mimi sio muumini wa watu kufungwa jera, lakina ukiangalia kama hapo unaona vijana tunaendekeza uhuni zaidi na hawaogopi Anyway, GOD OVER EVERYTHING 🙏😢
@user-qh2bx5em6j20 күн бұрын
Kweli wanajiamin
@user-dx6dm6lh1i20 күн бұрын
@@user-qh2bx5em6jKwasababu wanajua ypo mtu anaewalinda
@silivestatesha926220 күн бұрын
Kwanini usijiami sasa mbaya nimbayatu hakuna mbaya mzur
@lazarokanga744620 күн бұрын
@@silivestatesha9262 over confidence inaua brother inawezekana ndo hicho hicho kilisababisha kujiamini hadi kufanya vitendo kama hivo
@WahidaHilaly20 күн бұрын
Kwa mwenye akili timamu hawez SEMA hvyo Mbele ya camera Na Mbele ya ma askari😢😢
@zachariamishai725820 күн бұрын
Heeeeee 😟 kumbe hawa jamaa inavyoonekana mnawatunza sanah huko sello😂 yaan mpk anapata nguvu za kunyosha kidole 😅😅 pumbav sana uyo kjana 😀
@frankmlalila170520 күн бұрын
😂😂😂😂
@Fgldesigns20 күн бұрын
Hao hawajaguswa hata kibao, yaanibkuna dalili ya kuachiwa ama kufungw kifungo kisicho zidi mwaka
@edwinalexander117020 күн бұрын
Mwandishi mfungulie kesi huyo kwa kukutishia wakati uko kwenye majukumu yako ya kazi.😊
@analisacecy20 күн бұрын
Halfu hana hata wasiwasi
@Alexismadimo20 күн бұрын
Itakuwa kaongea shiti ndo mana jamaa ka panic kila mtu ana hisia sio ukiwa mtuhumiwa ndo huna haki
@analisacecy20 күн бұрын
@@Alexismadimo itakuwa kwajili ya kuchuikuliwa video shit iyo kaongea mda gani na wamemuuona kwasababu mwanamke si wamezoea kuonea wanawake
@highskills588320 күн бұрын
@@Alexismadimo hata kama mbona wao walikuwa wanamtukana yule dada uku wanamfira sasa yy analeta kiburi wakati bado hajaingia jela 😂😂😂
@Alexismadimo20 күн бұрын
@@analisacecy feminist kumekucha
@shangazshangaz422220 күн бұрын
Huyo alie mnyoshea mkonomwandishi namchukia sana ndio yule aliekua akimsokomeza ķojoleo lake mtoto wawa2 mpaka makoo yakamkaoka akaomba maji yakunywa waka mnyima akazidi2 kumkandamiza kwenye hilo kojoleolake tena mungu amlaani kabisa😢🙄😏
@user-yl2br2ts3i20 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂
@user-qp6lx9ql1q20 күн бұрын
Kabla auja mtafta na ujampata raia tushakuwai
@fathiyahmuzney736720 күн бұрын
😂😂😂😂
@fettiemaganza148420 күн бұрын
Itakuwa keshajua hakuna kesi ya kuwasumbua
@user-pi8id7qb7c20 күн бұрын
Kwel maan xi kwakuxema vileeee
@ShivoKombo20 күн бұрын
Wanauakika wa kotoka Hao hadi amwambie nitakutafuta 😅😅😅😅
Uyo camera woman inaoneka ndio anawachukuaga vizuri kila siku 😅😅😅 pia hongera kwa jibu lake et " si utanioa bwana naww" 😂😂😂😂😂
@saidimgina829920 күн бұрын
Mimi nashangaa sana ushahidi wa video upo tayari ite wanaleta mashahidi wengine kweli nimeamini sheria haina macho sheria kipofu
@user-dn8ok2io4l20 күн бұрын
Duuu nchi ngumu sana hii kaah yan ni mtuhumiwa bado anajiamin namna hiyo
@zaidiissa371420 күн бұрын
Hamkawii kuilaumu selikali bilakujua laia wenyewe ndio tunasababisha sasa kama huyu kijana anavyo Fanya
@user-dx6dm6lh1i20 күн бұрын
@@zaidiissa3714lazima tuilamu serekali maana anatishia aman wakati anajua serekali haimfanyi kitu uwe una makosa hasa hpo alafu bdo uwe na mikwala ww mwenyewe hupimi
@fadhilishaha800020 күн бұрын
Hawa Askari nao kama wanaendesha kesi ya ugaidi vile mnawatesa vijana wa watu bure na kutumia mafuta ovyo.
@ShamsaMmero20 күн бұрын
Yaan wamevaa na raba kbsa jmn khaa....na ujasiri wanao awajepewa kisago ao cha kueleweka
@daltonpaul583820 күн бұрын
Wakaishi kenya
@frankmlalila170520 күн бұрын
Kila cku wanabadil Nguo tu km wapo home kwann wasinyooshe vidole kwa dharau
@JackMsuya-j6q20 күн бұрын
Huyooo mtotooo mtoto kautak xaxa saiv mnautaka nyinyi kwa nyampala 😂😂
@JeminAbraham-f1o20 күн бұрын
Jaman Kuna haki kweli .nchi hii ya Tanzania mtu ana nakosa lkn anajiamin ivyo .duYan watu awaogopi Sheria ..sijui miak ijayo itakuaje n vizazi vyetu..mama samia tizama hili wewe Muslim mzur n unajua maandiko ya mwenyezi mungu
@elizabethkalinga082220 күн бұрын
Dawa yake Iko jikoni, hapo ndiyo anaithibitisha Ujasiri wa Kikatili alionao.
@AminaOmary-sm4wl20 күн бұрын
Kijeuri kama dunia ni ya baba yake hajui huu ni ulimwengu
@LizenMaker20 күн бұрын
Binadamu tunajisahahu dada.
@AminaOmary-sm4wl20 күн бұрын
@@LizenMaker kanajifanya uatawamdu Tanzania nzima na kimwili chake kama kinchiti
Aya mambo yakupelekana jeshini kindugu ndugu pasipo kufuata vigezo kisa tu ni mtoto wa baba mdogo..matokeo tunakwa na watumishi ovyo wa selekari ambao ni wabakaji na ambao wanaamini Tanzania ipo Kiwanjani kwao
@PeninaAdam20 күн бұрын
Watambaka pia ,Yan Hawa vijana wana uwakika watatoka watashinda mana afande wao ni mtu mkubwa
@Emily_Puijin20 күн бұрын
Hao bado awaja shika jembe la Gerezan wakisha vikwa Karoti mbona watanyooka 2 na wataanza kunyoosha mikono juu sio kidole tena mbele
@abiaslimadyanse184220 күн бұрын
Ila kujiamini😊😊😊
@AminaOmary-sm4wl20 күн бұрын
Visomewe tu al badr vikings sana me naona hata ndugu wa huy binti wanachelewesha ingekuwa me ndugu yangu zaman washafukiwa na 40 ishapita ukinga hiu
@zaiogy578720 күн бұрын
Katika comment zote hii nimeiyelewa yaan nasikia uchungu Kama nazaa ingekua Mimi saaizi washasahaulika mda Sana alilbadir moja tu
@jacksonndomba977019 күн бұрын
nimesikia kama askali anawaambia wafungwa msijali 😮 nimerudia kama mara tatu
@bakaryCMD20 күн бұрын
Hiko kidole akamuonyeshee mama yake mbwa huyo
@FransisLaurenti18 күн бұрын
Ndiyo awo jama
@user-tm7xt3xd7x20 күн бұрын
simumuachie kwa laia apoyupo mkono salama ndoma mkimuacha kwa raia atoboi siku
@victoriapatrick984020 күн бұрын
Ivi ilo basi lina viti? Mbona kama wamekaa chini awaonekani, au ndo watachafua siti😃 eti takutafuta kijana wa ovyo kabisa.
@muzneali474720 күн бұрын
HAPO ungemfungulia kesi ya kutishia MAISHA YAKO KENGE HUYO
@paullameck-r5j20 күн бұрын
amedhihirisha moja kwa moja kuwa yeye nd muhusika
@othmanshahib111520 күн бұрын
Hao papa mnawapa ulinzi mkubwa wakati mna pingu za kuwanyuka na smg moja mnamalizi mafuta ya bule ningewatembeza kwa miguu mpaka jera nikiona kuna Helement za kukimbia navunja miguu yote naita mkokoteni hawafai kupakia kwenye Gari hao vibaka hao ni washamba tu azabu yao wahasiwe tu wawaachie
@HeriRamadhan-q7m20 күн бұрын
Ingekuwa tuko korea hao ni kuchinjwa hadharani tena uwanja wa wataifa.
@fathiyahmuzney736720 күн бұрын
Yan huyo aliemnyooshea mwandishi kidole mtt mlaini kabisa huyo akifika jela lazma awe mke wa mtu😂😂😂
@Mrmohadi.OFFICIAL20 күн бұрын
Mtoto mlain sana mm mwnyew nimeona uyo sisi huku kwetu chuga tuna mvunja mapak mishipa yaa😮
@user-vt3uq3xv3s20 күн бұрын
Kamela mani kaziunayo dada
@HappyatHome-bn8wm20 күн бұрын
mtuhumiwa ameingia mahabusu na kofia. hawa wanapata wapi hvyo vitu.. kama mkanda wallet simu kila kitu unakabidh pale mapokezi ya kiumeni
@maestro961820 күн бұрын
Hapo nikiwa kama askar magereza nampiga bonge la banziiiiii
@josephjohn211420 күн бұрын
Hii kesi nyingine. Mwandishi fungua kesi
@Tarent-o8f20 күн бұрын
Apa amna kitu apa tunazugwa tu
@feisalomar-hr3hq20 күн бұрын
Shoga kweli huyu jamaa eti nakutamani Yani watuhumiwa eti wakati wabakaji na ushahid upo wazi Hawa ni wakuvunjwa tu shingo zao naona washatuzoea kua tanzania sisi nikunguru waoga
@EdwinJohn-vo8uf20 күн бұрын
Mwandishi mfungulie kesi uyo jamaa kwanza ni mshenzi alafu aoni ata haya
@FatmaF-p5k20 күн бұрын
Izoo nguoo za kubadilisha wanapataa wapiii 😢
@Mrmohadi.OFFICIAL20 күн бұрын
Tuna zugwa tu hawa dawa yao kuwaroga wanakuwa machizi ili familia zao zijutiwe wana jiamini mapaka wana sema tukitoka duh inaamaana wana uhakika wa kutoka sio duh kwel hii nchi bora niahame kenya
@AishaOmari9520 күн бұрын
Hao wakiachiwa nikudilinao ss wananchi tunawauwa mmojammoja
@AbisinaRashidi-c8d20 күн бұрын
Hapo washajua watatoka sio muda jamani Tanzania tutamkumbuka magufuli nchi hii ya ajabu polisi sio watu wakuwaamini wao ndo wanabaka na kulawiti halafu wanateteana TU tusiwaamini polisi nawakitoka tusipige kula kabisa
@subiramussa142820 күн бұрын
Yani mi ndo ningekuwa nimenyooshewa kidole ningeenda kumzaba kofi kwanza msenge sana
@joachimjoseph23919 күн бұрын
Kwan ukimwmbia mtu utamtafuta ..Ni kesi
@teller_julio20 күн бұрын
Khaaa ... Nime shangaa 😮😮😮
@zully75620 күн бұрын
Chakula ya nyapara
@cheiknamouna205820 күн бұрын
Mimi nina wasi wasi tu hawa watatolewa saa yoyote waje kulipiza mtaani hebu ona kaanza na mwandishi je akifika mtaani si atakuwa tishio 😭😭😭
@irenlaurent965020 күн бұрын
😅😅😅😅Inabidi Nicheke kwanza ,,mbona wanajiamini Sana hawa watuumiwa
@BarbaraPatience-qt9cc20 күн бұрын
Bado hukumu haijasoma but ikisomwa ataelewa ukubwa wa wake
@ChullyKassa20 күн бұрын
Hao washatoka mbona maana afande mwenye haonekani
@ayshunamir20 күн бұрын
The audacity waaaah
@user-sq1op8ld4h20 күн бұрын
mi naona wapewe na cm wachezee ukiiba kuku tu nangumi unachezya ukigeuka ila wao km wpo matembez
@user-es5me9jm3s20 күн бұрын
Bado ajasema mpaka aseme
@NasibunanaIsack20 күн бұрын
Amna kesi apo bana
@BardenBensonMwamfupe-dk3yg20 күн бұрын
Huyo atakuwa ndiye askari magereza.
@abdulwahidhaji324520 күн бұрын
Kwanini 😂😂
@user1337520 күн бұрын
Atakuwa mjshi anazani atatoka😮😮😮
@IssaIssa-h1d20 күн бұрын
Eti nitakutafuta mbele ya askari kweli mtuhumiwa unaweza kuongeza ivyo 😱😱😱
@HajiSebastian20 күн бұрын
😂😂 vijana mtihan kweli hao
@FransisLaurenti18 күн бұрын
😢
@Mrmohadi.OFFICIAL20 күн бұрын
Hawa wanatuzuga tu ana nguvu gani kusema ivyo😢
@HamiduMrisho-ck1ft20 күн бұрын
Kwel kesi wemeshnda awa jamaa had wanaujasiri wa kunyooshea waandish vidole ivo
@user-ud7cy1yy6v20 күн бұрын
Mmmmh jmn mbona wanajichekesha adi kumnyooshea mwandishi kidole mm bado cjaridhika mbona hta hawjakoma jmn
@johnmike605920 күн бұрын
Acha mkwala ww kila mtu na kaz yake
@RehemaMwakisyala-k9u20 күн бұрын
Ukiona hivi juwa kunajambo
@user-ye3fy9kk6r20 күн бұрын
Nawaza hizi jumbe zinawafikia baadhi ya wslrngwa kweli kama hii "acha mkwala ww kilamtu na kazi yake" ataionea wapi
@daudimichael733820 күн бұрын
Mmmh, dogo amejikinai
@mimazcollectionmimaz887420 күн бұрын
Ajifanya muhuni na kakifika gerezani kanaenda kua mke wa mtu.....😅😅😅
@GabrielSky6420 күн бұрын
Hao Sasa ndio askari wetu busara na hekima zero sijui kwenye mafunzo wanafundishwa nguvu tu unyang'au
@Mudathiliyavuz20 күн бұрын
Dah
@NgambaMussa20 күн бұрын
Mbna watuhumiwa wanabadiri nguo kila siku kwani uko mahabusu waliingia na mabegi
@vanesahilali612220 күн бұрын
Nikajua ni Mimi peke yangu ndo nashangaaaa😮
@emanuelgavile350320 күн бұрын
Waacheni serikali ifanye kazi ake mmezid nanyie pumbavu
Utakuja kufa acha kiherehere kenge maji wewe mwandishi sisi tutaweka bando tu bc tuangalie ulivo fanywa
@RaiyaanRasheedRay20 күн бұрын
Iliyobak ni kiki sasa
@user-rl3yh6ls7b20 күн бұрын
Huyo bangiii
@KhadijaChembela20 күн бұрын
Jamani
@sophiakimaro517420 күн бұрын
Kuni huko rumande walienda kufanyiwa massage au?mbona hawana hata hofu wala majuto?
@rechomwaigaga247620 күн бұрын
ukute wanalalia magodoro
@SaidiMiraji-lk3vm20 күн бұрын
Watuhumia wanakula bata la hatari😂😂 wananawili tuu
@KulwaMgaza20 күн бұрын
T Muda utajibu wazee
@user-yl2br2ts3i20 күн бұрын
atanyooka tu mpumbavu uyo...aliona kumnyonyesha ndonga mtoto wawatu mpaka akaomba maji ilkua n raha.
@hawaelymaricca760220 күн бұрын
Huyo mtuhumiwa anajiamini nini had anamnyoshea mwandish wa habar wakati bad ni mtuhumiwa.
@AbuuMkabugo20 күн бұрын
Watu hao waso hukumiwa mpaka leo ah inatia uchungu yani ivyo wanavyo fanya unajua haswa kamacwana toka bada wana achiwa
@ibrahim_42720 күн бұрын
ajiandae kupigwa Mtungo mwandishi wa habari maana yaonyesha hiyo kesi wanatashinda Mpaka kutamka maneno hayo mbele ya polisi 😢
@analisacecy20 күн бұрын
Ndio sio bure kunaki2 kinaendela sio cha haki
@highskills588320 күн бұрын
Huyu jamaa akili itamkaa viziri akishasota jela mda mchache tu sahivi ajajua bado
@nordinebaraca463520 күн бұрын
Mtuumiwa anapiga mikwara kama yote!
@fanitofaustino410820 күн бұрын
Anazani masiala
@JamesZakayo-o2f20 күн бұрын
😂😂😂😂nacheka kama mazuri
@acobisrem2project36020 күн бұрын
Yani bola wafungwe tu lkn wakitoka sijui km watakua salama kwa hasira hizi za wananchi, hapa tupu tunaona km uko lumande wanawapendelewa km vp wachomwe hata moto
@innocentjoseph80520 күн бұрын
Achana nae mwandishi kesha data mzenge huyo akitoka tunae huku kitaa tunakusubir kwa hamu wasenge nyie
@KareemDully20 күн бұрын
Kwaiyo wanajiamini kiasi icho mpaka kuwatisha waandish wa habar. Hii kesi inaenda kimagumashi kuna kitu nyuma ya pazia si bure
@LeylaHamisi-qh3kb20 күн бұрын
Yan hii mipumbavu naichukia
@princessplatnum441620 күн бұрын
Hao wanatoka
@fexboe756420 күн бұрын
Jaman Leo Fex Boe wa Kwanza Gonga like kwangu jamaniii Fex Boe
@HamadJumaa-xj7py20 күн бұрын
Vibakaji alaf vinaleta ujeuri
@ashurajengela392620 күн бұрын
afu si ndo uyu alimwambia mtoto lamba JOKER 😢
@fredymwakikono157520 күн бұрын
Yaani anapata wapi ujasiri huo huyu dogo, itakuwa no mvuta bangi
@SaidHamis-hy5ps20 күн бұрын
icho ni kiini macho mtu anatuhuma halafu anaongea ivyo du..