Рет қаралды 29,041
Familia ya Kennedy Onyango Ouma, mtoto mwenye umri wa miaka 12 aliyefariki baada ya kupigwa risasi katika ghasia za maandamano mtaani ongata rongai kaunti ya kajiado sasa inalilia haki .katika maandamano hayo polisi wawili walijeruhiwa na kupokonywa bunduki zao na wandamanaji na baadaye kurejeshewa silaha hizo