Assallam Allaykum, masalafi mmekua kila siku mkijinasibisha mnapinga bidaa, lkn nyuma yapazia nanyinyi mna bidaa tena mbaya, ndo yale alie yasema mtume una weza ukawa mwepesi wakuwaona watu wako sefu kumbe wewe ndiyo mkosefu zaidi, Dufu unalolipiga vita, liwe Lina kubalika au halikubaliki, lime tajwa kwenye hadith, tena zaidi ya moja, Jeh hii tauhidi 3 imetajwa wapi, katika kitabu au suna,
@AkhiymbwanaAbdallahСағат бұрын
Bachu Allah akuhifadhi naona upand wa 2 wanapwaga2
@masoudmohammed42582 сағат бұрын
Bachu mashallah umeeleweka
@taurehassan7399Сағат бұрын
Hata Salam kw waumini wenzio huna bachu,watetemeka mapemaaa unaacha Sunna ya mtume inayosema السلام قبل القلم
@mahammoudhajiСағат бұрын
Bachu bado mdogo sana
@ibrahimjumbe8121Сағат бұрын
Huyu Muhammad Bachu ni size yangu kabisa naona masheikh mnapata nae tabu bure huyu bwana naomba nae mimi mjadala tafadhalini maana kila nikimskiliza naona mapungufu mingi sana
@mybabyarchive2104Сағат бұрын
Bachu kabachuliwa
@MuhidiniNassor39 минут бұрын
Narudia tena bachu niliwahi kukwambia unapiga zogo sana na ufasaha wako unashuka siku baada ya siku hebu katulie uiskilize hii mada vizuri
@eddieeddie275517 минут бұрын
Sheikh Bachu watumie hao kama ubao wa kufundishia, wanafuata mila za babu zao .
@pavillioncry52412 сағат бұрын
We bachu kila siku mijadala tuuuuu Hebu acha ayo mambo
@ر.ج.ب2 сағат бұрын
Kwani mijadala ni haramu? Ikiwa wanafahakishana haqi bila kutukanana kwanini wasifahamishane? Waachane
@AmourAmour-ux3nm2 сағат бұрын
Vip ndugu 😂 si ndo yul uliyekuwa wamp kampani
@kugotwa004Сағат бұрын
MTOTO MDOGO UYO BACHU
@MohammedAli-u5j9s49 минут бұрын
Bachu ni simba
@taurehassan739953 минут бұрын
Cc twataka dalili kutoka kw mtume au swahaba au taabi ww watultea al-imaamu habshi,kwn habshi ni mtume au swahaba mpka ukamtolea ushahid?
@taurehassan739959 минут бұрын
Elimu bachu inaamishwa ktoka kwenye vitabu kupeleka kichwani,vitabu mzigo kuvibeba ukitjiwa kitabu uridhike na utosheke km ww msomi uwende ukapekuwe kuthbtsha
@yasserabubakar616748 минут бұрын
Sasa hapa bachu amemshika huyo ustadh kwa kutaka kuthibitishiwa kama yeye alivoshikwa na ustadh said …
@elimuforum91352 сағат бұрын
Dunia inaenda mbio sana au itakuwa double standards, yaani yule anayepinga bidaa anatetea bidaa na yule anayeteteaga bidaa leo anapinga bidaa (ima iwe mzuri au mbaya)
@rumonajarufu13462 сағат бұрын
😂😂😂😂😂 nimecheka Kwa sauti wallahi
@ShamsudeenOmary31 минут бұрын
Maneno yako ya kijahili
@SaidiMohamed-bj2wg53 минут бұрын
Mpaka Dunia itaisha hawawez kuitoa dalili hao nimayahudit
@rushu12322 сағат бұрын
Jambo ikiwa hakufanya Mtume wala maswahaba ni bidaa ndio baadhi ya maaulamaa waliogawanya aksamu za bidaa mzuri na mbaya sasa ajabu kitu ni bidaa hasn lakini hamukubali lakini aksamu tawheed mwakubali.
@MuhidiniNassor43 минут бұрын
Bachu kapoteza dira na chombo kipo maji mengi
@saidimpako51862 сағат бұрын
NANI AMEGAWA TAWHIDI MTUME AU WANACHUONI ? NAONA MTUME HAJAGAWA MPAKA MWISHO WA MJADALA
@KubwaKuliko-dk4bm2 сағат бұрын
Haya mazungumzo ni ya mwaka gani???
@jimjam-xg7rv58 минут бұрын
Uwahabi ni tawi la ukatholiki tu
@AbuuzuhairMuhammad2 сағат бұрын
Allah atuongoze katika haki
@alijuma8009Сағат бұрын
Kama makubaliano ya mjadala bachu hajajibu hoja
@nayef390340 минут бұрын
Wacheni kukata clip bachu ameshindwa mnakasha wa tauhid tatu yani munafanya mchezo na dini nyinyi mawahabi
@SaidiMohamed-bj2wg59 минут бұрын
Azuunzikat toadalili yavigawanyo vya aqida
@JumbiSecondary2 сағат бұрын
Muanzilishi wa tauhidi tatu ni nani? Na ameanzisha mwaka gani? Na wapi?
@saidimpako51862 сағат бұрын
BACHO UNEJICHANGANYA RABU ANAABUDIWA AU ILAHU TU NDIE ANAEABUDIWA
@AbdulIssa-o7eСағат бұрын
Yani kuamini namna ya kumpwekesha Allah katika njia 3 ndo amegawamywa Allah miitu ya bidaa imepotea katika hakki kabisa
@SaidiMohamed-bj2wg49 минут бұрын
Walishidwa wengine kutoa dalili eje mtu asiejua ata elimu yahadith
@alihassan364840 минут бұрын
Bachu rud chuoni tumekuchoka
@alkhariaha2 сағат бұрын
Tupunguzeni utashi. Tufuatilieni kiundani sana.
@MahfodhAmeyr2 сағат бұрын
Sio JARJAN bali JURJANI kumbe bacho mtupu hatajinala shekh halijui
@MahfodhAmeyr2 сағат бұрын
Bachu kasome kwanondo hizo hunalakumjib SHEKH KIDAWA
@AbdulIssa-o7eСағат бұрын
Nondo zipi mbona hakuna kitu chochote hapoo mi ningekuwa bachu sina muda wa kujadiliana na watu wa bidaah kupoteza mda tuuh mijitu ishapotea utawezaje iongoza
@mybabyarchive2104Сағат бұрын
@@AbdulIssa-o7eNi nondo kwa sababu bachu kakimbilia kwa wanazuoni wa kuazima bila kuwarejesha kwenye kitabu na sunna. Kweli bachu kashachanganyikiwa
@AbdulIssa-o7e36 минут бұрын
@@mybabyarchive2104 wanazuoni kauli zao wanatowa wapi kama sio kwenye dalili za kitabu na sunnah sasa mnakataa shekh wenu wa maulidi alisema mtume kagawa tahhees 3 hilo mnakataa maulidi mbona hamumpingi na hamusemi minal kitabu wa sunnah
@SaidMadaiСағат бұрын
Hhhh balbala 😂 hajakunya apo
@saidimpako51862 сағат бұрын
SASA KAMA RABU NDIO HUYOHUYO ILAHU SASA UNAMGAWA NINI SASA WAKATI NI HUYOHUYO MMOJA
@masoudmohammed42582 сағат бұрын
Mbna ilikuwa wa ghafla
@taurehassan739955 минут бұрын
Ww c ndo umevikataa vitabu vya maulid hya mbona watolea ushahid humo humo kw wanazuoni wa bid'aa?muogopeni Allah acheni unafq bchu someni
@swalehseifmuhammed82893 сағат бұрын
Me namshauri bachu akasome tu maana anajiabisha
@ShamsudeenOmaryСағат бұрын
Shaykh Bachu umewahisikia ushauri wa Shaykh Abdallah Humeid?? Huwa anasisitiza msipoteze wakati wenu kufanya minaqasha na hawa watu. Nyie bainisheni haqi watakaotaka kuifata watafuata na wasiotaka wewe huwezi kuwaongoa , naamini una shughuli nyingi za kufanya
@MuhidiniNassor47 минут бұрын
Miongoni mwa shughuli nyingi ndo hii atajua hajui hao ndo watu wa elimu hao ndo wasomi kimyaaaa huwasikii kuropokwa
@MuhidiniNassor45 минут бұрын
Sheikh kaumaliza mjadala asubuhi kweupeeee Hivi kweli mpaka hapa mawahabi hawajaona tu الجنون فنون
@darajanida2 сағат бұрын
bachu chali
@rushu12322 сағат бұрын
Hakuna tawheed tatu kupwekesha ni kumoja Mwenyeezi Mngu ni mmoja tu hata kama nikufahamisha watu basi bidaa hasn.
@AmourAmour-ux3nm2 сағат бұрын
Watu washindwa kutambua Yaaan hizo ni iswtilaahaaty zinazotumik ktk Elimu
@AbdulIssa-o7eСағат бұрын
Hivi bachu hana kazi ya kufanya mpk anaepoteza muda wake wa kujadiliana na watu wa bidaah wazushi
@AbdulIssa-o7e2 сағат бұрын
Hivi mnapenda kujadiliana na watu wa bidaah hawoo washapotea allah awezi kuongoa mioyo yao ishapotea katika hakki ni kupoteza muda tuuh! Kujadiliana na watu wa bidaah hivi bachu huna kazi ya jufanya mpk ujadiliana na watu wazushi.
@mahammoudhajiСағат бұрын
Rabbish
@ammaarmwinyi1120Сағат бұрын
Shekhe madamu mtu hajafa usim Katie tamaa kua nimporofu au mwema yore Yako mikononi mwa Allah yalobakia kuombeana Dua tu
@AbdulIssa-o7e30 минут бұрын
@@ammaarmwinyi1120 ibn masoud aliitwa akajadiliane na wazushi akawaambia wambieni mi nipo mbali na wao kabisa, watu Hawa mioyo yao imepigwa mihuri Allah kawaelekeza huko walikotaka kwahiyo hata umuoneshe hakki bado ataona batwil,mtume akiambiwa na mola wake huwezi muongoa alopotea so kazi yako kuongoa muhammadi ila kufikisha tuuh kazi ya kuongoa ni ya Allah, kukaa nao sana hawa watajiona wapo katika hakki kumbe ni batwili
@HemedAbdullaSuleiman22 минут бұрын
Jibuni hoja acha kelele na cc tunajua Mawahabi ndio muliopotea
@AbdulIssa-o7e7 минут бұрын
@@HemedAbdullaSuleiman ww uwezi juwa kama umepotea sabu, unakubali kile kisemwacho na mashekh zako, leo mnajuwa kitabu na sunnah mbona maulidi mnakataa kitabu na sunnah mnafata mashekh zenu tuuh amtaki kitabu na sunnah, arafu ujamkubali shekh wako wa maulidi kwenye kuuuxisha maulidi kwenye kusema tahwed 3 Kagawa mtume arafu hilo mnampinga shekh wenu, mnakubali lile mnalotaka ninyi mngekuwa mabingwa wa kusema kitabu na sunnah hata maulidi msingefanya sabu hakuna kwenye kitabu wala sunnah, hivyo bado mnatapa tapa tuhh hamjui kitabu na sunnah kimekataa maulidi, mimi rai yangu bachu aache kujadiliana na watu vipofu ambao Allah amepiga mihuri, katika nafsi zao hawaoni njia ya sawa nikupoteza mda kujadiliana na mzushi bora ifuge mbwa nyumbani kwako umfundishe atakuelewa so watu wa bidaah, mioyo yenu migumu na kwakuwa mlishaipa migongo hakki hapo utajikuta wampigia mbuzi gitaa