Ma sha Allah ikiwa anafahamu nzuri mpeleke hifd quran.itamfaa leo duniani na kesho akhera.
@omarynassor63133 жыл бұрын
Good
@hatamimnimempendabulejaman15963 жыл бұрын
Napendaga vitoto kama hivyo vidogo vyenye akil nilivyokuwa mdogo nilikuwa hivyo hivyo nilikuwa najuwa Majina mengi ya viongoz wale wa kwenye historia tuliofundishwa
@hatamimnimempendabulejaman15963 жыл бұрын
Anafanya kazi ya Corona wazir wa afya na kwel alikuwa anasisitiza mambo ya Corona nilikuwa naonaga😁
@hatamimnimempendabulejaman15963 жыл бұрын
Kafanana na mama, yake
@hatamimnimempendabulejaman15963 жыл бұрын
Ukiangalia habar utajuwa vingi. Hata baba mpenzi Sana wa taarifa ya habar hatakagi impite paka mikanda ya taarifa ya habar anayo
@shom12293 жыл бұрын
Yani mimi ushangaa sana sisi wazazi wakiislam..yani mtoto mashaAllah Allah kampa fahamu..badala yakumfundisha majina ya Allah na mtume..lakini mwataka sifa za dunia subhanaLlah..wallah siku ya kiama tutajuta sana..huo ni msiba sio sifa..
@abuyunusmohamed69613 жыл бұрын
kweli kabisa badala ya kumhifadhisha quran,majina ya Allah,hadithi za mtume wanamhifadhisha mambo ya kipuuzi .
@alisalum67333 жыл бұрын
Tatzo ss wenyewe hatujuw labda tuwapeleke madrasa
@samsungj7pro64gb53 жыл бұрын
@@abuyunusmohamed6961 mh kwakweri inaskitisha sanaa nimtihani wallah
@shangwekamando25993 жыл бұрын
Usikute anawajua
@velomudy66722 жыл бұрын
Nyie mmejuaje ajafundshwa hayo
@fatommmaff7054 жыл бұрын
Mashaallah mtoto mana siewengine nandevuzetu kilapahali atuwajui haomarais zaidi yamagufuli ongera sana ndoushajaaliwa
@salumumuhunzi9163 жыл бұрын
Ndio mmoja uyo
@flyboyalpha40394 жыл бұрын
i love her❤️ mashallah😍
@sabraabdilnasir88263 жыл бұрын
Mashaallah Mashaallah Mhifazisheni Quran pia ndio mpango mzima
@samsungj7pro64gb53 жыл бұрын
Haswaaa
@cinderellahkatila12263 жыл бұрын
Waaah mpendwa 9
@nazhakesi49743 жыл бұрын
Maashallah Asmahan Mungu akulinde na akupe mafanikio ktk ukuaji wako duniani na akhera pamoja na vizazi vyetu aamiin aamiin.
@fra9672 жыл бұрын
Hongerasanamunguailindendotoyako
@farhatomar74953 жыл бұрын
Wallhi kinafujo 😂😂😂😂👌👌👌Mashallh allah amuhifadh inshallh
@ahluudiinnan13013 жыл бұрын
Mashaallah
@assfzainab9123 жыл бұрын
MashaALLAH tena yuyasema kama mzaha mtoto mola akuajalie umri mrefu na kujua mungu
@philomenamakonge2273 жыл бұрын
Anapenda awe Rais wa nchi Mungu baba akutangulie ktk kutimiza malengo yako binti yangu
@lucykilonzo27493 жыл бұрын
Arusha yupo w Miaka miwilii...... N genius atr
@annamushi23903 жыл бұрын
Duh mungu akuweke mashaallah icho kipaji
@francineciza18884 жыл бұрын
Jamani mtoto waakirinyingi sanamungu kamujaria kipajicaajabu anamutaja Rais wetuwaburundi Evariste ndayishimiye respect sanamtotowaakiri.
@nailaomar48104 жыл бұрын
Mashaallah Allah amuhifadhi amzidishie na akili ya kusoma so quiet mashaallah
@shifaaal-baity45033 жыл бұрын
Masha Allah 💝💝💝😍🤩😘
@lamyaally51623 жыл бұрын
Mashalla dogo genius 👍
@sassboy93604 жыл бұрын
Mashallah asma khan
@scolasticaemmanuel40103 жыл бұрын
Mungu anaumba .Hongera wazazi wa mtoto
@akshaydavid1593 жыл бұрын
Huyu ndo atakuwa Raisi wakwanza mwanamke nchini Zanzibar baada ya kukombolewa na mwamba maalim seif.
@khamiskhamis76493 жыл бұрын
Hhhhhh
@verona17893 жыл бұрын
Duh sijui iyo
@yussufomar14893 жыл бұрын
Acha usnich
@manchestercitybettartv59223 жыл бұрын
watoto mungu awalinde
@nostressfreedom74314 жыл бұрын
😅😅😅😅😅😅😅Jomani Mtoto Marshall Allah amueke aje kuwa mtu mkubwa mweny fayida ya I chi. Amiin
@sabraabdilnasir88263 жыл бұрын
Mashaallah Mashaallah
@niyongereniyongere46473 жыл бұрын
Mungu amubariki mtoto kabisa nimependa sana jinsi ali pronounce president wa Burundi na USA
@jeannedarcngoga20163 жыл бұрын
Wavyunvise 😀 raisi wa Burundi ndayishimiyeeeeeeeeeee😂😂😂
@makamehaji26093 жыл бұрын
Masha Allah
@philomenamakonge2273 жыл бұрын
Hapendi marafiki.... nimeipenda sana hiyo
@willsonlunju67413 жыл бұрын
Allah ambaliki
@leiyolaizer35443 жыл бұрын
Keep it up uko vizuri
@johngoodboy87353 жыл бұрын
God bless this kids John from burundi
@abezadamuor735810 ай бұрын
🙋🙋🙋🙋🙏🇿🇦💯
@salummzee97393 жыл бұрын
Una muhusudi Allah mtoto mwenye neema na ufahamu akiwa mdogo huwa hatangazwi km Ngombe mnadani ata husudika Musio Ufahar ukapata kichwa mitihan unamtengezea
@mudriqhamidu60313 жыл бұрын
Tunafanya hvyo kwa kupata sifa za ajilikane mitandaoni, na lupata ujinga wa dunia, mashaallah mama jina zuri bt mtt baada mumfundushe maswala ya dini ayashike
@salummzee97393 жыл бұрын
@@mudriqhamidu6031 umeonaee tunapenda sifa ya kijnga mtoto una mtengeza akuliye umalala mapema
@denisimaliyaweni91833 жыл бұрын
Ndo ninyi huwa mnawaficha walemavu kwan kuna shida gan hapo wakat anaweza pata udhamin wa masomo bureee na shule kubwa zinazofanya vizur
@tumakassim62863 жыл бұрын
Kachangamka huyo mashallah
@annamushi23903 жыл бұрын
Icho kipaji au miujiza sie mijitu mizima hatujuwi zaidi ya watanzania
@christinashaban72623 жыл бұрын
Kabisa
@johngoodboy87353 жыл бұрын
KUNA rais WA East Africa pia nijirani natanzania hamujamhoji JINARAKe mumufanya. Veme Juu sio raisi anafaa kufahamika nawatoto wanao kua KWASASA good news congratulations
@zwainazwaina98083 жыл бұрын
Mashllh
@RioIpo4 жыл бұрын
Wallah Asmakhan mwehu eti mie mkorea hahaha
@mwajabumussa48603 жыл бұрын
Karonaa barakoa
@fatumakimaro43283 жыл бұрын
Allah amjalie na makuzi yake
@aminajuma3 жыл бұрын
mashallah
@seifmasanga86583 жыл бұрын
Mashallah baby girl
@nkubitojaffar5583 жыл бұрын
ako katoto ni mekapenda sana masha allah
@heykids67924 жыл бұрын
Baba yuleee..😂 Dooh MashaAllah
@kylesmeight48374 жыл бұрын
Zanzibar
@aby211113 жыл бұрын
In the USA would be highly supported and sponsored.
@machanokhamiss58663 жыл бұрын
Mashallah
@officialeyxher30303 жыл бұрын
Wow!!
@shixeoshxs72763 жыл бұрын
Labda mimi nishauri watt kama hawa ni vizuri kuwaelekeza ktk misingi ya dini yao nazani Hilo linamanufaa zaidi kwa kweyy na wazazi wake na mungu ataleta kheri inshaallah
@niwemugenimediatrice56403 жыл бұрын
Ulinena maana mambo haya ya dunia.....
@salimharrasy7047 Жыл бұрын
Kweli kabisa.
@fadhilsheha10703 жыл бұрын
Huyo mama anaishi Zanzibar ila hana asili ya zanzibar kwa muonekano wke jins alivyo
@velomudy66722 жыл бұрын
Sio kila MTU anaeishi zanzbr aishi kiznzbr acha ushamb wengn wamekuj kwa lah zao
@salimharrasy7047 Жыл бұрын
Binadamu wote sawa. Katuumba Allah.
@buddahmakucha68483 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂 keleeele
@tinawanandi24463 жыл бұрын
Nc
@beatriceamber45323 жыл бұрын
Mtoto anajua ila utani mwingi
@dorcaskidoti2493 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 nimecheka kwa sauti kubwa jmn duuuh huyu mtt nimotooooooo
@hawaashaban38794 жыл бұрын
Jamaniiii...mbona nduru😄😄😄ati anafanya corona
@dorcaskidoti2493 жыл бұрын
Mtoto ana kipaji cha ajabu mwandishi anatumia daftali kuangalia maswali ndo aulize na udhibitisha apo apo, ila mtoto yeye anajibu kutoka kichwaniiii, ila mtoto ana masihara hajui watu wako kzn jmn ?😂😂😂😂😂😂😂😂
@maryamjamal39973 жыл бұрын
Asalam aleikum mama ushauri wetu mpeleke akahifadhi quran Hiyo ni zawadi kutoka kwa allah
@abdulsalum95204 жыл бұрын
bless
@rashidkalimbo24513 жыл бұрын
Mama naye yuko sawa, inaonekana anajua kuchambua psychology, anayosema ni ukweli watoto wengi huwa hawashiki jidude kubwa liko darasa la 5 lakini utamwambia Waziri wake zaidi ya Mwezi ndio ashike majina yake yote....
@philomenamakonge2273 жыл бұрын
Mungu mkubwa amsaidie saana
@user-mv8pv1du6b3 ай бұрын
Mabwabwa kweli nyie..kwanza akili za ajabu mnazijua ninyi!!?Yatapotea hayo wala hayadumu maana mnayapambania sana yadunia hii
@ashritaabdallah64744 жыл бұрын
Nyie mnaona fakhari gani kuwatoa watoto mitandaoni kutafuta husda tu
@bakariuzima51213 жыл бұрын
Huna jipya wewe loho mbaya tu
@manchestercitybettartv59223 жыл бұрын
we wako kama hawezi piga chini unakuwa kaa mkund
@yumnemohd63583 жыл бұрын
Mashallah Asmakhan wetu was Mwera, kwetu huyo
@evelynebwire76843 жыл бұрын
Ashrita Abdallah hujui maana ya malezi wewe jifunze kwanza
@elieshishamy99023 жыл бұрын
Acha gubu we uloweka wa kwako ndani umefaidi nn ,mwache dogo aonyeshe kipaji huwez kujua kesho yake
@TeamKRX3 жыл бұрын
Mi hata nifugwe jela mpaka Miaka Mia nitajua rabda 5 😂😂😂😂😂
@dorcaskidoti2493 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂 mie 3 tu
@jenyyusuph49733 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣Anafanya kazi gani? Corona na baikola
@saidmbaruk5223 жыл бұрын
Muhifadhisheni quraan
@samsungj7pro64gb53 жыл бұрын
Kabisaaa yaani
@ibrahimothman93693 жыл бұрын
Et baba yuleeeeee
@maryammarham28623 жыл бұрын
7
@hawwahawwa95903 жыл бұрын
Umii kazii yakzi yakee corona 😂😂😂🙌
@teddyabely15943 жыл бұрын
O
@hatamimnimempendabulejaman15963 жыл бұрын
Kazur kama kale kakiume ka zenj uko uko kanachojuwa marais
@abuyunusmohamed69613 жыл бұрын
laiti hawa wazazi wangemhifadhisha huyu mtoto quran wangepata thawabu sana.Wanamhifadhisha mambo ya kipuuzi na kumpotezea muda wake wa kucheza na watoto wenzake
@RahimaMct-ik8mr2 ай бұрын
Kweli kabisa mana ana umelewa vizur mashallah lakin Hawa wazazi sasa mtihan
@rashidkalimbo24513 жыл бұрын
AKOKO ODERO GOGNI of YIMBO
@mamyrylovemeagain24063 жыл бұрын
Mungu amuongoe ila ndo itafutika akijua kutongozwa2 uyo