HAYA MAMBO SIO YA KUCHEKA LAKINI MASHEIKH WANAYACHEKEA || Muhammad Bachu.

  Рет қаралды 10,853

Muhammad Nassor Bachu

Muhammad Nassor Bachu

Күн бұрын

Пікірлер: 260
@salminkijemkuu4616
@salminkijemkuu4616 4 күн бұрын
Maasha allah shekh bachu Allah akulipe kutokana na kusudio lako. ILA SHEKH KOSA MOJA NA WWE UMEKOSEA. Unge muuliza shekh anakusudia malaika wapi hao anao waagiza kabla huja hukumu. ikiwa ni malaika hao viumbe vitukufu bas mhukumu kuingilia mamlaka ya Allah na ikiwa si hao bas ni maneno yasio na msingi ni ya kucheka tu na kutupa kando kama walivyo cheka mashekh hapo.
@MuslimIbrahim-qf4nn
@MuslimIbrahim-qf4nn 4 күн бұрын
Nipo GOMA DRC nakufata sana sheikh mashallah Tabarakalla
@AhmedMohamed-mw3ev
@AhmedMohamed-mw3ev 8 күн бұрын
Shukran Muhammad kwa elimu mm nakuelewa vizuri sana Allah akulinde na kila shari pamoja na mashekh wengine anapo Kosea mtu muweke sawa haijalishi yy nani hii ni dini
@khalifa_kuchi
@khalifa_kuchi 8 күн бұрын
Wallah hatotokea sheikh mwengine kw kipind hichi ambae ataweza kuongea ukwel km unavyoongea ww juu ya ukwel ktk dini haijalishi ni serekal au ni mufti, na hao w2 wa twarika sio km hawayaon haya ila wamekaa kimya na hawataongea llte hata km wanayakini kua muongeaj amekosea na anaxhoongea ni shirki yaan hii dini imekua mtihan wallah mtu anaujua ukwel ila anaufich eti tu kua aloongea ni miongon mwa w2 wa manhaji yao yaan allah atawalipa ambacho wanastahiki InshaAllah...
@abdallahmgaya7521
@abdallahmgaya7521 7 күн бұрын
SIO KILA MZEE ANAUFAHAMU WA DINI
@abdallahmgaya7521
@abdallahmgaya7521 7 күн бұрын
alaika wote Yafughaluuna ma yughmaluuna na Allah
@KitasaWaaction-gm9zr
@KitasaWaaction-gm9zr 4 күн бұрын
Usiseme hivyo anaeleta ni Allah unaapa vp hatotokea kwani umepata ujumbe kwamba Allah hatoleta mwengine?
@KishkitvAhmad
@KishkitvAhmad 8 күн бұрын
Sheikh Muhammad nassor bachu wallahi wa billahi mimi nakupenda kwa jili ya Allah. Masha Allah from Moçambique 🇲🇿🇲🇿 Allah ukupe umri mrefu wenye baraka na manufa sheikh Muhammad nassor bachu uhibuka fi Allahi.
@conhecmintokujuwa
@conhecmintokujuwa 8 күн бұрын
Uko umkowa gani
@OmarAli-pd5xw
@OmarAli-pd5xw 8 күн бұрын
MaashaAllah wewe ndiye sheikh msema kweli katika zama zetu Allah akupe umri mrefu wenye kheri na wewe Amin.
@jamalsaid7475
@jamalsaid7475 3 күн бұрын
@@OmarAli-pd5xw Ameen JazakaAllaahu'khayran Sheikh
@salimmohamed4919
@salimmohamed4919 8 күн бұрын
Alhamdulillah Ujumbe Umefika . Allah akuhifadhi wewe na sisi biidhinillah. Hawa masheikh ni mitihana sana wallahi lakini Hakki itasimama biidhnillah. Shukran al akh sheikh Muhammad.
@jamalsaid7475
@jamalsaid7475 5 күн бұрын
@@salimmohamed4919 Ameen JazakaAllaahu'khayran Sheikh
@k.kchakua1376
@k.kchakua1376 8 күн бұрын
UJUMBE umefika Sheikh wangu WAMESIKIA WENYE KUNUNA WANUNE ILA Allah kasikia pia.Hauna dhima Tena kwahilo. Jazaqahau khaira ..Allah akuhifadhi.
@SheikhHassanMussa
@SheikhHassanMussa 8 күн бұрын
Sheikh Muhammad Bachu Namuomba Allah Akupe Umri Mrefu Wenye Manufaa Mawe Pia Azidi Kukutumia Katika Dini
@MohammedBakari-pn9yg
@MohammedBakari-pn9yg 8 күн бұрын
Sheikh muhammad bachu ALLAH azidi kukupa elimu yanye manufaa kubwa zaidi ALLAH akueushe na husda na kijicho na ALLAH akupe dunia na akhera na akuepushe na moto 👏
@jamalsaid7475
@jamalsaid7475 8 күн бұрын
Ameen JazakaAllaahu'khayran Sheikh
@othmanali7408
@othmanali7408 8 күн бұрын
Amin
@RamadhaniShembilu-l1e
@RamadhaniShembilu-l1e 8 күн бұрын
Subhaanallaah wallahi hawawatu wanashida sana asee yani kilasiku vituko ,wakisemwa wakiwekwasawa wanaleta kibri wanahisi wanajua sanaaaa
@SefoOmarSaide
@SefoOmarSaide 8 күн бұрын
ALLAH awateuwe wengui mfano wako. Malipo ya sio na kifani yawe Ju yako sheikh.
@AbuuAhmed-d4n
@AbuuAhmed-d4n 8 күн бұрын
Allah akuhifadhi shk mohamad bachu kutubainishia haq Bila ya kupepesa jicho hiyo ni hatari sana Allah akuhifadhi watu na baadhi ya mashekh wanafanya Istihidhai ktk dini ya Allah Allah awaongoze na sisi pia
@jamalsaid7475
@jamalsaid7475 3 күн бұрын
@@AbuuAhmed-d4n Ameen JazakaAllaahu'khayran Sheikh
@muhamadkhalid4976
@muhamadkhalid4976 8 күн бұрын
Shukraan sheikh Muhammad hakika ww ni nguzo tegemez sana
@jamalsaid7475
@jamalsaid7475 3 күн бұрын
@@muhamadkhalid4976 JazakaAllaahu'khayran
@KhalfanMassoud
@KhalfanMassoud 8 күн бұрын
Maashallah Jazaakallahu khaira sheikh Muhammad Bachu,,,,
@arifali3942
@arifali3942 8 күн бұрын
Nan huyo ?
@jamalsaid7475
@jamalsaid7475 8 күн бұрын
Ameen JazakaAllaahu'khayran Sheikh
@jamalsaid7475
@jamalsaid7475 8 күн бұрын
Sheikh Muhammad Nassor Bachu Allaah Akuhifadhi kutokana na Hasadi na Jicho Baya na Chuki za watu. Alhamdulillah.
@jamalsaid7475
@jamalsaid7475 3 күн бұрын
@@KhalfanMassoud Alhamdulillah
@husseynomar9523
@husseynomar9523 8 күн бұрын
Sheikh Bachu Allah akuhifadhi wewe pamoja na sisi Allahumma aamin, Tunapata fawaida kubwa saaana, Alhamdulillah.
@jamalsaid7475
@jamalsaid7475 8 күн бұрын
@@husseynomar9523 Ameen JazakaAllaahu'khayran Sheikh
@abdullahimohamudosman3695
@abdullahimohamudosman3695 8 күн бұрын
Maa shaa Allah sheikh wetu Allah akuhifadhi nasi kwa pamoja in shaa Allah.
@jamalsaid7475
@jamalsaid7475 5 күн бұрын
@@abdullahimohamudosman3695 Ameen JazakaAllaahu'khayran Sheikh
@MbongoinToronto
@MbongoinToronto 8 күн бұрын
Chawa wa ccm hao, njaa zinawafanya wamkufuru Allah ili kumfurahisha binadamu. Allah akuweke na akusimamie kwenye kuisimamisha dini yake sheikh Bachu
@AdamAlzubedi
@AdamAlzubedi 8 күн бұрын
Kabisa
@OmaryHunte-o5c
@OmaryHunte-o5c 6 күн бұрын
ACHA ujinga hakuna shekhe maskini mwenye njaa wewe ndo una njaa kwani mashekhe walikuomba hela au chakula chako
@OmaryHunte-o5c
@OmaryHunte-o5c 6 күн бұрын
@@MbongoinToronto hahahahaha Mimi so yatima au useme kilema ndo unipe pesa zako alhamdulillah nguvu alizo nipa Allah na akili vinanitosha hela zako kula mwenyewe.
@MbongoinToronto
@MbongoinToronto 6 күн бұрын
@@OmaryHunte-o5c Hii dini ni ya Allah sio kitu cha kuchezea ndugu na Kama wewe hauoni tatizo hawa masheikh wanapokosea basi jitafakari na wewe akhii. Usilete ushabiki wako wa kutetea batil
@OmaryHunte-o5c
@OmaryHunte-o5c 6 күн бұрын
@@MbongoinToronto dini Haina kitu kinaitwa ushabiki ushabiki upo kwenye mipira michezo mwingine ya kidunia .usichanganye mipira na michezo mwingine ya kidunia na dini
@mohammedi8850
@mohammedi8850 8 күн бұрын
MASHAALLAH SHEIKH BACHU.. ALLAH AKUPE NGUVU NA AKUSIMAMIE
@muhamadkhalid4976
@muhamadkhalid4976 8 күн бұрын
Aamin
@jamalsaid7475
@jamalsaid7475 5 күн бұрын
@@mohammedi8850 Ameen JazakaAllaahu'khayran
@Saloumy1991
@Saloumy1991 8 күн бұрын
Maashallah sheikh nimekuelewa vizuri sana Alhamdulillah
@jamalsaid7475
@jamalsaid7475 8 күн бұрын
Alhamdulillah
@MussaSeif5G
@MussaSeif5G 8 күн бұрын
Alhamdulillah. Shikh ujumbe ushafikisha. Jukum lak ushaliondoa kwa Allah kukosoa watu wakikosea
@IssaLuhindi
@IssaLuhindi 8 күн бұрын
Allah Akuhifadhi Sheikh Muhammad Bachu. Nilishawahi kusema huko nyuma, chunguzeni sana vikao vya wazee wetu hawa Masheikh wa DSM, kwenye kila kikao huwa kuna mashindano ya kuwa ni nani atakayetoa jambo jipya imma la kuwachekesha watu au la kuwashangaza watu almuradi aonekane yeye ndio mtu wa hikma nyingi alafu watu wanafurahi na hata mara nyingine kumtuza kwa pesa- chunguzeni sana hili jambo. Huku kutaka kuonekana kwa style hii ndiko kunakopelekea matamshi ya ajabu kwenye mijumuiko ya dini. Allah Atuongoze sisi pamoja na wazee wetu, maana ndio washakuwa wazee wetu tena!
@abdouibnmninara7000
@abdouibnmninara7000 8 күн бұрын
Innalillahi wainna ilayhi raajiuun anatoa Amri kwa Malaika yeye kiumbe dhaifu "kuishi kwingi kuona mengi"
@AbuuLuqman-oz1td
@AbuuLuqman-oz1td 8 күн бұрын
Sheikh Mohammed bacho nakupenda sana kwa ajili ya allaah namuomba allaah akuhifadhi azid kukupa umri urefu wenye manufaa na akulinde kutka na mahasidi na vijicho AMIIIN 🙏 🙏🙏🙏🙏🙏
@selasboy3966
@selasboy3966 8 күн бұрын
Maashallah umepiga mshono wa masufi shekh...
@awathislammwalile4537
@awathislammwalile4537 8 күн бұрын
sio masufi hii ni kufru kotekote haijalishi bali wale mashekhe wapo wanaangalia matumbo yao
@MagariUsed
@MagariUsed 8 күн бұрын
Kweli wazee wetu sasa wanapoelekea daaaaaah!!!!! Bachu Allah Akulipe
@jamalsaid7475
@jamalsaid7475 8 күн бұрын
@@MagariUsed Ameen JazakaAllaahu'khayran
@yassinsaid-b7v
@yassinsaid-b7v 8 күн бұрын
Achukie mwenye kuchukia lakini darsa ya sheikh muhammad bachu ni ilimu tupu ..acha ushabiki kando... muhammad bachu anatusomesha mambo mingi kupitia rudud ..Allah akulipe mema kwa juhudi hizi
@ramadhanisalumu2667
@ramadhanisalumu2667 8 күн бұрын
M/MUNGU Akufanyie wepesi bachu na huo ndio uislam unavyotaka ttuwe wa kweli na tukumbushane kwaiyo sio vibaya kuwakumbusha haijalishi umri Hauna kosa na kosa sio lako
@SaliminhizzaHizza
@SaliminhizzaHizza 8 күн бұрын
Allah akulipe sheikh Muhammad na akupe mwisho uliokua mwema
@jamalsaid7475
@jamalsaid7475 8 күн бұрын
Ameen JazakaAllaahu'khayran Sheikh
@hamisisaidi9525
@hamisisaidi9525 5 күн бұрын
AMEEN
@Saloumy1991
@Saloumy1991 8 күн бұрын
Mashallah sheikh alla akuoe afya njema,,,,,napenda vile ukirekebisha makosa unatumia vitabu tu na wala sio akili yako
@AlbanSaifullah-w1y
@AlbanSaifullah-w1y 7 күн бұрын
❤❤❤ sheikh wng muhammad bachu Allah azidi kukuhifadhi Ahsante kwa faida ❤❤❤
@salumjazaa5595
@salumjazaa5595 8 күн бұрын
Allah akuhfadh sheikh Muhammad bachu
@othmanali7408
@othmanali7408 8 күн бұрын
Amin
@abdallahmudi9263
@abdallahmudi9263 8 күн бұрын
Allah akuhifadhi kila aina ya shari
@jamalsaid7475
@jamalsaid7475 8 күн бұрын
@@abdallahmudi9263 Ameen JazakaAllaahu'khayran Sheikh
@sakinasakku8340
@sakinasakku8340 7 күн бұрын
MAASHAA ALLAH tabarakalla sheikh, shukran ,,,,,
@RanadhanHamad
@RanadhanHamad 8 күн бұрын
Allah akuhifadhi sheikh Muhammad
@jamalsaid7475
@jamalsaid7475 5 күн бұрын
@@RanadhanHamad Ameen JazakaAllaahu'khayran
@OmaryHunte-o5c
@OmaryHunte-o5c 6 күн бұрын
Nashangaa sana kitu kimoja mbona hakuna. Shekhe ata mmoja katika hao unawaowazungumzia anayeyajadili maisha yako . na imani yako
@Hemedi-m9m
@Hemedi-m9m 5 күн бұрын
wewe nawe kwenda zako fala wewe huna unalo juwa
@OmaryHunte-o5c
@OmaryHunte-o5c 5 күн бұрын
@Hemedi-m9m ورد الله الذين كفروا بغيظهم لم ينالوا خيرا وكفى الله المؤمنين القتال وكان الله قويا عزيزا
@sheikhabuusakakin3243
@sheikhabuusakakin3243 8 күн бұрын
وفقكم الله شيخنا إلى مايحبه ويرضاه اللهم أمين
@SwaahibLota
@SwaahibLota 7 күн бұрын
Allaah akubaariki
@RashidMohamed-f9s
@RashidMohamed-f9s 8 күн бұрын
Asalaam aleykum warahmatullah wabarakatuh Sheikh Mohammad bachu samahani sana tunaomba usifunge download kwa sababu sisi wengine tunasoma kupitia hizi darsa zako jazakallah kheyr
@mirajimsigiti7317
@mirajimsigiti7317 8 күн бұрын
Tunaweza sasa kudownload AKHY,mambo yamerudi KAMA kawa
@RashidMohamed-f9s
@RashidMohamed-f9s 8 күн бұрын
@mirajimsigiti7317 shukran sana
@mfalmenajjash2128
@mfalmenajjash2128 8 күн бұрын
Halafu kunamjinga mmoja anakuja anamlaumu Muhammad bachu kwa ruddud kilasiku raddi tu raddi tu ujinga ndo kama huu vipi mwenye elimu anyamaze wallah Muhammad bachu Allah atakulipa mema yako kwahili na jengine insha Allah
@jamalsaid7475
@jamalsaid7475 8 күн бұрын
Ameen JazakaAllaahu'khayran Simba wa Afrika Mashariki na kati (Sh Muhammad Nassor Bachu)
@jamalsaid7475
@jamalsaid7475 8 күн бұрын
Alhamdulillah
@AbdulRama-u7d
@AbdulRama-u7d 8 күн бұрын
Allaah akubaarik Aaamiin
@iddimohamed254
@iddimohamed254 7 күн бұрын
Watu wa twarika wamepotea Allah awaongoze...
@seifsaid9905
@seifsaid9905 8 күн бұрын
MASHAALLAH ILA HII MADA ANGEZUNGUMZA SHEKH ABDU ROGO AU ABUU ISMAIL PANGECHIMBIKA KWA HAO MUNAFIKINA
@jumasaidi3161
@jumasaidi3161 8 күн бұрын
Allah akuhifadh
@Zsdaughter
@Zsdaughter 7 күн бұрын
Jazajakallahu khair Sheikh.
@unknowna8442
@unknowna8442 8 күн бұрын
Hawa masheikh wa bakwata ni shida
@IsmailiSeif-y4r
@IsmailiSeif-y4r 7 күн бұрын
❤❤❤❤sheikh wangu muhammad Bachu ❤
@ABDULHAMIIDMUSSA-pt3is
@ABDULHAMIIDMUSSA-pt3is 8 күн бұрын
جزاك الله خيرا و أحسن الله إليك.
@saadaAbdalla1371
@saadaAbdalla1371 8 күн бұрын
Ahsante kwenye upande wa kuombewa dua na malaika umetupa faida kubwa Allah akulipe kheri
@spartachize122
@spartachize122 8 күн бұрын
Anchokiongea shekhe wetu apa, hauhitaji akili kubwa sana kumuelewa, yaani amenyoosha maelezo kabisa ila wale wenzetu njaa inawasumbua na uoga wa kuambiana ukweli😢😢
@KhamisDaud-nz3rc
@KhamisDaud-nz3rc 7 күн бұрын
Jazaakallah khayra
@SuleimanAlly-c9p
@SuleimanAlly-c9p 8 күн бұрын
Yaani dah tunaelekea wapi ss jmn ,subhanallah yaani mtu anathubutu kuongea hivo
@davidruhasha9670
@davidruhasha9670 8 күн бұрын
UCHAWA HADI WANAVUKA MIPAKA YA ALLAH, ALAFU MASHEIKH MBACHEEEEEEKA
@daudymlauletv8489
@daudymlauletv8489 8 күн бұрын
Sheikh umenyooka huna baya mwenyezi mungu akulinde na akupe mwisho mwema njaa zinasababisha watu wamuone rais kama mungu naye rais badala ya kuwaonya anafrahi TU mtihani huo
@MachanoabdullaBakari19
@MachanoabdullaBakari19 8 күн бұрын
Lawama hatutomuelekezea rais kwa kiwango kikubwa. Man twajua hana kiwango cha kutengemewa kwa kiasi kikubwa ktk Taaaluma ya Dini. Yawezekana akawa hajui asa! Ila masheikh ndo tuwaelekee ktk hili. Hongera akhiy ❤.
@sheikhabuusakakin3243
@sheikhabuusakakin3243 8 күн бұрын
Waalaykum salam warahmatullah wabarakatuh
@mootelahamongus633
@mootelahamongus633 8 күн бұрын
Halafu Hawahawa ndio wakikosolewa hata kwa mambo yasiyo na ikhtilafi, hawatakagi kukubali kuwa wamekosea hata siku Moja. #Inasikitisha Sana Kuona Wanaoupaka Sifa Mbaya Uislamu ndiyo Waislamu Wenyewe. Bakwata Badilikeni.
@JaylanAbdallah
@JaylanAbdallah 7 күн бұрын
Muhamadi bacho Allah akuifazi
@SalimHamad-qy5ki
@SalimHamad-qy5ki 7 күн бұрын
Alhamdulilah
@pavillioncry5241
@pavillioncry5241 8 күн бұрын
Tumuombe allah amchukue huyu mzee Ili aende akaone ni nani mwenye mamlaka ya kiwaagiza malaika wa allah
@kasimubangu1875
@kasimubangu1875 8 күн бұрын
Hapana huyu ni wakumuombea tu Allah amuongoze sazingine huwa nikujisahau tu
@NahimanaAssumani
@NahimanaAssumani 5 күн бұрын
Allah atuongoze kwahuruma wake
@khalifa_kuchi
@khalifa_kuchi 8 күн бұрын
Jmn mengine tuwen makin tusijaongee tu wallah imekua too much tena w2 tumekua hatuong llte ila kw mungu ni kuzito, wallah angalien me naamin ostdh haji upepo,ostdh mziwanda, mufti, ostdh diwan, osdtdh said wa kenya, kina masheikh shahran, ostdh msellem bin ali sheikh farid na masalafii majadida wote hili hamulion au mwahis sio kosa kias ambacho kwenu halina umuhim musisahau kua na nyny yote mutaulizw na mutahukumiwa pia wallah kweny ukwel shikamaneni muutete ukwel na muondoe batwili, hlf endeleen na raddi kw lengo la kufundisha ila sio kubomoa na kuharibiana ktk dini fahamun ipo sk mutaulizw na mutahukumiw dunian tunapita tu...🙏😢😭
@NasriSaidi-s4h
@NasriSaidi-s4h 8 күн бұрын
Tukinyamaza mjinga atajuaje kusema hivyo ni kosa
@HabibMohd-l3h
@HabibMohd-l3h 8 күн бұрын
Masha Allah
@mayasahamisi1233
@mayasahamisi1233 8 күн бұрын
Tulisha ambiwa katika kitabu namungu ...hao wanataka duniaa
@suleimanhamad2396
@suleimanhamad2396 8 күн бұрын
Shekh bachu mm ukiwa unasafisha mazingira usiwe una tabasam uwe mkal kwel kweli kama marehm bachu
@shafiiluunje5043
@shafiiluunje5043 8 күн бұрын
Shukrani sheikh
@Saloumy1991
@Saloumy1991 8 күн бұрын
kulikalia kimya jambo la makosa pia ji makosa,,,,ila mtu akirekebisha huonekana ndio mkosa zaidi
@MustafaAli-w4x4s
@MustafaAli-w4x4s 6 күн бұрын
Sw lakini asitumie njiahii ya uzalilishaji shekh lzm atumie hekma anawazalilisha wadini,akiamua kuelimisha awatafute kwanjia ya priva nasio kujionyesha kwenye mtanda hakuna mtume wala swahalo alowahi kuwaelimishawatu kwanjiahii, huyu amekosa hekma na busara, wapo wamesoma kulikoyeye lkn hawana ujingakamahuu. tumia hekma katika kuelimisha shekh,maanaww huelimishi wewe unawakosoa.
@abdallayunnus3475
@abdallayunnus3475 7 күн бұрын
Mashaallah
@saidsaidoo9723
@saidsaidoo9723 6 күн бұрын
Mashallah
@OmarAlly-iz8ot
@OmarAlly-iz8ot 8 күн бұрын
Viras kama hawa ndio hupandikizwa kwenye vichwa vya watu, sasa nilini wataelewa Dini safi na Dini ambayo ni Muzayyaf? Mashekhe wakubwa ujinga wao kwenye mambo muhimu ya ki iimaan ndio kama huu ,hao wachini unadhani watakuaje? Wallaahi namuombea Dua sana Shekhe wangu Shekh Nassor Abdalla Bachu, Allaah amsamehe makosa yake, na amtengenezee kizazi alicho kiacha, na amuingize Janna ya Firdaus........... Kwani yeye ndio sbb yamimi kuacha upumbavu, ujinga, uzuka, na uzushi wa kisufi. Alhamdu lillaah kwa kunitoa kwenye wazushi na kuniweka kwenye mwangaza wa Elimu sahihi na Sunnah.
@mbwanahussen2950
@mbwanahussen2950 7 күн бұрын
Shekhe wakumbushe mashekhe wa dunia na ss wanafunzi tusomeshe
@sheikhabuusakakin3243
@sheikhabuusakakin3243 8 күн бұрын
أسأل الله أن يرفع درجتك
@KhamisDaud-nz3rc
@KhamisDaud-nz3rc 7 күн бұрын
Allahumma aamiin
@MustafaAli-w4x4s
@MustafaAli-w4x4s 6 күн бұрын
yaani kaziyenu kukashifianatu ibada zinawashinda ujingatu mlokuwanao upuuzimtupu
@Captainome
@Captainome 8 күн бұрын
Njaa mbaya shekh wangu hawa watu wanaagalia matumbo yao,kisha mkirekebishwa mwasema mawahabi hawana adabu kwa mashekh wakubwa. Mnajichekea chekea.mtadhalilika mpaka kuingia kaburini kwenu makhurafi mijisufuuu.
@Khatib-xp6fp
@Khatib-xp6fp 8 күн бұрын
Ila lazima tufaahamu
@mohagurey2214
@mohagurey2214 8 күн бұрын
Msikosoe mashehe wetu
@Captainome
@Captainome 8 күн бұрын
@mohagurey2214 hapo amesema maneno ya sawa
@mohagurey2214
@mohagurey2214 8 күн бұрын
@@Captainome kabisa
@Captainome
@Captainome 8 күн бұрын
@mohagurey2214 mikhurafii tu hawa mashekh njaa tupu.anatoa amri kwa malaika kama.nani yeye hata kama wanataka poshooo wapime maneno yao,kisha uje umskie mtu kama.mziwanda au haji manara akiwasifia tumelelewana na hawa wazeee brother nisiwe mnafiki nawachukuia watu wanaovuka mipaka ya Allah.
@HannatKhamis-k7c
@HannatKhamis-k7c 8 күн бұрын
Bachu ni mwanachuoni aliezama kwenye elimu sijawahi kumuona kuongea isipokuwa kwa kitabu
@jamalsaid7475
@jamalsaid7475 8 күн бұрын
Swadaqta Alhamdulillah
@Bantu-u9m
@Bantu-u9m 8 күн бұрын
Hapo pembeni kushoto yopo ,aliye ona tatizo- anatikisa kichwa namna ya kukataa.
@makamebakari7106
@makamebakari7106 8 күн бұрын
hilo jongooo lisha zoe kukufuru sio mara yakwanza tena kukiwa na mikusanyiko ya viongozi wa kubwa. hao ni walinganiaj wanao walingania watu kuelekea katika milango ya moto nawatao wafuata wataingia nao. Allah atuifadhi.
@AbuuNusaiba
@AbuuNusaiba 8 күн бұрын
Allah akbar
@Zanzibar0001
@Zanzibar0001 8 күн бұрын
Wale mabwana wanajulikana kama wasaka tonge wote wale waongo wale md wa kupiga pesa sass hv utasikia dua utakuja kusikia Halal badri isomwe mwisho watakwanga hadharani
@khalifa_kuchi
@khalifa_kuchi 8 күн бұрын
Na wallah watatokea w2 watatetea hichi k2 kisa kimeongelea na masheikh zao wkt hii ni shirki ya wazi jmn hii dini sio katiba tufahamu ipo sk tutahukumiwa tusiangalie kula ya sk chaxhe tu, binaadam hamuna k2 leo yupo hai kesho marehemu
@KhalfanMakota
@KhalfanMakota 8 күн бұрын
Issue yeye ni nani mpk aamrurishe malaika yaan kusomeshwa nje ya nchi na nyerere ndo iwe sabab kuwaamrisha malaika
@KassimSaary-q5r
@KassimSaary-q5r 8 күн бұрын
Mzee unafkiri mama hajasoma, WW mzee unaona Dili bahasha inafwata, umri Huo, Na Hio group inacheka bila waswas, upungufu wa elimu bachu somesha shamba geng
@AbdulIssa-o7e
@AbdulIssa-o7e 8 күн бұрын
Kubali hakki hata ikija kwa adui wako
@husseinmongolare3417
@husseinmongolare3417 7 күн бұрын
Shukran ❤
@OmarAlly-iz8ot
@OmarAlly-iz8ot 8 күн бұрын
Laa hawla walaa quwwata illaa billaah!!! Mara nyingi husema, masufi ndio waharibifu wa Dini hii, wengine huona haiwezekani, kuna mawalii, mashekhe wakubwaaaaa😂😂😂😂😂 Ukiwa sufi lazima uwe mwepesi kwenye Dini yako, au uwe mnafiki, mpumbavu, chizi.............. Hapo ndio utaungwa mkono na masufi wenzio. Na haiwezekani uwe sufi, khalafu hapohapo uwe mtetezi wa haqqi, abadan. Khalafu masufi hawana khofu ya Allaah hata kidogo, yani jambo kubwa kama hili eti wanacheka na kukwekweteka mbavu, wasanii wakubwa hawa. Khalafu musitarajie vile vinafiki vidogovidogo kina upepo vitasema lolote, labda kutetea, hilo wanaweza, na diwani wao😢😢😢! Masufi kubwa ni kuhakikisha tonge inakwenda kinywani, hapo hawana Dini, hawana aibu, hawana utu, wakati tonge inakwenda kinywani, chochote watakifanya, na watakitetea, ndiomana nasema; Zama hizi kuna Mashekhe ni muhimu sana kuwepo hai, ndio kama huyu Shekh Muhammad Bachu, Allaah amhifadhi, na amlinde na kila shari, na amzidishie maarifa na ujasiri wa kuyafikisha maarifa hayo sehemu husika.
@KhalfanMakota
@KhalfanMakota 8 күн бұрын
Mm nilivyoiona tu juzi nilijua jongo kaaribu mambo na hapo mustawa wng ni ibdaiya😂😂😂
@RamadhaniShembilu-l1e
@RamadhaniShembilu-l1e 8 күн бұрын
TATIZO LA HAWAWATU WAKISHAPEWA VIELAKIDOTU WANASAHAU HATA MIPAKA YA ALLAH, HUYOMTUMWENYEWE MNAE MUOMBEA NI DHAALIM KUPITILIZA NA HIO SEREKARIYAKEPIA PIA ALLAH HAYUPO RADHI NAYO,LEO MALAIKA WAMUOMBEE MMH KWAKIP, EHU NYIEMASHEKHE IZONJAAZENU ZISEMEENI.MUOGOPENI ALLAH
@ShabaniJumbe
@ShabaniJumbe 8 күн бұрын
Utakua unaupungufu kichani kwako ww
@abuuaidh6500
@abuuaidh6500 8 күн бұрын
Nidhalim Maana anaidhulum Hadi nafsi yake . N a hao Masheikh njaa wanazidi kumpalilia dhulma.
@samirrubeya2379
@samirrubeya2379 7 күн бұрын
Misufi ni watu wa kejeli na dhihaka kwa dini ya Allah.
@selasboy3966
@selasboy3966 8 күн бұрын
Usufi ni ujinga , utaahila na unafiki ktk dini fatilieni mtajua tu
@saidhalfan3452
@saidhalfan3452 8 күн бұрын
Una amrisha mema na kukataza mabaya, kumbuka maagizo ya Luquman kwa mwanawe
@nnajahtv
@nnajahtv 8 күн бұрын
Hawa wanao Hara nimfano wao maana watu wanazungumzia ryknul iiman mwengine anasema sijui kasm mafuta, oh ufahamua wajo mmbivu Masufi wote akili zao zina fanana kama walivyo sema wanazuoni
@MswahiliIdd
@MswahiliIdd 8 күн бұрын
Kitaeleweka
@saidomarkiroboto8229
@saidomarkiroboto8229 8 күн бұрын
Huo....ni upuzi shekhe wangu
@jumamohamed3168
@jumamohamed3168 8 күн бұрын
Upuuzi au wapi hapo na anayetoa maagizo kwa malaika au anaye kosoa juu ya aliyekosea ili watu wengine wajue kuwa kitendo cha mwanadamu kukusudia kutoa maagizo kwa malaika sio jambo sahihi yaani ni makosa makubwa .
@pavillioncry5241
@pavillioncry5241 8 күн бұрын
Misufi ni mapunda wa mashia( imam shafiii)
@allyjuma9669
@allyjuma9669 8 күн бұрын
Al khamdulilah kuwa ninashika manhaji salafi kweli masufi hawana akili
@hajisimaikhatib9002
@hajisimaikhatib9002 8 күн бұрын
Hawa mashekh hamna kitu alipo mama si uwislamu ni democracy maskini duwa hiyo hata juu ya vichwa vyao havifiki.
@ImanSaid-q4i
@ImanSaid-q4i 8 күн бұрын
😂
@HassanHassan-si2rt
@HassanHassan-si2rt 8 күн бұрын
Uko vizur, Ila utakua vizur zaidi pale utakapo muogopa ALLAH zaidi kuliko usalama wa taifa katika daawa zako, Usiwaogope hao hawawezi kukufanya lolote ila ALLAH aridhie. Nakama utabaki kuwaogopa basi daawa yako haitokua ya Moja kwa Moja kwakua kunamambo hautoyabainisha kwa umma kisa kuwaogopa usalama wa taifa, (Daawa ni chungu sana Nakwakua ww umeamua kua mtu wa daawa basi usimuogope mtuu,) Fikisha kama ilivyo pokewa. ,{kimsingi upo vizuri sana na ALLAH AKUHIFADHI}
@SheheMachili
@SheheMachili 8 күн бұрын
Busara inaitajik shekh Musa anatumw Kwa firaun na Allah kamwambia lakin kamwambie Kwa hekm umpe maneno mazur
@HassanHassan-si2rt
@HassanHassan-si2rt 8 күн бұрын
@SheheMachili Huoni kama ni busara na muft + walid nao wametumia busara kutomkosoa mzee jongo hapo hapo, Nani katika sisi ajuae kua baada ya hapo walimkosoa au laa, Pengine nao walitumia hekima kwa mzee jongo , Je nawao wasilaumiwee? Jamaa uislamu ni Quran na Sunnah nje na hapo hio sio dini. Ninachomaanisha hapo mm nikwamba hata daawa ifikishwe kama ilivyo kuja bila kujali cheo wala wadhifa wa mtu, Mtume s.w andetizama wadhifa kwa wale mabwana wakubwa wa makka basi hii dini isingesimama, Aliki alifikisha kama alivyopokea ndio maana akapigwa vikali na usalama wa taifa wa kipindi Kila ila hakusita kuifikisha daawa. Usitie hekima katika kulinda MAOVU.
@abuuaidh6500
@abuuaidh6500 8 күн бұрын
Busara kwenye kusema kweli ni kusema lililo la haki Mfano. Mwanamke haifai kuwa kiongozi hekma ni kusema haifai mwanamke kuwa kiongozi . Na hapo Allah hawezi kumrizia huyu Maana amekanusha .
@HassanHassan-si2rt
@HassanHassan-si2rt 8 күн бұрын
@abuuaidh6500 Sure, Sema sasa masheikh hawawezi kusema hivyo kwakua wanawaogopa usalama wa taifa, Nawatu wasio julikana, Badala yake wanaanza kumsifia nakusema kua apewe MITANO mingine. Khatar tupu kwa masheikh wetu
@KhamisDaud-nz3rc
@KhamisDaud-nz3rc 7 күн бұрын
Hili jambo alilolisema hapa ni jambo kubwa mno wale wanaoogopa usalama wa taifa hawawez kuinua midomo hapa mana kukosoa hapo ni kama umemkosoa raisi kwani hao wote hapo ni watu wake na hapo walipo wanatetea posho zao
@nnajahtv
@nnajahtv 8 күн бұрын
Mashufi niwenda wazimu kama alivyo sema imam maalik masufi hawana akili
@OmariOmari-y8h
@OmariOmari-y8h 8 күн бұрын
Hapo hakuna majahazi Wala mitumbwi😂
@hassanmzandy1421
@hassanmzandy1421 8 күн бұрын
Ni imam Shafy
@mohagurey2214
@mohagurey2214 8 күн бұрын
Masufi ndio wakona uwezo ya kuamrisha malaika na majini ndugu
@nassirzamzam9312
@nassirzamzam9312 5 күн бұрын
Maskini hawa ni watu wa njaa na ilimu ndogo mwenyezimgu awaongoze wawe watu wa tawheed.
@BouShakuri
@BouShakuri 8 күн бұрын
Aseme zile b2 zimeenda wapi
IZZUDDIN UNAHARIBU SWALA ZA WATU KWA FATAWA ZAKO ZA AJABU || Muhammad Bachu.
31:54
RADDI KWA HAJI UPEPO || JE KUFANYA KONGAMANO NI BIDAA || Muhammad Bachu.
45:20
Muhammad Nassor Bachu
Рет қаралды 10 М.
Жездуха 42-серия
29:26
Million Show
Рет қаралды 2,6 МЛН
$1 vs $500,000 Plane Ticket!
12:20
MrBeast
Рет қаралды 122 МЛН
Ful Video ☝🏻☝🏻☝🏻
1:01
Arkeolog
Рет қаралды 14 МЛН
AFARTANKII (40) QISO OO UGU SAAMEYNTA BADNAA_2022 iyo 2023_ SHEIKH MUSTAFA.
3:26:03
IFTIN BROTHERS STUDIO
Рет қаралды 2,6 МЛН
🔥RADDI FUPI KWA KASUKU WA KIZANZIBARI (MUHAMAD BACHU)
11:05
ATtwabary online
Рет қаралды 3,6 М.
USIFANANISHE MAULIDI NA TAWHIYD || Muhammad Bachu
40:30
Muhammad Nassor Bachu
Рет қаралды 8 М.
RADDI KWA HUSSEIN SEMBE || Muhammad Bachu || 4 February 2025
49:13
Muhammad Nassor Bachu
Рет қаралды 11 М.
Жездуха 42-серия
29:26
Million Show
Рет қаралды 2,6 МЛН