No video

MAJIBU KWA SHEIKH SAID ALI HASSAN | FUNGA YA ARAFA NI KUFUATA SAUDIA | Muhammad Bachu.

  Рет қаралды 43,449

Muhammad Nassor Bachu

Muhammad Nassor Bachu

Күн бұрын

Пікірлер: 582
@babatidaawa6550
@babatidaawa6550 2 ай бұрын
Wa kwanza kulike nipeni zawadi zangu wadau Ma Shaa Allah nipo karibu Sana na hii chanal Ma Shaa Allah
@user-fq6iw1pb7q
@user-fq6iw1pb7q 2 ай бұрын
Safi sana muhammad allah akubariki na amtie peponi baba ako
@hamidaawadh9024
@hamidaawadh9024 2 ай бұрын
Aamiin
@JK-um6op
@JK-um6op 2 ай бұрын
جزاك الله خير الجزاء شيخنا الفاضل محمد باشو ونفع الله بك.
@fatmasuleiman2710
@fatmasuleiman2710 2 ай бұрын
Sheikh okoa nafsi za watu ,watu wana masikio lkn hawssikii subhanaaAllah ,Allah akuhifadhi u r doing great job mashaaAllah.
@SamhatPandu
@SamhatPandu 2 ай бұрын
❤Mashallah Allah azidi kukupa ilimu ili utuelimishe na uwafunze wenye kupotosha watu. Allah akulipe khery Dr Muhammad bachu. Yni Leo umetumia ilimu na hekma kubwa sana ktk majibu ulomjibu uyo sheikh Allah akuhifadhi❤
@HamisAbdallah-cj2sc
@HamisAbdallah-cj2sc 2 ай бұрын
Mimi KUANZIA Leo WATOTO WANGU hawataenda kwenye maulidi am a NDIO haya unayoyasema MTUME uwa anakuja kwenye maulidi !!! Sasa mbona hawayaweki bayana haya unayoyaaema.ALLAH ATUNUSURU.
@MamaYussuf
@MamaYussuf 2 ай бұрын
A alykm hii n comment yng ya mwanzo, nmefurah sana kwa kuwazndua weng Allah akulinde na akulpe kila lakher
@ExcitedChefHat-ef5jt
@ExcitedChefHat-ef5jt 2 ай бұрын
Jazzakallah Tabarakallah shekh muhammad bachu Allah akuhifadh na akubariki sana. Ukweli mtupu ulio sema . Makhurafi hawana hoja bali bid'ah na ujuaji mwingi tu. Allah atuongoze na atuepushe na watu madhalim .
@ExcitedChefHat-ef5jt
@ExcitedChefHat-ef5jt 2 ай бұрын
Sio muhimu kuwafuata watu wa Makka wakati kuna tofauti katika muandamo wa mwezi mpya. Hii ndiyo mitazamo sahihi zaidi ya wanachuoni, kwamba kila nchi ina muandamo wake inapotokea tofauti kuhusu hilo.
@RamaNassry
@RamaNassry 2 ай бұрын
YA'ANI WE MUHAMMAD BACHU UNAJUA{ALLAHUMA BAARIK ALAYHI}🤗🤗🤗
@hansimassirhassan8154
@hansimassirhassan8154 2 ай бұрын
Barakallahu fiikum sheikh Muhammad bachu Allah akuhifadhi amiin
@ommarysaid7391
@ommarysaid7391 2 ай бұрын
Masha'Allah, Sheikh Muhammad Bachu Umetumia Elimu Yako Vizuri Kuelimisha Umat Muhammad 🙏🏾🙏🏾🙏🏾
@dullahbatuf9223
@dullahbatuf9223 2 ай бұрын
Mashallah nakuelewa sana umenizindua kwny mambo mengi wallah Allah(sw)akupe nguvu na afya njema ktk kuipigania dini yake
@amisafaraji5796
@amisafaraji5796 2 ай бұрын
Allahumma aamin 🤲
@JumaOmar-ku6cr
@JumaOmar-ku6cr 2 ай бұрын
Ustadh Bachoo tumezoea unapokosoa unaelekeza kurekebisha Maneno aliyosingiziwa au ufahamu wa shekh sasa tunaomba tupate faida kweli ibnutaimia kasema maneno aliyosema huyu Shekh ahsante
@IssaBachuMuhammadjr-rr3ri
@IssaBachuMuhammadjr-rr3ri 2 ай бұрын
Dalili tosha ndio hio mashaAllah Mungu atuongoze pia wewe Bachu Nakupnda wallahi kwa ajili ya haqqi.
@user-fq6iw1pb7q
@user-fq6iw1pb7q 2 ай бұрын
Safi sana muhammad allah akuhifadhi
@amazing_ERA
@amazing_ERA 2 ай бұрын
Jazakumullahu kheir fii dunia Wal akhera
@swafiaismail-ji1op
@swafiaismail-ji1op 2 ай бұрын
Mashallah ya sheykh allah akuhifadhi akupe na umrii umma tufaidike mashallah baraka llahu fika
@user-fe8rp5lt8n
@user-fe8rp5lt8n 2 ай бұрын
Jamani huyu kijana anaonekana anauelewa mdogo maskini lakini ajiona amepatia kweli na inaonekana watu wengi wanaokomenti wako hivyohivyo shekh uthaimini kwahapa amezungumzia ibada ya hija kule maka yatekelezwa kwa kuzingatia mwezi wa maka ima fatwa ya funga ya arafa ameitanguliza
@ambarimwajuwa3870
@ambarimwajuwa3870 2 ай бұрын
HAJAELEWA KWAMBA HIZO NI FATWA MBILI TOFAUTI
@khadijaabdulrazak8008
@khadijaabdulrazak8008 2 ай бұрын
Sikiliza kwa roho ya ukunjufu tufaidike sote wapita njia
@Jumaa-rp5ye
@Jumaa-rp5ye 2 ай бұрын
ujinga ni mzigo
@zuberhamza7852
@zuberhamza7852 2 ай бұрын
Mtihani Nahwu ni kitu kingine Unatakiiwa utulize akili naona bachu anaongelea tofauti
@omarjuma3793
@omarjuma3793 2 ай бұрын
Mpaka msemeeeee mpaka haqqi ijulikane
@user-qo8uj1ym4m
@user-qo8uj1ym4m 2 ай бұрын
ALLAH ATUONGOZE KTK NJIA ILIYO ONGOKA AMEEN
@ajmographic-ur1ix
@ajmographic-ur1ix 2 ай бұрын
Amin
@shuaibalula9003
@shuaibalula9003 2 ай бұрын
Mashaallah Allah amuhifadhi sheikh wetu
@AmiriRashidiMajinji
@AmiriRashidiMajinji 2 ай бұрын
A.alaykum sheikh bachu,ndg yangu pole sana,wote nyingi mnatngaza na kujifurahia makundi yenu tu(madhehebu)kama unavokariri bila haya ati wewe ni muwahabi!! Hebu tuirejee 22:78 kisha 3:103,105 na 30:32 halafu utufafanulie umeyaelewaje na ulinganishe na maneno yako uliyoyatamka ktk mada ya arafa,tafadhali tuifuate qurani ndg zanguni.
@Ibunmaulanashirazy-sn5ui
@Ibunmaulanashirazy-sn5ui 2 ай бұрын
UNGESEMA YALE MANENO SIYAKE IBUN UTHAIMIN UMEMSINGIZIA KAMA NIYAKWELI BASI ACHA WATU WAFUATE
@Yasminaslamaslam
@Yasminaslamaslam 2 ай бұрын
Simba Mohamed Nassor Bacho,Allah akuzidishie ilmu na hekma na ubusara
@DarlinKuchage
@DarlinKuchage 2 ай бұрын
Allah akulipe Kila lakheri tuna stafid kutoka huku moshi kilima njaro
@Khalid-mf3iu
@Khalid-mf3iu 2 ай бұрын
Tumewapa Uthmaan Maalim wakatupa Muhammad Bachu....watanzania hawajui walicho kipoteza
@fatmasalim7132
@fatmasalim7132 2 ай бұрын
Maa sha Allah! Shukran sana Sheikh Allah akulipe kheri na akuhifadhi daima.Aamin.
@ramadhanyusuf2401
@ramadhanyusuf2401 2 ай бұрын
Anaitwa mzee wa ufasaha like father like son
@abdulbandari1551
@abdulbandari1551 2 ай бұрын
Improved genes: more than the father.
@HusnaKombo
@HusnaKombo 2 ай бұрын
Hkn kiumbe fassha alkamalu lilah
@user-me2dj4jd1t
@user-me2dj4jd1t 2 ай бұрын
MashaAllah
@d15355
@d15355 2 ай бұрын
@@abdulbandari1551 ndio mnavyojidanganya hivyo mawahabi?
@abdelazizmuombwa4714
@abdelazizmuombwa4714 2 ай бұрын
Twamuomba Allah akuzidishie Elimu ili nasi tuweze kustafid.
@user-py3cb3kx9p
@user-py3cb3kx9p 2 ай бұрын
الله يزيده الإخلاص والمتابعة ، بارك الله فيك يا شيخ
@AshrafBunu
@AshrafBunu 2 ай бұрын
Allah akuhifadhi sheikh wetu
@abuuaisha6110
@abuuaisha6110 2 ай бұрын
MashaAllah, jazaka Allahu kheira, umetoa faida kubwa
@SurprisedCurling-si9yr
@SurprisedCurling-si9yr 2 ай бұрын
Allah akuhifadhi sheikh nassor ... shukran
@abdallahhalifa5860
@abdallahhalifa5860 2 ай бұрын
Sheikh shukran sana Allah akubariki kwa kila Kheyr.Lkn Sheikh ningeomba kufahamishwa kitu cz mm c kusoma lkn kuna Mengine hayahitajii usomi.kuuliza Swali langu ni hilii Kabla hakujaingia Mitandao Mababu zetu waliifaidi Vipi hii Funga ya Arafaa kabla ya mitandao kuwepo chengine Fat'wa ya Said Hassan na yako zote zipo kwa hiyo Majmuul fatawa ya Sheikh Swaleh RahimahuLlahu Sasa tuelewe vipii huoni km huo ni mgonganoo Shukran sana
@Mahli1995
@Mahli1995 2 ай бұрын
Ma shaa Allah Sheikh wtu Allah akuhifadhi akupe umri mrefu uzidi kutuongoza kwa njia ya sawa
@fauznuhu9981
@fauznuhu9981 2 ай бұрын
Kijana wallah bado sana kweli afu tena aona anajuwa
@saidimkwinzu9106
@saidimkwinzu9106 2 ай бұрын
Wewe ndo Bado sana shehe zenu wanatumia sana uongo kama anamfatilia bin uthaymeen kwanin asione hayo maneno hapo kuhusu hija na ayanukuu tofaut na maneno yanayohusu ramadhan? Shehe bacho kumuomba vizur tu Kwa heshima kwamba akasome tena hiyo miatar Wala hamna tusi hapo
@abuuaidh6500
@abuuaidh6500 2 ай бұрын
Kijana huyu bado Sasa ww ulokuwa Tayari yapinge hayo kihoja.
@yussufsule4793
@yussufsule4793 2 ай бұрын
Humjui wewe huyu Like lion kwa watu wa bidaa
@fauznuhu9981
@fauznuhu9981 2 ай бұрын
@@yussufsule4793 kkkk kakimia kamezesho mate mombassa na kutoroka hadharani nAni hakuoba
@sama-_8368
@sama-_8368 Ай бұрын
Yaani ni kweli BADO SANAAAAA
@tariksalim2659
@tariksalim2659 2 ай бұрын
MashaAllah sheikh wetu,endelea kutuongoza kwa njia ya haki na Allah atakulipa kwa hili InshaAllah
@abdulmwakubambanya9091
@abdulmwakubambanya9091 2 ай бұрын
Barakh Allah Kher sheikh
@yussufsule4793
@yussufsule4793 2 ай бұрын
Alhamdu lillah kwa kuujua ukweli zamani tu na sina shaka na Arafa moja tu tena ipo makkah
@salumtakao9828
@salumtakao9828 2 ай бұрын
Mashallah .dhekh muhammad ww ni kiboko yao. Wabkishe ukaidi tu ila kauli zipo waz wazi hizo. Watu wa twarika waache ubishi na kupotosha
@fatmasuleiman2710
@fatmasuleiman2710 2 ай бұрын
Kiboko kabisaaa.
@alwysalehmohamedalammary3507
@alwysalehmohamedalammary3507 2 ай бұрын
Mashallah Mashallah Allah akujalie afya njema na akupe elmu.
@swalehahmad8947
@swalehahmad8947 2 ай бұрын
DR ALI JUMUAH SIO MWANACHUONI WAKISHAFII NDIO MAANA HAKUTOWA FATWA KUTEGEMEA MADH'HAB YA AL IMAAM SHAAFI3YY KWA HIVYO HATUMTEGEMEI KATIKA SWAUM YA ARAFA HATA KAMA NI WETU WA TWARIQA ... SI NYINYI PIA MUMEMUWACHA MKONO IBNU UTHEYMIIN KATIKA MUANDAMO WA RAMADHANI !!!!! KIELEWEKE..
@twaibumikidadi7377
@twaibumikidadi7377 2 ай бұрын
Nmeamin kweli masuufi n masifa tu virembaa😢 vikuubwaaa uelewa ni punje ya mchele! Alaf masufi ni wavivu kusoma !!!
@binaamour318
@binaamour318 2 ай бұрын
Huo ndio ushabik wko ulivofikia badala kujua kwamba suala hili Lina ihtilaf kauli nyingi unaanza kushtumu masufi ?
@mohagurey2214
@mohagurey2214 2 ай бұрын
Hakuna ikhtilaf wowote ya suufi jaahil, utakosa fadhiila ya arafa na kukosesha ummah pia. Unajifurahisha na ikhtilaf na kupotosha watu​@@binaamour318
@jamalijamali6820
@jamalijamali6820 2 ай бұрын
Acha kuwatetea masufi​@@binaamour318
@swalehbakari2667
@swalehbakari2667 2 ай бұрын
😂😂😂 kabisa
@amisafaraji5796
@amisafaraji5796 2 ай бұрын
Unapotea ilihali ni muislamu. Badala ufatwe nyia sahihi unaleta ushabiki kweny dini
@AllyAhmad-zg2yp
@AllyAhmad-zg2yp 2 ай бұрын
Wananukuu yale wanayotaka wao tuu ila ALLAH anawajua zaid nafsi zao
@DR.SAIFILLAH.5363
@DR.SAIFILLAH.5363 2 ай бұрын
WALLAHI BILLAHI TALLAHI KAMA MUTAMUANGALIA KWA UTULIVU SANA HUYU BACHU MUTAKUTIA NI MNAFIKI NA SURA YAKE NI YA KINAFIKI .
@user-kc4fv6cf8l
@user-kc4fv6cf8l 2 ай бұрын
Kwahiyo qarne 14 watu waliokuwa wakifunga kwa muandamo wao akiwemo mtume SAW ilikuwa saumu yao sio sahihi ?
@Nusrat_Khalifa
@Nusrat_Khalifa 2 ай бұрын
Hapo sasa…?! Manake social media haikuwepo wakati wa mtume alafu sheikh asema miji ya kiarabu ama?
@user-ye3fy9kk6r
@user-ye3fy9kk6r 2 ай бұрын
Hao wanapewa udhuru,hukmu itazingatiwa baada ya kujua kila kinachoendelea hapo Makkah
@user-kc4fv6cf8l
@user-kc4fv6cf8l 2 ай бұрын
@@user-ye3fy9kk6r Na mtume SAW alikuwa akifunga kwa muandamo wake kwahiyo na yeye apewa udhru ? Kisha hebu tuambie mtume alikuwa akifanya ibada za siku kumi za dhu alhija kabla ya kufaradhiwa hija , sasa alikuwa ikifanya kwa mujubu wa hija gani ?
@antoniousinbird9008
@antoniousinbird9008 2 ай бұрын
Allah akuhifadhi sheikh
@user-dl1mg2qf4n
@user-dl1mg2qf4n 2 ай бұрын
Binafsi Mungu ataenda kuniuliza kuwa kanipa ufahamu kutofauti zuri na baya , duniani kuna kukosea na kupatia,, binafsi Mambo ya Ki sunna hayawezi kunitoa kwenye mstari , Kuna Hijja na Kufunga ni ibada mbili tofauti, Alio Hijja hawafungi basi tunaofunga ni sisi tusio hijja😢 sasa sioni haja ya watu kuwa wakali kiasi hiki
@timermedia3509
@timermedia3509 2 ай бұрын
Hapo ndo ujuwe pia uwahabi ni chombo cha kuwapeleka watu motoni. Kumbe ramadhani shekh wao kasema wafate kwenye mji walo kuwemo ndani ila wafuasi hawajiulizi wanakazi ya kuwatukana masufi mtachelewa sana minyoo ya saudia.
@zuberhamza7852
@zuberhamza7852 2 ай бұрын
SHEKH BACHU NUKUU VIZUR ALOYASEMA SHEKH MIMI BINAFSI SJASKIA KAMA KASEMA ANAMFATILIA SANA ANAMSOMA SANA LAA KASEMA ALIPOENDA ARAFA KAKAA KWENYE DARSA YAKE MPAKA IKAMALIZA NA AKAENDA KUMSALMIA
@KhamisHaroub-uj5ci
@KhamisHaroub-uj5ci 2 ай бұрын
Simba wa Allah ❤️❤️❤️ unajuwa mpaka unajuwa tena Allah akulinde
@ishakakhalid
@ishakakhalid 2 ай бұрын
am the first one . Gonga like
@binbuhakhamis4336
@binbuhakhamis4336 2 ай бұрын
JAZAKALLAHU LKHAYRY
@faridijuma6020
@faridijuma6020 2 ай бұрын
Good job 👏
@khadijaabdulrazak8008
@khadijaabdulrazak8008 2 ай бұрын
Mashallah tabarakallah jazakallah kheir Allah atuongoze cc na vizazi vyetu amiin
@sultanmohammed4157
@sultanmohammed4157 2 ай бұрын
Mohamed Bachu hana ilimu yakotosha na hashimu mashekh wengine.
@MariamAsudi
@MariamAsudi 2 ай бұрын
MashaAllah MashaAllah may Allah guide us all
@Hawwamajidy
@Hawwamajidy 2 ай бұрын
Umejichanganya sana bachu Acha nikusaidie hyo fatwa ulotoa ww HAPO IBNI UTHAEMEEN ANAKATAZA MAKKA KUFUATA MIANDAMO YA NCHI NYENGINE YAAANI MAKKA ITAZAME TU MUANDAMO WA SAUDIA ILA SIO PENGINE leo bachu nimeona kumbe wasoma sana ila huelewi ulichosoma Na NDIO MAANA MAKKA HAWAFUATI MUANDAMO POPOTE DUNIANI
@bashirusalumbigapsana673
@bashirusalumbigapsana673 2 ай бұрын
Huo ndo ukweli
@mohamedlamimu
@mohamedlamimu 2 ай бұрын
Halafu kwa makusudi baada tu ya kusoma hicho kipengele badala ya kutafakari kwa kina majibu ya sheikh Uthymin anakurupukia kwenye mada zingine, hii ni dalili ya mtu mdanganyifu!
@user-rq3yj8vi8b
@user-rq3yj8vi8b 2 ай бұрын
Shekh Muhammad bachu Allah akuhifadhi uzidi kuwelimisha umma
@Athumaniomari-ge2gs
@Athumaniomari-ge2gs 2 ай бұрын
Maaashaaallah sheikh bachu Allah akuhifadhi kwkwel
@ramadhanyusuf2401
@ramadhanyusuf2401 2 ай бұрын
Masufi hua wanaumia wakimskia bachu anawaharibia sahani zao za kulia wanashtuka sana bachu is here to stay Bi Idhnilaah
@twahamkasi-gn1lo
@twahamkasi-gn1lo 2 ай бұрын
nakukubali Sana bachu
@YarmanAljahhdiry
@YarmanAljahhdiry 2 ай бұрын
Shekh allah akuhifadhi ila unapozunguza jaribu kuwa nauwangalifu na unachokisema
@SalumNyumba
@SalumNyumba 2 ай бұрын
Watu wa muridi (twariqa) wanaharibu dini ,Allah awaongoze ktk haq
@misbahukhalifa3216
@misbahukhalifa3216 2 ай бұрын
Ndugu yangu Bachuu kasome tena kasome tena kasome kumjibu Sheikh said Ali Hassan. Hata ukucha wake huupati.
@saidimkwinzu9106
@saidimkwinzu9106 2 ай бұрын
Nyie ndo vichwa mboga waambien mashehe zenu waache uongo huyo shehe wako katoa dalili kwenye kitabu Kwa kukata kata vipande mwambie asome maelezo kama alivonukuu Muhammad bacho mana kitabu ni hiko hiko😂
@saidimkwinzu9106
@saidimkwinzu9106 2 ай бұрын
Halafu video inavianza mwanzo tu inaanza na video ya shehe wenu wa kisufi mkubwa tu anaitwa shehe jumaaa anasema Arafat ni Moja siku wakisimama wahujaji na ramadhan watafuata Kila mtu mwez wao Sasa sheikh wenu Saidi na huyu sheikh jumaa mkubwa nan kielimu? Au hujaona hapo iyo video
@misbahukhalifa3216
@misbahukhalifa3216 2 ай бұрын
Sasa tuko kwenye maudhui ya Arafa umeruka kwenye Burdah. Al hamdulillah ​@@saidimkwinzu9106
@misbahukhalifa3216
@misbahukhalifa3216 2 ай бұрын
​@@saidimkwinzu9106Ninge kujibu nanikutukane lakini Mtumi hatukani sawa sisi ni mboga lakini one day you will recover soon inshaAllah
@hadiyamohamed594
@hadiyamohamed594 2 ай бұрын
Wewe na hio akili yako timamu unavyoona ni sawa arafaa jumapili kweli . Ulimwengu mzima wako makkah sasa basi watu wenge simama kila mmjoja na siku yake alivyotaka
@user-je6qh6it5w
@user-je6qh6it5w 2 ай бұрын
Kama waislamu wa sasa wanakoseswa kufunga arafa na masufi, hao waliofunga zamani vip wote waliipatia au dini inabadilika badilika kama kinyonga. naomba elimu katika hili.
@user-uj2ym8ku8p
@user-uj2ym8ku8p 2 ай бұрын
Sijawahi kucoment ila leo niseme2 حفظك الله
@youngtomuller-vh2pu
@youngtomuller-vh2pu 2 ай бұрын
Bachu Allah ti abençoe ❤❤❤
@khamismussa6258
@khamismussa6258 2 ай бұрын
Masha Allah
@SalumNyumba
@SalumNyumba 2 ай бұрын
Ostadh Bachu allah akuhifadh
@salumhassanallymkurdistan7006
@salumhassanallymkurdistan7006 2 ай бұрын
IBADA YA ALLAH NI MIEZI MIANDAMO TU.
@zaiboris9696
@zaiboris9696 2 ай бұрын
Mashallah
@MaryamRashid-yw1wx
@MaryamRashid-yw1wx 2 ай бұрын
Umejichanganya leo
@k.kchakua1376
@k.kchakua1376 2 ай бұрын
Maa sha Allah Jazaqallahu khaira
@user-ms3nz5iz7z
@user-ms3nz5iz7z 2 ай бұрын
Wewe Bachu ndio hujaelewa hapo unatusaidia Sisi kumuelewa zaidi Shekhe Uthaimin
@LovelyBrain-wz7si
@LovelyBrain-wz7si 2 ай бұрын
Wewe ndo hujaelewa arafa ni Moja duniani
@user-ms3nz5iz7z
@user-ms3nz5iz7z 2 ай бұрын
@@LovelyBrain-wz7si sasa umeambiwa kuna wanofunga siku mbili?
@user-ms3nz5iz7z
@user-ms3nz5iz7z 2 ай бұрын
Soma
@mukhlisukamugisha9956
@mukhlisukamugisha9956 2 ай бұрын
🎉🎉🎉 Allah akuthibitishe shekh wetu
@user-pu2uw2ib5y
@user-pu2uw2ib5y Ай бұрын
Huna elim Muhammad Bachoo na huku ukijifanya unajua na ukiwa na kibri king Muhammad Bachoo unanyanyua mzigo mzito rudi kwa mola wako na mapema tunakoenda ni kuzito kaka
@mkude
@mkude 2 ай бұрын
Barakh allah kher sheikh
@user-tm2zk5gn4e
@user-tm2zk5gn4e 2 ай бұрын
Uko vizuri ALLAAH akulipe kheri
@mohagurey2214
@mohagurey2214 2 ай бұрын
Well said. Shukran
@user-bu8mn1dv2y
@user-bu8mn1dv2y 2 ай бұрын
Wataka kujikojolea tena
@MkindiRama-lp6hy
@MkindiRama-lp6hy 2 ай бұрын
Mmmm nenda mambrui ukasome sasahiv dini imetekwa
@MkindiRama-lp6hy
@MkindiRama-lp6hy 2 ай бұрын
Anasoma mwe nyewe hajui anachokisoma bachoo
@husseinbachwa8372
@husseinbachwa8372 2 ай бұрын
Allah akulipe kheri Shekh..
@maktab3679
@maktab3679 2 ай бұрын
Yaani bado hamujaona huyu kazi yake si kuendeleza ilimu bali nikupinga ma shekhe. Yaani akae tu kuskiza wengine awakosoe. Hii tabia c nzuri . Mungu atuongoze yaraby .
@SuweidJuma
@SuweidJuma 2 ай бұрын
Shukran
@isaack100
@isaack100 2 ай бұрын
Lakini bhachu weee ,ywezekanaje ukaona mwezi leo alfajiri,kesho asubuhi ipotee alafu bado jioni iandame tenaa Allahu akbar
@masoud744
@masoud744 2 ай бұрын
Mashallah.. allah akuhifadhi
@JUMAATHUMANI-zx3tu
@JUMAATHUMANI-zx3tu 2 ай бұрын
Lete ingine hii bado hatujaielewa
@user-dl1mg2qf4n
@user-dl1mg2qf4n 2 ай бұрын
Sasa duniani kuna mashekh wetu na mashekh wenu😢 Subhanalla, kumbe mnashindana kwa mashekh na sio dini yetu ya Uislam,
@allyjuma9669
@allyjuma9669 2 ай бұрын
ماشاء لله بارك لله فيك
@husseinbachwa8372
@husseinbachwa8372 2 ай бұрын
Allah azidi kukupa Afya na faham Alhamdulillah...
@takwatakwa-on3si
@takwatakwa-on3si 2 ай бұрын
very wise answer from sh.Mohd Bachu to the khurafi said ali hassan.. Very sad they are trying to divert the truth but Allah has provided answer from a very young wise student of knowledge.. Subhana Allah said hassan will never have an answer for Bachu junior hafidhahu Allah.. Allah Akbar
@maktab3679
@maktab3679 2 ай бұрын
Sasa basi tuambieni miaka 50 iliopita wakati wa babu zetu hakuna simu wala tv walijuaje watu kule wako arafa??? Jiulize hilo halafu zingatieni. Au walikua hawali eid? Au walikua hawafungi arafa??
@khalidmziwanda9024
@khalidmziwanda9024 2 ай бұрын
Hapo sasa tatizo watu hawataki kusoma wanafuata mihemko tu 😂
@MaalimKhatib
@MaalimKhatib 2 ай бұрын
Wallahi bachu huna hoja unaporoja tu hufai hata kusikilizwa habari ya maulidi inatokea wp hiyo mada ilikukokojoza na ukakimbia
@fatumajuma592
@fatumajuma592 2 ай бұрын
Allah hapendi hivyo
@husseinislamicmediatv4376
@husseinislamicmediatv4376 2 ай бұрын
hauna adabu wewe wala hautomfikia bachu hadi utakapo ingizwa kaburini
@Bombwejr18
@Bombwejr18 2 ай бұрын
Kazungumzia Arafa ilivyo halfu akagusia mambo Ya sheikh ibn uthaimin kaongelea mambo Ya akida mbona amuyafatilii kama sheikh anamfatilia sheikh mwenzie
@cheapunderage8228
@cheapunderage8228 2 ай бұрын
Acheni hujail nyinyi na chuki za kidin ktk madhheb
@ambarimwajuwa3870
@ambarimwajuwa3870 2 ай бұрын
shaykh BACHU UMEKOSEA HIZO NI FATWA MBILI TOFAUTI SOMA VIZURI
@bashirusalumbigapsana673
@bashirusalumbigapsana673 2 ай бұрын
Unaakili sana na uko makini🙏
@sheikh_abdulkarim
@sheikh_abdulkarim 2 ай бұрын
Sasa mbona hapo sheikh bn ghuthaymin ajataja swaumu ya arafa hapo yeye kazungumzia mundamo na ibada ya hija unasoma na huku huoni
@bashirusalumbigapsana673
@bashirusalumbigapsana673 2 ай бұрын
Unaakili sana
@muhammadkhatwab
@muhammadkhatwab 2 ай бұрын
Huko juu si kuhusu ramadhani pekeyake, hukusoma swali ndiyo maana hukuelewa jibu Shekh utheymin amemjibu mtu ambae kwao tarehe iko tafauti akienda makkah atafuata makka Elewaaaa!
@suleiphwaupendo1030
@suleiphwaupendo1030 2 ай бұрын
Asalam alaykum sheikh Allah akulipe kheri na akuhifadhi lkin tukitizam hiz clip matangazo yanakuwa mengi hususwa ya kuchukuwa mkopo wa riba jitahidi kuyaondowa Allah akulipe heri
@cheapunderage8228
@cheapunderage8228 2 ай бұрын
Mmh mbn me cjaonaaa
@Maresca368
@Maresca368 2 ай бұрын
Shukran sana sheikh Bachu!
@gelamuyombo6783
@gelamuyombo6783 2 ай бұрын
Kila mwama nyie ni watu wa mashaka juu ya ibada ya funga majibu mnayopewa na viongozi wenu huwa mnayatilia shaka
@amisafaraji5796
@amisafaraji5796 2 ай бұрын
​@@gelamuyombo6783hatuyatilii shaka tunaekana sawa tu
@mfalmenajjash2128
@mfalmenajjash2128 2 ай бұрын
Mm nauliza kwan sisi tumeambiwa tufunge mwez tisa au tumeambiwa tufunge siku ya arafa jamani mbona tunazongana zongana kwani mtume anasemaje sheikh bachu Allah akuhifadhi pamoja nasi
@swalehali3037
@swalehali3037 2 ай бұрын
Hii raddi imfikie shekh izzudin pia.
@suuahmed71
@suuahmed71 2 ай бұрын
Izudin hana haja kuskia hii coz izudin ni msomi. Na pia amemfuata huyo shekh wenu Sheikh Uthaimin. Nyinyi mwahabi hamujielewi. Pia ma sheikh wenu hamuwafuati
@abdullahmasakata170
@abdullahmasakata170 2 ай бұрын
@@suuahmed71 Wanapingana wao kwa wao na mashekh kwa mashekh, yaani wao wanajiona ndio wasomi wakubwa na wenye elimu yakutegemewa na sio waislam wengine na ndio maana hata huyu shekh unaona kwenye video zake anajaza vitabu vingi ili watu wamuone ni msomi haswa, Hatukatai kulingania uislam kwa waislam na wasio waislam ila iwe kwa misingi ya uislam sahihi na mafundisho sahihi na sio mafundisho ya madhehebu yetu au itikadi zetu tunazinasibisha na uislam na kuwa aminisha watu na waislam kua ndio sahihi.
@HassanMorowa
@HassanMorowa 2 ай бұрын
sheikh izzudin ashatowa challenge kuhusu hii tafsiri aloitowa Bachu. Birrr angalia hap.kisha umjibu kzbin.info/www/bejne/bqO3d2ytatagaposi=omroVwAfZir_144S
@shabanbisaki
@shabanbisaki 2 ай бұрын
Allah akuhifadhi tuzidi kunufaika
@challengepcn7982
@challengepcn7982 2 ай бұрын
Hiyo Sauti ambayo umekwa siwo sauti ya Sheikh. Imeweka sauté on top of the video -
@arafatally3723
@arafatally3723 2 ай бұрын
Mtume s.a.w amesema damu ya mwislamu ni Bora kuliko Kaaba.Hivi mashekhe yanayoendea Gaza na Rafa midomo mumeifunga huku damu za watoto,wanawake na wazee katika sehemu hizo.😢😢 7:15 7:17
USIKU WA KWANZA NDANI YA KABRI //SHEIKH OTHMAN MAALIM
1:04:39
arkas online tv
Рет қаралды 385 М.
HAWA DUA ZAO HAZIKUBALIWI HATA WAFANYE NINI !! Muhammad Bachu || 1/2/2024.
1:03:31
Вы чего бл….🤣🤣🙏🏽🙏🏽🙏🏽
00:18
Кадр сыртындағы қызықтар | Келінжан
00:16
👨‍🔧📐
00:43
Kan Andrey
Рет қаралды 11 МЛН
Zombie Boy Saved My Life 💚
00:29
Alan Chikin Chow
Рет қаралды 20 МЛН
DAKIKA 19 ZILIZOMUANGUSHA SULE NA WAPIGA RAMLI WENZIWE || Muhammad Bachu.
19:15
Muhammad Nassor Bachu
Рет қаралды 59 М.
Utawala - Sheikh Nassor Bachu
54:29
Islamic Kindness
Рет қаралды 6 М.
Muhammad bachu sio salafi bali ni mropokaji tu by sheikh Abu Ume'yr Adam Khamiss Allah amuhifadhi
10:41
Abu Muhsin Minani Abdoullah As'salafiyyu
Рет қаралды 36 М.
NAMNA ALIVYO ROGWA NABII MUHAMMAD (S.A.W.) SHEIKH MSELEM BIN ALI
1:22:05
KIMETOKEA NINI BAADA YA KUFA HAMZA- SIMBA WAMUNGU - DR SULE
30:12
HAJI ONLINE TV
Рет қаралды 93 М.
QUR,ANI NI MUUJIZA , Sheikh Said Ali Hassan
1:02:41
Markaz Swalihinal- islamy Mombasa Kenya
Рет қаралды 4,9 М.
Вы чего бл….🤣🤣🙏🏽🙏🏽🙏🏽
00:18