waalaykum salaam warahmatullah wabarakaatuh maa shaa Allah, mambo mazuri Allah awabarik wahudumiaji wa bembea hizo na awape nguvu na uwezo wa kuziendeleza na kuimarisha...pia ni vyema mlivyofanya na bei nafuu, coz wenye hali za chini ni wengi pia, alhamdulillah watoto watazidi kufurahia...furaha ya watoto ni neema ya wazee...tufurahini kwa furaha imridhishayo Allah, thanks
@mubarakakilango37086 жыл бұрын
mashallah
@Fetty-r4o6 жыл бұрын
Elfu moja kupanda pembea hata kumi kwa wakati mmoja! basi afadhali saana maa shaa Allah tabaarak Allah 🤲🏾 alhamdulillah
@aishasamora9075 жыл бұрын
Mashallah
@jumamohamed4808 Жыл бұрын
Mashaallah mashaallah
@ahmedyoung73006 жыл бұрын
Maa shaa Allah mtangazaji
@khadijahamed76166 жыл бұрын
Ma shaa Allah Ma shaa Allah
@hafizabubakar28405 жыл бұрын
Mtangazaji una saut nzuri masha allah utafikir umeiseti!!!
@fatmasaid58646 жыл бұрын
Mashallah znz inaendelea lakini pba maskini iko nyuma daima na nyie mlio na nafasi nendeni mkajenge pemba
@twilindeissatwilinde34346 жыл бұрын
Yani watu wenye asili ya Pemba niwengi sana na wanauwezo mkubwa sana lakini humpukuti mpemba anajenga kwao utasikiya ananyumba kumi dar na nyumba kumi unguja lakini Pemba mamaake analala kwenye kijumba cha udongo ndiyo maisha yaliyoko Pemba
@AA-no6kz5 жыл бұрын
Ipo nyuma kimaendeleo ya dunia lkn ipo mbele kimaadili. Allah atulindie Pemba yetu, hao viongozi madhwaalim wabaki Unguja kuendeleza ukame. mana viongozi wana chuki zao binafsi ndo mana pemba hawaishughulikii, wala hawaruhusu wenye nia nzuri waiimarishe. Ila kila lituepukalo lina kheri na sisi.
@AA-no6kz5 жыл бұрын
Swadakta, mana Unguja wameshaliua wkt znz ni yetu sote
@faizasaid82625 жыл бұрын
Fatma Said mbona iko vizuri tu ya pemba
@fatmasaid58646 жыл бұрын
Nimekusudia Unguja kukosea binadamu nilazima hakuna mkamilifu ila Allah peke yake
@AA-no6kz5 жыл бұрын
Sio kosa lako dada ni hawa viongozi wetu uchwara, mana hata ukienda bara Unguja haijulikani, Ni znz na pemba...duh