IJUE HISTORIA ya JIJI LA DAR ES SALAAM, IKULU ya MAGOGONI na CHAMWINO! WAZEE WASIMULIA kwa KINA!

  Рет қаралды 28,832

Global TV  Online

Global TV Online

Күн бұрын

IJUE HISTORIA ya JIJI LA DAR ES SALAAM, IKULU ya MAGOGONI na CHAMWINO! WAZEE WASIMULIA kwa KINA!
HII ni makala maalum ya historia ya Ikulu ya Dar es saalam na Chamwino...
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltv...

Пікірлер: 54
@globaltv_online
@globaltv_online Жыл бұрын
BREAKING NEWS! USIKUBALI KUPITWA na HABARI ZA GLOBAL TV. JIUNGE na WhatsApp Group Now: chat.whatsapp.com/Kh8n9Xk0OWJ...
@MasterOil-qm6vw
@MasterOil-qm6vw 3 ай бұрын
Haya mali ya waisilamu irudi kwa wenyewe wajerumani wahuni waliwadanganya watu
@MrKhatibu
@MrKhatibu 4 ай бұрын
Kwahio ikulu ya Dar bandari ya dar imejengwa na mtawala wa Zanzibar 😊
@rayisadesigns2646
@rayisadesigns2646 3 ай бұрын
HUO NI UTHIBITISHO KUWA ZANZIBAR NA TANGANYIKA ILIKUWA MOJA, LEO TUNABAGUANA KWA SABABU YA MIPAKA TULIYOWEKEWA NA WAZUNGU.
@usafiaps318
@usafiaps318 6 ай бұрын
Waarabu Waingie Tu;Lakini Iko Siku!!!!!!!
@LusekeloMwailafu
@LusekeloMwailafu 3 күн бұрын
It's so interesting story
@juliusakilimali9424
@juliusakilimali9424 4 ай бұрын
Huyo Zuhura cjui hajui kwamba hapa duniani c kwetu! Tupo safarini tu!! Tujitahidi kutenda haki kwa kila mmoja!!!
@hamisimuhammad3656
@hamisimuhammad3656 6 ай бұрын
Mali za waislamu zirudishwe
@abdallahalbakri2561
@abdallahalbakri2561 Жыл бұрын
Jamani ndugu zangu kuna mtu anaijuwa email ya Bi Zuhura wa BBC nitashukuru sana manake nasikiya bado yupo single kama ni kweli yupo single nataka kupeleka posa kumchumbiya
@yusufuheri6524
@yusufuheri6524 Жыл бұрын
Kesha olewa so tuliza mshono
@LusekeloMwailafu
@LusekeloMwailafu 3 күн бұрын
Utamuweza
@helper1099
@helper1099 5 ай бұрын
Sasa Washomvi walikuja tu na hawakukuta wenyeji? Kwanini historia ya mwafika ianzie pale wageni walipofika. Acha zako....
@rayisadesigns2646
@rayisadesigns2646 3 ай бұрын
Walichanganyikana na wenyeji wa pwani na wao baada ya kuoleana nao na kuishi hapa pamoja nao kwa karne kadhaa wakawa sehemu ya jamii hiyo. Hawa wote kwa sasa ni sehemu ya wazaramo.
@joachimkalungwana8654
@joachimkalungwana8654 6 ай бұрын
Uache uchawa wakati huo rais alikuwa mmoja tu naye Magu Sasa ya mama yameingiaje
@ramdanmbara8500
@ramdanmbara8500 Жыл бұрын
Hivi kumtaja Magufuli kuwa mjenzi wa Ikulu mpya shida ninini? Zuhura huyo tangu BBC
@smartmusic9893
@smartmusic9893 Жыл бұрын
Hii ndiyo Tanzania 🎉
@hamadsheni8997
@hamadsheni8997 Жыл бұрын
Watu wote wanajua shda nini sasa.
@walidmgonja3644
@walidmgonja3644 Жыл бұрын
Hujakatazwa kumtaja wewe Unaweza kumtaja asubuhi mchana na jioni ruksa
@yusufudongote6440
@yusufudongote6440 Жыл бұрын
Magufuri kumamake tu
@sultansallah8772
@sultansallah8772 Жыл бұрын
Mbona hamukumtaja kikwete kama kajenga daraja la kigambon na barbara za kuunganisha mikoa
@AkswaZo
@AkswaZo Жыл бұрын
Yes
@usafiaps318
@usafiaps318 6 ай бұрын
Kwa Nini Sasa???????
@GeorgeNkhambi-gp6hh
@GeorgeNkhambi-gp6hh 4 ай бұрын
😅
@yusuphmtipa1478
@yusuphmtipa1478 4 ай бұрын
8:54
@mhagamachas8974
@mhagamachas8974 Жыл бұрын
Zuhura acha roho mbaya kwa Magufuli yaani unafahamika waziwazi toka ukiwa BBC
@maulidkigumi2834
@maulidkigumi2834 Жыл бұрын
Acha ukafiri wa kijinga huo
@MilloWamilonga-ft8ir
@MilloWamilonga-ft8ir 4 ай бұрын
Wewe ndio unaongea utumbo gani?
@mwanatz5980
@mwanatz5980 Жыл бұрын
❤️❤️❤️😍
@alalawiymuhammad446
@alalawiymuhammad446 Жыл бұрын
Kabla ya ushomvi kulikuwa na kabila ushomvi baada uhamiaj wa kabila mbili wabarawa na wazaramo ndio ukazaliwa ushomvi lkn kabla wabarawa kulikuwa na kabila likiitwa wamwambao
@MamuduAziz-h1z
@MamuduAziz-h1z 6 ай бұрын
Shomvi na pazi ndio walioanzshisha mji waliuita mzizima kwa kizaramo mji wenye afya
@MamuduAziz-h1z
@MamuduAziz-h1z 5 ай бұрын
Hakukua na kabila la ushomvi kk, shomvi na pazi walikuwa wakuu wa makabila y kizaramo na kikwelie basi, na hao shomvi na pazi ndio waliingiza choo cha kike wazaramo na wakwele kwa kuwapokea waarabu na kuukubali uislamu pia, wazaramo ndio waliowaonyesha njia waarabu kuingia bara hii ndio sababu wasukuma na wanyamwezi watani wa wazaramo
@MilloWamilonga-ft8ir
@MilloWamilonga-ft8ir 4 ай бұрын
​@@MamuduAziz-h1zAcha uongo mpumbavu wewe, tulia na usikilize history ya ukweli.
@rayisadesigns2646
@rayisadesigns2646 3 ай бұрын
​@@MamuduAziz-h1zacha uongo na nyinyi kuukubali mfumo wa dini inayotambua ushoga na ndoa za jinsia moja kawaingiza nani cha kike?!
@hamynas
@hamynas Жыл бұрын
kama ikulu ni jasho na nguvu ya waislamu na ilikua ni kituo chao cha DINI mpaka pale wakoloni wa kijerumani walivyoliteka na SASA wameshapata jengo mbadala DODOMA ni wakati mwafaka kulirejesha kwa WAISLAMU MALI YAO...FAIR DEAL
@fadhilisecha4268
@fadhilisecha4268 Жыл бұрын
Udini
@lulanjamd3886
@lulanjamd3886 Жыл бұрын
Yani waislam Kwa udini hadi wanakela 😂😂😂
@sumayasumaya6455
@sumayasumaya6455 Жыл бұрын
Inawauma sana, ni haki yao waislam si udini.., futa basi anachoongea huyu mzee, au aje mwingine akanushe
@mohamedsaid2882
@mohamedsaid2882 Жыл бұрын
Jamaa amechanganyikiwa huyu
@hamynas
@hamynas Жыл бұрын
@@fadhilisecha4268 ukidai haki unakua mdini? pumbavu saana
ОТОМСТИЛ МАМЕ ЗА ЧИПСЫ🤯#shorts
00:44
INNA SERG
Рет қаралды 4,7 МЛН
Spongebob ate Patrick 😱 #meme #spongebob #gmod
00:15
Mr. LoLo
Рет қаралды 19 МЛН
Nastya and balloon challenge
00:23
Nastya
Рет қаралды 70 МЛН
KIPINDI MAALUM CHA SIMULIZI ZA IKULU
32:35
Ikulu Tanzania
Рет қаралды 48 М.
HISTORIA Ya IDD AMIN, Darasa La 4 Aliyetikisa Wazungu/NYERERE Akimtia Adabu
26:09
ОТОМСТИЛ МАМЕ ЗА ЧИПСЫ🤯#shorts
00:44
INNA SERG
Рет қаралды 4,7 МЛН