Hongera sana muheshimiwa ubarikiwe sana Asante sana
@neemanziku54038 ай бұрын
Makonda ww ni kiongoz Mkubwa tunakuom ea sana wananchi💝
@SalimAbdallah-tg1yo9 ай бұрын
Asante mwenezi nimefurahi Sana kuona wafanyakaz Wa tanesco kwenye mkutano yako Ila kuwa makin wanaweza pijwa Na wanachi wantutesa Sana Na umeme Ni shida
@LovenessKimario-i3x8 ай бұрын
Muheshimiwa hawa ni wapigaji sisi tulichangia laki tatu
@cossanwambura16148 ай бұрын
Hahaha
@ricemohabe24218 ай бұрын
Makonda mungu akulinde
@salumjumaruhaga25138 ай бұрын
Siio boya ila wenyewe wanafanya ufisadi tu hao tanesiko
@HamisiMsami-ol3zk7 ай бұрын
Wow
@aminaomary55678 ай бұрын
Uongo kuna gharama zinatolewa.Makonda hoyooo,Samia hoyooo❤❤❤❤❤❤
@Veni5848 ай бұрын
Duh! Anajitahidi kukwepa swali la kuuza nguzo
@MoshaRobertKe9 ай бұрын
C.C.M hoyee ,mama samia hoyeee .Miaka mingine 7 ni yako
@euniestherwilliam15138 ай бұрын
Kazi kweli kweli kama hakuna nguzo huko umeme unafikaje?
@katabaroonlinetv96888 ай бұрын
Hapo ndugu yangu ndo kitaumana na 30 ya mwenezi ushachukua sijui utapita chini kwa chini kama Bomba za maji maana kuirudisha 30 kwa mwenezi noma nchi hii ngumu Sana
@teddyndungurusabnu47928 ай бұрын
nguzo zipo tanesco ila ni rushwa tu wanataka@@katabaroonlinetv9688
Jamani sio kosa la Tanesco mambo haya ya bei juuu za umeme niwakati wa makamba tunaomba hiyo bei ya 27000 irudi nchi nzima tufulaiye serikali yetu km ilivokua kwa kalimani
@AbdallaAli-x8t8 ай бұрын
Chadema imekula kwenu mlizani uongozi uko regerege sasa chuma hichooo kinasafisha kila kitu .mama samia ushindi ni asubuhi tuuu tunamtangaza.hongera mama samia kwa kutuekea kiongozi mchapa kazi .2025 mama ww unashinda mapemaaaaaa
@jaydenbedas57298 ай бұрын
Bei ya nguzo pleass
@neemanziku54038 ай бұрын
Baba Makonda na vitu vimepanda maisha ni magum tufikishie kwa mama
@JUU-lw2je8 ай бұрын
Kumbe ndo maana leo huku usa hamjakata umeme kisa makonda anakuja
@joycemeela85958 ай бұрын
Huo ni uongo mm nimevuta umeme kulikua ni ngizo moja tuu laki tano na elf 55 mbona mnanyonya watu
@HumphreyKarua8 ай бұрын
Hi bwana Makonda muenezi wa Ccm kero ya jiji la Arusha ni mgso wa umeme kila siku unakatwa hasa siku za kazi ila jumamosi n jumapili upo kwa nini hasa? Msisha no mzgumu bila ya umeme
@setiseti52818 ай бұрын
Makonda oyeeeee
@rukiauwonde70628 ай бұрын
YAAN TANESCO WANACHUKUA PESA NYINGI SANA KWENYE NGUZO MIE NIMELIPIA LAKI 5 KESHO WASHENZI HAWA
@TwahaMpakani-pn4ov8 ай бұрын
Dah aisee kweli siasa ni mchezo mchafu mh!
@Taito-brand8 ай бұрын
Mmh hii nchii ukiwa unafahamu siasa unabak unacheka tyu😂😂😂😂
Jamaawa Tanesco yupo sahihi na kanyoka, wanasogeza umeme kwa wananchi, hawajasema ni lini, kama unataka kwa ratiba na haraka zako ni 450,000/-
@najmasalim-rg6ow8 ай бұрын
Hiyo ni biashara na mteja nimfalme
@TwahaMpakani-pn4ov8 ай бұрын
Watanzania tupo ml 65 huyo ni mmoja tu aliye pata nafasi ya kuongea shida yake sasa tujiulize ivi kweli serikali ipo Sirius na hawa watu hohe hahe?
@cossanwambura16148 ай бұрын
Nenda sehemu husika
@NiarPull-im8fw8 ай бұрын
Mi mwenyewe nimeombwa laki tano
@tanzcanmediatv44738 ай бұрын
Usiwape mbwa hao
@neemamasimba29815 ай бұрын
Mimi ni mwananchi ila utaratibu lazima,
@solomondanny-15078 ай бұрын
Taratibu za kazi zitakiukwa sasa. Magu alifanya gharama kuwa 27,000/= lakini mama akadai nguzo ni gharama iweje makonda alazimishe kwa mtu moja? Iwe kwa watanzania wote sasa.
@MRPRESIDENT-w4l9 ай бұрын
Na ole wako usimuunganishie 🤣🤣😂😂
@amosmbangala90799 ай бұрын
Mwenezi tunakuomba njombe tunateswa nakunyang'anywa aridhi zetu nakupewa matajili kaimu mkuu waidara ya aridhi anaeitwa amosy imanuel luhamba fika tawi la ccm mjimwema njombe vielezo vipo hapo mheshimiwa
@NuruNyanja-kz1qr8 ай бұрын
Waongo wakubwa hawa wanatubana sana unaambiwa ununue nguzo utoe milion tatu bei yachini ulipie laki tatu nanusu hakuna elfu ishirini na saba
@emmanuelmlowe-ew7gx8 ай бұрын
Clip hii nimeshea na watu zaidi ya 200 ili wajue watumishi tanesco wanavyo tutesa wanchi.makonda nitoch ya wezi na wahujum
@YoshuaSeverino8 ай бұрын
Huyo mfanyakazi wa TANESCO angeshindwa kujiamini, ilitakiwa ataje bei ya nguzo, au tunapigwa nguzo hiwa zipo!
@HumphreyKarua8 ай бұрын
Bwana Makonda umeme unafanya maisha kywa nagumu sababu uchumi unashuka sana dawa yake ni kuzukuza viongozi wagenbe jazini kama halivyofanya marehemu Magufuli hakuna mfao n Rea ilifungwa kwa sh 27000 tu sasa ni zaidi ya hiyo
@aminimushi69458 ай бұрын
Watanzania tuna shida,hivi kweli uunganishiwe umeme kwa sh 27000/,inalipa gharama kweli,hii si danganya toto,Serikaii tuache usani,waya sh.ngapi,mita sh.ngapi,watumishi wanaofanya kazi hiyo sh. ngapi?
@emmanuelmlowe-ew7gx8 ай бұрын
Kweli makonda mwokoz wetu
@Commentsplus8 ай бұрын
Nguzo ni sh?????
@HappyForestTrees-gc6hs9 ай бұрын
Uyu soo mzima kiakili tizama alivyo
@georgegilbertkaizilege53478 ай бұрын
Hapo ni uongo mtupu ukishakuwa na umbali unaohitaji nguzo unalipa bei sawa na mjini tu.
@emmanuelmlowe-ew7gx8 ай бұрын
Kweli wanachi saivi wako huru kuongea bila kuogopa
@salumjumaruhaga25138 ай бұрын
Tanesiko ni mbwa
@radhiasalum71568 ай бұрын
Waeke na bei ya nguzo tujue
@elispiuselias13398 ай бұрын
hizi njaa zitatuua
@renatusblandes11318 ай бұрын
Uo umerudi😂😂
@JUU-lw2je8 ай бұрын
Hiv jaman hii hela makobda anagawa hiv ni hiz hizi kodi zetu au