RADDI KWA ABU HASHIM NA HASSAN WAZIRI KIBARAKA WA QASSIM MAFUTA || Muhammad Bachu.

  Рет қаралды 7,966

Muhammad Nassor Bachu

Muhammad Nassor Bachu

Күн бұрын

Пікірлер: 218
@OmarAlly-iz8ot
@OmarAlly-iz8ot 6 ай бұрын
Watake wasitake ndugu zetu masalafy Shekh Muhammad Bachu kielimu na ufahamu sahihi na upekuzi na utafiti wa kihoja isimame mahali gani, Shekh Muhammad Bachu yuko juu sana Maashaa Allaah, na munayo yafanya ndugu zetu ni aibu kwenu na kwa walimu wenu, bali mi nawaambia Shekh Muhammad Bachu Allaah amhifadhi na amzidishie upana wa maarifa ktk Elimu ya Dini yetu Tukufu ya Uislam, na ampambe kwa afya njema, na kwa juhudi zenye matunda kwa wana Sunnah nimdogo tu wa umri lkn kielimu yuko juu sana Maashaa Allaah. Kwaio acheni ubishi mutavuka nguo nyote mchana kweupe. Wambieni walimu wenu wawafundishe namna ya kumjibu Shekh Muhammad Bachu. Na mi nashangaa mbona hoja zenu zina pinduliwa kama kipande cha karatasi tu, lkn hoja zake kwenu zimekua ni tatizo kubwa na aibu kubwa kwenu maana mumeshindwa kujibu hija yeyote na majibu yakawa yameenda shule.
@akidakitete7056
@akidakitete7056 6 ай бұрын
Shekh unahoja madhubuti sana juu ya jambo hili usalafi na usalafi feki kihakika imekua sunna imeteteleka sana kwa hoja zisizo na mashiko za hawa majadida.Allah akuhifadhi sana shekh wetu....... Allahumma amiyn
@Muharram-c5n
@Muharram-c5n 6 ай бұрын
Masha'Allah !!!...umebarikiwa kujenga na luvunja hoja kivitabu,M'mungu ampe zaid elimu na mwisho mwema
@NuryaMusa
@NuryaMusa 5 ай бұрын
Allahuma Aamiyn
@NuryaMusa
@NuryaMusa 5 ай бұрын
😂😂,Abuu Hashim yaonekana anavuta bangi ALLAh mtukufu amuongoz. Mpotevu Abuu Hashim. Na. Genge lake loote 17:26
@YusuphSadiki
@YusuphSadiki 5 ай бұрын
Kwamaneno yako hayo utakwenda kuulizwa na Allah kwakumzulia abuu Hashim kuwa avuta bangi umefanya dhulma tarajuu @NuryaMusa
@NuryaMusa
@NuryaMusa 5 ай бұрын
@@YusuphSadiki ww ni mpumbavu kma Abuu Hashim yaonekana naww ni mvutaji bangi Kama yy nikuulize Kama. Akili zako ni nzima. Hivi unaamini Muhammad Al imam ni Shia kama slivyoongea huyu Abuu Hashim mjinga . Ebu nijibu. Kwanza ndiyo ungalie nyie ndiyo hamtaulizwa kwa maneno yenu ykijinga Kama hayo ya Abuu Hashim hadady swaafikah
@وزيرهالوزير-ذ8س
@وزيرهالوزير-ذ8س 6 ай бұрын
Tunajivunia kua namtukama Muhammad nasoro bachu Allah akupe umrimurefu upate kuupanguvu uislam na wanaozofisha uislam iwekwenye kutumiamajini au kutumia uganga au pete allah azidi kuwazofisha umoja bada yamwengin
@hassanisihaka910
@hassanisihaka910 6 ай бұрын
Huyu sio sheikh bwanaa Hakuna Salafina Swaleh walofanya haya Kama yupo tuleteeni Adillah
@YusuphSadiki
@YusuphSadiki 5 ай бұрын
@@وزيرهالوزير-ذ8س fuata hawaa za nafsi uone unajivunia ujinga nauhizbi mche Allah
@Idri683
@Idri683 6 ай бұрын
Jazakallah kheiry Ustaadh Mohamed Bachu .
@geographicalworld1994
@geographicalworld1994 6 ай бұрын
Hakika hiki unachokisema waislamu watakielewa tu, Alhamdulillah
@ibrahimabdul8257
@ibrahimabdul8257 6 ай бұрын
Wallaah mimi na mpenda sanaa sheykh Abul Abbas Hassan waziri … huwa shubha hizi huwa anaziweka wazi vzuri sana kwa mtu anayetaka haqqi
@MohdAziz-z9j
@MohdAziz-z9j 6 ай бұрын
Lkopp 0 pool pool pool makka dz, 😏❤OK😊😊😊❤😊❤j I f
@IbrahimMahmoud-em1np
@IbrahimMahmoud-em1np 6 ай бұрын
Hakuna shubha bali nyinyi ni kihoja
@ابومعاذاحمدناصر
@ابومعاذاحمدناصر 6 ай бұрын
Maskin pole
@AbAlhuraas
@AbAlhuraas 6 ай бұрын
Unampenda Abul abas nenda kamsikkikize Hummeid anaaanza kuwakataa kidog kidog Humeid Muelewa sana Na Alllah atajalia ataicha hiyo njia yenu mbaya ,Dawa imeanza kumuingia
@ابومعاذاحمدناصر
@ابومعاذاحمدناصر 5 ай бұрын
Ndugu yetu usifuate kama anavyofuata kipofu
@SugowFarah-up3db
@SugowFarah-up3db 6 ай бұрын
Ust Muhammad Bachu حفظه الله niko swali. Abuu Mu'awiya Hassan Awaadh رحمه الله unapomlinganisha na wanazuoni waliompa udhuru Muhammad Imaam je yeye (Abuu Mu'awiya) ni katika wale الراسخون في العلم Nimeuliza hivo kwasababu ndugu yetu Abul Abbas hassan waziri حفظه الله asema kwamba wale wanazuoni waliompa udhuru Muhammad Imaam hawawezi kubidiishwa kwasababu wao ni ahlul ilmi wamebobea kielimu. Kisha akasema kwamba katika elimu ya jarh na ta'adil wanazuoni wasema kwamba inayotangulizwa ni jarh kwasababu waliomjeruhi wametumia hoja za kielimu katika kumbidiisha kuliko wale waliompa udhuru Muhammad Imaam. Kisha akasema kwamba yule ambaye si katika wanazuoni akimfuata huyo aliyejeruhiwa atakuwa miongoni mwake Sasa naomba utuwekee wazi jambo hili
@musarashid-xw1qm
@musarashid-xw1qm 6 ай бұрын
Abuu muawiya halaumiwi kuchangua upande baina ya pande 2 kote kunamaulamaa yeye abuu muawia ni bulabu elim
@ELIMUyenyeMANUFAA
@ELIMUyenyeMANUFAA 6 ай бұрын
Kwani Abu muawiyyah (Allah amrehemu hawezi kufanya hivo kwa kuwaigiya hao wanazuoni ??!!!) TAFAKARI,kumbuka walimu zako ni binadam wanaweza kukosea makosa makubwa na miongoni mwa makosa ni nilo la kumbidiisha Abu Muawiyya. Wajirejee.
@ELIMUyenyeMANUFAA
@ELIMUyenyeMANUFAA 6 ай бұрын
Kwanini hao ustadhi wanaenda kinyume na Maulaamaa ?kwanini Abu mamuawiyyah asiwafati Maulamaa? Na kwanini ma ustadhi hao wambidii she Abu Muawiyya kwa kuwafata alafu wasibiidiishwe Maulamaa waliomtangulia kwa hilo? Ni swala la kuwa muadilifu na kutambua kuawa maustadhi hao waliombidiisha Abu Muawiyya wako kwenye Makosa Makubwa Allah awasamee awarejeshe kwenye na sisi pia
@hashimukillenja9377
@hashimukillenja9377 6 ай бұрын
Kwanini mlazimishe watu wafuate rai yenu? Sisi tunawafuata wanachuoni waliompa udhuru na ndio wapo katika haqi. و الله أعلم
@AbAlhuraas
@AbAlhuraas 6 ай бұрын
​@@hashimukillenja9377nakupa mwalim kilennja
@abbaspaziaog2188
@abbaspaziaog2188 6 ай бұрын
Baarakanllah fiikum AL Akhy Muhammad bachu
@mbjunior166
@mbjunior166 6 ай бұрын
Allah akupe nguvu na akuongoze al akhy Bachu!
@sakinasakku8340
@sakinasakku8340 6 ай бұрын
MAASHAA ALLAH jazakallakheir sheikh kwakutupa elm
@rajabTaratibu
@rajabTaratibu 6 ай бұрын
Akhi nakupenda saana kwaajil ya Allah akupe mwanga Zaid kwenye daawa yako
@ismailmakame7183
@ismailmakame7183 6 ай бұрын
Allah akuhifadhi akufiashe ktk uislamu nasunnah amin
@NasryMwanguku
@NasryMwanguku 6 ай бұрын
Shekh me nibado 2 mwanafunzi nataman Allah anifanye katija moyo wangu uwe kama wako nakupenda sana mm أسد الله Allah akuhifadhi hutukan watu ndo kilicho fanya nkupende usiogope ostadhi sema wajifunze kupitia ww
@MohamedRashid-q8z
@MohamedRashid-q8z 6 ай бұрын
Mashallah tunafaidika sheikh.usiache kutubainishia
@NasirJussa
@NasirJussa 6 ай бұрын
Kwanzaaa mm kiukweli nlikuwa nawapenda sana Hawa majadida lkn Tangu nimeanza kuuona ukweli Hawa jamaa Kila mtu kwao hafai. Halafu Wana mafuta na kiburi wanajiona sanaaaaaa na kuamiliana na watu vizur hawana iyo kitu.. kiufupi siwapendi hasaaa wallah tena... Qauli zao mbaya.. alhamdulillah Muhammad bachu kwa kuwanyoosha Hawa mazayuni..
@nassor6333
@nassor6333 6 ай бұрын
Sasa nani kasema anakupenda wewe?
@mbjunior166
@mbjunior166 6 ай бұрын
Watu wa sunna wote tunapendana kwa ajili ya Allah sheikh kasoro majadida tu na ww ni ktk wao!
@IbnuAlly-wm8il
@IbnuAlly-wm8il 6 ай бұрын
Umefanya vyema
@canoksancomprehensivelearn7182
@canoksancomprehensivelearn7182 6 ай бұрын
Kweli kaka hata wakiwa jiran zako wan tabia mbayasana majadida na ni vigumu kuishi nao kwa wema bora wakat mwingine hata mabaniyan wana tabia nzuri salamu wanatoa kwa bashasha na ujiran wanazingatia na wanaishi na watu kwa wema na wanasema mazuri kwa watu majadida ni tofaut kila kitu hawana tabia hizo bali mtihan na ndimi zao hatar
@AbAlhuraas
@AbAlhuraas 6 ай бұрын
Wee ni Msufi Japo kuwa tuna Mizozo na hawa majadida lkn Hatusubutu Kwaita hawa Kuwa Wazayuni
@وزيرهالوزير-ذ8س
@وزيرهالوزير-ذ8س 6 ай бұрын
Waleykum salam warahmatullah wabarakatuh
@hashimukillenja9377
@hashimukillenja9377 6 ай бұрын
ALLAH AKUHIFADHI,AKUPE UMRI MREFU WENYE MANUFAA. JAPO HATUKUBALIANI KATIKA MAMBO YOTE LAKINI KATIKA HILI TUNAUNGANA NA WEWE.HATUUNGI MKONO KUWALAZIMISHA WATU WAWAFUATE WATU FULANI KATIKA MAMBO YA IJITIHAAD NA KULETA MTAFARUKU BAINA YA WAISLAMU KIUJUMLA NA WANA SUNNA KHASWA.
@IsmailMuhammad-y1i
@IsmailMuhammad-y1i 6 ай бұрын
Napenda radi zako waelaikum salam napenda radi zako
@MohdAliHaji
@MohdAliHaji 6 ай бұрын
Sheikh bachu ule ukhawariji wakuwatuc VIONGOZI Usha acha naona hatuja sikia tarajui yko
@husseinally3350
@husseinally3350 5 ай бұрын
Yani nduguyangu kweli hilopia unalileta hapo
@MohdAliHaji
@MohdAliHaji 5 ай бұрын
@@husseinally3350 ndio mada yake ukiiyangalia kiujumla inahusu uhizbia lazima akumbushwe juu ya hiloo asijisahaulishe ili tupate tarajui yake au aseme yeye ni salafy kwa kauli ni khawariji kwa vitendo
@AhmedSalim-g7s
@AhmedSalim-g7s 6 ай бұрын
Kwa kweli sheikh Muhammad unatema Madini
@ibrahimabdul8257
@ibrahimabdul8257 6 ай бұрын
Hawa wana ichukia salafiyyah kwasababu wanataka waachwe waendelee na ule ukhawaajir wao… hawa ansaar sunnah…kila mwenye umri kidogo katika kufatilia mas’ala ya dini anaweza akalijua hlo
@AbAlhuraas
@AbAlhuraas 6 ай бұрын
Humeid sheikh wako ,Ananza kuwakataza nyinyi mjadida Allah awape nusra ,Allah atamjalia ataoyona haki kisawa sawa
@AbAlhuraas
@AbAlhuraas 6 ай бұрын
Niyiny ni wajinga wa kuzielew ibara za Wanazuoni ,
@suleyazidu4991
@suleyazidu4991 6 ай бұрын
سبحان الله العظيم
@ibrahimjumaa538
@ibrahimjumaa538 6 ай бұрын
Sura yako imejaa nuru na dalili ya imani na khouf ya Allah
@ABUUJAAFAR92
@ABUUJAAFAR92 6 ай бұрын
Usulubu anaoutumia bachu sio wa kiilmu bali ni wakihamasa ,,,sasa maneno kama "mwambieni qasim mafuta alete kibaraka mwingine " Ni dalili tosha si mtu anayejitegemea kiilmu bali anataka kuleta hamasa kwa maneno kama ya mashabiki wa mpira ,na wanaomsifu bachu ni watu ambao fahamu zao ni ndogo maskini na wanaghurika kirahisi na porojo zake ,,,
@Najma_Mbaruk
@Najma_Mbaruk 6 ай бұрын
Mwamba, kama unaona hayo maneno hayapo sawa hio ni wewe tu, sisi tunaona ni sawa kabisa, mana hao wapuuzi wenzio wanasema machafu kuliko hayo, AU HUKUMBUKI WALIVOMUITA MUHAMMAD BACHU KASUKU WA ZANZIBAR, NA WENGINE WAKAMWITA MUHAMMAD BICHWA? Kama ni muadilifu nenda kawaambia MAJADIDA wenzio kwanza kisha ndo uje hapa... JADIDA MMOJA WE😂
@HassanHamad-rf9tq
@HassanHamad-rf9tq 6 ай бұрын
Tuliaa nyinnyi mahizbu salaf huyo muhamed mafuta Ana maneno machafuu Sana kawatukana baadh ya mashekh
@abuumansour8479
@abuumansour8479 6 ай бұрын
@@HassanHamad-rf9tq hhhhhhhhh
@Najma_Mbaruk
@Najma_Mbaruk 6 ай бұрын
@ABUUBAAZNYUNGU-j4x kama mimi sio mtu wa dini jaribu kuvuruga jambo katika dini uone nitakavokuraruwa, mumezowea kuwaonea wasioweza kujibizana kina Dk Islam ndio maana mulijiona wasomi , sasa mumepata mtu uwanjani munatafuta huruma, mutakoma, na kama wewe unajona msomi sana basi usinijibu kwa kiswahili kuanzia sasa, nijibu kwa kiarabu ndio lugha ya kisomi, ntakujua kama ni salafi kweli au unafuata mkumbo tu
@AbAlhuraas
@AbAlhuraas 6 ай бұрын
​@@ABUUBAAZNYUNGU-j4xwee Akhy ushamsikia Humeid tafuta umsikie anavyo sema radi zenu hazna uwdilifu ,Nying ni chaki
@abdiosman6031
@abdiosman6031 6 ай бұрын
Mwamba huyu ni kiboko ya majadida
@NasirJussa
@NasirJussa 6 ай бұрын
Visalafi wamepata kidume Chao Wana udhi kweli kweli Hawa jamaa
@Jamalkishangu
@Jamalkishangu 6 ай бұрын
MASOMO haya ni ya kielimu hakika watu wana elimika vyema.
@YusuphSadiki
@YusuphSadiki 5 ай бұрын
Nyinyi mahizbi mtakwenda kuulizwa nashekh wenu huyo kigogo cha hizbiyyun mmuogopeni Allah namnamatusi mahizibi nashekh wenu bachu duh mtakua na mazito siku ya kiyama
@Muhidinimngazija
@Muhidinimngazija 6 ай бұрын
Hao jamaa ni riihun mumtinah, Mtume pia kafanya mikataba ya Amani na makureishi, na anamuambia swahaba Aly Andika Bismillaahi, makurayshi wanasema hatumtambui Allaaha, hawa ni harufu mbaya
@mohammedhassan-o9s
@mohammedhassan-o9s 6 ай бұрын
❤❤❤ mashaallah
@abusihaa6396
@abusihaa6396 6 ай бұрын
Hao unaowaita MAJADIDA ndio walio mletea Sheikh Nassor Bachu Allah amrehemu DAAWA SALAFIA na akaikubali na wewe Allah akuongoze jishughulishe na kutafuta elm na kakako mdogo.
@AbAlhuraas
@AbAlhuraas 6 ай бұрын
Mbna jambo hilo lishapongwa zamani au hujui
@hassanhamid4359
@hassanhamid4359 6 ай бұрын
Eka muhadhar wa muhammad al imamu
@babatchi9169
@babatchi9169 6 ай бұрын
MULABISS MULABISS MULABISS MULABISS MULABISS
@mbjunior166
@mbjunior166 6 ай бұрын
Ww ni jadida mjinga sheikh na hapa huna hoja yyte ni taasub na hasad tu!
@babatchi9169
@babatchi9169 6 ай бұрын
@@mbjunior166 na kama week ni msomi basi basi MAULAMÃ wameku7a wo7e,uhizbi unakusumbua neda uka7ie mbali HIZB NKUBWA W3W3
@babatchi9169
@babatchi9169 6 ай бұрын
@@mbjunior166 kuna HIZB msomi ona Ilo unalo lii7a aheik jinsi linababaika na ku7apa7apa e7i ho Nam7aka qassim 😂 ikawa MASU7I wamelikojoza na bidã zao i7akuaje kwa sheikh qassim? Ila sheikh anadili na mwen73 MBUA
@HassanHamad-rf9tq
@HassanHamad-rf9tq 6 ай бұрын
Hizbu salaf Katika ubora wako
@saidsalim2561
@saidsalim2561 6 ай бұрын
Upo sahih ​@@mbjunior166
@saidabdallah5448
@saidabdallah5448 6 ай бұрын
Alaykum msalam alhamdulillah Abdallah humed yuko wapi? Nimwepesi sana kuwajibu masufi kwanini hafungui mdomo kwa mohamed bachu?
@fatmasalim7132
@fatmasalim7132 6 ай бұрын
Pengine hapo amekosa jawabu ndio maana akawa kimya!
@NaduuAbdilah-uj5vj
@NaduuAbdilah-uj5vj 6 ай бұрын
Achana na abdala humeid hata shekh qasimu mafuta ni mwepesii ila hawajibu wana jua wame kosea
@salumtakao9828
@salumtakao9828 6 ай бұрын
Abdallah humid haachi hakiba ya maneno akiongea ndo maan kaubana kimnya atanyooshwa vibaya na bachu yule jamaa.
@Najma_Mbaruk
@Najma_Mbaruk 6 ай бұрын
Hawezi kujitokeza hata siku moja...😂 yaani kama namuona vile atakavokoseshwa usingizi na Bachu😂😂
@abuumansour8479
@abuumansour8479 6 ай бұрын
​@@Najma_Mbarukwe ukht ushaolew kama bdo nije naona wanifaa
@mustafaibrahim5200
@mustafaibrahim5200 2 ай бұрын
Bachu punguza kuwapiga spana maulamaa wetu wanashikwa na aibu
@IsmailMuhammad-y1i
@IsmailMuhammad-y1i 6 ай бұрын
Napenda
@AbdulIssa-o7e
@AbdulIssa-o7e 5 ай бұрын
Mtoto wa simba nae simba, wallahy shekh wetu al maruhum nasoro bachu, Allah ampe mwanga katika kaburi yake wallahy mi napenda kumwita simba wa minbar na khurafi , Ameondoka simba ametuachia simba bado ananguruma kwa nyika za ahl batwil na kulaluwa batil zao. Awakupati kabisa nilichokigundua kwa hawa majadida ni kuna mashekh walowaegemeza wao kwa matamanio hawo wakisema kitu hawapingi, Laiti angetamka maneno hayo shekh rabiy ule udhuru alopewa shekh muhammad imamu hilo lingepita na kwakuwa wametamka waso wataka wao ndo hawakubali udhuru huo mfano kina shekh fawzan, abu muhusini abadi, na Hawa ni mashekh wa kisalafi lakini kwakuwa wanawakubali kiunafiki tuuh ndomana hawataki, na hawa wote ni mashekh wa kisalafi. Lakini kwakuwa ni kikundi cha wajinga waso elewa maana ya usalafi walojikusanya wakawaweka na mashekh wanao wataka wao wakisema hawapingwi. Mtu kama shekh fawzan ni salafi sasa uki muhizibisha Abuu muhawiya kwa kuwa kafata kauli ya shekh fawzan na muhusini Abadi wana manisha kuwa Hawa nao ni mahizbi saasa kwa mtazamo wao finyu wa Hawa salafi uchwara japo hawatamki lakini kumtukana mbeba sheria ni sawa na kumtukana aloidhinisha sheriah😂😂😂😂daaah ummah umebainikiwa na hili pote bovu Allah akulinde shk wasomeshe wanafunzi wako warithi hiyo ilmu itasaidia watu unafaida kubwa sana shekh bachu duniani na kwa Alllah.
@pavillioncry5241
@pavillioncry5241 6 ай бұрын
Jamaaaa wana chuki wao kwa wao Majadida
@babatchi9169
@babatchi9169 6 ай бұрын
KASOME KASOM3 KASOME KASOME KASOME U7APO7EA KINANA
@IbnuAlly-wm8il
@IbnuAlly-wm8il 6 ай бұрын
@@babatchi9169 ww ulosoma somewhat na wengine bas
@ELIMUyenyeMANUFAA
@ELIMUyenyeMANUFAA 6 ай бұрын
Kasome:sio hojja Ni katika Qauli za kukimbia
@AbAlhuraas
@AbAlhuraas 6 ай бұрын
Vp msumari umeingia sio naona unapiga kelele
@babatchi9169
@babatchi9169 6 ай бұрын
@@ELIMUyenyeMANUFAA unajuaje oja naw3 ujasoma?
@babatchi9169
@babatchi9169 6 ай бұрын
@@AbAlhuraas msuma ni qassim sio Hizb BA
@Kzm-c9u
@Kzm-c9u 5 ай бұрын
Bachu! Bachu! Bachu! Hiyo manhaji yako ya jalalani wapelekee maveve wenzako. Usituletee habari za udhru kwa muhammad imam hali kushasimama hoja za kitabu na sunnah dhidi yake. Kwanza wewe soma kwanza ili uache kuokota mizoga kila mahali.
@Kzm-c9u
@Kzm-c9u 5 ай бұрын
Wewe hata maana ya Jumhur huelewi kama usivyoelewa hadithi ya ghariyb. Eti Jumhuri ulamaa wamempa udhru Muhammad Imam😂😂😂. Kweli kujisomea bila shekh nako ni matatizo
@HamadaZubeirTahir
@HamadaZubeirTahir 5 ай бұрын
Kuna kauli za jamhuuri hua munaziacha na kuichukua kauli ya mtu mmoja tu Albaani au sio nyinyi
@ibrahimsaid5538
@ibrahimsaid5538 6 ай бұрын
Hakuna atakae kuunga mkono kwa huo upuuz unao zungmza ispokua mpuuzi mithli yako kaa usome acha ghurur ya nafs ww ni jahil huna mstawa wowote wakielm
@KhalfanSaleh-e7l
@KhalfanSaleh-e7l 4 ай бұрын
Muogope Allah usiwaite watu wapuuzi
@ibrahimsaid5538
@ibrahimsaid5538 4 ай бұрын
Upuuz ni sfa ya vitendo vya mt ambapo mtendaji huitwa mpuuzi soma juzuu ya 2 ayah ya 1 imeanza hv ( wata sema wapumbavu سيقول السفهاء من الناس ) hvo ndug yang mt anapo fanya vitendo hivo si matus kumnasibsha na vitendo vyake hassa akiwa ana kanywa
@seniornyungu9718
@seniornyungu9718 6 ай бұрын
WEWE SHIDA YAKO MPAKA UMTAJE QASIMU MAFUTA,UNAMTAJA KULIKO UNAVYOMTAJA BABA YAKO MZAZI,HIYO NI DALI YA CHUKI,HUSDA NA KUHARIBIKIWA KIMANHAJI.
@AbAlhuraas
@AbAlhuraas 6 ай бұрын
Kwa iyo ukimpinga mafuta ni dalili ya kuharibukiwa kimanhaki ? Ama kwli nyiny ni Wajinga katika kuzielewa ibara za wanazuoni
@seniornyungu9718
@seniornyungu9718 6 ай бұрын
@AbAlhuraas kumpinga bila hoja ni uhizb na kuharibikiwa kimanihaji,halafu anamchokonoa mtu ambae hamjibu,kwanini amtaje kila siku asipambane na hao wanaojibizana nao?
@AbAlhuraas
@AbAlhuraas 6 ай бұрын
@@seniornyungu9718 sas unataka atajwe wee wala huhusiki wakati yeye ndiye mhuska wa kadhia hyo atatajwe yeye ,Mpa atakpo Rudi katika usswa ,au unatka atajwe nani sas
@saidsalim2561
@saidsalim2561 6 ай бұрын
Huna hoja acha taasubb
@AbAlhuraas
@AbAlhuraas 6 ай бұрын
@@saidsalim2561 kwan kuna sehem nimetoa hoja apo ,mbna Mahizb Asalaf mushagonjwa ,
@HamadaZubeirTahir
@HamadaZubeirTahir 5 ай бұрын
Naona mnaigana nyinyi kwa nyinyi
@directorkr7302
@directorkr7302 6 ай бұрын
We dgo bachu huna adabu kbsa,hyo Abuu hashimu ni baba ako kbsa
@AbAlhuraas
@AbAlhuraas 6 ай бұрын
Nenda kwambie Mafuta ,kuwa wengi amewavunjia heshima kuna Wengine Wanaweza kumzaa na na wengi wamemzidi kiumri ,lkn kawatusi sana
@nassor6333
@nassor6333 6 ай бұрын
Yaani wewe na shekhe qassim Mafuta (Allah amuifadh) ni mbingu na ardh, sasa upo hapo kujikuza tu maana hata unaemtetea mlikua mnafanana?
@ELIMUyenyeMANUFAA
@ELIMUyenyeMANUFAA 6 ай бұрын
Hueleweki:akikosea ustadhi kassim Mafuta ni jambo la kawaida ni yy kutubia
@Athumaniomari-ge2gs
@Athumaniomari-ge2gs 6 ай бұрын
Shida ya ndgu zetu Hawa wanaojiita kuw wao t ndo masalaf au mpk ujiunge nao wanashida tu ya kuelew ;Sasa huyu hasani waziri waliye mtuma mbon hakidhi vigezo vya kupambana na mhammad bachu
@bisharaNassor-w7m
@bisharaNassor-w7m 5 ай бұрын
Waelimishe salafia jadidah waraa alyahud
@Cherehanitanzania
@Cherehanitanzania 6 ай бұрын
𝗔𝗹𝗹𝗮𝗵 𝗔𝘁𝘂𝗼𝗻𝗴𝗼𝘇𝗲 𝗞𝘁𝗸 𝗛𝗮𝗸𝗶
@abulqassimashirazy-mv8ee
@abulqassimashirazy-mv8ee 6 ай бұрын
Wewe bachu unamfananiza abuu muawiyaa na fauzani ,huoni kua maulamaa Wana mlango mwengine na awamu wanamlango mwengine
@Muharram-c5n
@Muharram-c5n 6 ай бұрын
Unajichanganya
@Najma_Mbaruk
@Najma_Mbaruk 6 ай бұрын
Wewe una wazimu? Uliambia Abu muawia ni katika Awamu? Kama huskilizi hizi video usiweke comments zako mbovu hapa
@HassanHamad-rf9tq
@HassanHamad-rf9tq 6 ай бұрын
Kamfananisha wapi kijana acheni taasub zenuu nyinnyi mahizbu salaf
@abuumansour8479
@abuumansour8479 6 ай бұрын
@@abulqassimashirazy-mv8ee Mm nawaambia Abuu MUAWIYAH رحمه الله alikua akisema yeye hamtetei Muhammad Al Imam lakin ananukuu Maullamaa waliompa udhur Muhammad Al Imam kwaio mkitaka kumwita ni hizby bas anzen na shekh Swaleh Fawzan Acha Talbis na uwongo izo ni alama za Uhizbiyya Majadida mna tab
@mbjunior166
@mbjunior166 6 ай бұрын
Hawa watu ni mtihani sana kaka. Allah atuongoze sisi na wao!
@pavillioncry5241
@pavillioncry5241 6 ай бұрын
Huyu jamaaa anatoa elimu tupu
@mussakhamis-g8c
@mussakhamis-g8c 6 ай бұрын
MAWAHABI MNAHANGAIKA HIZO SIFA ZOTE NI ZA KWENU MAJADIDE NA MAHIZBI NYOTE MUKO SAWA
@jumasalum2677
@jumasalum2677 6 ай бұрын
Simba ungurumaa Sisi TU kinajifunza mengi kwako Kuna vitu vingi una vichambua Kwa vitabu sio kama hao waongo anakaa na vitabu alafu havitumii anatoa maneno ya mdomoni kwake na Wala sio vitabu . Sheikh wangu wewe chapa TU usichoke huo ni ubao
@babatchi9169
@babatchi9169 6 ай бұрын
KUNA WA7U WANA U7O7O SANA KA7IKA DINI?
@KhamisHabib
@KhamisHabib 6 ай бұрын
Mm hapo ndio nakuona ww unamitihani
@ibrahimsaid5538
@ibrahimsaid5538 6 ай бұрын
حب الظهور يقسم الظهر achana na kutafta umaru kuptia kudhehrisha ujinga
@HassanHamad-rf9tq
@HassanHamad-rf9tq 6 ай бұрын
Mahizbu salaf hamna hoja Zaid ya taasub na hasad tuu
@ibrahimsaid5538
@ibrahimsaid5538 6 ай бұрын
@@HassanHamad-rf9tq alhamndllah hayo yote hatuna ndomaan huna uthbtisho
@saidsalim2561
@saidsalim2561 6 ай бұрын
Acha hasadi
@ibrahimsaid5538
@ibrahimsaid5538 5 ай бұрын
Uthbtisho gan wataka zaidi hayo anayo fanya
@ibrahimsaid5538
@ibrahimsaid5538 5 ай бұрын
@@saidsalim2561 hiyo so hasad ni maeneno ya wana wachuon kwa weny kupend umaarufu
@وزيرهالوزير-ذ8س
@وزيرهالوزير-ذ8س 6 ай бұрын
Kiukweli asietoshakwahaa hatotosheka hadikufa
@iddijuma6152
@iddijuma6152 6 ай бұрын
unatosheka kwa lipi upumbavu tu na ujinga ulio mjaa huuhizbo mubtadii
@Muhidinimngazija
@Muhidinimngazija 6 ай бұрын
Hao wanakwenda kichwa mchunga, watu wamebebwa katika kapu la upofu
@iddijuma6152
@iddijuma6152 6 ай бұрын
nanyinyi mnao msifia huyu bwana hebu msikilizeni na abul hasani waziri
@abdurashidinasorodini
@abdurashidinasorodini 6 ай бұрын
hatusikilizi ujinga sisi elimu nihapa
@JumaMweluwe
@JumaMweluwe 6 ай бұрын
Shekh me nakupend lakn mbon kil sik rad tu tubadilishie radha
@salimkhamis3638
@salimkhamis3638 6 ай бұрын
Ni ladha sio radha
@Najma_Mbaruk
@Najma_Mbaruk 6 ай бұрын
Raddi ina kipindi chake maalumu. Tutulie kwanza wanyooshwe hawa MAJADIDA mpaka wakimbie😂
@Najma_Mbaruk
@Najma_Mbaruk 6 ай бұрын
@ABUUBAAZNYUNGU-j4x Hata ukiona nipo hapa ujue mume keshatimiziwa kila kitu, Sasa tunaburudika na Ruduud ziloenda shule, poleni MAJADIDA, mara hii mumepata kiboko yenu
@ELIMUyenyeMANUFAA
@ELIMUyenyeMANUFAA 6 ай бұрын
@@ABUUBAAZNYUNGU-j4xmume wake kaingia aje hapa? Ya subhana allah
@babatchi9169
@babatchi9169 6 ай бұрын
SHEKH LA 7ALBISS SIKU U7APO7EA NA 7ALBISS ZAKO
@MussaYasini
@MussaYasini 6 ай бұрын
Mh haya twambie ww kafanya talbis wapi?!....😅😅 iyoo aibuu
@rajabTaratibu
@rajabTaratibu 6 ай бұрын
Mafuta kaleta vurugu kwenye sunna Hana abuu muawia Allah amrehem kashajua ni mtu wawapi nyie mnajiona sahihi saana sio uislamu huo
@salumtakao9828
@salumtakao9828 6 ай бұрын
Ninyooshee watu simba hadi wanyooke
@twaibumikidadi7377
@twaibumikidadi7377 6 ай бұрын
Shekh mpka watanyooka nahic wanajilaumu sana walipokutaka kuwa salafi jadiida ukawakatalia!!! Sasa wanakuelewa ww cio mtu wa kumchezea ! Haya jadiida fauzaan n Hizbiyi??? Mjibu sasa nykta kwa nukta!
@babatidaawa6550
@babatidaawa6550 6 ай бұрын
Sikusifu ila hata waungane wote hawakuwezi kwa Uwezo wa Allah Elimu uliyokuwa nayo ni urithi wa Sheikh bachu baba yako Allah Amrehemu komaa na kheir usikate tamaa tuko nyuma yako sheikh letu Allah Akuhifadhi...
@mussakhamis-g8c
@mussakhamis-g8c 6 ай бұрын
MAWAHABI MNAITANA MAKHAWAARIJ NA KUKUFURISHANA WENYEWE KWA WENYEWE MNAOJINASIBISHA NA USALAFI
@mahfoudhcalender2747
@mahfoudhcalender2747 6 ай бұрын
lete ushahid?
@rajabTaratibu
@rajabTaratibu 6 ай бұрын
Achen ushabik wa mashekhe wenu nyie majadida wa mafuta musifute kauli za mashekhe wenu fuata haki
@Shabalala99275
@Shabalala99275 6 ай бұрын
😂😂vita ya ndugu.......... 😂😂
@masoudmohammed4258
@masoudmohammed4258 6 ай бұрын
Huyu haijui manhaj salafi ni mjinga katika manhaj.
@abuumansour8479
@abuumansour8479 6 ай бұрын
Ww unaejua manhaj pangua hojja acha chukii na hassad
@Najma_Mbaruk
@Najma_Mbaruk 6 ай бұрын
Hajui manhaj ya salafi😂😂😂 mbona mashekh zenu wanaojua wamekimbia😂😂
@abuumansour8479
@abuumansour8479 6 ай бұрын
@@Najma_Mbaruk awoo wajing thannna
@HassanHamad-rf9tq
@HassanHamad-rf9tq 6 ай бұрын
Kijana acha mipasho na talbiss lete hoja zenye mashiko
@Modyb
@Modyb 6 ай бұрын
Maskini kichwa kigumu yuaenda tu. Allah amuongoze huyu?
@ibrahimabdul8257
@ibrahimabdul8257 6 ай бұрын
Unajua huyu watu wanapata naye shida ya bure …mustwalahul hadithi kule mombasa ilimtoa kamasi …sasa hapa ukimuambia jerhu mufassar muqqddamu aala taadiili ataelewa kitu kweli?
@abuubanyai8344
@abuubanyai8344 6 ай бұрын
Shida al akh
@hamzakimaro3764
@hamzakimaro3764 6 ай бұрын
bachu dawaat ssalaf huiwezi,maana ni DA'AWA inayofungamana na elim na sisla ya elimu hiyo,hao washirika wako ni MAHZIB bila ya shaka,! Unawatetea kina MOHAMED IMAAMU watu wa shari ktk dawaat ssalaf?
@dawud6065
@dawud6065 6 ай бұрын
Akhy umepoteza dira? Hivi wewe si ni katika wafuasi wa Shaykh Yayha hajury ? Kwa nini kutuhumu watu uhizby na hawa unaowashabikia tayari washa wahizbisha ama ni kujitoa fahamu?
@ابومعاذاحمدناصر
@ابومعاذاحمدناصر 6 ай бұрын
Shirki ipi
@MohammedBwanga
@MohammedBwanga 5 ай бұрын
Mna vituko vya karne mashekhele nyie
@mfalmenajjash2128
@mfalmenajjash2128 6 ай бұрын
Wallah hizi ibarra iliuzifaham lipo sharti
@Athmandeo-kn7ri
@Athmandeo-kn7ri 6 ай бұрын
Mbona wewe pia usitulie uwache fitna wepia huna kheri waongeza mwoto kwa fitna
@bacteria5184
@bacteria5184 6 ай бұрын
Hawa masalafy sijui kama wanasoma au ni ujinga?walahi mtihani
@abulqassimashirazy-mv8ee
@abulqassimashirazy-mv8ee 6 ай бұрын
Kua na adabu na abul fadhli .wala humor abul fadhl Hana habar na wewe
@NasirJussa
@NasirJussa 6 ай бұрын
Hana habari au hajui kujibu SI useme tu ukweli
@Najma_Mbaruk
@Najma_Mbaruk 6 ай бұрын
Hana KHABARI au anaogopa kuabika? Unafanya mchezo na huyu jamaa anavofungua vitabu!!! Lazima ajiulize mara 10 kabla hajitokeza😂😂😂
@HassanHamad-rf9tq
@HassanHamad-rf9tq 6 ай бұрын
Tuliaa wewee dawa iwaingie wewe na shekh wako
@masoudabdallah9878
@masoudabdallah9878 6 ай бұрын
uyo mafuta ndo mufti wenu pongwe ila kwa wengine ni wakawaida si mtume wala sio swahab😊
@IbrahimMahmoud-em1np
@IbrahimMahmoud-em1np 6 ай бұрын
Yani mafuta mnamtukuza sana . Hahahaha nyinyi watu wa hovyo sana
@pavillioncry5241
@pavillioncry5241 6 ай бұрын
Saiv majadida wanakulana wao kwa wao Miskiti yao kwa wao wanafungiana Mashuhuli daawa tabligh
@iddijuma6152
@iddijuma6152 6 ай бұрын
huyu bacho ni mtu wa fitna sana, lengo lake si dini
@ابومعاذاحمدناصر
@ابومعاذاحمدناصر 6 ай бұрын
Kakojoe ukalale uko
@mahfoudhcalender2747
@mahfoudhcalender2747 6 ай бұрын
uliufunua moyo wake?
@KhalfanSaleh-e7l
@KhalfanSaleh-e7l 4 ай бұрын
Fitna unaijuwa au unasema tuu
@Cherehanitanzania
@Cherehanitanzania 6 ай бұрын
𝗠𝗮𝗮𝘀𝗵𝗮𝗮𝗹𝗹𝗮𝗵 𝗛𝗶𝗶 𝗘𝗹𝗶𝗺𝘂 𝗔𝗻𝗮𝘆𝗼𝗶𝘁𝗼𝗮 𝗦𝗵𝗲𝗶𝗸𝗵 𝗡𝗶𝗸𝘂𝗯𝘄𝗮 𝗠𝗻𝗼 𝗡𝗮 𝗜𝗺𝗲𝗻𝘆𝗼𝗼𝗸𝗮 𝗛𝗮𝘀𝘄𝗮 𝗦𝗮𝗯𝗮𝗯 𝗔𝗻𝗮𝘀𝗼𝗺𝗮 𝗞𝘄𝗲𝗻𝘆𝗲 𝗩𝗶𝘁𝗮𝗯𝘂 𝗛𝗮𝗼𝗻𝗴𝗲𝗶 𝗧𝘂 𝗞𝗶𝘀𝗵𝗮 𝗔𝗸𝗮𝘀𝗲𝗺𝗮 𝗡𝗶𝗺𝗲𝗼𝗻𝗴𝗲𝗮 𝗡𝗼, 𝗔𝗻𝗮𝘁𝘂𝗺𝗶𝗮 𝗩𝗶𝘁𝗮𝗯𝘂 𝗧𝗲𝗻𝗮 𝗩𝗶𝘁𝗮𝗯𝘂 𝗔𝗺𝗯𝗮𝘃𝘆𝗼 𝗠𝗮𝗷𝗮𝗱𝗶𝗱𝗮𝗵 𝗣𝗶𝗮 𝗪𝗮𝗻𝗮𝘃𝗶𝘀𝗼𝗺𝗮 𝗔𝗷𝗮𝗯𝘂 𝗡𝗶𝗸𝘄𝗮𝗺𝗯𝗮 𝗪𝗮𝘁𝗮𝗲𝗻𝗱𝗲𝗹𝗲𝗮 𝗡𝗮 𝗠𝘀𝗶𝗺𝗮𝗺𝗼 𝗪𝗮𝗼 𝗛𝗮𝗹𝗶 𝗬𝗮𝗸𝘂𝗮 𝗩𝗶𝘁𝗮𝗯𝘂 𝗔𝗻𝗮𝗻𝘆𝗼𝘁𝘂𝗺𝗶𝗮 𝗦𝗵𝗲𝗮𝗶𝗸𝗵 𝗞𝘂𝘄𝗮𝗷𝗶𝗯 𝗪𝗮𝗼 𝗣𝗶𝗮 𝗪𝗮𝗻𝗮𝘃𝘆𝗼 𝗻𝗮𝗻𝗱𝗼 𝗪𝗮𝗻𝗮𝘃𝗶𝘀𝗼𝗺𝗮 𝗦𝗼 𝗡𝗶𝗮𝗷𝗮𝗯𝘂 𝗦𝗮𝗻𝗮😢
@ibrahimsaid5538
@ibrahimsaid5538 6 ай бұрын
Shda sio kusoma shda ni kuelewa
Хаги Ваги говорит разными голосами
0:22
Фани Хани
Рет қаралды 2,2 МЛН
УНО Реверс в Амонг Ас : игра на выбывание
0:19
Фани Хани
Рет қаралды 1,3 МЛН
The Lost World: Living Room Edition
0:46
Daniel LaBelle
Рет қаралды 27 МЛН
KIFO || Muhammad Bachu.
44:50
Muhammad Nassor Bachu
Рет қаралды 6 М.
🔥RADDI FUPI KWA KASUKU WA KIZANZIBARI (MUHAMAD BACHU)
11:05
ATtwabary online
Рет қаралды 3,4 М.
WALIFURAHIA KWA KUTANGAZA KUFA KWA ABUU IDDI NI WAJINGA TU || Muhammad Bachu
11:21
KISA CHA MKE WA MTUME MWENYE MKONO MREFU //SHEIKH OTHMAN MAALIM
1:07:12
arkas online tv
Рет қаралды 74 М.
MBONA MNAAMRISHA MSIYOYATENDA | SHK MUHAMMAD BACHU
35:24
AKASHA PRODUCTION TV
Рет қаралды 4 М.
MCHUNGAJI ABADILI DINI NA KUA MUISLAMU,AFUNGUKA MAZITO
39:38
Mbengo Tv
Рет қаралды 90 М.
Muhammad Bachu||MANENO MABAYA YA QASSIM MAFUTA NA ABDALLAH HUMEID
52:59
Muhammad Nassor Bachu
Рет қаралды 101 М.
MAJIBU KWA KIBARAKA WA QASSIM MAFUTA JADIDA HASSAN WAZIRI || Muhammad Bachu
1:06:29
Хаги Ваги говорит разными голосами
0:22
Фани Хани
Рет қаралды 2,2 МЛН