Рет қаралды 32,545
Ripota wa Dozen Selection John Jackson JJ kutoka Ujerumani amefanya mahojiano EXCLUSIVE na Mtanzania #YussufYuraryPoulsen ambaye anacheza katika Klabu ya RB Leipzig ya Ligi Kuu nchini Ujerumani (Bundesliga) na pia anaichezea Timu ya Taifa ya Denmark, allifungia bao kwenye michuano ya Kombe la Dunia 2018 dhidi ya Peru. Baba yake mzazi alitokea Tanga na alifariki kutokana na kansa mchezaji huyo alipokuwa na umri wa miaka sita. Baba yake alikuwa akifanya kazi katika meli ya makontena iliyokuwa inatoka nchi za Afrika kwenda Denmark. Ni katika moja ya safari hizo ambapo alikutana na mamake mchezaji huyo, Lene.