Unauwa mwanaume mwenzio kwa sababu ya umalaya wa mkeo?utauwa wangapi?
@Sheba46514 ай бұрын
Lazima nicheke 😂😂😂 Acha kutoa roho ya mwanaume mwezio, akileta umalaya fukuza weka mwengine, ila tatizo litakuja ule mgao wenu 50 kwa 50, utajenga na kugawa nyumba ngapi 😂😂😂 Ahh!! Kwa hivyo bora uwa tu.
@goldmansun58594 ай бұрын
@@Sheba4651andika mali zote jina la mama ako, weka safe Mali zote za kwako, kisha ishi, mwanamk akizingua tupa nje, mpe kidogo akajikidhi kimaisha, usikubal akukware kila kitu au hata robo ya nguvu zako unless una uwakika kaweka robo ya hivyo vitu, usiue mwanaume mwenzio, tupa nje hyo kahaba
@roggoyacny3 ай бұрын
Hatar sana 😭
@user-zv2ng6ov2k3 ай бұрын
thank you
@laurentraphael54703 ай бұрын
Hatari sana. Damu ya mtu ni issue
@valenakomba76864 ай бұрын
MAMA UMEONGEA VIZURI SANAA. NA NIMEKUPENDA KWA UJASIRI WAKO. MUNGU AENDELEE KUKUTIA NGUVU.❤❤❤
@naomienock34753 ай бұрын
😊
@Kabwela7764 ай бұрын
Mama ni jasiri sana ndio wanawake wanatakiwa wawe hivi na ni ana akili sana yuko smart angepiga yowe na kuanza kulia angeuwawa labda Na huyo muuwaji,
@smallscaleminingsupplies96704 ай бұрын
Nyie wabongo mnadhani kila kijiji Tz hii kuna polisi, kuna maeneo police wapo mbali sana tembeeni hii nchi kubwa sana
@yama_virginhairthequeen10653 ай бұрын
Indeed
@upendotarimo29653 ай бұрын
Kweli
@fhugghi41094 ай бұрын
Duuuh mama unaujasiri wa hali ya juu zaidi . Pole sana 😢
@mwanaidimussa4 ай бұрын
Ameshachoka natabia za mume wake, kashakuwa sugu 😢😢
@paulmafuru72833 ай бұрын
Inakatosha tamaa ukioa kuwa na heshima kwa mke ,Kama alishaonywa lkn akusikia basi Mungu amejibu maombi ya mama huyu
@anithiajohn92094 ай бұрын
Wanawake pia wanachoka matukio ya kwenye ndoa uyo mam mme wake angekuwa na mapenzi ya dhat leo asingepata ata nguvu za kuongea tujitaid kuwa waamnifu
@summanelson55234 ай бұрын
Mama jasiri alienda bila kuogopa kuwa na yeye angeuawawa!!! Mama ana hekima sana sana!!!! Mwingine akiambia tu maneno angemvaa huyo mwanamke. Yeye kamuuliza tu kama ni kweli anatembea na mume wake!!! Mungu akutie nguvu mama na akuwezeshe kukabili haya maisha peke yako.
@neema_mollel4 ай бұрын
Pole mama ,umeshuhudia kifo kichungu cha mumeo😢😢😢
@halimasuddy92944 ай бұрын
Innallillah wainnalillah rajiun 😢 MUNGU TUPE MWISHO MWEMA
@hopesefue90684 ай бұрын
Yaani uwii nitembee na wauaji fimbo ,panga ,nilidhani huko mbele angekimbia maana kama si nae kuuwawa basi angebakwa ,huu ni ujasiri mkubwa aisee
@neema_mollel4 ай бұрын
Ila mama ana ujasiri😢😢😢😢wooiiyeee .mama pole tena
@user-bz7gk2pu4m4 ай бұрын
Mungu nilindie mume wangu
@Bmsecret4 ай бұрын
Mruhusu aoe mke mwingine akihatija usiwe na shida asije akatoka nje ya ndoa
@bintiwayesu22264 ай бұрын
@@Bmsecretsio kweli wapo wameoa wengi na bado vimada kibao nje, Mungu tu aturehemu basi
@Bmsecret4 ай бұрын
@@bintiwayesu2226 mruhusu mume aoe bila hivo Anna nusura utakuwa na mwenza tu
@bintiwayesu22264 ай бұрын
@@Bmsecret sio mm wa kumruhusu au kutomruhusu kiapo chake anakijua mwenyewe hiari yake kukiishi au kukivunja
@Bmsecret4 ай бұрын
@@bintiwayesu2226 uislam hauna Kiapo lazima ana nafasi tatu
@angellomarcel56774 ай бұрын
Mama Pole sana..But Mama mbona kama anaona Sawa kwa kilichotokea..hii ni kutokana na Kuchoshwa na Tabia za Mume
@alexvenas26994 ай бұрын
Huyo ni mama wa kiiraki huwa wanaujasiri sana
@sanoureyaliwadoakaroyo16964 ай бұрын
Watu Wengi Wanamuona Uyuu Maama Kma Ana Roho Ngumu Ila Watu Wanashindwa Kuelewa Kuwa Uyuu Mama Amepokea Kesi Ngapi Za Mumewe Kutokuwa Mwaminivu Kwenye Ndoa Yake Uwenda Uyuu Mama Alichoka KUchitiwa Ndio Maana Unamuona Kma Hana Majuto Kwenye Msiba Huu Wa Mumewe Kwa Kesi Ya Kijinga Kma Hiii Hili Hali Alisha Mkanya Mume Wake Juu Ya Mke wa Mtu Ila Mume Alijifanya Mwamba Mnataka Uyuu Mama Atoe Machozi Ama Alie Mbele Ya Camera Sasa Ata Akilia Mbele Ya Camera Machozi Yake Yatabadilisha Nn Ili hali Tayari Mumewe Ameuwawa
@ireneshao79504 ай бұрын
Point na moyo wa mwanamke ukichoka acha kabisa
@sixmundleonard21354 ай бұрын
Iyo ndyo dawa unajikuta mwamba kwa mke wa m2
@SefrozaMafuru4 ай бұрын
Kweli kabisa
@bintiwayesu22264 ай бұрын
kabisa huyu mama anampenda sana mume we ila anaonekana alivumilia sana kuchitiwa mpaka akasema bora liende too bad, dhambi ikikomaa huzaa mauti
@bahatishabani13924 ай бұрын
Hana roho ngumu ni jasiri tu
@aminaabdalla99494 ай бұрын
wee mungu wanguu mama pole unaujasiri sana wewe superhuman wewendioukonauchungu kuliko yule anaeliakwakelele wewe unalia ndaniyamoyo polesana
@user-vt4vd5rh8u4 ай бұрын
Mama una ujasiri Mungu akusaidie tuweni waaminifu kwenye ndoa zetu
@zuenajohn83254 ай бұрын
Mama alichoka Sana na tabia za mume.
@neema_mollel4 ай бұрын
Hii kalii na kuna anaewatch hapa na bado anakaa na mke wa mtu😂😂😂😂
@paskalinamassawe52834 ай бұрын
Jaman nawafahamu mbona aibu omg rip sadiki
@danieljoseph16104 ай бұрын
Huyo marehemu kifo alichokutana nacho ni halali yake! Mke wa mtu kutembea naye sio habari njema hata kwa mungu! Hata kama ulimpenda vipi mme wake akigundua akakufuata nakukuonya! Achana na mke wake na umwombe msamaha!
@husseinkonz51924 ай бұрын
Mke wa mtu sumu ndio hii sasa
@bahatielias64434 ай бұрын
Kabisa mwanangu, mke wa mtu mheshimu sana
@patrickrueben55853 ай бұрын
Tatizo ni kujifanya weye ni mtombaji mzuri kuliko mwnye mke, faide ndo hyo alioipata akati alishakuonya......
@jessicamwasandube9444 ай бұрын
Daah 😭😭amekufa Kwa maumivu makali mno,pole sana dada,mwisho wa dunia umefika jamani
@jenipherjackson38264 ай бұрын
sk zingine ndugu zangu watanzania ujasiri wa hivi tusije tukarudia kuufanya tena ujue ata uyu mama tungekua tunaomboleza misiba miwili sasa wangemuua je😮😳😳😳😳so sud
@user-xx8jx6tb7d4 ай бұрын
Ni kweli yaan alvyomuuliza una nifaham angesema tu ndio wangemuua ila yey alimjib hapana skufaham, daaa maskin
@jenipherjackson38264 ай бұрын
@@user-xx8jx6tb7d Hana uzalendo wa kitz uyu mumama🙄🥺🙌
@muddywatown4 ай бұрын
Yani huyu nae alikua anauwawa
@ubongosahihi3 ай бұрын
Ni kwa Neema tu za Mungu 😢😢
@jovanafidelis28023 ай бұрын
Alipaswa afatwe na watu nyuma yake
@user-fw8wm2xd8xАй бұрын
Mama pole sna mungu akulinde na akupe faraja
@khasianussamson62274 ай бұрын
Mama Mungu ampe nguvu katika kipindi iki kigumu
@fidelismwakanyamale67874 ай бұрын
Mama anaongea kwa ujasiri alicho nifuraisha ni kauli yake ya kuwa kilicho mpata yuko tayari kwa jambo lolote litakalo mpata mbele
@user-xm6je1jw9v3 ай бұрын
Mama anabusara za kutosha.pole mama
@ariphkimani37904 ай бұрын
Watu wa manyara na singinda wanajua sana pande za Dunia,mashariki,magharibi,kaskazini,kusini
@mohamedhamad23744 ай бұрын
😂😂😂
@humphreymwihambi43303 ай бұрын
Na wagogo pia. Ni hatari kwa kujua directions
@yukundapeter82004 ай бұрын
Rombo kijana mmoja alimwambia mke wake,mpigie hawara yako mwambie aje mimi cpo.Mke skafanya hivyo hawara akaja akaingia ndani akijua atajivinjari na mke wa mtu,hawara akashambuliwa na mapanga akafia palepale tena mbele ndani.Mnaitwa tu mnaenda km kuku.
@Sheba46514 ай бұрын
Kafanya vizuri shenz
@hasaniabdalah61484 ай бұрын
Da!! Mama mungu akuongoze na akupe faraja kwa kuwa wewe ni mama shujaa . Maisha yana mitihani mingi tunapaswa kujifunza mengi kutoka kwa maelezo ya mama huyu .😢 Ila nikirudi kwa walengwa wakuu wanaume hawa 2 . Muuliwa na na muuaji tukianza na muuliwa hayupo ila wawakilishi wake sikieni hili unapo tembea na mke wa mwenzio tambua maumivu mwenzio anayo pitia kwa kuonekana fala asie na lolote mbele ya jamii yake sishabikii jinai ila jiulize ingekuwa ni mkeo ungejisikiaje moyoni ?. 2 na huyu alie ua binafsi
@hasaniabdalah61484 ай бұрын
Na huyu Alie ua binafsi namhurumia kwa tendo ovu la kutokana hasira japo mke auma moyoni na utadhalaulika lakini heri maumivu ya kudhalilishwa usubirie hukumu ya Mungu kwa hyo mbaya wako kuliko kumhukumu wewe maana asaivi japo umeona umemalixa hasira yako lakini utaishi kwa majuto kuliko hata ungemwacha mke au ukamwachia Mungu akuhukumie jambo lako
@loner_wolf4 ай бұрын
Wewe mwandishi kiswahili shida , mama anasema tukio la kwanza lilikuwa linaonekana la kweli lkn serikali yakijiji hawakulitatuwa kwa haki , ndio maana likatokea hili la pili . according to nilivyomuelewa. Usikimbilie tu swali jingine ksbla haujaelewa jibu ulilopewa juu ya lakwanza.
@mjukuuhotelitv77364 ай бұрын
Mke wa mtu sumu hivi hamuelewagi nini
@stanleymhozi75904 ай бұрын
Pole my dunia inatisha sana sk hizi
@ShakiraAthumani3 ай бұрын
Pole,sana
@josephjohn21144 ай бұрын
Daa boda na na huyo mama hawakutumia mbinu za kivita kwenda eneo la tukio na wahalifu .....walienda bila tahadhari hata wao wangeweza kudhurika.
@trophywilson72114 ай бұрын
Imagjne na Mungu tu moyoni
@mwanaidimussa4 ай бұрын
Yaaan , mungu anawapenda
@aminathaabubakarmasoud5654 ай бұрын
Sana
@awadhrajabu14034 ай бұрын
Ujasiri Wake Umemuokoa Uyu Mama
@aminathaabubakarmasoud5654 ай бұрын
Sana
@Commentsplus4 ай бұрын
Wenyeviti walio wengi wanakula wake za watu. Kuua sio sawa ila maumivu ya kuchukuliwa mke sikia kwa magazeti tu........ Tupinge ukatili wa aina zote wakuana na kuchukuliana wake.. Pande zote Story zimeniumaaa
@user-mc8rz4yp4r4 ай бұрын
Hiyo ni wivu ya maendeleo, mpaka pikipiki,amemuonea baba wa watu, Kuna watu wako hivyo, Sasa ataishi Tena na huyo nwanamke, ni kwamba watafia jela,
@shukranitv29713 ай бұрын
Pole sna mama ww mhmm
@judithminja63863 ай бұрын
Aiseeeee😊
@user-bz7gk2pu4m4 ай бұрын
Mama ana ujasiri huyu duh jaman na alkuwa anampenda mme wake
@mwanaidimussa4 ай бұрын
Ampende nn , msaliti
@twiseghekisilu88454 ай бұрын
@@mwanaidimussamwanamke lakini huna akili Sasa usaliti ndo auawe!wewe umekamilika??
@lukomanomaliki54423 ай бұрын
Binadamu tuna mioyo ya ajabu sana.Kuna haja gani ya kumuua mwanaume mwenzako kwa sababu ya mwanamke aliyekubali kuvua chupi mwenyewe kwa hiari yake? Ukijua kuwa mtu anakuchapia bora kumuachia tu huyo mwanamke,ubaki na amani yako.
@paulmafuru72833 ай бұрын
Shida inakujaga mtu anakuchukulia mke alafu anakuonyeshea na dharau tena akiwa ana ka kitengo ndo kabisaaaa so watu tujifunze
@ritapiusnicolaus70684 ай бұрын
Pole sana mama
@frenkfarm11394 ай бұрын
huyuuu mama duuu inaonyesha anaroho ya kisasi ndani duuuuu huo ujasili unatoka wapi
@user-oq6hb9hh2b3 ай бұрын
Mimi naona tunako elekea watu wataheshimu mahusiano y wtu mimi nimeshuhudia mahusiano ukiambiwa acha mahusiano y mke wangu hebu wacha usiendelee kutembea na mke wa mtu jamani musikiage mtu akikuonyA acha kama umefanya kweli watu hawaogopi
@user-rw2mm1jk6o4 ай бұрын
Ila uyu mama anahatari je wangemzuru alafu kumbe ilikua usiku daah hao watu wa manyara noma sana
@Rachelnsanzu4 ай бұрын
Manyara napo jamani
@habisnasalum-nz4zo4 ай бұрын
Limwanaume lilikua halisikii likiulizwa linamuambia huyu mama ndio
@hadijauledi69954 ай бұрын
Ila ww mama unaroho ngumu daaah sasa huyo muuwaji angekugeukia na ww mmmmm😭😭
@GoodluckAmos4 ай бұрын
Mama amehojiwa hadi akajichanganya jmn et nina miaka 20 kwenye ndoa, mtoto wetu wa kwanza ana miaka 25.. Wewe mama ni jasiri, leo inatakiwa iwe siku yako special. Maneno ya hekima mno dah Ubarikiwe sana
@steveanthon55234 ай бұрын
Walizaa nje ya ndoa baadae wakafunga ndoa, hakujichanganya amesema ukweli wake
@jescajulius80233 ай бұрын
Cha ajabu kipi,alimzaa kabla ya ndoa yao
@furahasmart15164 ай бұрын
hv wanaume mnaumiga sanaaa mkifumania?mbona nyie mnachirt sanaa
@ScolaMasanja-fg7hi4 ай бұрын
mama mujasli sanaa n zaid yajeshi upewe ulinzi
@bintiwayesu22264 ай бұрын
sidhani km ni ujasiri tu ni pamoja na usugu wa machungu mengi, pamoja na yote haikufaa kumuua baba wa watu kakosa ndio lkn kuuawa ni ukatili mkubwa
@user-ky8zy5cv9c3 ай бұрын
Wanawake tutulie kwenye ndoa zetu jamani mwanaume bora umuibie pesa kuliko kuiba tamu yake uwiiiii tusifanye ivo jamani
@ntiliyothomas2253 ай бұрын
😂😂😂
@EddahBure-te7ft3 ай бұрын
Yani huyu mama anavyosimulia mm uku nasisimkwaa, haki me nisingeenda uo usiku anichinje na mm weeeh huku mama ni malaika sio binadam 😢
@nurdinsalum70414 ай бұрын
Mke wa mtu sumu ila hii imezidi 😢 pole sana.
@sergebaleke6954 ай бұрын
Sasa mwenye kiti tena kutongoza wake wa wutu? Rest in Peace mwenye kiti
@festusmakanja36454 ай бұрын
Lakin ukiwakuta makanisan,utafikili watakatifu wa Mungu,kumbe......????
@aminatanzanya74754 ай бұрын
Yaan umegong penyew Festusmakanja
@Commentsplus4 ай бұрын
Mama haliii mumewe kafa kwa sababu inaonekana alikua alishamchoka mumewe hata mission usikute na yeye yumo ................................................... . Hakupiga simu hata Police #Wazee wa #Cuba
@carolinemariki40293 ай бұрын
Mhh huyu mama ni kasoro sana Kwa kweli
@SGVBnewsSAMWEL4 ай бұрын
Huyu mama ni over smart sana abanwe vizuri
@dignakanje45084 ай бұрын
Jamani hio Tanzania imekidhiri mauaji yasiyonalazima.Yte hya nimapenzi uko tayari ukose amani ukose kuishi nawtoto wako yte ujinga nakujifanya hmjali Sheria hmjali kuwa Kuna Kuna maisha baada yhpo.Nivi nikitu Gani kikubwa kitakachokufanya umfanye binadamu mwenzio kma nyama.Embu uchukulie kwako.Unamuua binadu mwenzio kikatili hivyo.
@yama_virginhairthequeen10653 ай бұрын
Duh mama jasiri
@benjaminchakwe98153 ай бұрын
MUWAGE MNAACHA UMALAYA NA TAMAA
@elbaricktv16324 ай бұрын
Watu wa kanda ya kaskazin akiri hawana kabisa wanawake kuwen makin kuolewa na makabila ya manyara.😢arusha na Mara
@theresiachacha51804 ай бұрын
Eeh Mara Tena?😢
@tinaminja55004 ай бұрын
My dear dunia imeharibika Ni kumuomba tu mungu....
@elbaricktv16324 ай бұрын
@@theresiachacha5180 ndiyo Yan uko mara ni mapanga TU bira huruma hamna tofaut na Arusha na manyara
@musicheals15454 ай бұрын
kwa nn ukule wake za watu babuuuuuu
@SefrozaMafuru4 ай бұрын
Sasa Mara imekujaje hapa na wewe..hii ni mtu kabila lolote inaweza kumpata,kikubwa kaeni mbali na wake za watu..simple hamna kanda katika hili
@lukomanomaliki54423 ай бұрын
Huyu mama kwanini hakwenda hata na Maaskari au hata Wagambo?
@Leylah-pz5sc4 ай бұрын
Huyu mama alichoka sana na tabia chafu za mume wake
@Boniphaceshayo54 ай бұрын
Uyu mama alijiamini nini kwenda mwenye na niusiku itakua aliwatuma ndo wakamwita akatoe malipo itakua uyo mama anajua kila kitu mwanzo mwisho eti mzoga 😢
@ZubedaHussein-it7nf4 ай бұрын
Ata mm nmewaza km weww ushujaa wakwenda mwenyew Tena usiku ata asishirikishe jeshi la police uyu mama apana
@Boniphaceshayo54 ай бұрын
@@ZubedaHussein-it7nf kuna kitu ndani yake usikute na yeye aliusika kikamilifu
@amanimanase87984 ай бұрын
Duuh Mungu tusaidie na tuepushie majaribu kama haya
@mmarycalvin63953 ай бұрын
Maswali mengine hayana maana. Mtu Ana machungu una muuliza ataishije kweliiii hata msiba haujaishaaa ? Au ulikuwa umeishaaa ??? Mboreshe kidogo kuhoji.
@user-bg1uf8ws6p4 ай бұрын
Huyu mama kuna kitu anajua
@natafutamatatizo43824 ай бұрын
POLISI WA MAMA SAMIA OYEEE👀👀👀!
@judithminja63863 ай бұрын
Baba alikufa kwa maumivu makali sanaaa
@user-bz5ti6op6z4 ай бұрын
MUNGU tulinde Babayetu
@godlovemwakalinga3 ай бұрын
Wambulu ama wairaq wanaakili na ujasiri nyie msiwadharau wala kuwaita makaya ama kuwafanya chombo cha starehe mjini Mama hongera Kwa ujasiri na kauli zenye mashiko.
@annatemu44884 ай бұрын
Duuh ila mama kwanini uende mwenyewe jamani ? Au ndio kupagawa? Je ulimtaarifu hata jirani au ndugu yake yeyote?
@zuhurasaid4 ай бұрын
Atakuwa alishapokea kesi sana, huoni muuaji alimwambia njoo umuone mtu wako kama atakufaa umchukue? Kuna kitu kabla ya mauaji
@roswitaexavery33784 ай бұрын
Yaani namimi mwenyewe nashangaa unaongozanaje namauwaji halafu hustuki Mimi nahisi hata huyo mwanamke alifurahi mumwe kufanyia hivo au walishauriana yaani huyu mwanamke alishirikishwa katika haya matukio yote
@ShukuruHassani-mw3uo4 ай бұрын
Kweli kama aliweza kuja na boda alishindwaje kwenda kuchukua police
@mwanaidimussa4 ай бұрын
Siooo kweli, sema Hana elimu yakutoshaaa ndo maan hakuwa na hofu anaenda enda tu
@user-wd2bc7bf5x4 ай бұрын
😭😭aisee una roho ngum jamani uwii wew mama
@ElizabethWamcha4 ай бұрын
Simlaumu wanaume wanatutesa sana ndani ya ndoa so inapofika imetokea kama hili unaona kawaida tu
@sharkiiy2364 ай бұрын
Hiyo ni manyara watu ni wagumu
@darajalakidatukilomgi23624 ай бұрын
Muuaji ni mtu katili ndio maana hata Mke wake alikua anachepuka, ukafie jela na roho Lako la ukatili, na Mke wako ataolewa na mwanaume mwingine
@Mohaa43093 ай бұрын
Mke wa mtu sumu😢😢😢
@mosesmnyantope95344 ай бұрын
Duh
@fardoshnassor78474 ай бұрын
😢😢
@mropetv70344 ай бұрын
mama jasili ila aisee mke anauma weweee
@pendo80824 ай бұрын
😢😢😢
@olivernyange23494 ай бұрын
Eeh mama by professional we ni nesi au doctor?
@festokastory52824 ай бұрын
Mama yuku fiti sana duuh
@sadikingitu4 ай бұрын
Wajina mapenzi yamemuua 😢
@faridithomas48594 ай бұрын
Mama jasiri sana, kuna wanaume wengi hawawezi kufanya alichofanya huyu mams
@trophywilson72114 ай бұрын
Ni kweli lakin haijamsaidia chochote
@user-mn7zq7cd5t4 ай бұрын
Huyu mama ameumizwa sana hivyo hata uchungu sio sana
@mwitajoseph83153 ай бұрын
Duhhhhh kiuno kiuno kiuno
@AminaLibisa4 ай бұрын
Me namwangalia KZbin tu namuogopa uyu mama wallah maana mkavu aisee kweli uyo baba marehemu alikua anakaa na jarisi wa moyo wa mwanaume 😢😢😢
@trophywilson72114 ай бұрын
Alishamuumiza moyo baadaye ukafa ganzi
@AminaLibisa4 ай бұрын
@@trophywilson7211 so kweli Kwa uyo kama ayo mambo yalisha muumiza angesema hana subra kabisa ujasiri tu amejaghaliwa me siwezi ata kama iweje ni Bora niondoke kama ni ivyo ata kuua anaweza
@eggysulle79884 ай бұрын
@@trophywilson7211upo saii maana uyu aandka iv kama s mwanamke na mgen wa waune
Sio roho ngumu anafanyaje Sasa wakati jambo limeshatokea
@fejohjizzle6094 ай бұрын
@@taseleli9181 yaani namaanisha sio muoga usiku umeenda usiku kwenye hilo tukio bia uwoga
@ubongosahihi3 ай бұрын
Na huenda alisha zoea hizo tabia za Marehemu mume wake mmh pole dada kwa yote Mwenyezi Mungu Atuhurumie na atuweke mbali na Uzinzi 😢😢
@sofitanzanian9554 ай бұрын
Nahuyo mkewe atapona kweli
@Sumaiyafisoo4 ай бұрын
Inalilah wainaillah rajion 😭😭😭anaroho ngumu mme wake hata chozi
@anastaziamathias88614 ай бұрын
Aliye Kwa kipi? Mtu mzinifu kauwawa uzinzi na alimuombea mpaka msamaha na amemshuhudia hajafa mpaka amefariki kamfunika mwenyewe ulitaka aangue kilio mda huu? Hebu muacheni
@Mary-fs4mc4 ай бұрын
Yaani kuna watu kazi yenu kujaji watu, mtu akifiwa asipolia basi inakuwa shida, kuna wengine wanalia lakini sio kama wanauchugu na huo msiba wanalia nayao wanayopitia au walishayapitia na wengine hulia kwakuigiza tu ili waonekane wamelia. Ila huyu mama anachpoitia yeye ndiye anayejua na Mungu pekee usimuone hivyo ndugu.
@user-wd7ji6mn5b4 ай бұрын
Tsjiri wimbo
@judithjulius59934 ай бұрын
Hila mama pia ulikuwa umeshachoka na matendo ya mmeo,sababu ungeitwa ungeenda na polis,basi ulikuwa tayari umechoka na matendo ya mmeo
@danielpeter80854 ай бұрын
Uyu mama mshamba sana!! Asa kwann kabla ya kwenda angepiga yowe aende na vijana!!! Amezingua uyuuuu
@josephlorri4314 ай бұрын
Mshamba ni wewe, hivi angejuaje kwamba angekuta mazingira hayo? Hayajakukuta, hiyo hali ni ngumu mnoo. Huyo mama bado hajaelewa kilichotokea,maumivu atayapata baadaye
@bahatielias64434 ай бұрын
Usizin wewe harafu alaumiwe mkeo jinga kabisa, mjiepushe na wake za watu
@najmasalim-rg6ow4 ай бұрын
Bodaboda nao wanamoyo,nahuyu mama ni jasir wallahi kwann asingeenda na Askar kaaah!
@user-gy8no9js2u4 ай бұрын
Nashangaa ameendaje bila askarii
@mwanaidimussa4 ай бұрын
Elimu nimhimu, yy kaitwa kaenda akijua wanaenda zungumza
@user-sp1jz5pz1r3 ай бұрын
Kwanza huna roho ngumu sana ww mama kumbe taarifa ulikuwa nayo kwann usitoi taarifa kituo cha police kabla ujaenda uko daaaaah😢