Wimbo huu ni utunzi wa Bernard Mukasa, ulirekodiwa na kuimbea na Kmk Makuburi katika album ya Nyumba ya Roho
Пікірлер: 789
@beatriceloyang2 ай бұрын
Who's here in 2024
@doreenchikuni2449Ай бұрын
Am here oooo 🙏🙏🙏
@florencenyadila48625 күн бұрын
We here being uplifted
@user-fredrickmteiАй бұрын
Hongera mtunzi wa kwaya hii
@mauruskomba91877 ай бұрын
Nimeanza mwaka 2024 na huu wimbo, naona nina kila sababu ya kusimulia ukuu wa Mungu siku zote za maisha yangu. 🎉🎉🎉❤
@pattypatty93152 ай бұрын
2024 bwana Yesu asifiwe
@winniem81154 жыл бұрын
Nimetafakari habari zako nami nashindwa kuelewa kabisa Binadamu angenipa neema kesho angechoka kunipa zaidi Lakini wewe hauna kikomo, wala mvua yako haina majira Bwana, wanyesha mvua, Bwana, kwa walio jangwani Bwana, wawasha jua, Bwana, mpaka baharini Kweli Bwana wewe ni mwema sana Nitasimulia miji, Yesu ni mwema, Yesu ni mwema Nitahubiri vijini, Yesu ni mwema Yesu ni mwema Nitayafafanua haya, Yesu ni mwema Yesu ni mwema Watu wote wapate kuyajua, Yesu ni mwema Yesu ni mwema Nitasimulia nchi, Yesu ni mwema Yesu ni mwema Niliwaza kwa ubinadamu mpaka mwisho wa kufikiri Ukataka nijipe moyo, nisihofu kitu Kwa kuwa humtupi anayekutumainia Ukataka nijipe moyo, nisihofu kitu, kamwe Uzoefu wa mapito haya ukaninyima usingizi Ukataka nijipe moyo, nisihofu kitu Kanuni za dunia zikavunja matumaini Ukataka nijipe moyo, nisihofu kitu, kamwe Giza lilipotanda mchana likanifunika usoni Ukataka nijipe moyo, nisihofu kitu Nikapiga kelele hofu kuu ikanisonga Ukataka nijipe moyo, nisihofu kitu, kamwe < h i t i m i s h o> [t|b] Naimba he he, naimba leo Naimba he he, naimba mimi Ulijua wazi kwamba mimi sikuwa nastahili, Kwa sababu mimi mdhaifu mwili na roho Ukaruhusu nifanikiwe juhudi zangu Makusudi ili nione ukuu wako Ndugu wanipende, jamaa waniheshimu Marafiki wanijali, wanisaidie Ndiyo maana leo, mimi nakurudishia; [w] Utukufu ni wako milele Sifa heshima ni vyako daima Wewe peke yako unastahili Usifiwe na uhimidiwe! Nakushukuru Bwana, kwa kuwa umeniona asante Nakushukuru Bwana, kwa kuwa umeniona asante Nakupa utukufu, kwa kuwa umeniona asante Milele na milele, kwa kuwa umeniona asante Nakushukuru Bwana, kwa kuwa umeniona asante
@baariumicky62162 жыл бұрын
Good job
@paulinemwemba23582 жыл бұрын
wanted this thank you
@maggyshiquow32582 жыл бұрын
Thank you very much ubarikiwe kupindukia
@JanethMadios6 күн бұрын
Thank you!.......
@immanicoikonko52874 ай бұрын
Kaiiiiii this song wueeeehhhhh!!!! Powerful!! Praise...Nimetafakari habari zako, nami nashindwa kuelewa kabisaaaaaaa, binadamu angenipa Neema, kesho angechoka kunipa zaidi....lakini wewe Haina kikomo wala mvua zako hazina majiraaaa!!!! This one got to my spirit with immediate Effect....vipi na hiiii....ulijua wazi ya kwamba mimi sikustahili lakini ukaruhusu nifanikiwe juhudi zangu!!! Dahhhhhhhhhh nyieeeeeeee aiseeee this song is preaching a great deal sanaaaaaaaa ❤❤❤❤❤❤Much Love for the song!!!!
@PerisMokeira5 ай бұрын
It's 2024 still the song like of yesterday,can't get enough of it🙏🙏
@JeremiahMatuku-wb3fi3 ай бұрын
Huu wimbo nasikianga ukinibariki sana
@SiloRosy-oz1lw Жыл бұрын
Natamani kujiunga na kwaya hii
@shukuranizawadi Жыл бұрын
Huu wimbo sisemi k2 kabisa
@FraiscaNestoryАй бұрын
SIFA NA UTUKUFU NI ZAKO MILELE 🙏
@abelkaka9266 Жыл бұрын
2023 Utukufu ni wako milele
@Ellybeny Жыл бұрын
Hata ipte miaka 100 nikiwa dunian .,, Huu ndio wimbo wangu pendwa namba 1
@alexminde31297 жыл бұрын
yesu no mwema katika maisha ya kila mwanadamu amina
@benoitwaziri20044 жыл бұрын
Bwana asifiwe na furaishwa na wimbo huyu ... from DRCongo
@fedhakamili9425 жыл бұрын
Yesu ni mwema kilasiku mungu awazidishie vipaji
@petermbinga31285 жыл бұрын
yesu kweli ni mwema sana mungu wetu yupo hai
@dannjoroge2002 Жыл бұрын
Live long Bernard Mukasa😍😍😘😋🎶🛐🛐🛐🛐🛐🛐
@esthernzioka8988Ай бұрын
This man Bernard, God bless him for His own glory.God bless whoever finds comfort in this Godly inspired song, Amen
@JanethMadios6 күн бұрын
Jamani huu wimbo sina cha kusema kwa kweli, maana umekuwa ukinibariki kila iitwapo leo!.......... mbarikiwe sana watu wa MUNGU❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@taracisiogikonyo99895 жыл бұрын
hongereni sana twangoja vibao vingine Mungu na awajalie neema
@georgelucas80314 жыл бұрын
Nmetafakari habari zako, nami nashindwa kuelewa kabisa, binadamu angenipa neema, kesho angechoka kunipa zaidi, lakini wewe hauna kikomo, wala mvua yako haina majira. Bwana wanyesha mvua kwa walio jangwani, wawasha jua mpaka baharini. Kweli Bwana wewe ni mwema sana. Haya maneno yakiimbwa kwa Imani, katika ulimwengu wa roho yanisikika kwa nguvu, kuna namna fulani hivi unaanza kuyaona maisha katika mtizamo tofauti
@johnsadiki26575 жыл бұрын
A trillion likes for this catholic praise and worship song. Never will I leave the catholic church. Singing well is praying twice. Long live KMK Makuburi.
@petertemu6431 Жыл бұрын
O
@sarahcriss764211 ай бұрын
@@petertemu6431 Ppp
@pasiensiabel7278 Жыл бұрын
Miongoni mwa tungo bora zaidi kuwahi kutokea kwenye kwaya za Tanzania. Be blessed
@TibyondimuJooo4 ай бұрын
Huu wimbo kila niusikiapo unakua mpya masikion mwangu haakika Mungu ni mwema
@PaulineNzioka-tc7iy6 ай бұрын
It is truly said that "old is gold". I've always loved this song since the first time I watched it in 2013. 👏👏
@aggreyotieno9 ай бұрын
I like Catholic and I urge all the families to be in catholic church, this this the only church which teaches the way of truth. THANKS TO MT. KIZITO FOR THIS GREAT SONG.
@Cilouh_Music8 ай бұрын
Today I lost the Teacher Who made me know about the existence of this Hymn😢, It Will forever be special
@sarah-hy7gz Жыл бұрын
Mungu ape nguvu Tena atunge nyimbo nzur Sana ubarikiwe Sana 2:54
@justinemaingu14604 жыл бұрын
2020 Yesu ni mwema anazidi kutupa baraka tele heri wale ote wanaomtumainia
@mercychepkorir6562 ай бұрын
After meeting Zacharia in person i had to look for his name everywhere and im realizing you are here. My favorite song, God bless you brother
@metrinenasimiyu7588 Жыл бұрын
11 years down the line isn't a joke ,wimbo wenyewe waweza dhania uliimbwa jana,maybe some faces were too young now they are full grown kwa kimo na zaidi kwa hekima ya uimbaji
@magdalenakulwa4802 Жыл бұрын
Ni, 2007 rafiki😂... so, ni miaka 16 tangia wareckord audio na ku-shoot video
@rahelmanyama63386 жыл бұрын
Mbarikiwe sana hakika nafarijika sana nikisikiliza nyimbo zenu.hakika yesu ni mwema ck zote
@peterevalest-gp7md Жыл бұрын
Mungu ni mwema nyimbo nzury sana mbarikiwe sana
@antonynganga41864 жыл бұрын
Wanakizito hongereni...huu wimbo ata Cjui niseme nini jamani...dah!! Naupenda sana..nausikiza kila siku na c choki,Asanteni Sana,barikiweni!!!!!
@morinemuonja3382 Жыл бұрын
Mubarikiwe makuburi kwa nyimbo zenu
@eplisbackchannel2358 Жыл бұрын
It's now 2023 and the song still afresh in our play list 😀😀
@veronicamgimba5964 Жыл бұрын
Hata nikiwa sina chakula niusikilizapo huu mwimbo naona Amani tele moyoni na njaa haipo tena mt kizito mbarikiwe sana
@Martha442213 жыл бұрын
NYIMBO INA MANENO MAZURI SANA KWELIMWANADAMU ANGENIPA NEEMA ANGENIDAI SIKUMOJA ILANEEMA YAKO MUNGU HAINA KIKOMO, NAKUSHUKURU MUNGU KWA KUA UMENIONA
@sheckycobb52403 жыл бұрын
Nasisimkwa mwili kusikilizia wimbo huu....una uvuvio wa roho Mtakatifu. Kazi nzuri kumsifu Mungu
@tasharosre60264 жыл бұрын
Ni kweli Yesu ni mwema dunia nzima mpate kujua jamani any one watch with me may 14 2020
@nelsonnchimbi58695 жыл бұрын
asante mungu maana huu wimbo nimeutafuta nashukuru kwa kuupata . barikiwe sana kwa uwimbaji wenu . by amina nchimbi
I have 10000 reasons to listen healing songs like these, God talks his people in several ways, among of these ways is through choirs, I'm blessed with your nice songs dears in jesus christ, let God go on blessing you
@anatolyandrew77774 жыл бұрын
Huu wimbo ni mzr sana jmn hata ipite miaka 50 kama niko hai sintaacha kuusikiliza jmn naupenda san huu wimbo mpaka najion mwenye furah muda wote! Naimba eehh! Ulijua wazi kwamba mm sikuwa nastahili kwasabb mm mdhaifu mwili na roho ukaruhusu nifanikiwe juhudi zng makusudi ili nione ukuu wako ndg wanipende,jamaa waniheshimu marafiki wanijali wanisaidie ndio maan leo mm ninakurudishia Utukufu ni wako milele sifa na heshims ni zako daima ww peke yk unastahil uhimidiwe n Utukuzwe amina
@khairatzinzibar14345 жыл бұрын
Jamani Mungu awabariki kwa wimbo mzuri sana yaani ww acha tu mpaka nimelia kwa kukumbuka ukuu wa Mungu kwa kweli mwanadam angenipa neema angetaka kulipwa na maskini tungekua wageni wa nani tungekufa kama utitiri kwa kweli Mungu ni mwema tumsifuni mpaka kieleweke kwa ukuu wake na utukufu wake
@user-in6me1mx5p Жыл бұрын
Mungu awabariki sana
@NeemaKmussa4 жыл бұрын
Nakumbuka enzi hizo nafanya kazi iringa za ndani tulikuwa yunasikiliza kipitia redio Maria 2009- hadi leo28/ 01/2020 Yesu ni mwema
@martinmuthuititotitomuthui33834 жыл бұрын
I feel much blessed with this song every time. Proud to be a Roman Catholic believer .in the name of the father the son and of the Holy spirit Amen!
@alexblazi4678 Жыл бұрын
This song never die,me watching 2023🙌
@benmshongi34112 жыл бұрын
Yesu ni Mwema Yesu ni Mwema..my favourite catholic song.,getting to watch this Choir perfoming live is a real life blessing..
@restitutamartin74558 жыл бұрын
i like Catholic Church for ever in my life but i like that song,be blessed all Roman catholic
@jeanmubemba12045 жыл бұрын
kwa kweli Benard mukasa amepakwa mafuta ana kipaji cha sana cha kuandika vigongo,huwa anatubariki sana na kwaya yote,barikiwa
@marymimina Жыл бұрын
11 yrs ago and still rocking.....I can only recognize two singers who are still active in this choir to date. May God bless them and KMK at large🙏
@chepkoechjanethrotich1318 Жыл бұрын
Kwani wengine walienda wapi??
@jacklinechepkoech18654 жыл бұрын
Nitasimulia nchi, Yesu mwema!! Super! Super! Great voices and spirit!!!!
@VelejilyoMhongole8 күн бұрын
Acheni utani Hawa watu waliimba vizuri vizuri vizuri vizuri.
@whiteirambona55444 жыл бұрын
Wimbo huu naupenda sana. Nausikia Lila Siku asubuhi na jioni. ..unanipa fursa ya kutaja ukuu wa Jesus. Ila tu nigeomba aliye tunza huu wimbo atutilie maneno kwenye vidio ili tuweze tambua maneno yake yote. Juu kama mimi Murundi asiye zoeya vyilivyo Kiswahili cha Tanzania, Kuna maneno ambayo siyadikii vizuri.
@josephkhanyereri9405 Жыл бұрын
Who is here in 2023?🔥
@martinodhiambo1639 Жыл бұрын
Huu wimbo naupenda sana.... the organist , the vocals....wacha tu. Mbarikiwe tena na tena.
@evelynemoshi5705 Жыл бұрын
😊 tupo apa leo
@sojinkuba47464 жыл бұрын
Nipo shinyanga lkn parokia ya buhangija lakini ni shabiki sana wa hii kwaya inaimba vizuri km mmeniona ujumbe huu gonga like
@lilianpatrick39904 жыл бұрын
Mbalikiwe San wapendw wote mnaoskiliz nyimbo za din
@camycamilo3163 жыл бұрын
Mi
@zinedinezidane2129 Жыл бұрын
Hadi raha jamani
@georgemercy57797 жыл бұрын
How I wish I were one these people!!!!!!! Your songs really uplift me spiritually.
@veronicasyombua61932 жыл бұрын
This song doesn't get old,,I like it...the sweetness of being a catholic😍😍😍
@lelo3106 Жыл бұрын
Yesu ni mwema nakupenda yesu kristu
@emanuelmgana70669 жыл бұрын
mtunzi alipata ufunuo hata akatunga nyimbo hii amenigusa tumshukuru MUNGU
@anthonygambishi55807 жыл бұрын
Hongereni kwa nyimbo zenu zenye ujumbe na majitoleo makubwa..Mungu awajarie uharisia katika myoyo yenu..uharisia wa nyimbo zenu
@bonitutah10 жыл бұрын
YESU NI MWEMA...huu wimbo uko juu. Bwana awabariki
@tobiasimgaya11355 жыл бұрын
Yrsu ni mwema
@jaynejoseph83689 жыл бұрын
Hongera wanakwaya ya mt kizito kweli mnatisha kwa nyimbo zenu tamu
@bonifaceikusua86049 жыл бұрын
Jayne Joseph
@polinesagina-ut1rs Жыл бұрын
Amen amen amen nimebarikiwa sana🙏🙏🙏🙏
@jaelmgassa33327 жыл бұрын
Barikiweni jamani, Mimi ni Msabato lkn nyimbo zenu zinanibariki saana
@Rosette84745 жыл бұрын
Mimi ni mroma lakini hata za kwenu pia zinanibariki sana
@peterjamesnjoroge48425 жыл бұрын
I love your songs too
@chazkoillah26525 жыл бұрын
@@Rosette8474 😂😂😂
@adokorachmarie85604 жыл бұрын
Esag7hf is
@machoziraphael35514 жыл бұрын
@@peterjamesnjoroge4842 hh
@dominashirima8735 жыл бұрын
Mungu awalinde sana, wengine mmekulia hukuhuku jamani, Mungu naomba uwabariki
@natashajunior45005 жыл бұрын
This song real encourages me especially this time am preparing for my final year exam-medical school (6years).I really feel overwhelmed but I know God will see me through. Ukataka nijipe moyo nisianguke
@fadhilawashiku73 жыл бұрын
Actually,Yesu ni mwema,kazi njema.Mbarikiwe sana.
@jamesmwasambili3818 жыл бұрын
Yesu ni Mwema ni moja kati ya nyimbo za kwaya ya Mtakatifu Kizito Makuburi zisizonichosha kusikiliza,maana zausifu wema wa Mungu na hakika Yesu ni mwema sana.Mungu akubariki sana mtunzi B.Mukasa na kwaya yote
@fredmsemwa96715 жыл бұрын
Mungu ongoza jahazi l ako wasikate taamaa
@witinessnombo47175 жыл бұрын
Naipenda San hii nyimbo jaman
@nzioka.n16755 жыл бұрын
I like catholic music from Tanzania choirs you're if I lisen i got inspired am just like waa...
@annaboniface33877 жыл бұрын
Yesu ni mwema kwetu sote. Mbarikiwe sana wapendwa.
@josephlupasha62285 жыл бұрын
Several years down the line, but this song never grows down mtunzi alituliza kichwa akaja na sala hii be blessed.
be blessed St kizito choir I sincerely love this song I also belongs to St kizito small Christian community baragoi catholic church
@angelkaiyula69806 жыл бұрын
Napenda sana kwaya mt kizito wako vizuri hasa kwenye wimbo wa yesu ni mwema mungu hawabariki
@kipawacrew563929 күн бұрын
Nani ametoka tiktok kwa ule mc wa maharusi😂🎉
@zachariagerald11 жыл бұрын
Fernndes, this is not a Kenyan choir, it is a Tanzanian catholic Music.. Glory be to God, and many thanks for all who have given us congrats and positive complements, we are now working on our new album, please pray for us so that through our sings we all praise our reigning God forever... AMEN.. :)
@julianaconrad93088 жыл бұрын
i love catholic church ever!
@catherinenaliaka11257 жыл бұрын
Nimetafakari haya yote nashindwa kuelewa binadamu angenipaa neema kweli ningemulipa zaidi lakini wewe yesu ni mwema kwa kila jambo inanipa mvuto zaidi ili nipate kujuwa yesu ni mwema kila wakati mubarikiwe sana wimbo mtamu unatufundisha tuwe na imani na subira.
@annakalihamwe83854 жыл бұрын
Lalumba lumba nakuona hongereni sana jamani
@annakalihamwe83854 жыл бұрын
Mbarikiwe sana,naipenda sana huu wimbo,namkumbuka marehemu mama siku ya msiba tulikesha tukimshukuru Mungu kwa kuvuna alichokuwa amepanda,r.i.p Appollo
@floramarco255 Жыл бұрын
Yesu ni Mwema 🙏
@karimuhasani16524 жыл бұрын
nani anabarikiwa na kwaya hii nzuri 2019
@lagrandegaudence28534 жыл бұрын
# 2020👌 still loving this🙏🙏💖💕
@stellamarisaburia78884 жыл бұрын
My all time favorite👌
@tarryfahy43176 ай бұрын
I thought it was a new song kumbe it's this old ❤
@kabusinjaanselimi3927 жыл бұрын
Bwana wanyesha mvua kwa walio jangwani,...........hakina wewe ni mwema. Kizito Nawapenda, Barikiweni
@erickkaguri72057 жыл бұрын
namshukuru mungu n.a. wanakwaya wote Kwan ujumbe wa wimbo umebadirisha maisha yangu hama hakika yesu ni mwema sinto acha kuritaja jina lake popote pale aaaamee
@faithfaith47826 жыл бұрын
Erick Kaguri kweli naamini yesu mwema 🙏 kwa Yale amenitendea Ameeeeeeen 😍 😘 faith
@charlesmuinde85245 жыл бұрын
Very strong voice
@immaculataroeser30677 жыл бұрын
Mwadamu sikiliza maneno hayo ya wimbo huu ukajifunze. kuwa na. roho ya utu wema mbarikiwe sana wanakwaya.
@neemasaringe33076 жыл бұрын
Immaculata Roeser by
@deogratiussweke50074 жыл бұрын
Dah! Tusife moyo tu jamani,.....Ni Mwema kweli.
@ERICKBIZZYE9 жыл бұрын
iko sawa...wimbo mzuri ambao lazima nikicheze maana hunipa matumaini mengi yakuwa Kristu ni mwema...Amina
@deotemba27975 жыл бұрын
Amina baba chali kweho
@HappyJaakimАй бұрын
Nyimbo nzuri Sana imenifariji sana
@akwinomsombe16 күн бұрын
Wimbo wangu pendwa😊
@annsilonkoi26978 жыл бұрын
AWESOME!!!!!!so blessed.Kudos Mt.Kizito Makaburi
@monicafranky71157 жыл бұрын
thanks Jesus, nimebarikiwa sana kwa wimbo huu wa yesu ni mwema...Mungu awabariki sana wanakwaya na azidi kuwatia nguvu
@zachariagerald13 жыл бұрын
Karibu sana Gosbert, tunamshukuru Mungu..Tunakutakia baraka tele kila usikilizapo nyimbo zetu..Mt. Kizito makuburi.
@jemastmusiq96545 жыл бұрын
who watching this in 2019!? like niwaoone
@bonatasha1765 жыл бұрын
Niko hapa. Nitausikiliza mpaka pumzi yangu ya mwisho. Yesu ni mwema Yesu ni mwema
@anatolyandrew77774 жыл бұрын
Niko hap jmn hata ipite miaka 50 ten ubora wa huu wimbo utabaki pale pale! So nice song I like it more
@ogerotheibelius8028 Жыл бұрын
Good harmony .Good organist ❤❤❤❤❤❤❤
@happinesskavishe92847 жыл бұрын
God is good...hongereni sanaa wana kwaya ya mt Kizito kweli mnavuma
@mshaharamamb227 жыл бұрын
hakika wanavuma
@kikalulutherese5334 жыл бұрын
happiness Kavishe sikiaya
@polinewanjiku57209 жыл бұрын
Thanks yur song has a good message ilov this song may yu continue with the same spirit en God will bless yu fo being obedient yu use your talent and abilities as he said nyc tym choir