Huyu mama mkubwa alikuwa na mpango mchafu juu ya huyo mtoto, walitaka kumtoa kafara wasingizie alipotea,Mungu nipe umri mrefu nilee watoto wangu mwenyewe
@matildamushi17412 жыл бұрын
Shida wanawake mnapenda sana kuolewa olewa hamuangalii umri mlionao unaacha watoto kwa ndugu ili ukaolewe huku mkiaminiMaisha yanaweza kuwa mazuri
@emmanueltuppa54592 жыл бұрын
Ukiwa hai mlee mwanao,usimwamini mtu inasikitisha mno
@OfficialA836402 жыл бұрын
Subhannallah 😭 😭 😭 Haya mambo yanatuumiza tuliopo nje tumeacha watoto jaman tumuamini nani dunia hii ndugu wabaya mama wa kambo wabaya sasa tufanyaje na maisha yanatuumiza mno eeh Mungu tulindie vizazi vyetu🤲
@mwanaidiali61662 жыл бұрын
Mwenzangu mungu atulindie kwakua tupo kwa ajili yakuwatafutia rizki
@maphitamaphita30912 жыл бұрын
Mung atujaarie maana tulipo mbal sn
@prettynayally21772 жыл бұрын
Nyie ach3ni tu nikiona hiv naishiwa nguv
@ashuuuaisha91222 жыл бұрын
My dear Allah atuhifadhie inshaallah yaaaani wee achaa sisemi kitu
@aishachambo86632 жыл бұрын
Tulee watoto wetu jamani ndugu wamebadilika sana
@jonzinamwakisyala107 Жыл бұрын
Mmmmh mungu nipe uzima kwa ajili ya wanangu!
@neemazee18642 жыл бұрын
Khaaaaaaaaa ma mkuu ndio unafanya ivyo ni Ajabu xna, kwanza wangemchapa viboko 100 kabra ya yote ... ....!!!!
@maidamwaipopo96032 жыл бұрын
Simpi mtu mwanangu nikiwa nipo hai
@auntdorah91412 жыл бұрын
Alikua na nia ya kumpeleka wapi?!! Jamani kina mama, pambana na hali yako, umezaa lea, kile utakula atakula! Ndg au baba/ mama wa kambo hawaaminiki kabisa dunia ya leo! Mungu atusaidie sana.
@evachuw80922 жыл бұрын
Mama uyo apelekwe kwenye kiwanja Cha Kijiji mwano upigwe wananchi watoke. Wote schapwe hayo matako Hadi azirai 😭
@kirigitidorothy7201 Жыл бұрын
😄😄😄😄
@raheljoshua67252 жыл бұрын
Chukua mwanao dada acha upumbavu uyo mtoto umlee mwenyewe
@mdzainb37222 жыл бұрын
Mmmmh mtihani kazi kweli kweli au alikuwa anataka kumtoa kafara
@hanifatanzania72582 жыл бұрын
Umeonaee mpaka mtu unahisi vibaya kwanini amfungie ndani alafu atangaze kapotea mmmmmmm kunakituhapo
@joycekalago5326 ай бұрын
Mama wa mtoto mwenyewe anaonekana punguani hata uongeaji wake linaongea linaremba kinadhan kuna mtu anakitaka hapo,kwanza kiko kawaida hata hof hakina😢😢😢
@mercypeter1622 жыл бұрын
Nachukie wanawake wenye NGUVU zao. Wanaoacha watoto wao walelewe Na watu wengine wao wanakula Bata
@hamidaalhabsi85682 жыл бұрын
Subhanaallah ukatili gani huo jamani umfungie ndani mtoto siku TATU bila chakula na wewe ni mama mkumbwa ukatili gani huo jamani
@nassorhaji26372 жыл бұрын
Ndo muwe makini mnapopeleka watoto kulelewa
@zenakihondo51952 жыл бұрын
Jaman jaman ubinadamu unaenda WAP mbona wanawake tuna roho ngumu natunajua uchungu wa Reba serika ebu mpeni adhabu uyu mama aliyefanya ivyo afungiwe wiki nzima asipewe maji wala chakula muuaji uyo.
@rhodamwakaje7782 жыл бұрын
Mnapenda dezo bint mbich anagawa mtoto km nyanya
@sophiamirambo96562 жыл бұрын
Meonaaa wanawake wengine wa ajabu sana
@angeljasson43762 жыл бұрын
Alitaka kumuuwa kwa mambo ya kishetan
@elizabethmukeba25284 ай бұрын
Wazazi fungueni akili kulelewa watoto hata maisha ni magumu mungangane na watoto wenu ukiza na ule mwenyewe
@hanifatanzania72582 жыл бұрын
Kunakitu kixito hapo kwa mama mkubwa huyomlezi
@subirajohn7282 жыл бұрын
Jamani tukae na watoto wetu sasa hivi dunia imani imekwisha jamani!
@sudymgeni7012 жыл бұрын
Sasa amepotea au alifungiwa ndani.mana alikutwa hapo hapo home.mmm jamani jamani mengine wacheni kuchanganya watanzania
@peninamsuko48582 жыл бұрын
U si amini m2 katikahii dunia amini mungu 2
@maswamills31612 жыл бұрын
Kama uliweza kubeba mimba miezi 9 ,ukamzaa unashindwa Nini kuwa na mtoto mama.??????
@babuloliondo74 Жыл бұрын
Kwanza mume anaye taka kukuwoa mwambiye namtoto au watoto sasa mnakua mnaficha nini simambo yahajabu
@sabihahamadi22872 жыл бұрын
Mtihani inawezekana yote hayo ni mambo ya tamaaaa
@tatumwakitwange83692 жыл бұрын
Huyo ma mkubwa alitaka kumua huyo mtoto
@patrinussanga30812 жыл бұрын
Hiyo mama si anauza yeboyebo black
@maswamills3161 Жыл бұрын
Wamama walezi na mama wakambo wanatesa jamani.
@verdianabanabi22052 жыл бұрын
huyo mama kwa mungu atajibuje
@khadijahali48372 жыл бұрын
Duuuuh
@janejohn10832 жыл бұрын
Uwiii
@munakhamis9822 жыл бұрын
Alitak kumuuwa binadam sis jmn
@sarafiamakilika99752 жыл бұрын
Acheni kumpa ma mkubwa lawama, ameshachoka kulelea lkn mnaaminije kuwa mtoto hajala siku tatu? Hebu huyo mama abebe mwanae aende nae bwana,maisha magumu bwana aende na mamaake,hapo ma mkubwa alitumia saikolojia tu,pengine mamaake aligoma kuchukua je? Leeni watoto wenu,acheni dezo dezo mtaua watoto
@nasraomari72352 жыл бұрын
Roho yake tuu mbay uyo mama mkubw au ushirkin tu apo nd umfanyie ivo mtt wa ndugu yak
@khadijahali48372 жыл бұрын
Km kachoka amwambie tuu amchukue mwanae bc
@sophialemmpalasu41332 жыл бұрын
Huyo mama mchawi Nini?
@keytanwhite48472 жыл бұрын
huyo mmama wakupigwa hazalani
@maryamabdullah91692 жыл бұрын
Saivi binaadamu hawaaminiki
@lilianwaflotina12882 жыл бұрын
hee makubwa
@MuunganoMwakifwambaАй бұрын
Mh,
@alhamdulillah57962 жыл бұрын
Mtu uhai mzima na hupo nje km unafanya kazi upo hapo hapo unaachaje kulea mwanao km si uvivu? Mtto kulea ni kazi ndio mana kazi hio w'ke wavivu na wanaopenda dunia hawaiwezi. Sasa utamlaumu vp mtu mwengine na ww mwenyewe ilikushinda?
@keytanwhite48472 жыл бұрын
apewe kipigo mamamkubwa
@sophiamirambo96562 жыл бұрын
Waandishi hawajielewi unauliza swali moja mara mbili hadi mtu unaona kazi kusikiliza
@esterhezron6143 Жыл бұрын
Yan mwandishi mahumashi huyu hatr
@yukundapeter82002 жыл бұрын
Hilo limama lilitaka kumtoa kafara
@getrudathomas5352 жыл бұрын
Mamkubwa huyu sio mtu mzuri achunguzwe
@sabinachachaghatinafajiwan9830 Жыл бұрын
Acha nife na wakwanga hata nikilala jaa ila niwe na amani jamani uchungu. Sana.