Shukran sheikh Allah akuhifadhi na akulinde akuzidishie afya Nilitaka kujua dawa ya bawasili ni mti gani inshallah
@Bonnymsongole8 ай бұрын
Asante
@halimaabdallah43773 жыл бұрын
Assalam alaykum, ahsante Kwa ukweli huu uliotueleza tulikua tunautumia tulipokua tukitKa tuondoshwe chuoni mapema tulimfanyia mwalim na tunaondoshwa,
@laurentnyembo70782 жыл бұрын
Ninashida nduguzangu nataka nisaidiye kwanehema ya mungu 🙏
@aishaomar24653 жыл бұрын
Mungu akupe kila lakher.
@fkhxhh8760 Жыл бұрын
Sheikh tunaomba utuoneshe picha vizuri
@linetaidi47232 жыл бұрын
Asamde asande zaidi 🙏🙏🙏🙏💅
@hijashaban95673 жыл бұрын
Shukran mungu akueke
@mrsrashidomar11653 жыл бұрын
Assalam alaykum,,, sheikh Ahsante kwa kutupa elimu Allah akupe ujira wako lakini mimi ninae mtu namdai ila tuko mbali mbali yeye yupo Dar nafanyaje nimpigie simu then niwe nafikicha hivyo hivyo au nifanye vipi
@AbdulHamid-r9o3 ай бұрын
mng akubariki
@suheilahsuheilah49682 жыл бұрын
Mashaallah subhanallah
@mahewamahewa64613 жыл бұрын
Asante shehe
@salimsalim84213 жыл бұрын
Waalekum msalam warah matuAllah wabaraqat
@mwasitiissa9721 Жыл бұрын
Shee .naomba utuonyeshe daea ya sukali
@alliyabdalla80833 жыл бұрын
Kikao kikao kikao wanaume wote tukutane saa kumi tunasalitiwa huku na shekhe anatoa siri zakambi
Shehe tunaomba utufahamishe dawa za kuvuta wateja kwa wingi inshaallah
@abdallahkelly67743 жыл бұрын
Huo mti nilikua nikiutumia wakati nilipokua shule, Ususani pale nnapokua na keshi na mwalimu
@samiasadiki29283 жыл бұрын
Haunekani vizuri
@tauhidambarouk42373 жыл бұрын
Mashallah
@abdallamunye85463 жыл бұрын
Insha alaah
@nafuumatata54243 жыл бұрын
asante sana mahalim .na je kama wadai pesa kwa chama ama kwa kuzungushwa pesa kwa acounty yako kutotolewa saving je tufanyeje
@zainabmohammed13053 жыл бұрын
Maashaa llah
@aliabdul20103 жыл бұрын
Masha ALLAH
@ismailelmazrui37433 жыл бұрын
Mashaallah mm naujua kwa jina la mvuma nyuki pia ni dawa ya mapunye ukisugulia ua lake Mara kwa Mara yanapotea na nywele zinaota
@Aime-q4o6 ай бұрын
Nataka dawa ya kumufinga Muke wangu ASI ende inje ya ndowa
@AmriMnalihinga6 ай бұрын
Asalamu aleikum shekh, naswari chumya ni mti Gani? Au wasukuma wanaita magungulu, nipe sample yake siujui
@ikambayi17tv Жыл бұрын
Salama anlaykm warahmatulilah Wabarakatuh
@saadamasa82763 жыл бұрын
Mashllah
@lulubintrashid19033 жыл бұрын
Shukran
@nabirabakary42093 жыл бұрын
mimi nikija Tz lazima nikufate huko huko Zenji unipe ujuzi zaidi make kwetu wachawi wapo kibao
@osamashakeeb71943 жыл бұрын
Masha Allah ❤
@selemanali50533 жыл бұрын
Shekhe uoneshe vizur huo mti
@jeffersonmontero35972 жыл бұрын
👍👍👌👌🙏🙏
@geninoor60153 жыл бұрын
MashaAllah
@rahelmfinanga56002 жыл бұрын
Tanzania
@Godneverfailed3 жыл бұрын
Sheikh niko na mashilingi ya kichawi mauwa ya mvunja kesi yatanisaidia?
@fadiashami63813 жыл бұрын
🙏🙏
@welcome-qk6ps3 жыл бұрын
Hm
@sukariyao65373 жыл бұрын
Naomba nisaidie kitu huku kwetu mbona amna mti huuuu
@kawawamaige29732 жыл бұрын
Nikweli bora tuchangie kwa faida tunayopata
@nyong18273 жыл бұрын
Haipatikani huku uganda
@VickKulekana-si1ib Жыл бұрын
Mcheka na mwana
@halimaabdallah43773 жыл бұрын
Na ukipata iyo misahafu uletewe wapi shekh
@rosetanzania90993 жыл бұрын
Ayo n maua uku bara tena nililuwa nimeoteshaga nyumbn kwetu ila sasahivi haupo ulishapoteaaga miaka kama 6 hata mtaani hakuna kabisa tena ulikuwa unapatikana kanisanii
@khamiskhamis37732 жыл бұрын
Namba yko ya sim tunaomba
@cadhimberec12863 жыл бұрын
Mti huu Tanga tunauita kivunja hukumu mm nakumbuka nlipokua mdogo nikisikia Leo madrasa kunabakora basi nlikùa nachuma maua yake nayanuilia nasema kivunja hukumu nakupenda nisaidie nisichapwe madrasa lile ua naliweka kwenye juzuu kweli nlikùa cichapwi hata nlikùa nikifanya ukorofi nyumban naenda kuchuma nanulia nisichapwe home nlikua sichapwi lkn kpindi hicho nlkua mdogo miaka10 muda mrefu cjauona Leo shehe umenikumbusha mbali
@fatmamansour23693 жыл бұрын
Haha umenichekesha unafanya makosa kisha unaenda kwenye mti wako unachuma na kuomba
@cadhimberec12863 жыл бұрын
@@fatmamansour2369 🤣🤣🤣ehh nlikùa nauamin sana nlipokua mdogo sasa shehe amenikumbusha na amenipa elimu zaid sasa nmezid kuupenda
@ruqayaruqaya42833 жыл бұрын
😀😀we noma
@VickKulekana-si1ib Жыл бұрын
Haha ata yeye anayetufundisha uyo Kuna mti flani nap unavunja kesi akasema Kama ivyo mdrasa walikuwa wakichelewa wanaomba hawachapwi
@VickKulekana-si1ib Жыл бұрын
Mchekewa uwo tulifundishwa ata Kama mtu alikununia atakuchekea
@grasyasajilo8175 Жыл бұрын
Nauhitaji huu mti nitaupataje
@priscahmoraa1741 Жыл бұрын
Nisaidie number plz niko na shinda haki
@selemanimpilipili17133 жыл бұрын
Shekhe,mchekanambingu ndio mpasuajabari?
@willysonwille80792 жыл бұрын
Kaka shkmoo naitaji hyo mtii Nita ipatajeh kka
@maryjack93692 жыл бұрын
Je kama udaoye tuko mbali ufanyaje Ili akulipe
@alikamwetv80473 жыл бұрын
Dashif samahani ivi kuna dawa ya kusaidia kupata michezo ya kubahatisha?
@alfajrtvtzonline93153 жыл бұрын
Hatuna
@anganilekajigilikajigili26413 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂 kubahatisha
@shimafuad68683 жыл бұрын
Usicheze ndo dawa yake
@mwasitiissa9721 Жыл бұрын
Shee usogeze uo mti hatuoni
@mariamumohamed15233 жыл бұрын
A.alaikum.iyo misaafu lazima iwe yote kwa pmj au yoyote ulojaaliwa?
@alfajrtvtzonline93153 жыл бұрын
Waalykum salaam utojaaliwa
@mariamumohamed15233 жыл бұрын
Samahan wengn uelewa wetu mdogo wapi ipelekwe
@alfajrtvtzonline93153 жыл бұрын
Ofisini kwetu piga izo namba apo
@mariamumohamed15233 жыл бұрын
Shukran jaziila.allahumma baarik
@athumaniselemani88437 ай бұрын
?? Mtope tope upi mtope poli au ule unaepandwa majumbani
@williamwekesa70652 жыл бұрын
Nieleweshi kweli muvu ja kezi kwa nieleweshi please
@biabuhafidhi8682 жыл бұрын
Nakumbuka nalikua nikikosea mamu naenda kutunda majani yake namwanga mlangoni
@nas_square4923 жыл бұрын
Huu si unaitwa mvuma nyuki
@fikilikazimali45292 жыл бұрын
Kaka hunavitabu
@zamzamrashid95343 жыл бұрын
Pemba unaitwa mvuma nyuki
@judithkatabaro32949 ай бұрын
Si unaona nyuki anavyo upenda apo
@MasudiSaidi-i9q Жыл бұрын
Nivipi nipata humuti
@nonofavor7432 жыл бұрын
Ukitaka fufukuza mtu mweny kukusumbuwa haripi kodi viri ni musumbufu utafanya vipi
@puritykenga72712 жыл бұрын
Mimi nataka dawa ya kumtoa mutu gerezani
@kakatuchart63483 жыл бұрын
Kaka tux Cj-8
@yakobosengasu8073 Жыл бұрын
Je mtu akiwa mbali inakuwaje
@barakaerasmos65242 жыл бұрын
Naupataje huo mti maana nahitaji
@sharieframadhani992 жыл бұрын
Upo sw sheikh wewe ni mkweli
@mikidadimuhando23153 жыл бұрын
Zoom tuone ulivyo
@rachellebahati61263 жыл бұрын
Pls tupatie number yako ya what's up
@suheilahsuheilah7173 жыл бұрын
mashaallah
@rahelmfinanga56002 жыл бұрын
Tanzania
@mkasrmohammed37943 жыл бұрын
Mashaallah
@rahelmfinanga56002 жыл бұрын
Tanzania
@rahelmfinanga56002 жыл бұрын
Tanzania
@laurentnyembo70782 жыл бұрын
J'ai un problèmes,je demande par la grâce et l'amour que Dieu t'a donné, aide moi à trouver la bonne solution pour bien nous encourager à assister.🙏
@fareedatrash66511 ай бұрын
kama mtu simpati kwa simu sheikh yussufu na namdai