngugagu2090 4 жыл бұрын
Mungu atujalie aman kwaresima hii
@kamauwangugi1328
@kamauwangugi1328 2 жыл бұрын
Heko Watanzania Wakatoliki! Tumsifu Yesu Kristu!
@fredmess5002
@fredmess5002 3 жыл бұрын
Très émotionnel encore Bravo. Je ne comprends pas le swali , mais Très impressionné. Encore merci. Je suis du Togo résident en Allemagne.
@veromugo1977
@veromugo1977 5 жыл бұрын
Hii Choir Kizito Makuburi ikiongozwa na Bernard Mukasa ni 🔥🔥🔥🔥wa kuota Mbali from Kenya but currently Niko Qatar
@mtafulwaemmanuel3933
@mtafulwaemmanuel3933 5 жыл бұрын
kweli wimbo nzuri mubarikiwe mungu awape nguvu
@abelpilato8851
@abelpilato8851 3 жыл бұрын
Mkasa hujawahi kosea hongera sana endelea kufanya kile mungu amekutunuku tuko pamoja
@glorypaul2712
@glorypaul2712 Жыл бұрын
Nimepata historia nzuri Sana.Wimbo mgumu lkn wanakwaya wameutendea haki.hongereni sana
@annenjunge1702
@annenjunge1702 3 жыл бұрын
Kazi nzuri sana wana Makuburi. Hongera. Mungu awabariki
@michaeledwin1005
@michaeledwin1005 5 жыл бұрын
naupenda sana huu wimbo!!!! hii kwaya pia sijawahi zichoka kazi zake
@catherineburure7642
@catherineburure7642 7 ай бұрын
It’s back on!! Haleluya
@jamesgachau2566
@jamesgachau2566 9 ай бұрын
Wimbaji mzuri,, keep it is up Ndugu wenzetu.
@revocatuskatto7293
@revocatuskatto7293 6 жыл бұрын
Dah!!!!!! tuliusubir kwa ham kubwa huu wimbo hongereni sana na mbarikiwe sana wimbo mzuri mno
@othmarluwawilo8308
@othmarluwawilo8308 Жыл бұрын
Mpo vizuri mno, ni chachu safi ktk kanisa letu.
@SautiTamu
@SautiTamu 5 жыл бұрын
Kazi safi sana, huitazama kila siku
@thomasnjau9324
@thomasnjau9324 6 жыл бұрын
hamjawahi kuniangusha Mungu awabariki sana kwa Talanta yenu
@leonidaeunice6674
@leonidaeunice6674 4 жыл бұрын
Aaaaaaw...wow amaizing...work........it well done
@johnpapaking1497
@johnpapaking1497 4 жыл бұрын
Najivunia kuwa mkatoliki Naipenda sana kwaya Hongera mwalimu B.Mukasa
@esterpius328
@esterpius328 3 жыл бұрын
Kiukwl nabarikiwa sana hiz nyimbo
@kwayabikiramariamamawashau2448
@kwayabikiramariamamawashau2448 4 жыл бұрын
huu wimbo jamani ni mpya kila iitwapo leo................................
@eliyamalele.masindi4910
@eliyamalele.masindi4910 4 жыл бұрын
bernad mukasa unakarama ya utunzi wa nyimbo Mwenyezi Mungu akutumie uwe mbaraka kwa wanadamu. Bwana awabariki
@denismahay9119
@denismahay9119 6 ай бұрын
mmetisha sana ndugu zangu ninyi ni zaidi ya wanakwaya hamjawahi kutoa boko
@entrepreneurdennisagui4902
@entrepreneurdennisagui4902 5 жыл бұрын
Mungu hawabariki kwaya hii kwa zawadi ya kipaji cha kipekee cha uimbaji inatupa moyo walimu wadogo kama sisi.
@theresiatamba5074
@theresiatamba5074 4 жыл бұрын
Kiukweli siach kuchoka kuangalia hii Cd mbarikiwe sana Mungu awalindeee sanaaa naipend sana jamn
@renati.mkauki4271
@renati.mkauki4271 5 жыл бұрын
Wimbo huu unanibariki sanaaaa...Mungu awabariki Kwaya na Kizito na Wasikilizaji wote watakao usikiliza wimbo huu. Amini kwenu
@irenechuwa9185
@irenechuwa9185 4 жыл бұрын
Safi sana Mbarikiwe
@paulinaluambano9150
@paulinaluambano9150 5 жыл бұрын
Bernard Mukasa hakika we we ni tunda LA roho Mtakatifu nyimbo hazipoi Mungu azidi kukubariki ktk utume huu wa uimbaji
@octavinaalphonce6898
@octavinaalphonce6898 Жыл бұрын
Sana yaani
@francismwendwa4430
@francismwendwa4430 2 жыл бұрын
Furaha ya uinjilishaji ....barikiweni sana ...I like the song ...tuwatuzeni mapadre
@marthamollelloth7673
@marthamollelloth7673 3 жыл бұрын
Bernard Mukasa umeshushwa kutoka mbinguni kuja kumsihi Mungu duniani..!
@nelsonnchimbi5869
@nelsonnchimbi5869 5 жыл бұрын
mnaimba sana nikisikili nyimbo zennu nabarikiwa sana mungu awatie nguvu msonge mbele zaid amina nchimbi
@vedastinasottery2161
@vedastinasottery2161 Жыл бұрын
Nimewapenda sana Mkasa na wenzako wanakwaya makini Asante kwa kuinjilisha
@worksheet238
@worksheet238 5 жыл бұрын
Nishangweee.......Nishangweee....Nishangweee...nifuraha...Nishangweee kubwa....wimbo huu unanituliza moyo...heko kwenu na kwa mwalimu mkuu B Mukasa...najivunia kuwa mkatoliki
@juliusmushobozi2564
@juliusmushobozi2564 6 жыл бұрын
Wimbo mzuri sana. Viva mtunzi comrade Benard Mukasa na waimbaji. Kweli mmeutendea haki huo wimbo.
@rexartashasta2713
@rexartashasta2713 4 жыл бұрын
Hongereni sana soon najiunga nanyi
@frankluyago5989
@frankluyago5989 6 жыл бұрын
Mungu awabariki xana wana kizito nawapenda mpaka basi
@stephineobongo2452
@stephineobongo2452 4 жыл бұрын
wooow...wimbo mzuri sana..nawapenda sana wanakwaya wa makuburi...naskia nyimbo zenu kila wakati lakini sitosheki...
@eliyamalele.masindi4910
@eliyamalele.masindi4910 4 жыл бұрын
SIJUI SANA ILA HII ITAKUWA NI KWAYA BEST RC TANZANIA NZIMA.
@abrahamwafula8787
@abrahamwafula8787 4 жыл бұрын
Mukasa this is superb and wonderfully done may you all be blessed , from Bungoma Kenya
@maryreginasechali5625
@maryreginasechali5625 6 жыл бұрын
We Mukasa wee you're killing me. Makuburi nyie ni bora kila siku katika moyo wangu. Kaka Mushoboz nakuona katika ubora wako. Mungu awabariki sana sana.
@wilhelmntenya7618
@wilhelmntenya7618 2 жыл бұрын
Watu wa mungu mbarikiwe kwa kuniinjilisha kwa sauti zilizotulia.
@Ace_Kariuki.
@Ace_Kariuki. 2 жыл бұрын
Asanteni kwa kututemebelea parokia ya Mulumba Mungu azidi kuwabariki kwa ujilishaji wenu sauti zenu nyororo kweli
@jiranigran6012
@jiranigran6012 3 жыл бұрын
Tulizoea sanaaaa uku Kenya st Cecilia arusha ajabu sasa hi choir ni moto kando ya mioto keep it up guys
@phalesmaduhu4777
@phalesmaduhu4777 4 жыл бұрын
Bernald mkasa hujawai kosea hata cku moja m/mungu akupe maisha marefu uzidi kutuinjilisha kupitia Nazi zako hizi na hic mungu hakukuleta duniani bila kusudio lake nskupenda Sana
@elickykibet3079
@elickykibet3079 4 жыл бұрын
From Kenya;hii imeweza, umepikwa ukapikika. Barikiweni sana na mmiminiwe neema mzidi kuitangaza na kumtambuliza Kristu Mfalme kwa nyimbo
@tysonkikoti7681
@tysonkikoti7681 6 жыл бұрын
Jaman nmebarikiwa ajabu na uimbaji huu,Mungu awabariki sana watu mnaotumia vizuri taranta alizowajalia
@patrickmarco8462
@patrickmarco8462 4 жыл бұрын
Mungu azid kuwabarik kwa kaz nzur
@leonardjoseph7993
@leonardjoseph7993 5 жыл бұрын
Jamaa wako vizuri ,hongera mkasa
@suzansembule8980
@suzansembule8980 5 жыл бұрын
Nisipousikiliza huu wimbo huw naumwa kabisaaa mbarikiwe san Makuburi kwaya
@margrethmichael2452
@margrethmichael2452 6 жыл бұрын
Furaha ya uinjilishaji jubiilei furahaaaa.Asanteni sanaa Mungu azidi kuwabariki.
@masaikisawani8534
@masaikisawani8534 5 жыл бұрын
Sichoki kuiangalia nyimbo. Mungu awabariki sana waimbaji wote. R I P kadrinali RUGAMBWA MUNGU AKUPE PUMZIKO LA MILELE AMEN
@lelo3106
@lelo3106 Жыл бұрын
I love the song mbarikiwe sanaa choir
@alphoncebucheye6424
@alphoncebucheye6424 6 жыл бұрын
Amina, Hakika Bwana atawabariki sana, ni shangwe kwelikweli
@ditrammgimba2759
@ditrammgimba2759 6 жыл бұрын
Hongeren sana KMK ,,Mungu azidi kuwabariki mfike mbali zaidi ya hapo
@eligiusmuganyizi199
@eligiusmuganyizi199 6 жыл бұрын
Kaka Mukasa nadhani umebarikiwa kipaji kuliko unavyojua. Sifa na utukufu kwa Mungu aliye juu.
@paulinamwahinda7223
@paulinamwahinda7223 5 жыл бұрын
Amen
@millingaantonia
@millingaantonia 5 жыл бұрын
Yaani mpiga ngoma kanikosha sana Asante kwa kuendelea kumsifu Mungu kwa nyimbo nzuri RC forever 🙏🏿
@janethmshana927
@janethmshana927 3 жыл бұрын
Mpiga ngoma I salute you...nabarikiwa sanaa
@offsetdfreyzoo795
@offsetdfreyzoo795 5 жыл бұрын
Najivunia kuwa mkatoriki jaman raha
@livinezekiel9352
@livinezekiel9352 6 жыл бұрын
Safi... Kazi nzuri 💪💪💪👍👍👍
@noellahandrew9479
@noellahandrew9479 2 жыл бұрын
Mnafariji mioyo ya watu iliyopondeka. Full shangwe huku kwetu ni furaha mnoooo nyimbo ni nzur Mungu ampe miaka Mingi mtunzi wa nyimbo. RC HATUKO NYUMA JAMAN. DAIMA MBELE
@charlierdanielrazoherison7454
@charlierdanielrazoherison7454 5 жыл бұрын
Tiako be ilay hira (Madagascar) I like this song. Gloire à Notre Dieu Eternel
@charlesmbehor3417
@charlesmbehor3417 3 жыл бұрын
Hongereni sana kwa nyimbo nzurii zakumtukuza Mungu
@dismasbosire8768
@dismasbosire8768 5 жыл бұрын
Waauuuu nice song am blessed with the song ,Barikiwa pia Kwaaya mzima nq Ngigu Mukasa pia from Nyeri Kenya
@cayusoginga
@cayusoginga 4 ай бұрын
Congratulations for a job well done 👍✅
@m.mmarckus6298
@m.mmarckus6298 5 жыл бұрын
Sijui nisemeje kuhusu huu wimbo,Mungu awabariki sana umenibariki kwakweli hamjawahi kutuangusha
@christiesworld90
@christiesworld90 3 жыл бұрын
Huu wimbo wanijaza furaha kweli....Mungu aendelee kulilinda Kanisa lake duniani. Greetings from Kenya!
@marwawambura3695
@marwawambura3695 6 жыл бұрын
Najivunia kuwa mkatoliki....Asanteni sana Kwaya ya Mt.kizito kwa kazi nzuri
@racheljackson7433
@racheljackson7433 6 жыл бұрын
Naipenda sana kwaya hii
@johnsadiki9668
@johnsadiki9668 5 жыл бұрын
nimeupenda sana wimbo huu uliotungwa kwa ustadi kabisa sauti nzuri wanakwaya wenye kujitolea mhanga. Hongera sana KMK MAKUBURI mnang'aa hata kuliko kwenye toleo la mimina neema 👍👍👍👍👍👍👍👍
@michaelmuyengi4386
@michaelmuyengi4386 6 жыл бұрын
Kazi nzur kweli
@domin842
@domin842 5 жыл бұрын
tamu sana,asanteni sana wanamakuburi kwa kazi nzuri twazifurahia sana kwaya zenu hapa Kenya
@MichaelJames-qe5nz
@MichaelJames-qe5nz Жыл бұрын
Mungu awajalie katika utume wenu❤
@patrickmukambilwa584
@patrickmukambilwa584 5 жыл бұрын
Miaka150yakuhusu jibilie yetu wachristu waromani katoliki tumshukurumungu kwaji bilei iyi nishangwe kubwa ongereni kwamaneno ayo mungu awajalie neema nabaraka katika kazi yenu yautume ilimpate kumtumikia sikuzote zamaisha yenu amina
@maxmilianimaliusimaliusima4428
@maxmilianimaliusimaliusima4428 Жыл бұрын
Hakika mumemtumikia mungu ipasanyo hongeren Sana wapendwa was mngu
@pamelamahinda2208
@pamelamahinda2208 11 ай бұрын
Nzuri mnooo jamani Maua yao
@carinaluce8783
@carinaluce8783 5 жыл бұрын
C'est fou que je regarde sans cesse cette chanson. Tellement envie de comprendre le sms véhiculé!!!!!!
@aichaabdul5844
@aichaabdul5844 4 жыл бұрын
Haaaaa!!!! Tu comprends quelque chose quand même! C'est notre église catholique de la Tanzanie.
@collinsshitandi6176
@collinsshitandi6176 2 жыл бұрын
Wimbo huu jameni❣️❣️❣️🔥🔥🔥🔥...Kazi nzuri zaidi🔥🔥
@mumbua004
@mumbua004 3 жыл бұрын
My mom loves this choir so so much I want to kumpeleka tz next year kuwaona tu na aimbe na nyinyi najua atafurahia Sana.. Congratulations makuburi
@tasharosre6026
@tasharosre6026 4 жыл бұрын
Ni shida huyo Mwalimu Bernard Mukasa Mungu azidi kumuinua
@angelvictory6169
@angelvictory6169 11 ай бұрын
Ngoma jaman zinavosikika❤❤🎉🎉😊😊😊😊❤❤❤❤
@achakaijoronimo5536
@achakaijoronimo5536 5 жыл бұрын
Wapendeza nyimbo....am so blessed...Mungu awabariki KMK MAKUBURI...
@emmanuelernest1982
@emmanuelernest1982 4 жыл бұрын
Jamani hawa watu wabarikiwe tu maana dah,sina cha kusema kweli
@rawlingskonchellah2829
@rawlingskonchellah2829 2 жыл бұрын
It’s the tribute to the prelates for me. The 2 Cardinals and the high ranking Tanzanian officials at Vatican.
@getrudejohn678
@getrudejohn678 4 жыл бұрын
Aisee nafurahia na ninajivunia ukristo wangu! Hongereni sana
@janemoraamoraa1916
@janemoraamoraa1916 4 жыл бұрын
Wow hizi nyimbo za tia nguvu moyoni mwangu ilike it
@erneuslugusi1785
@erneuslugusi1785 2 жыл бұрын
Safi sana ukristo rahaaa sana ,nishangwe kubwas
@josephinjohn6655
@josephinjohn6655 2 жыл бұрын
So amazing, thank God for being a catholic
@josephmuriithi6067
@josephmuriithi6067 3 жыл бұрын
Bila shaka ni SHANGWE!!!!! HONGERA! TENA NA TENA! .MAULANA AZIDI KUWA BARIKI NYOTE KWA KAZI NZURI. HONGERENI SANA TENA NA TENA. miye Joe Muriithi
@kristinmaclaire7782
@kristinmaclaire7782 2 жыл бұрын
Wow wow Mungu awabariki
@kokusimakaiza994
@kokusimakaiza994 6 жыл бұрын
Mungu awasimamie katika utume wenu wa uimbaji, sisemi sana mko vizuri nyumba ni nzuri
@marynjogu1647
@marynjogu1647 4 жыл бұрын
Am proud to be a Catholic
@dominanyassa4043
@dominanyassa4043 4 жыл бұрын
Waimbaji mlo vizuri endeleeni kutuinjilisha mbalikiwe sana
@jameskipanya3649
@jameskipanya3649 4 жыл бұрын
Hongereni 150 sio mchezo, natumaini mmeimarika kiimani, Mungu awabariki.
Mt. Kizito Makuburi - Kenya ya Mungu Mmoja (Official Music Video)
9:59
Do you choose Inside Out 2 or The Amazing World of Gumball? 🤔
00:19
Крутой фокус + секрет! #shorts
00:10
Роман Magic
Рет қаралды 27 МЛН
Watermelon magic box! #shorts by Leisi Crazy
00:20
Leisi Crazy
Рет қаралды 71 МЛН
Mt. Kizito Makuburi - Wewe ni Mungu (Official Music Video)
9:29
KMK MAKUBURI
Рет қаралды 9 МЛН
Mt. Kizito Makuburi - Simba wa Yuda (Official Music Video)
10:07
KMK MAKUBURI
Рет қаралды 3,6 МЛН
Holy Trinity Studio - Kristo Atawale ( Official Music Video )
9:42
HOLY TRINITY STUDIOS
Рет қаралды 2,1 МЛН
Mt. Kizito Makuburi - Apewe sifa (Official Music Video)
7:02
KMK MAKUBURI
Рет қаралды 2,9 МЛН
NYIMBO ZA KUABUDU EKARISTI TAKATIFU - 2024
22:56
Kwaya Katoliki
Рет қаралды 74 М.
Naomba Baraka by- Kmk Queens St. Kizito Makuburi
6:34
Alexander mumo
Рет қаралды 2,9 МЛН
Mt. Kizito Makuburi -  Makao Yetu (Official Music Video)
7:14
KMK MAKUBURI
Рет қаралды 2 МЛН
CATHOLIC MUSIC MIX
3:28:08
Positive Sounds
Рет қаралды 3,6 МЛН
TOP TOP (OFFICIAL MUSIC VIDEO)
5:34
DOKC TV CATHOLIC SONGS
Рет қаралды 1,9 МЛН
Do you choose Inside Out 2 or The Amazing World of Gumball? 🤔
00:19