Wewe ndio huwahitaji ila mupo wengi huku wanahitaji 😂, Ujue muungano ndio linachelewesha new Zanzibar
@komboomar82754 ай бұрын
*Cc tunaomba kila siku tuwe na zanzibar yetu wasukuma na wachaga muingie kwa passport na cc tutaingia bara kwa passport bila shida...Chadema hataacha uchochezi hadi kiama kisimame*
@realswahilicultural81404 ай бұрын
Chadema Hana hasira kwasababu kashindwa kutoboa Zanzibar Sasa anataka Zanzibar iondoke ili aweze ingoza lakini hata Zanzibar ikiondoka katika muungano..chedema ataweza shika nchi maana ni wachaga wale wale ..
@1961nungwi4 ай бұрын
Umejichanganya hujaeleweka. Andika tena
@MiriamAbdallah4 ай бұрын
Kweli we chizi hujielewi
@Badvoice7074 ай бұрын
Mchaga ni na nani unajua kweli siasa wewe lisu ni mchaga acha kuingilia usijokijua toa hoja kwa ulichosomea sio kuingilia ingilia
@rosetreffert41794 ай бұрын
Huyu naye mpuuzi mwingine hapa ukabila unatoka wapi hapa ,anyway lisu sio mchaga ,na akitokea mchagga mwenye uwezo why not,utusiletee ukabila hapa!!@!vigezo ni muhimu
@MoinaminaAmina-qh1jb4 ай бұрын
Mnapiga kelele kila Siku kua mnataka katiba Mpia lakini hamtaki kuchangia fikra zenu ! kwa sababu ? lengo lenu !? sio manufaa ya watz aidha mnataka tz yiharibike katika Amani na usalama kwa faida zenu nyinyi wa chadema
@omarali7974 ай бұрын
Wao ni unitary union Sisi federation
@VeronicaMwakimbingi4 ай бұрын
Tunataka serikali tatu kwa ajili ya kutulindia mali zetu,zinzochukuli km ni shamba la bibi,lapili
@AhmedZahor4 ай бұрын
Kila siku sio tunaomba uvunjike Wanzazibar Bara wawekezaji nyie Mukija huku wizi ujambazi kutufujia tu
@omaryjumas63274 ай бұрын
Wewe mpuuzi kweli kweli hivi sasa zipo Serikali mbili Wazanzibari wanatukanwa Jee! Ikiwa Serikali moja si mtawanyea kabisa? Mnahisi kwamba Wazanzibari ni wajinga, wauze nchi yao kwa ujanja wa Tanganyika kuvaa jina la Tanzania. Kwa hilo bado sana, kosa lililoganyika mwaka 1964 msitegemee kwamba lifanyika tena.
@kinkybanjukome2174 ай бұрын
Tokeni hapa chuki zitakuueni mkiwa mumesimama wima hata wazanzibar hawataki muungano kwendeni huko ujinga tuu Yes mama samia mitano tena pumbavu wewe
@mwalimhamad38254 ай бұрын
Wandishi mnazingua kuraka ruka maneno mnamanisha nini mnarukisha maneno kama mumechoka kazi acheni
@MalengoKai4 ай бұрын
Kaunde ya kwako
@alinabhan9524 ай бұрын
Wewe mzee Kama nduguyo Lisu speaking totally rubish only RUBISH AND NONSENSE. Iliyopaki CHUKI.
@philemonsnyanda94504 ай бұрын
Your rubish yourself,
@MoinaminaAmina-qh1jb4 ай бұрын
Sauti yake ni hio hio kama Kaka yake lissu kweli niwa Tanzania damu hawa ?????
@samwelkavwanga44914 ай бұрын
Saf
@leothardngonya48424 ай бұрын
Acha ujinga. Nendeni kwa mabasha wenu huko mnakopewa hela ya kuvuruga nchi hii, tena hizo hela mabwana zenu mnaona hizitoshi, mmeaanza utapeli wa kuchangisha wajinga hela nyambafuuuu.