Mashallah Tabaarakallah!! Ni hivi ndivyo wana Sunnah/Salafiyyun tunatakiwa kuishi, akifanya mwezako jambo zuri na jema unaonyesha kukubali na kumuunga mkono, na pale ambapo atakosea ndio kuelekezana kwa hekima na maneno mazuri, Tukishikamana wana sunnah na kuacha kupigana mapande kwa baadhi ya Ikhtilafu ambazo ni za utofauti tu wa ufahamu basi athari ya Sunnah itaenea ulimwenguni Biidhnillah. Allah awahifadhi walimu wetu na mashekh wetu wote. Amin Amin #Al Akhy Muhammad Bhachu & Shk Kassim Mafuta (Allah awahifadhi wote)
@abdulazizmsonde9853 жыл бұрын
Allah awahifadhi masheikh
@awadhhadi4463 жыл бұрын
Kweli kabisa shekhe allah akuhifadhi fii dunia wal akhela
@abdallahmoussa6143 жыл бұрын
Allah ukupe umri mrefu uzidi kutuilimisha Sheikh wetu mpendwa...
@allahakujazekheriwowww56943 жыл бұрын
Jazakallah kheri nilikuwa sijabielewa ila darsanzuri nimeelewa
@ablamaryamsalehvg5eazhst3n523 жыл бұрын
kzbin.info/www/bejne/qIrKe2p_gZ6mhrM
@lacroquetalacroqueta68133 жыл бұрын
Allahumma Amin ya Rabb 🤲
@yashamsiameir14833 жыл бұрын
Sheikh abuu ismail wa mwanza.
@seanmurray65163 жыл бұрын
Mimi bado nasikitishwa Na washenzi wachache ambao sasa wana ongezeka kila siku katika kukiharibu kiswahili kila siku. Ukiangalia hapo juu Ya nayoJILI PARESTINA. Wakati kiukweli iwe “Yaleyanayojiri Palestin” hivi ni Lini uchafuzi huu wa lugha utaacha.
@saiditara72353 жыл бұрын
حفظ الله دعاة السلف ورحمة على من سلف منهم
@abuubakar13853 жыл бұрын
Allah atawapa wepesi
@hudaasaalim13333 жыл бұрын
Hio pic ni dome of the rock. Sio masjid aqswa. Masjid aqswa huo pembezonu kidogo
@muhsinali14173 жыл бұрын
Al aqsa ni ile ya rangi ya green kama black hivi
@abdallahsalum73013 жыл бұрын
Ndio ile mbona jana watu walioneshwa wamo ndani
@hidayabakar70263 жыл бұрын
Hiyo saudiya nae ni myahudi mshezi ilembaya
@eddielkindy3 жыл бұрын
Walio wengi huipost dome of the rock ilhali wanaikusudia Masjid Al Aqswa.
@abdallahsalum73013 жыл бұрын
Huijui lakini ndio hio
@mwanzomwisho12173 жыл бұрын
@@abdallahsalum7301 wewe ndio huijui, hiyo sio Masjid Aqswa, Masjid Aqswa kna tungi jeusi. Hiyo ni jumba la wayahudi, wanapotosha watu kwa makusudi.
@abdallahsalum73013 жыл бұрын
@@mwanzomwisho1217 unajipotosha wewe mwenyewe ulendio msikiti kwani jana hujaona waislamu wanangiya ndani nawengine wapo nje mbona hichikitu sichabishani kipo wazi
@abdallahsalum73013 жыл бұрын
Ndio ulemsiti nahiyo alama yamwezi pia ipo kwenye mnara
@abdallahsalum73013 жыл бұрын
Saudi wasaudi walienda kupigsna jihadi au nn saudia mbona hawajaenda kukombowa masjid aksar
@luca06org123 жыл бұрын
Kushamaliza kuporaja tafta ma apple ule uko
@fahadtimimi93353 жыл бұрын
Damu ya muislamu ni Bora kuliko Kaaba .....tusiwasahau Kwa dua
@timemussa87483 жыл бұрын
Assalamu alaikum, mbona nyinyi waislamu wa leo munataka kuugawa uislamu mapa nde, kwani Mtume s.a.w hajawahi kusema kama yy ni sallafi, shia, sunni wala kuwa yy ni ibadhi. Ila leo tumeanza kupeana majina na Salafi kujiona kuwa wao peke yao ndio wataenda peponi na wengine wote wataenda motoni eti wanafuata bidaà. Je lakujiuliza wameshachukua ahadi kwa Allah kuwa pepo ya kwao na kila wanachokifanya ni sahihi kwao
@timemussa87483 жыл бұрын
Lakini tujue uislamu unataka tushikamane katika njia ya Allah, kwahiyo kuwa nani atatawala si tatizo kwani mtume s.a.w kasema mnusuru ndugu yako muislamu, kwa hiyo ni haki kwetu kuwatetea na kuwaombea dua ndugu zetu wapalestina. Lakini hawa salafi hutafuta kila sababu ili kuwapinga baadhi ya waislamu kwa kutoa hoja zisizo za msingi na kujiona kuwa wao ni sahihi hata katika mambo ya haki
@fahadtimimi93353 жыл бұрын
@@timemussa8748 mambo ya salafi yametokea wapi ndugu...... salafiya ndio njia sahiih ndugi yngu muislamu. ...kushikamana na sunnah...bila kuongeza wala kupunguza
@fahadtimimi93353 жыл бұрын
@@timemussa8748 hta kma kapatia au kakosea hakuna haja kuihukumu salafiya
@sadikkibiki62273 жыл бұрын
Hii sio baitul maqdis
@abdallahsalum73013 жыл бұрын
Huijui wala tv hungali acha ubishi huo utachekwa
@omarbyz86953 жыл бұрын
Jaman mbona hapana coment mungu? Umma tunenda wape????😂😂😂🙆♂️
@omarbyz86953 жыл бұрын
Kwani watu wakiwa wanakujua hua hupewi coment nyingieeeee
@wachujahabari30223 жыл бұрын
Mbon uo mskit mnapendaxn kutumia picha zake wakati sio masjil aqswa?
@eng.saalim86463 жыл бұрын
Ni masjdi gan hyo
@wachujahabari30223 жыл бұрын
Ilo ni jengo la wayahudi ilo lenye rangi ya dhahabu sio masjid aqswa السلفي ابو طلحة
@abdallahsalum73013 жыл бұрын
Ndio hata tv hamungali hata alama yamwezi ipoju acheni ubishi huo tusiwe wapumbavu kissi hichi
@aliyahmed89543 жыл бұрын
Kasim ongea pwent ww hata tv huangalii hizo hawari unazipata wapi?
@shabanihamisi11463 жыл бұрын
Wewe utakuwa una upungufu wa uelewa si bure yani ayat zotee hizo na tarikhi inayoelezewa bado unataka tukupe habari za bbc na cnn mimi nakushauri usomeeeeeeew zaidi na allah atakufahamisha inshallah,maaana kwenye uislam hakuna ujanja zaidi ya kujibiidisha kwenye elimu tu.
@lacroquetalacroqueta68133 жыл бұрын
Sheikh anayo firasha upeo ambao Allah aliompa ni zaidi ya BBC na cnn