Pole sana Rais wetu Allah akupe subra na yeye ampe pepo yake ya FIRDOUS amin.. najua unaumia sana lkn kazi ya ALLAH haina makosa.
@user-md6ll9mm2m5 ай бұрын
Aamin rablaallah min
@omarkapula5886 ай бұрын
Poleni sana Allah awape subira kipindi hili Allah amlinde Rais wetu amlinde na shari za mahasidi ameen
@HusseinAbdul-is9xq5 ай бұрын
Pole saana Raisi wetu ALLAH akupeni subra tuko p1 ktk dua ya mzee wetu
@BashirAbdallah-yk9me6 ай бұрын
Pole sana Rais wetu Allah akupe subra ampokee Mzee wetu katika kheir..
@JlmwinukaOnlineTv6 ай бұрын
Kama kuna tunu kaiacha mzee mwinyi basi ni kijana wake huyu.mungu amulinde usiku na mchana.amin.❤
@ibunmurshid38856 ай бұрын
Kama Kuna Tunu kaiacha Mzee mwinyi basi Ni kijana wake huyu
@chemstry4096 ай бұрын
Mwenyezi Mungu awafanyie wepesi katika kipindi hiki kigumu na Mwenyezi Mungu amsamehe madhambi yake na Peponi yakaende kuwa makazi yake...🙏🙏🙏
@jumahaji37776 ай бұрын
Pole sana raisi wang Allah akupe subr na amlaze mahali pema pepon
@user-um8xn4ge4i6 ай бұрын
Pole yanini ikiwa Ali mwinyi alibarikiwa kuishi karne moja ni bahati hiyo, mm nafurahia tu mzee wetu mwinyi kapumzika kwa aman alikuwa mtu mwema sana
@aqmmsm556 ай бұрын
Allah akupe subra na amrehemu mzee wetu lakini kuna neno nataka nikwambie kabla ya kukwbia nakuomba msamaha kwanza job lenyewe ni hio huzuni ulionayo kwa kuondokewa na mzee wako ujuwe na sisi tulipata huzuni nyingi mulipowapiga risasi ndugu zetu bila kosa
@issasalim46356 ай бұрын
Pole rais wetu kipenzi Allah atamlaza pahala pema peponi
@ndahanisimon68176 ай бұрын
Hongera sana mama etu na Rais wetu Mh Samia Suluhu kwa moyo safi na uungwana.
@user-sc4ql5kf9v6 ай бұрын
May Allah SWT make it easy for u
@nasreeniteu88776 ай бұрын
😢😢inalilah waina ilaih rajiun sote njia yetu ni moja😢
@alversealverse40066 ай бұрын
Allah akufangie wepesi
@BernadethaSimba-qi4dw6 ай бұрын
Nilikuwa nangoja deni kuhusu Usia wa baba yetu kweli alisema azikwe Mkuranga au wazushi wamezua .M/ Mungu amlehemu kipenzi chetu Ameni
@isayamapela20876 ай бұрын
Pole sana mungu akutie guvu
@hamilsaleh-zo3hp6 ай бұрын
Mungu ampe wepes
@JlmwinukaOnlineTv6 ай бұрын
Poleni sana.
@Khadees266 ай бұрын
Poleni sana Allah awape subra in sha Allah
@user-zu9jg8hx5l6 ай бұрын
TUNAKUOMBEA RAIS HUSSEIN MWINYI NINAKUPA POLE KUPOTELEWA NA MZEE WETU HAYATI RAIS MSTAFU ALLY HASSAN MWINYI NAFARJIKA KWAMBA UNA HEKIMA KAMA YA MZEE WETU MWINYI AMBAYE ALIKUWA MKWELI ASIYE NA HILA NA WEWE NINAKUONA HIVYO MUNGU AKUTUNZE WEWE NI HAZINA WA TAIFA
@jumahamadomar91246 ай бұрын
Hakupotelewa alikwemda kwao ambako nasisi tunaenda
@jumaahassan78646 ай бұрын
Mungu akujalie
@R10_Rajab6 ай бұрын
Pole sana Mr President
@ashrafkhamis10516 ай бұрын
Mola amrehemu Mzee Hassan mwinyi
@user-sc4ql5kf9v6 ай бұрын
Pole sana mheshimiwa rais
@princefakamiomupovizurifak59296 ай бұрын
Mungu atubariki sote maana hizo pesa za wananchi na sie tupate kheri
@lusakaone77826 ай бұрын
Poleni sana familia.
@user-kf2lm9jp3c6 ай бұрын
Kiongoz we2 kua pole sn na mungu akufanikshe kucmama wima kuendelea na majukumu, ucsahau kumuombea dua.
@fallymetoo1916 ай бұрын
Allahumma bareek inshaallah 🤲
@franknduhirubusa98736 ай бұрын
Nakukubali sana rais ,mzee wetu apumuzike salama
@khadijamohd57416 ай бұрын
Pole sana kipenz chetu
@issakhamis95816 ай бұрын
Pole sana rais wetu
@muhammadsalaam13736 ай бұрын
Mola amrehemu Al Hajji Ali Hassan Mwinyi
@user-jx2jl8ii2w6 ай бұрын
Poleni sana wafiwa
@meowzna6 ай бұрын
Ameen🙏🤲
@KondoFundi-fl5td6 ай бұрын
Mama Samia mungu akulipe kila la heri
@mariammmbaga9766 ай бұрын
Alhamdulillah
@driss49576 ай бұрын
Assalaam, Poleni kwa Mziba wa Mzee Wetu Mzee Mwinyi Magandi,Mzee Ruksa".HIVI NI KWELI MAMA SAMIA NI MTOTO WA MZEE RUKSA?,AU UZUSHI TU WA WAPEMBA WAISHIO BARA..MOLA AMPE FIRDAUSI MZEE RUKSA,ALIKUWA RAHIM NA MKARIMU SANA MWENYE HOFU YA MUNGU.
@user-gb5vz6wm2q6 ай бұрын
Royal family always V.I.P
@MOHDMOHD-mp1tg6 ай бұрын
Pole sana kiongoz
@aliyageorge67946 ай бұрын
Maandishi ndio proof. maandishi... Not blah! blah!
@msabahaali7586 ай бұрын
Msimamizi wa familia kwa sababu una ulwa kuna mali na utajiri vyeo connection na mengineyo alipaswa akuusie kuhusu uadilifu maana jukumu lako ni kubwa mno
@kiri58076 ай бұрын
Yeye mwenyewe hakuwa muadilifu .
@user-ll3pq4we8v6 ай бұрын
Habari ya mzee kwenda kuzikwa mkuranga mbona hujaeemw
@humoudiddi13976 ай бұрын
Mbona nyinyi mumekalia roho mbovu tu wewe kwani zanzibar ni peponi mbona tunaroho mbaya kiasi hichi acheni izo habari tubadilikeni
@rizikiabdalla25016 ай бұрын
Walikuwa hivyooo madactar kwasabu raisi mstafu ingekuwaa mm na wa nyongee wengine tusinge hudumiwa hivyooo
@eddydben6 ай бұрын
Huna akili ww..
@eddydben6 ай бұрын
Jitahidi na ww uwe rahisi na baadae uwe rais mstaaf .
@user-fn8nt8su8j6 ай бұрын
@@eddydbenasante umejibu vema,,, Agombee urais
@hamilsaleh-zo3hp6 ай бұрын
We mtangazaji vp,unamwita mtu hayati lhali keshakufa
@user-pj7ng8il4t6 ай бұрын
Raisi samia ili tumuelewe ni lazima afanye kama magufuli alivyokuwa akifanya. Magufuli alikuwa sio m'baguzi na ndio sababu aliwachukia sana wezi. Marehemu mzee mwinyi alimkubali sana jembe magufuli. Mzee Mwinyi alinkubali JPM kwa dhati kabisa na sio kinafki kama wengine.
@ramadhanishabani8076 ай бұрын
Kwn mlkua na shida gan yakupewa msaada?? Iz ni matumiz mabaya ya pesa za serkali familia inakila kitu kwnn rais atumie pesa kumpleka nje kwnn familia mna hela msitumie kumpeleka, pia mzee mwinyi hakua muhujum Mungu ampumzishe pema
@RamadhaniLukambuzi6 ай бұрын
Acha kukurupuka Wewe,Mzee Mwinyi ni Rais wa Jamuhuri ya Tz msitaafu na Rais wa Zanzibar mstaafu,kwani katiba inasemaje kuhusu huduma mbalimbali kwa Viongozi wastaafu wa Kitaifa inasemaje?Hebu soma katiba kisha urudi hapa ucoment na anayewajibika kuwapa huduma hao Wazee ni Rais aliyeko madarakani ambaye ni Mama Samia nae akistaafu atahufumiwa na Rais atakayekuwepo madarakani ni sheria kikatiba!
@gustavompemba17816 ай бұрын
Unacho kiongea kinaonesha udogo wa akili yako
@ramadhanishabani8076 ай бұрын
@@gustavompemba1781 wee akili yako km ni kubwa unazan zipo familia maskn ngapi watu wanaokufa kwa kukosa matibabu, tz wajinga wengi ndio wanajiona wanaakl nyng, hio ndio shda ya tz, wajnga wanajiona wana akili
@noelmusa35026 ай бұрын
Walimuhudumia coz yy alikuwa rais mstafu ingekuwa kapuku mm weeee wasingekesha
@remigiushamba6 ай бұрын
#Wosia
@user-pj7ng8il4t6 ай бұрын
Ni jambo jema raisi samia kugharamia matibabu na sasa dua ya marehemu mzee mwinyi. Mungu akujaze kheri. Lakini kuhusu matibabu mbona raisi samia hatumuoni kwa raia wa kawaida tunamuona sana akijitolea kwa viongozi tu!! Marehemu magufuli aliteremka kwa sana huku chini kwasababu aliamini huku chini ndiko kunahitajika msaada sana. Mnakumbuka JPM alichofanya muhimbili alipokuta wagonjwa wanalala chini sakafuni?
@rosetreffert41796 ай бұрын
Kabisaa
@KassimSalumu-fk6yk6 ай бұрын
Acheni zenu hizo, mpaka haonekane kwenye tv
@ramadhanishabani8076 ай бұрын
Yaah na nifamilia kubwa zeny uwezo bado znagaramiwa
@abdulhakimjuma91126 ай бұрын
Mkiumwa nyie kimbilieni ulaya raia wenu wengine hata kula hawana hawana pakukaa leo hata majumba viongozi wa nchi ndio wanapeana wakati mnamiliki majumba kibao hii si haki na kwa allah mtakwenda kujibu
@R10_Rajab6 ай бұрын
Chuki na roho mbaya haijawahi kumuwacha Balahau
@jumahamadomar91246 ай бұрын
Hata wewe unasema raisi wetu au wewe kumbe ni gavanor tu
@Kidotii6 ай бұрын
Ndio mama Samia ni Rais wa Jamuhuri ya muungano ni Rais wake pia
@ahmedhamis6 ай бұрын
Tanzania 🇹🇿 ni kubwa kuliko Zanzibar huelewi Nini Samia ni Rais wa jamhuri ya muungano
@rosetreffert41796 ай бұрын
Kuna watu wana maswali ya kijinga hajitambui mpaka sasa 😂
@R10_Rajab6 ай бұрын
Chuki tu na roho mbaya dah Mabalahau hata mumchukie vipi huyo Allah tayari amembariki wacheni roho ya kwanini dah
@AbdulHakimu-ee1td6 ай бұрын
sasa huo wasia sisi unatuhusu nni si akae tu na familia yake wayaonge ahhhh...miyeyusho tu
@user-rw2mm1jk6o6 ай бұрын
Acha roho mbaya makasiriko ya nn
@user-dl1mg2qf4n6 ай бұрын
Sio vibaya hisia zako kushare na wenzio, ili mwenye na uzowefu na jambo la kufiwa na mzazi ampe ushauri mzuri, anatoa shukurani
@talibkarim6446 ай бұрын
Yaani ww choko kweli apo pia unataka kuweka jealous acha roho mbaya yakishamba ww alafu ndio anajiita muislamu na jina kuitwa Abdul Hakimu Wewe muislamu gani mwenye roho yakishenzi.
@mohdkhamis29146 ай бұрын
Naww umefata nini na una comment kitu gani wakati msiba haukuhusu
@zaitunirashidi55326 ай бұрын
@@mohdkhamis2914umenena😂😂😂Kuna majitu mashenzi sana