MTOTO wa MZEE MWINYI AMWAGA MACHOZI - AMLIZA HADI KAKA'KE RAIS MWINYI - "HAKUWAHI KUUMWA KABLA"...

  Рет қаралды 299,766

Global TV  Online

Global TV Online

Күн бұрын

MTOTO wa MZEE MWINYI AMWAGA MACHOZI - AMLIZA HADI KAKA'KE RAIS MWINYI - "HAKUWAHI KUUMWA KABLA"...
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Пікірлер: 239
@globaltv_online
@globaltv_online 7 ай бұрын
JIUNGE KWENYE CHANELI YETU YA WHATSAP ==> whatsapp.com/channel/0029Va7u...
@TheB920
@TheB920 7 ай бұрын
Sisi Wakenya tunaendelea kuwaombea. Mungu awape nguvu familia ha Raisi mstaafu Mheshimiwa Mwinyi. Mungu awape nguvu serikali ya Tanzania na ndugu zetu Watanzania ❤
@essammanyologa3934
@essammanyologa3934 7 ай бұрын
This is guy is strong, and of course he has a very command of speeches. Mwinyi raised intelligent sons!
@fadhilindunguru7946
@fadhilindunguru7946 7 ай бұрын
Swahili pliz
@preciouspeter6126
@preciouspeter6126 7 ай бұрын
I agree
@EdnaMrema
@EdnaMrema 7 ай бұрын
Poleni sana yote ni mapenzi ya Mungu na ni njia ya kila mtu amin
@savannacollection5205
@savannacollection5205 7 ай бұрын
Inna Lillahi Waina Ileyhi Rajiun, Allah [S.W] ampe kauli thabit ,amuondole adhabu ya moto na ya kaburi, ampe kitabu chake kwa mkono wa kulia na amuweke miongoni mwa waja wema JANNAT FIRDAUS, pia na wazee wetu na families walio tangulia tukutane tena Allah atukutanishe tena kwenye pepo yake ALLAH ATUPE SUBRA FAMILY NA SISI SOTE KUONDOKEWA NA MZEE WETU , KIONGOZI , MENTOR ,ROLE MODEL, MWALIMU BABU NA BABA YETU MPENDWA ALLAH AKURAMU.
@ايتيتووينويو
@ايتيتووينويو 7 ай бұрын
Kufiwa hakuna ukubwa kiukweli inaumiza Mungu awape subra
@Petro-ip8mi
@Petro-ip8mi 7 ай бұрын
Mungu alitoa na bwana ametwaa jina la baba lihimidiwe amina
@shadyasaid1908
@shadyasaid1908 7 ай бұрын
Poleni wanafamilia kwa kuondokea na mzee wenu mpendwa inauma ila kazi ya mungu Haina makosa nmetokwa na machozi pole rais wetu mpendwa kuweni na subra
@marthamungure1777
@marthamungure1777 7 ай бұрын
Amemaliza safari yake.
@hafsalucky1088
@hafsalucky1088 7 ай бұрын
Mungu ampuzishe Kwa Amani Mzee wetu Mwinyi 🙏
@ZainabuIddy-r1o
@ZainabuIddy-r1o 7 ай бұрын
Pole sana kaka Mungu awape nguvu katika kipindi hiki kigumuuuuuu sana pamoja na Sisi watanzania wote kwa ujumla pumzika Kwa aman Mzee wetu Babu yetu kipenz yote ni mipango ya Mungu ishallaah Allaah ❤️😭
@abelimwakijungu1226
@abelimwakijungu1226 7 ай бұрын
Inaonyesha aliwapenda sana watoto wake, ndio maana wanasikia huzuni. Shukrani Mzee Mwinyi kwa zawadi ya maisha yako kututumikia Watanzania vema na kwa unyenyekevu.
@Kazijahajj
@Kazijahajj 7 ай бұрын
Allah amfanyie wepes katika safari yake inshaallah
@ashuumuhammad8269
@ashuumuhammad8269 7 ай бұрын
Allah amsameh,amrehem amjaalie kaburi liwe ni miongoni mwa viwanja vya peponi..Amiin
@NeemaLwoga-s4c
@NeemaLwoga-s4c 7 ай бұрын
Poleni sana wanafamilia nimeumia sanaa kwa kweli uyu kaka kaniliza kbs 😢😢
@muhammadmuhammad5043
@muhammadmuhammad5043 7 ай бұрын
Poleni Sana Allah Akupeni Moyo Wasubra Hili Niletu Sote Allah Ammpe Malazi Meme Amughufiriye Kilaalilokosea Ndio Mja Allah Amjaalie Qaulthabit Yarabiy Amjaalie Qabriyake Liwe Minalriaadhiljannnah Yarabiy..
@mwajabuswedi2252
@mwajabuswedi2252 7 ай бұрын
Innalilah waina ilaih Rajiun. Mungu awape nguvu katika kipindi hiki kigumu. Mwenyezi mungu aiweke roho ya mzee wetu pahala pema inshallah
@athanasmalatabu7573
@athanasmalatabu7573 7 ай бұрын
Poleni sana familia ya Mzee Ally Hassan Mwinyi. Hayati Mzee Mwinyi atakumbikwa daima Kwa uungwana, ukarimu, utu na uzalendo Kwa Taifa lake! R. I. P Mzee Mwinyi
@UstadhImran
@UstadhImran 7 ай бұрын
Mungu amlaze mahalipema pepon Amin kikubwa kwa Sasa nikumuombeya duwa t tuweni pole 😭😭😭
@TwalaaTaib
@TwalaaTaib 7 ай бұрын
Aa Poleni sana ameondoka mtu wa watu na akipenda watu.Allah amuweka mahala pema peponi❤❤❤Frm Kenya
@RaphaelMgonja-zd6kp
@RaphaelMgonja-zd6kp 7 ай бұрын
Poleni sana ndugu zetu mungu amrehemu pema peponi apumzike kwa amani mzee wetu .
@ayshaaysha2165
@ayshaaysha2165 7 ай бұрын
Pole sana mwenyezi mungu awapeni subira na uvumirivu Kwa wakati huu mgumu
@nasramassawe5794
@nasramassawe5794 7 ай бұрын
Mungu amlaze mahali pema peponi usilie kaka jikaze umeniliza sana
@NuruJumanneHamimu
@NuruJumanneHamimu 7 ай бұрын
Poleni Sana Alla awatie nguvu nasitupo pamoja ktk kipind hiki kigum Allah ampe kauli dhabit ktk balizaaa
@rabanphotostudionyakanazi_4115
@rabanphotostudionyakanazi_4115 7 ай бұрын
Asante,groba
@nassoromussa2423
@nassoromussa2423 7 ай бұрын
Poleni sana familia ya mzee Mwinyi,,pole Rais wetu(mama Samia).
@rizikinassor5618
@rizikinassor5618 7 ай бұрын
Allahuma arhamhu waskinahum fil jannah🇰🇪🇰🇪🇰🇪😭😭😭
@bibiejuma5094
@bibiejuma5094 7 ай бұрын
Innalillah wainaillahim rajiunah Allah amsamehe alipomkosea na ampokee akiwa ameridhia mzee wetu Mwinyi
@johnsonmajura552
@johnsonmajura552 7 ай бұрын
Hapo anaejua machungu ya kufiwa ni yule mfiwa mwenyewe ila wengine ni kutoa saport tu na kuchekelea na kuchambuana basi
@magrethnkuba2643
@magrethnkuba2643 7 ай бұрын
Allah awatie nguvu wafiwa wote
@ChidAlly
@ChidAlly 7 ай бұрын
Mungu ampumzishe mzee wetu tuta kukumbuka sana I'll mungu amekupenda Zaid sisi tuko nyuma yako baba🙏🙏
@greysonmandai132
@greysonmandai132 7 ай бұрын
Poleni sana familia ya babu yetu mzee mwinyi
@mossimakamba8095
@mossimakamba8095 7 ай бұрын
Allahuma ghfirlahu waarhamhu wamaskanahu filjannah 🤲
@SamaTime-n9z
@SamaTime-n9z 7 ай бұрын
Pole sana familia ya mzee wetu🤲🏽🤲🏽
@stanslaushaule170
@stanslaushaule170 7 ай бұрын
Tuombe Mungu tuwe wakishua 🙏
@hassankatram5697
@hassankatram5697 7 ай бұрын
Allah amrehemu mzee wetu inshaAllah.....
@clememallya4257
@clememallya4257 7 ай бұрын
Peni sana familia ya mzee mwinyi. Apumzike jwa amani. Ni ngumu sana ila Allah ampe pumziko la milele
@LeahNjavike
@LeahNjavike 7 ай бұрын
Poleni Sana familia ya Mwinyi Kila nafsi itaonja mauti Mungu aiweke roho ya marehemu mahali pema peponi
@salmanassor8732
@salmanassor8732 7 ай бұрын
انلله ؤان اليه راجعون اللهم اغفر له وارحمه واسكنه الفردوس الأعلى
@Kauthar-ve6dk
@Kauthar-ve6dk 7 ай бұрын
امين 🤲🤲انشاء الله
@nasrahassan7346
@nasrahassan7346 7 ай бұрын
Poleni sana wana familiy wote na watz kwa ujumla hakika tumeumia pumzika kwa amani babu yetu hakika tutakukumbuka😢😢 msalimie mzee jpm
@Manyanyatv8551
@Manyanyatv8551 7 ай бұрын
‏‎‎إنا لله وإنا إليه راجعون اللهم اغفر له وارحمه واسكنه فسيح جناتك مع الصديقين والشهداء والصالحين
@noelahmsuyashawa8134
@noelahmsuyashawa8134 7 ай бұрын
Mungu Amrehemu Rais wetu he is indeed a role model kwenye kila sector
@aminaomary5567
@aminaomary5567 7 ай бұрын
Polen sana wafamilia.Mungu awatie moyo. Pia On green Madktari wa Hospital ya Mzena kwa kazi nzuri.
@michilita2959
@michilita2959 7 ай бұрын
Pole swahiba yangu Abdallah
@RichadiMsofe
@RichadiMsofe 7 ай бұрын
Dah mwenyez ndie anajua yote mzee mwinyi pumzika kwa Aman
@fatmaallyabdul1732
@fatmaallyabdul1732 7 ай бұрын
Kufiwa usikie kwa jirani tu,omba usifikwe japo ni ngumu😢😢Mungu awape nguvu na faraja familia,ndugu jamaa na watanzania wote kwa ujumla... Innalillah wainalillah rajiun,Mola wetu mtukufu tunakuomba umpokee Mzee wetu umpe jaanat firdaus,nasi tunakuomba utupe neema ya mwisho mwema Allaumah Amiin Rarab🤲
@himbokomussa3419
@himbokomussa3419 7 ай бұрын
Allah amsamehe mzee wetu madhambi yake.
@dorahmushi-we6ts
@dorahmushi-we6ts 7 ай бұрын
Mwacheni Alieee jamani, mzazi anaumaaaa, haijalishi kafa na umri ganiii, na ukizingatia upendo wa huyu baba Kwa familia yake na hata kwa nchi yake ...huyu kaka ameniliza hata mimi, maumivu ya kumpoteza mzazi nayajuaa... Poleni Sana wanafamilia na watanzania wotee 😭😭🙏
@amoursalum7486
@amoursalum7486 7 ай бұрын
Poleni sana, ndio maandiko ya Allah Muhimu subra na Dua kwake ili safari yake iwe nyepesi
@abdulkaleemmbarak6670
@abdulkaleemmbarak6670 7 ай бұрын
Mungu awape subra wakee na watoto wa mzee Ali Mwinyi na awalipe ujira mkubwa.
@herimallya3385
@herimallya3385 7 ай бұрын
Mungu Ampe Pumziko la Amani
@jk40895
@jk40895 7 ай бұрын
Apumzike kwa Amani Mzee Wetu!
@Aida-qh3jq
@Aida-qh3jq 7 ай бұрын
Inalilah wainalilah rajighun kazi yake mungu haina makosa leo kwake kesho kwetu yaarabi tupe njia sahihi nas tupe mwisho mwema
@francomwacha2262
@francomwacha2262 7 ай бұрын
Mm namuelewa.. nimeondokewa na baba yangu mzazi mwaka jana na hadi sasa nahc uchungu mwingi sana😢
@hajimuhidini1903
@hajimuhidini1903 7 ай бұрын
Allah amsamehe makosayake
@yusufathman2478
@yusufathman2478 7 ай бұрын
Has confidence on his speech.. like father like son
@naomicharles5444
@naomicharles5444 7 ай бұрын
He raised a very wised mans
@preciouspeter6126
@preciouspeter6126 7 ай бұрын
Kulia sio kutia aibu kaka, just cry huyo ni baba yako mzazi. We understand you
@faridaally-jp1gx
@faridaally-jp1gx 7 ай бұрын
Ni kweli siku nzito baba ni baba mama ni mama mzazi wako hata akiwa mtu mzima bado unamtamani poleni
@ThobiasMarandu
@ThobiasMarandu 7 ай бұрын
Wanalia Nini Mungu Alimjalia Baba yao Baraka za Ajabu, Alimpa Kibali cha Kukubalika na Kupendwa Dunia Nzima Amempa Maisha Marefu Ya Karibu Miaka 100. Ati Unalia Mwenye Shukurani na Fadhila Angemshukuru Mungu WAACHE UCHURO... Kuna Mama Anakufa Pale Hospitalini Akizaa Mtoto wake wa Kwanza Hy Wakilia Nitawaelewa! TUACHE KUMKUFURU MUNGU. Mimi Sipendi Unafiki Nasema Ukweli
@sabinahobe3478
@sabinahobe3478 7 ай бұрын
Ukweli upi sasa hapo? Huna uchungu kwa kuwa sio mzazi wako mzazi ni mzazi hata akiwa na miaka 200 unaumia akifa mana utaumisi upendo wake
@mwanaidiomari2183
@mwanaidiomari2183 7 ай бұрын
Mzazi hana mbadala ata awe na miaka elfu akiondoka utaumia tuu sababu ni mzazi wako mazoeaa
@mohamedhamismagoraonlinetv459
@mohamedhamismagoraonlinetv459 7 ай бұрын
Mpumbavu wewe
@ummyngayonga6522
@ummyngayonga6522 7 ай бұрын
Halijakufika likikufika utajua kwann wanalia mbali na neema alizo pewa baba yao
@amneali2804
@amneali2804 7 ай бұрын
Inna lillahi wainna ilayhi raajiuun Ee Mwenyezi Mungu mpokee vyema hayati Ali Hassan Mwinyi
@Mwanamkesahihi01
@Mwanamkesahihi01 7 ай бұрын
Amina pole sana
@Aminahlamranl420-hw2ie
@Aminahlamranl420-hw2ie 7 ай бұрын
Innalillah wainna illah rajioun. Allah ampe kaul thabir
@AdelisaGaudin
@AdelisaGaudin 7 ай бұрын
Mungu amlaze mahari pema pepon 😭😭
@SleepyBallet-yp2cu
@SleepyBallet-yp2cu 7 ай бұрын
Apumzike kwa aman babu yetu kiongozi wetu ameen
@SabahHassan-z7d
@SabahHassan-z7d 7 ай бұрын
Poleni sana Allah awape subira ishaallah
@aminamkumbi2054
@aminamkumbi2054 7 ай бұрын
Poleni Sana
@MatandikaOmari
@MatandikaOmari 7 ай бұрын
Poleni sana wanafamilia kwa kweli tuna majonzi watanzania😭😭😭😭😭😭😭
@Jibambeshow254k
@Jibambeshow254k 7 ай бұрын
ila nimejifunza kitu kupitia hii msimba kwakweli ukiishii n watu vizuri utakapo ondoka wengii watabaki wasema mazuri yko n hio ndio mwishomwema 😢 Allah amjalie awe miongoni watakao ingia jannatulfirdaus Allahummah Ameen 🤲
@TibihikaGerad
@TibihikaGerad 7 ай бұрын
Napenda sana familia ya Mzee mwinyi amnaga habari za viele ele kama familia za watoto wa viongozi wengne 🤝🤝
@AshaSalum-v6e
@AshaSalum-v6e 7 ай бұрын
ALLAH AWAPE SUBRA.KUONDOKEWA SI MCHEZO.MZAZI HATA AWE NA MIAKA 200 LAKINI AKIONDOKA UTAUMIA.
@Ahmadasshii-raazy8888
@Ahmadasshii-raazy8888 7 ай бұрын
MZAZI HANA MBADALA UNALOSEMA NI HAKIKA
@mwitaagness455
@mwitaagness455 7 ай бұрын
Kabisaa, eti watu wako muache aende amezeeka, life kisikie kwa jirani jamani kisiingie ndani.
@erastolyimo2423
@erastolyimo2423 7 ай бұрын
Pole familia ya mzee mwinyi,
@JOSEPHKIDENYA-rs5hj
@JOSEPHKIDENYA-rs5hj 7 ай бұрын
Poleni sana
@PhilomenaSteven-x9h
@PhilomenaSteven-x9h 7 ай бұрын
Mungu akupe pumziko la milele na mwanga wa milele akuanganzie . Amina 🙏🙏🙏
@TillionsMon
@TillionsMon 7 ай бұрын
FAMILIA NZIMA YA MZEE WETU MH:HAYATI RAIS MWINYI,MUNGU AWAPE FARAJA KUU ,AMIIN
@issacalley5145
@issacalley5145 7 ай бұрын
Innalilah wainnailah rajiuun,kitachowaliza kila cku ni mazoea ya baba enu,mu gu awape moyo wa subra
@pilatoonlinetv9660
@pilatoonlinetv9660 7 ай бұрын
Mushukuruni Mungu sana hamna hata haja ya kulia , wenzenu sisi wazee wetu wote walituacha tukiwa wadogo na wala hawakutuachia mtu wala kitu ni majonzi ya kudumu mpaka Leo tunaomboleza , ila nyie mmebarikiwa heshima na Mari na Mzee wenu kaishi myaka mingi sana. 😢
@alicemwanjali1833
@alicemwanjali1833 7 ай бұрын
Hajalishi kifo kinauma kaka mtu ni Bora kuliko mali inauma
@bubulini645
@bubulini645 7 ай бұрын
Ni ukweli kupiteza mzazi sio rahisi....lalini kukaa mirele hawiwezekani....mumushukulu mungu mumekuwa na bahati
@Alishaib-zp2yn
@Alishaib-zp2yn 7 ай бұрын
Mungu akulaz mahala pema peponi Baba yake Ali Hassan mwinyii
@khamisrubea5083
@khamisrubea5083 7 ай бұрын
Baba ,mama ,mke ,mume mtoto na rafiki kipenzi wanauma sana wakifa
@vincentauxerbius7554
@vincentauxerbius7554 7 ай бұрын
R.i.p mzee wetu😢😢😢
@abdibilali4186
@abdibilali4186 7 ай бұрын
Poleni sana Wana familia na Taifa kwa ujumla
@AllyMakelo
@AllyMakelo 7 ай бұрын
Poleni sana Kila chenye mwanzo akiksi mwisho
@SumiraMengi-tu1hs
@SumiraMengi-tu1hs 7 ай бұрын
Mungu awatie nguvu katikati kipindi hiki kigumu poleni sana wanafamilia
@MildredBrenda-v4l
@MildredBrenda-v4l 7 ай бұрын
Pole sana wazalendo wa Tanzania
@shekhakhamis6586
@shekhakhamis6586 7 ай бұрын
Polen Allah awape subra Janna furdaus iwe makazi yake Amiin Amiin Amiin
@habibabarker1644
@habibabarker1644 7 ай бұрын
Safari yake iwe ya salama Mungu tunakuomba dua zetu
@MamaEmmah
@MamaEmmah 7 ай бұрын
Pumzika Babu yetu
@ahmadSeif860
@ahmadSeif860 7 ай бұрын
Poleni sana, allah amsamehe
@SalimSilima-ze9ep
@SalimSilima-ze9ep 7 ай бұрын
poleni wana familia na watanzania kwa ujumla na wale wote walioguswa na msiba huu
@MwihindiWetu
@MwihindiWetu 7 ай бұрын
Pole sana na msiba
@sabrinaali9750
@sabrinaali9750 7 ай бұрын
Na kakako muombe awe kama babake muadilifu aitendee haki Zanzibar ni jukumu kubwa alilonalo amuone babake anavosifiwa na watu.
@Barakatabudul
@Barakatabudul 7 ай бұрын
Maskinii sautii" kama ya Babake akiongea😢
@PascalMlutu
@PascalMlutu 7 ай бұрын
My condolences to the family
@JumaDea
@JumaDea 7 ай бұрын
Pole sana bro
@allymanyika3502
@allymanyika3502 7 ай бұрын
Allahumma ghafrillahu waskanahu fil janah🤲🤲
@Rukia-g2l
@Rukia-g2l 7 ай бұрын
Poleni sana Kwa msiba
@batulially4314
@batulially4314 7 ай бұрын
Allah amjaalie kauli thabit amsamehe makosa yake amiin
@MACKMLUMA-f2j
@MACKMLUMA-f2j 7 ай бұрын
Pole sana kiongozi.
@johnsebastian-bx6qn
@johnsebastian-bx6qn 7 ай бұрын
Polen sana familia na taifa kwa ujmla
@Yonahmalaki
@Yonahmalaki 7 ай бұрын
Mungu awatie moyo
@khatimabdallah8143
@khatimabdallah8143 7 ай бұрын
innah lillaah wainnah ilaihum rajiuun allaa awape subra nyote familia amiin
Namna hotuba ya Mzee Mwinyi ilivyoleta faraja kwa wafiwa
18:54
Life hack 😂 Watermelon magic box! #shorts by Leisi Crazy
00:17
Leisi Crazy
Рет қаралды 79 МЛН
Стойкость Фёдора поразила всех!
00:58
МИНУС БАЛЛ
Рет қаралды 7 МЛН
MISSION IMPOSSIBLE [53]
22:17
CHADO MASTA FILMS
Рет қаралды 29 М.
Life hack 😂 Watermelon magic box! #shorts by Leisi Crazy
00:17
Leisi Crazy
Рет қаралды 79 МЛН