Рет қаралды 14,776
Mtoto wa miaka miwili, aliyekuwa hajulikani aliko baada ya yaya wao kutoweka naye hatimaye amepatikana. Annabel Njagi alipatikana katika mkahawa mmoja mjini Nakuru siku moja baada ya nipashe kuangazia masaibu ya familia hiyo inayoishi Zimmerman.