MUFINDI KIWANDA CHA KARATASI 001

  Рет қаралды 133,773

Faraja Sendegeya

Faraja Sendegeya

Күн бұрын

Пікірлер: 62
@antonynzalalila3180
@antonynzalalila3180 5 жыл бұрын
mwl nyerere alikuwa na mawazo mapana sana ya kujenga nchi. mgololo nayo ni unforgetable
@woodhunter2580
@woodhunter2580 2 жыл бұрын
Amazing Spider-Man, good luck for your job friends,
@polloz77
@polloz77 5 жыл бұрын
Muhimu sana kupanda miti zaidi ambayo hinakuwa kwa haraka zaidi hili protect misitu yetu
@George-q1p
@George-q1p Жыл бұрын
Mnauzaje karatasi za khaki
@yustoulikaye3943
@yustoulikaye3943 4 жыл бұрын
Mmejitahdi kuonesha process toka a to z. Ni vizuri kwani tumezoea kuona vipindi vya uzalishaji bidhaa vya viwanda vya wenzetu tu
@fatmanasornasor9047
@fatmanasornasor9047 5 жыл бұрын
Kwetu Zanzibar hatuna hats kimoja
@NeilaKisava
@NeilaKisava Жыл бұрын
Nahitaji karatsi mm
@abdulomari9631
@abdulomari9631 5 жыл бұрын
Mgololo dah ntatembelea tena In Shaa Allah imepita takriban miaka 25
@gabrielmondu8957
@gabrielmondu8957 5 жыл бұрын
kumbe tuna kiwanda cha karatasi,mbona rim zinatoka south africa,zinazozalishwa ni za nn hapo?
@mybrevisai2508
@mybrevisai2508 5 жыл бұрын
Aisee.., safi sana!
@NeilaKisava
@NeilaKisava Жыл бұрын
Hi
@balakamgonzo290
@balakamgonzo290 5 жыл бұрын
Nc
@fatumahamisi5831
@fatumahamisi5831 5 жыл бұрын
Dah! Jamani timkeyi achatuu woudiadi oyeee
@rigthonyfwime6443
@rigthonyfwime6443 5 жыл бұрын
hakika mambo ya nyerere yalikua makubwa
@ramadhanjuma3322
@ramadhanjuma3322 2 жыл бұрын
S
@hamadyusuf2598
@hamadyusuf2598 6 жыл бұрын
ubinafsishaji ukija tena mtushirikishe wananchi. pale tumekosea
@yusuphbalali9037
@yusuphbalali9037 7 жыл бұрын
Nakikumbuka kipindi Tunabeba Karatasi Mgololo to Arusha.
@richardwalesi5913
@richardwalesi5913 5 жыл бұрын
Mgololo hyo nilifika2018 kwa wanyarukolo
@eugenyurassa2183
@eugenyurassa2183 5 жыл бұрын
Africa nigt
@babually5403
@babually5403 7 жыл бұрын
Nilisha wai kufanyakazi mgololo nilikuwa naendesha trectar kubeba mianzi kwa ajili ya whit paper
@johnmayama940
@johnmayama940 5 жыл бұрын
Niunganishe na wafanyakazi wa hapo kiwandani. Nataka kuagiza karatasi. Namba zangu 0679047446 au 0767157788
@allykhamis6794
@allykhamis6794 7 жыл бұрын
safii
@jumajembe3570
@jumajembe3570 5 жыл бұрын
Uyo jamaa anaerukaruka kama ngedere kukontrol magogo yasikwame analipwa kiasi gani?!!!(risk position)
@florencekashaija7539
@florencekashaija7539 5 жыл бұрын
Punda hajasoma lakini hakosi kazi .
@kinjeketilengwale1141
@kinjeketilengwale1141 5 жыл бұрын
juma jembe bila kumtukana ngedere ujumbe ungefika bro🚶🏾‍♂️
@jumajembe3570
@jumajembe3570 5 жыл бұрын
@@kinjeketilengwale1141 pa1 Kaka. Ila sikuwa na maana mbaya,sema inatakiwa wamlipe vizuri sana. Ni sehem hatari mno!!!
@kinjeketilengwale1141
@kinjeketilengwale1141 5 жыл бұрын
juma jembe 👍🏿🙂 sawa kk,pamoja..unajua jamaa zetu wenye ugonjwa wa ngozi hua wanatuita sisi monkey🙂
@eddopaul18
@eddopaul18 5 жыл бұрын
juma jembe wengi hapo 250000 au 280000
@hamisjuma1451
@hamisjuma1451 5 жыл бұрын
Noma
@immanuelsamwel9409
@immanuelsamwel9409 7 жыл бұрын
Home sweet home mgololo
@franciscomohamedjumanne1136
@franciscomohamedjumanne1136 7 жыл бұрын
mbona hukuonyesha pm2 iliyokuwa inazalisha karatasi nyeupe walivyokiharibu
@fauzishabani2622
@fauzishabani2622 5 жыл бұрын
Ni kweli
@zolongOne
@zolongOne 10 ай бұрын
Kwani hiki hakizalishi karatasi nyeupe?
@aloycekiwia8613
@aloycekiwia8613 7 жыл бұрын
Uharibifu wa MAZINGIRA tu.! Hawakati miti kizazi cha sasa,ni recycling tu ndio itaokoa misitu tena gharama nafuu
@oliveryonah2566
@oliveryonah2566 7 жыл бұрын
Aloyce Kiwia iyo miti inapandwa kwa kazi hiyo na siyo kila mti unafaa kwa kutengenezea karatasi ipo maalum unaweza hata wewe kupanda na nibiashara pia coz ni miti inayo kua kwa haraka mnoo
@watsonisrael4053
@watsonisrael4053 5 жыл бұрын
@@oliveryonah2566 Asante sana kwa kutuelimisha Oliver.
@polycarpmdemu3552
@polycarpmdemu3552 6 жыл бұрын
Mgololo home sweet
@abeidomar780
@abeidomar780 6 жыл бұрын
Kwann
@mtigafans9430
@mtigafans9430 5 жыл бұрын
Unaruka step hata sielew
@crepinusrubona6448
@crepinusrubona6448 7 жыл бұрын
Umenikumbusha Mgololo, kiwanda kimepoteza ubora na sifa yake Ya miaka ya 1988 _ 1995 (SPM) KILIKUWA KINA FANYA PRODUCTION BALAA
@fauzishabani2622
@fauzishabani2622 5 жыл бұрын
Uzalishaji wa white paper 70gsm 80gsm wamewaachia India . Tuagize India
@fauzishabani2622
@fauzishabani2622 5 жыл бұрын
News print 45grm 60grm wamebana tupeleke pesa India
@nilansaid2927
@nilansaid2927 3 жыл бұрын
@@fauzishabani2622 ndio tatizo la kubinafsisha viwanda vya serikali bila kuangalia outcome, wahindi sio watanzania bali ni wahindi na maslahi yao ni kwa ajili ya India, waliharibu reli na viwanda pamoja na mashirika mengi waliobinafsishiwa sababu ya maslahi ya nyumbani kwao India, sio watu wa kuwaamini kabisa
@johnmayama940
@johnmayama940 5 жыл бұрын
Nahitaji mawasiliano ya meneja kiwandani hapo. Nataka kuagiza karatasi kuja Dar es Salaam. Mwenye kujua anifahamishe Namba yangu 0679047446 au 0767157788
@abataitanzania1016
@abataitanzania1016 7 жыл бұрын
kuna project nataka kuanza nitapataje tafathali mawasiliano
@MichaelMwakibolwa
@MichaelMwakibolwa 7 жыл бұрын
habari Faraja, Hongera kwa video hii. nataka kuja kufanya project yangu huko tafadhali nawezaje kukupata?
@farajasendegeya5312
@farajasendegeya5312 7 жыл бұрын
Karibu Mimi nipo tu
@farajasendegeya5312
@farajasendegeya5312 7 жыл бұрын
Napatikana Azam TV
@husseinhassain7116
@husseinhassain7116 7 жыл бұрын
Broo kazi nzuri unatukumbusha mbili kipindi cha mzee mtumba washing n.a. tumepima sana white lique daaa shuklani
@salummkwawa6306
@salummkwawa6306 7 жыл бұрын
atakupataje?
@farajasendegeya5312
@farajasendegeya5312 7 жыл бұрын
Napatikana Azam TV ndugu
@zahoromagera967
@zahoromagera967 7 жыл бұрын
Hivi hiki kiwanda cha tanzani au maana ss hatuna kaujanja kakuanzisha vitu kama hivi mpaka walete wazungu
@farajasendegeya5312
@farajasendegeya5312 7 жыл бұрын
ZAHORO MAGERA kiwanda kiko mfindi ni Tanzania kabisa
@corrolesscps
@corrolesscps 7 жыл бұрын
Faraja Sendegeya Kiko Tanzania Lakini kilianzishwa na mzungu, wakati huo akiwa mkoloni, mkoloni mwingereza. Si mchezo tekinilogia ya kuhunda mimashine na kuinganisha tutaeshimika kwa mtu mweusi
@rainerydallu3638
@rainerydallu3638 6 жыл бұрын
Corroless, sio cha mkoloni hiki, kimejengwa kipindi hata uhuru tayari
@rainerydallu3638
@rainerydallu3638 6 жыл бұрын
@@corrolesscps sio cha mkoloni hiki, kimejengwa kipindi hata uhuru tayari miaka ya sabini, niliwahi kuishi hapo kwa zaidi ya miaka kumi
@janethkilonzi4260
@janethkilonzi4260 5 жыл бұрын
ZAHORO MAGERA ..hio mufindi my dear,kiwanda cha toka enzi hizo kiko pouwa sana,..ndio kwetu huko,..
@salummkwawa6306
@salummkwawa6306 7 жыл бұрын
atakupataje?
Top 6 Incredible Manufacturing Processes You Won't Believe Exist
2:05:45
Manufacture Garage
Рет қаралды 16 М.
Une nouvelle voiture pour Noël 🥹
00:28
Nicocapone
Рет қаралды 9 МЛН
Каха и дочка
00:28
К-Media
Рет қаралды 3,4 МЛН
UTACHEKA! Sheikh KIPOZEO Amwambia MAGUFULI  "I LOVE YOU" Hadharani!
2:31
Global TV Online
Рет қаралды 249 М.
REAL ESTATE INVESTMENT OPPORTUNITIES IN TANZANIA
9:31
Shirika la Nyumba la Taifa
Рет қаралды 19 М.
mtoto yohana anthony akihudumu katika ibada MOROGORO
6:13
Hope media tz
Рет қаралды 10 МЛН
Tmk Wanaume -Umri
4:43
Mziiki
Рет қаралды 1,4 МЛН
Jinsi ya kutengeneza mifuko ya karatasi
10:26
Mr Baitan
Рет қаралды 16 М.
Une nouvelle voiture pour Noël 🥹
00:28
Nicocapone
Рет қаралды 9 МЛН