Рет қаралды 3,913
MUHIMU KWA WOTE: RITA YARAHISISHA USAJILI VYETI vya KUZALIWA, MAONESHO ya SABASABA..
WAKALA Wa Usajili, Ufilisi na Udhamini (RITA,) wameendelea kuwahudumia wananchi kwa kuwasajili na kuwapatia vyeti vya kuzaliwa kwa gharama ya shilingi elfu kumi kwa kila mwombaji kupitia maonesho ya kimataifa ya biashara maarufu kama Sabasaba yanayoendelea jijini Dar es Salaam.
Akizungumza na waandshi wa habari katika maonesho hayo Afisa Mawasiliano kutoka RITA Jafari Malema amesema kuwa, katika maonesho hayo ya kimataifa wamejipanga kutoa huduma mbalimbali zinazotelewa na wakala hiyo ikiwemo kutoa elimu kwa Umma pamoja na kutoa msaada wa kisheria wa namna ya kuandika na kuhifadhi Wosia sambamba na masuala ya ndoa na talaka na kubwa zaidi ni kusajili na kutoa vyeti vya kuzaliwa kwa wananchi ambao hawakuwahi kusajiliwa.
Amesema, wamejipanga katika kuhakikisha wananchi wote watakaojitokeza wakati huu wa maonesho wanapata vyeti vya kuzaliwa kwa wakati.
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 712 101 629), ( +255 784 888982)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline