Mtanzania aishiye Uingereza afunguka mengi usiyoyajua kuhusu nchi hiyo, ayataja mazuri ya kuiga

  Рет қаралды 10,599

Simulizi Na Sauti

Simulizi Na Sauti

Күн бұрын

Пікірлер: 51
@manuelamahwera6090
@manuelamahwera6090 2 жыл бұрын
I enjoyed the interview. Mm mwenyewe niko 🇬🇧 - London for 16 years. Kila alicho ongea ni sahii kweli. Uaminifu ni kitu kikubwa saaaaana uku na ndio jinsi unapata opportunity nyingi za kazi hata kama hukuvisomea. Big up bro ntakutafuta maana nina mpango huo wakuagiza gari in TZ
@jamalabduly8871
@jamalabduly8871 2 жыл бұрын
bro i need to be there can u help me
@edwardmkwelele
@edwardmkwelele 2 жыл бұрын
Can help to establish the company here let us contact
@seifkitimla4529
@seifkitimla4529 2 жыл бұрын
Tusaidie namb yko kiongozi
@mubabray9845
@mubabray9845 2 жыл бұрын
@@edwardmkwelele hbr
@Summerbtz
@Summerbtz Жыл бұрын
Ooooh Manuela Mahwera upo UK sehemu gani hapo
@hassanijuma886
@hassanijuma886 2 жыл бұрын
Mimi pia niliwahi kuishi London.Kiukwel maisha ktkt ya mji huu ni garama sana bila kufanya kazi unalala njaa....
@georgegodfrey1692
@georgegodfrey1692 2 жыл бұрын
Huyu jamaa ni mtu muelewa sana hana mbwembwe nyingi. Nimependa sana mahojiano haya.
@ahmuhally4430
@ahmuhally4430 2 жыл бұрын
Sky nakubali sana Interview zako na habari zako naomba usikate tamaa kwa views chache
@owlbig
@owlbig 2 жыл бұрын
Thank you so much 😊
@aliyageorge6794
@aliyageorge6794 2 жыл бұрын
Sio culture ya uaminifu.. Tanzania maisha magumu pesa imekuwa ngumu..
@darajalakidatukilomgi2362
@darajalakidatukilomgi2362 2 жыл бұрын
Maisha magumu sio sababu ya kuvunja uaminifu, hata UK wako wenye maisha magumu lakini mbona waaminifu? Tanzania tunajiendekeza tu tabia mbaya ya kutokua uaminifu
@debbiethomas9825
@debbiethomas9825 2 жыл бұрын
Kama popote ulipo uko na comfortable life….TULIZA MSHONO…… chaih🤦‍♀️🤦‍♀️🤦‍♀️🤦‍♀️
@dougherty8732
@dougherty8732 2 жыл бұрын
Big up saaana Boka ..! Loong time..😁😁 ! Kila lenye heri bro!!!!!
@khalekichambo1131
@khalekichambo1131 2 жыл бұрын
Swala la kukopesha magari UK inawezekana kutokana na system iliyopo ya mtu anaekopeshwa lazima awe na credit score nzuri,details zinazo chukuliwa zinakufunga kiasi utajisababishia kuharibu credit score yako na matokeo ya kuto kulipa yanakupelekea ufikishwe mahakamani. Kwahiyo kwa TZ bado tuko nyuma sana kuweza kuaminisha mikopo ya magari kwa njia kama ya UK. Zinaitwa nchi zilizo endelea kwasababu wameweka mbinu na mitego over the years, unajikuta kuiba ni ngumu au unaweza kuiba lakini mwisho si mzuri
@glorynguma3593
@glorynguma3593 2 жыл бұрын
Proud of you Boka🙌
@bennymochiwa4800
@bennymochiwa4800 2 жыл бұрын
Kwenye ngeli hapo upo sahihi kbs, huku Ireland mbn tunaisoma!?
@julianakitinde7913
@julianakitinde7913 2 жыл бұрын
Informative interviews
@leecode6135
@leecode6135 2 жыл бұрын
Angekuwa mtu wa bongo flaver hapo angezungumza kizungu kkkkkk
@sakuvedoh_3696
@sakuvedoh_3696 2 жыл бұрын
Naona ukweli kwenye maelezo yake .....
@lucyheigre3125
@lucyheigre3125 2 жыл бұрын
Niko Norway ila maisha ya uingereza kwa kweli kuipata pound ni vigumu, pia hela yao ina thamani,ukilinganisha Norway pesa unalipwa nzuri,ila vyakula bei mbaya ukilinganisha uingereza chakula bei rahisi.natamani kupata contact za huyo kaka na mimi niagize gari kwenda bongo ,nikiwa huku Norway, God bless sky na kipindi chako,kwa kweli nimefarijika🇹🇿🙏❤🇳🇴
@edwardmkwelele
@edwardmkwelele 2 жыл бұрын
Nimeishi miaka 10 Uingereza ni maisha magumu mno
@mubabray9845
@mubabray9845 2 жыл бұрын
@@edwardmkwelele hbr
@webettermen3237
@webettermen3237 2 жыл бұрын
hizi session ni nzuri sana bro sky wish to help you more asee sema i dont know how
@SimuliziNaSauti
@SimuliziNaSauti 2 жыл бұрын
Thanks you, pls email me via fred@snstz.com
@tanzaniawomenyouthempowerm267
@tanzaniawomenyouthempowerm267 2 жыл бұрын
Tunaomba namba zako Kaka unayehojiwa
@edwardmkwelele
@edwardmkwelele 2 жыл бұрын
Nimeishi Uingereza miaka 10 nimeishi London kwanza nilikuwa mitaa y'all North Carolina kunaitwa Edmonton nikahamia Golders Green nikahamia Vauxhall nikahamia Penge niahamia London nikahamia Holmes Chapel nikahamia Crewe nikahamia Manchester
@hamisalfan9150
@hamisalfan9150 2 жыл бұрын
unae mlingishia nani sasa
@darajalakidatukilomgi2362
@darajalakidatukilomgi2362 2 жыл бұрын
@@hamisalfan9150 😂😂🤣 jamaaa amekariri mitaa hatari
@jaquelinesumary7167
@jaquelinesumary7167 2 жыл бұрын
Haya tumekuelewa big up
@amourmtungo623
@amourmtungo623 2 жыл бұрын
🤔Kaskazini Uingereza gharama za maisha ni nafuu zaidi ya Kusini kwa mfano, chumba kwa mwezi Newcastle unaweza kupata kwa £500 wakati London au Kusini ya Uingereza ni £1200 hadi £800. Kwahio ni tafauti kubwa sana. Lakini Kaskazini ni baridi kidogo kuliko Kusini.
@MoodyWAyues
@MoodyWAyues Жыл бұрын
Jamaa anatumia visa aina gani
@amourmtungo623
@amourmtungo623 2 жыл бұрын
🤔Kuwepo kwa Malkia “Queen” kwa Uingereza inaonekana ni sehemu ya utamaduni na utalii kwasababu wageni wengi duniani wakitembelea Uingereza hupenda sana kuona jengo la Malkia na change of guards, yaani mazoezi ya ubadilishaji zamu za askari pale kwenye jengo la Malkia. Ni kivutio tosha kwakweli. Utaona watalii wengi wakipiga picha na askari hao🤔.
@debbiethomas9825
@debbiethomas9825 2 жыл бұрын
Very true
@amourmtungo623
@amourmtungo623 2 жыл бұрын
@@debbiethomas9825 Kabisa, thank you
@mustafaamani9079
@mustafaamani9079 2 жыл бұрын
Sky unafeli part 2 Aiko wapi sasa haya ndyo mambo aliyosema huyu bwana kwamba watanzania hatuko makini na kazi,kipindi kimekatika umesema unarudi jumla
@SimuliziNaSauti
@SimuliziNaSauti 2 жыл бұрын
Part 2 hii hapa kzbin.info/www/bejne/q3zEhnyGe72BsM0
@debbiethomas9825
@debbiethomas9825 2 жыл бұрын
Eti Jumla 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@khalekichambo1131
@khalekichambo1131 2 жыл бұрын
Part 2 iko wapi?nataka kusikia hio biashara yake na magari gani anapeleka bongo na eneo la biashara etc
@SimuliziNaSauti
@SimuliziNaSauti 2 жыл бұрын
kzbin.info/www/bejne/q3zEhnyGe72BsM0
@edwardmkwelele
@edwardmkwelele 2 жыл бұрын
Miaka 70 Sky bwana
@edwardmkwelele
@edwardmkwelele 2 жыл бұрын
UK imeeahi kuwa Rebulic kwa miaka 11
@debbiethomas9825
@debbiethomas9825 2 жыл бұрын
NIMEZURURA NCHI 2/3 nmeishia hapa UK… sijaona nchi ina Kingereza kibovu like UK…🤦‍♀️🤦‍♀️🤦‍♀️ but now na me si haba tunaenda pamoja kiaina….🤣🤣🤣🤣🤣
@bennymochiwa4800
@bennymochiwa4800 2 жыл бұрын
Hao wanaafadhali mziki tunao huku kwa wa Irish
@edwardmkwelele
@edwardmkwelele 2 жыл бұрын
Ndio wenye Lugha sema Uingereza kila sehemu ina lafudhi yake
@edwardmkwelele
@edwardmkwelele 2 жыл бұрын
Siyo kibovu ila wao ni Lugha yao wana matamshi tofauti kila kila kanda sawa na kiswahili cha Dar tofauti na Mbeya
@lydialaurian4734
@lydialaurian4734 2 жыл бұрын
Apa unatuzingua...Utasemaje Wana kingereza kibovu wakati wao ndo wenye Lugha Sasa.
@bajagihaji8923
@bajagihaji8923 2 жыл бұрын
uingereza lugha mbaya sijafahamu labda ni ubaya gani na wapi ndiyo lugha poa
哈哈大家为了进去也是想尽办法!#火影忍者 #佐助 #家庭
00:33
火影忍者一家
Рет қаралды 132 МЛН
REAL 3D brush can draw grass Life Hack #shorts #lifehacks
00:42
MrMaximus
Рет қаралды 12 МЛН
Who’s the Real Dad Doll Squid? Can You Guess in 60 Seconds? | Roblox 3D
00:34
LIVE:MFAHAMU CHIMAKEKE NA MAISHA YA UINGEREZA
1:28:10
VIPAJI TV
Рет қаралды 901
哈哈大家为了进去也是想尽办法!#火影忍者 #佐助 #家庭
00:33
火影忍者一家
Рет қаралды 132 МЛН