MTAALAMU WA TIBA ASILI AFICHUA SIRI YA KUANZISHWA KWA MWENGE WA UHURU

  Рет қаралды 7,364

Global TV  Online

Global TV Online

Күн бұрын

MTAALAMU WA TIBA ASILI AFICHUA SIRI YA KUANZISHWA KWA MWENGE WA UHURU
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT AMAZON: www.amazon.com...
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982), ( +255 713 837506)
⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ HABARI MPYA DAILY:shorturl.at/mnux2
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltv...

Пікірлер: 40
@sendeesupriydewoochiagaliy7474
@sendeesupriydewoochiagaliy7474 4 жыл бұрын
This is very powerful lesson for all Africans Asante sana chef
@adamrenatus4235
@adamrenatus4235 4 жыл бұрын
Asante row womininge kwa somo la mwenge 👏👏👏
@DoricePatrick-d4g
@DoricePatrick-d4g 20 күн бұрын
Mmh hii ni dini au sijaeelewa🙏kweli naambien
@yusuphmwamlima2414
@yusuphmwamlima2414 3 жыл бұрын
Asante sana kwa elimu hii yenye ukombozi juu ya Tanzania
@nasrikileo
@nasrikileo 4 жыл бұрын
Asante Mwalim Shefu Row minige
@Kokomediagroup
@Kokomediagroup 4 жыл бұрын
Haya ndio masomo wapaswa kujifunza watanzania ili tue na uchungu na taifaletu
@Kokomediagroup
@Kokomediagroup 4 жыл бұрын
Jamani mambo haya ndio tunatakiwakuzinfatia watanzania ili tuwe washi africa nzima
@hombelozabroni9226
@hombelozabroni9226 4 жыл бұрын
Umepotea mzee kuna menyebzi mungu diye pekee anayetengemewa mambo ya wazee waliokufa unawatengemeaje baada ya kumtengea Allah asiye kufa tubu mzee muongope allah
@Arikastz
@Arikastz 4 жыл бұрын
Wewe unamsalia muhamad kila siku , Muhamad bado yuko hai ama amekufa?
@yesunialamayakiama.9013
@yesunialamayakiama.9013 2 ай бұрын
Na wewe umekaririshwa. Babu wa Babu yako alikuwa anamjua Allah? Ndo utwambie Kama Babu wa Babu yako hamkumjua aliishije au wewe ndo una maarifa Leo kumzidi?😅
@ramermohamedy4344
@ramermohamedy4344 10 ай бұрын
Tapeli mwami lukoko jichanganyeni...😂😂😂😂 kwanza sio mtz huyo
@RobyRobytz
@RobyRobytz 9 ай бұрын
Hekoooooo mwamirokoko 🎉🎉
@andrewbigambo6721
@andrewbigambo6721 4 жыл бұрын
Upo sawa ila uliyoongea ni mazuri .ila. Media uliyotumia Magi atapata taarifa hizo. Naomba huandike barua kwa rais ili akumbushiwe kuhusu asili yetu na kuendelea kuyienzi ni mambo ya msingi sana na magu ni MTU makini
@nassorzuguru6441
@nassorzuguru6441 4 жыл бұрын
Asante mwami lokoko aisee ni kitu cha muhimu sana kwa taifa letu ubarikiwe na mwenye vyote
@servantofalmightygoddranth2511
@servantofalmightygoddranth2511 Жыл бұрын
"Mwenge" ni uchawi na mazindiko ya kishetani na mzee forogo ndio muasisi wa mwenge na lengo lilikuwa ni zindiko la nywere atawale vizuri, na mzee forogo ndie ndie alieingia shimoni kusikia mambo ya kuzimu na maagizo forogo akaleta namba 115 maana yake nyerere ataishi miaka 77 wakati huo taifa litakuwa lina miaka 38 jumla yake 115,mwenge ni ushetani, TUMPOKEE YESU.
@mathayouser-tb4to2eb3i
@mathayouser-tb4to2eb3i Жыл бұрын
DUUUUH
@yusuphmwamlima2902
@yusuphmwamlima2902 Жыл бұрын
Uyo yesu unampokea akitokea wapi Je yes ni nn ? Hakuna mtu aliyewahi kuwepo ajaitwa yesu
@servantofalmightygoddranth2511
@servantofalmightygoddranth2511 Жыл бұрын
@@yusuphmwamlima2902 majini uliyitupiwa msikitini yana kufanya uwe chizi, """KWA JINA LA YESU MOTOOOOOOO UKUWAKIE APO ulipo" YESU Anawashughurikiwa kisawasawa maana YESU ALIE HAI NI MWANA WA MUNGU ALIE JUU SANA
@myself4128
@myself4128 3 жыл бұрын
Alisema Sheikh Omar mnyeshani waliroga sana...mtu aliitwa forojo Ganzo ndio alikufa na siri
@isaacvtv547
@isaacvtv547 4 жыл бұрын
Na kikongo nasikiya mzee anakifahamu
@barrynzeyimana6270
@barrynzeyimana6270 4 жыл бұрын
Tumekengeuka hiki kizazi
@ramadhanihemed1428
@ramadhanihemed1428 4 жыл бұрын
Hii ni elimu kubwa sana kwa wanzalendo
@adamcharlesshitapanda1871
@adamcharlesshitapanda1871 4 жыл бұрын
Mtalaam wa tiba za asili afichua siri hili jina mnakosea kumwita mwami yeye ni zaidi tabibu
@linkreuben5804
@linkreuben5804 4 жыл бұрын
Mzee watu waliokufa wanini sisi? Yesu yupo Tanzania hatunashida! Mizimu mambo ya kilong hayanafaida!
@abdalahabdalah7853
@abdalahabdalah7853 4 жыл бұрын
amka ndugu, watu waliokufa wana umuhimu kuliko ww uliehai
@gabrielfrednand4084
@gabrielfrednand4084 3 жыл бұрын
Pole
@joshuayusufu4223
@joshuayusufu4223 4 жыл бұрын
Kuna sehemu ukifika uo mwenge wataaram wanauzima serikali inawajua wanao zima 😂😂😂
@amirympyamadah6980
@amirympyamadah6980 3 жыл бұрын
Wapi ndugu?
@farijalakhalid5558
@farijalakhalid5558 4 жыл бұрын
Mzee anaongea kama raisi wetu rungwe ha ha ha ha
@hardsonbusongoye-oe5sy
@hardsonbusongoye-oe5sy 7 ай бұрын
Hekoooo mwamilokoko
@farijalakhalid5558
@farijalakhalid5558 4 жыл бұрын
Ushirikina huo mzeee
@Arikastz
@Arikastz 4 жыл бұрын
Wewe unaeita ushirikina elimu ambayo inawalimisha watu kujua ukweli ambao uislam na ukristo haujawahi kutuoa elimu kama hii, Wewe ndio utakuwa mchawi...
@abdalahabdalah7853
@abdalahabdalah7853 4 жыл бұрын
, hujui hata maana ya neno ushirikina
@gabrielfrednand4084
@gabrielfrednand4084 3 жыл бұрын
Ushirikina ni neno lilitokoka kwenye Maneno ya Kushiriki kwa kina, kwahvyo mtu anaeshiriki kitu kwa kina iwe kitu chochote kile ndio mshirikina,
@valenakomba4453
@valenakomba4453 4 жыл бұрын
Usidanganye watu hapa. Mwenge siyo lazima uelezwe na mganga.
@yusuphmwamlima2902
@yusuphmwamlima2902 Жыл бұрын
Unauelewa wowote juu ya mwenge na sir zake ?????? Kam unazo niambie
@abdalahabdalah7853
@abdalahabdalah7853 4 жыл бұрын
Huyu jamaa ni hazina ya nchi, ukombozi wa kiroho unakaribia, tumekua watumwa wa kimwili na kiroho kwa miaka mingi sana, sitashangaa watu wa allah/mohamad na God/jesus wakianza kukupinga na kukuita mchawi au mshirikina, tulipumbazwa kuzarau vya kwetu, tukalazimishwa tuamini vya kwao ambavyo kimsingi ni sehem ya utumwa
@mwalimdibwe6290
@mwalimdibwe6290 3 жыл бұрын
We mzee acha uchawi
@christopherleonard1264
@christopherleonard1264 4 жыл бұрын
Mzee hicho ni fimbo au kisu
@linkreuben5804
@linkreuben5804 4 жыл бұрын
😀😀😀😆 fimbo au kisu!!!
UCHANGANUZI WA KUABUDU VIUMBE WA ULIMWENGUNI
35:17
JADI YETU DEWO OCHI
Рет қаралды 1,2 М.
I shouldn't be in the house  It's so embarrassing
00:22
Funny Parent-Child Videos
Рет қаралды 9 МЛН
ماذا لو كانت الفواكه حية 🥥🍸😜 #قابل_للتعلق
00:42
Chill TheSoul Out Arabic
Рет қаралды 29 МЛН
1%🪫vs 100%🔋
00:36
Аришнев
Рет қаралды 3,3 МЛН
FAHAMU FAMILIA YA MWAMI LOKOKO
34:15
JADI YETU DEWO OCHI
Рет қаралды 436
MWAMI BOMBE SIMBA MATANGO ALAANI UJIO WA PAPA WA ROMA CONGO
15:54
Tanganyika TV
Рет қаралды 2,6 М.
Fahamu maana ya neno Busara na neno Hekima
33:52
JADI YETU DEWO OCHI
Рет қаралды 471
SOMO LA UKAMILIFU WA MBINGU YA KWANZA
48:43
JADI YETU DEWO OCHI
Рет қаралды 8 М.
DALILI ILIYO ANDALIWA KABLA KIUMBE KUWEPO
28:42
JADI YETU DEWO OCHI
Рет қаралды 4,2 М.
I shouldn't be in the house  It's so embarrassing
00:22
Funny Parent-Child Videos
Рет қаралды 9 МЛН