Usijali utafanya vizuli kama buti dube hapoumefika sehemu yandoto yako tuliya sana unawachezaji wenyekukulisha sana hapo yanga
@SaidAlly-uh4qw4 күн бұрын
Inatakiwa dube atafute video za Michael Owen na Thierry Henry ataongeza ujuzi wa kufunga
@ahmedalsaadi71083 күн бұрын
Hata mayele alikuwa anakoss sana magoli sema kwa vile tumezoea kufunga matano 😂😂tu ila alikuwa anakosa sans Mayele
@jumanneenos24814 күн бұрын
Natural finisher na clinical finisher vitu viwili tofauti
@saidsoudamiri40543 күн бұрын
Hapa nakubaliana 100% na Hans. Dube ni aina na mchezaji anayecheza nyuma ya striker. Ni assistant striker, ni kosa kubwa sana kumataka awe classic number 9.
@NdayishimiyeEvelyne-ws6ts4 күн бұрын
Raphael leo uko vibaya kwauchambunzi ao cling finisher hawakuwahi kukosa?
@IssaNdelwa-pz3zl4 күн бұрын
Inabidi abadilike kiukweli daaaa maana mashabiki tunaimani na yeye
@yokoi39704 күн бұрын
Hans umebonga watu wako kimya mwezako wanabonga lazima uingilie maongezi. Sikiliza wezako sbbu u know nothing acha ufundishwe
@yokoi39704 күн бұрын
Hans always talking shit. Mchezaji ni mchezaji hata chooni acha ushabiki mandazi. Hakuna mchezaji hapo that's it. Hans rudi kwa wazee uombe hekima na busara otherwise now days unazidi na stories za dada zako.
@haidhabushiri95584 күн бұрын
Mtu wa kwanza duniani kumpangia mtu cha kuongea 😂😂
@yokoi39703 күн бұрын
@@haidhabushiri9558 shida si shule au malezi ni heshima yako. Na kwann nimpangie lakini kma umezoea kusikiliza ushuzi basi ni sawa lakini nikicheki ni mwezako huyu kwa mtazamo wako