MUONEKANO MPYA WA KARIAKOO ZANZIBAR

  Рет қаралды 10,862

AL FATAH TV ONLINE

AL FATAH TV ONLINE

6 жыл бұрын

Пікірлер: 15
@Fetty-r4o
@Fetty-r4o 6 жыл бұрын
waalaykum salaam warahmatullah wabarakaatuh maa shaa Allah, mambo mazuri Allah awabarik wahudumiaji wa bembea hizo na awape nguvu na uwezo wa kuziendeleza na kuimarisha...pia ni vyema mlivyofanya na bei nafuu, coz wenye hali za chini ni wengi pia, alhamdulillah watoto watazidi kufurahia...furaha ya watoto ni neema ya wazee...tufurahini kwa furaha imridhishayo Allah, thanks
@mubarakakilango3708
@mubarakakilango3708 6 жыл бұрын
mashallah
@Fetty-r4o
@Fetty-r4o 6 жыл бұрын
Elfu moja kupanda pembea hata kumi kwa wakati mmoja! basi afadhali saana maa shaa Allah tabaarak Allah 🤲🏾 alhamdulillah
@aishasamora907
@aishasamora907 5 жыл бұрын
Mashallah
@jumamohamed4808
@jumamohamed4808 Жыл бұрын
Mashaallah mashaallah
@ahmedyoung7300
@ahmedyoung7300 6 жыл бұрын
Maa shaa Allah mtangazaji
@khadijahamed7616
@khadijahamed7616 6 жыл бұрын
Ma shaa Allah Ma shaa Allah
@hafizabubakar2840
@hafizabubakar2840 5 жыл бұрын
Mtangazaji una saut nzuri masha allah utafikir umeiseti!!!
@fatmasaid5864
@fatmasaid5864 6 жыл бұрын
Mashallah znz inaendelea lakini pba maskini iko nyuma daima na nyie mlio na nafasi nendeni mkajenge pemba
@twilindeissatwilinde3434
@twilindeissatwilinde3434 6 жыл бұрын
Yani watu wenye asili ya Pemba niwengi sana na wanauwezo mkubwa sana lakini humpukuti mpemba anajenga kwao utasikiya ananyumba kumi dar na nyumba kumi unguja lakini Pemba mamaake analala kwenye kijumba cha udongo ndiyo maisha yaliyoko Pemba
@AA-no6kz
@AA-no6kz 5 жыл бұрын
Ipo nyuma kimaendeleo ya dunia lkn ipo mbele kimaadili. Allah atulindie Pemba yetu, hao viongozi madhwaalim wabaki Unguja kuendeleza ukame. mana viongozi wana chuki zao binafsi ndo mana pemba hawaishughulikii, wala hawaruhusu wenye nia nzuri waiimarishe. Ila kila lituepukalo lina kheri na sisi.
@AA-no6kz
@AA-no6kz 5 жыл бұрын
Swadakta, mana Unguja wameshaliua wkt znz ni yetu sote
@faizasaid8262
@faizasaid8262 5 жыл бұрын
Fatma Said mbona iko vizuri tu ya pemba
@fatmasaid5864
@fatmasaid5864 6 жыл бұрын
Nimekusudia Unguja kukosea binadamu nilazima hakuna mkamilifu ila Allah peke yake
@AA-no6kz
@AA-no6kz 5 жыл бұрын
Sio kosa lako dada ni hawa viongozi wetu uchwara, mana hata ukienda bara Unguja haijulikani, Ni znz na pemba...duh
ROBOT AZUA TAHARUKI MJI MKONGWE ZANZIBAR
7:47
AL FATAH TV ONLINE
Рет қаралды 11 М.
VIWANJA VYA SIKUKUU VYAFURIKA ZANZIBAR
3:08
AL FATAH TV ONLINE
Рет қаралды 2,2 М.
MISS CIRCLE STUDENTS BULLY ME!
00:12
Andreas Eskander
Рет қаралды 20 МЛН
Jumping off balcony pulls her tooth! 🫣🦷
01:00
Justin Flom
Рет қаралды 26 МЛН
Kariakoo - Zanzibar
7:25
travelicious255
Рет қаралды 1,6 М.
Makame nuhusi na Kisakasaka mpya
4:40
Safari Onlinetv
Рет қаралды 5 М.
RELI NA MATUKIO | NDANI YA ZANZIBAR ILIKOZALIWA RELI YA TZ
26:28
FUMBA TOWN ZANZIBAR | MJI MPYA WA KISASA |
5:28
Spesho Kabwanga Online
Рет қаралды 55 М.
JESHI LA POLISI ZANZIBAR KUINGIA MITAANI
5:59
AL FATAH TV ONLINE
Рет қаралды 3,7 М.
MISS CIRCLE STUDENTS BULLY ME!
00:12
Andreas Eskander
Рет қаралды 20 МЛН