Mahakama Kuu ya Tanzania, imemuamuru Mmiliki wa Gazeti la Tanzanite, Cyprian Musiba kumlipa Aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Nje, Bernard Membe kiasi cha Sh.Bilioni 6 kama fidia ya kumchafua kupitia vyombo vyake vya habari.
Пікірлер: 465
@munaahmed8499 Жыл бұрын
Wangapi tunatizam clip zake baada ya kusikia kifo chake?
@sagandamalechampullo6592 жыл бұрын
HALELUYA, THIS IS NEW TZ
@aminatanzanya74752 жыл бұрын
Haleluya kweli aisee
@christophertarimo50472 жыл бұрын
Huyo ndio MZEE BENARD KAMILIUS MEMBE THE BOSS
@ramadhanmwandambotuntufye59722 жыл бұрын
Safi Sana mh. Membe jasusi mbobezi hii iwe ni fundusho kwa mataga wengine.
@margarethpolepole74382 жыл бұрын
Yeye hela alizopewa na gaddafi amejengea misikiti hujui kitu musiba yuko poa kabisa kila jambo linapangwa na mungu
@sir_ENOCKMACHA Жыл бұрын
Mzee membe nakukubali sana
@saidsalum61012 жыл бұрын
Safi sana membe huyu musiba anajionaga yeye ndiye anayajua maovu yakila mtu anaaibisha watu kwenye vyombo vyahabari sana safi membe umemfunga mdomo
@jacoblukumay4722 жыл бұрын
Kila unachokifanya kwenye hii dunia lazma ujue kuna maisha mengine kesho usiangalie una defence ya aina gani .Pole Musiba unavuna ulichokipanda
@ndogoroedson199 Жыл бұрын
Kalale salama! Maana rushwa imeifikisha hapo ilipofikia kesi hiyo kwa Sasa Mungu ameamua na bahari imetulià bado walioshiriki kuifanya hiyo kazi! Uliitafuta haki kwa rushwa Sasa Mungu ameamua na hukufanya kazi kwa uaminifu ni mafisadi mmewafanya watz kuwa masikini! Rushwa mbaya Sana
@imanimussalacky3078 Жыл бұрын
Kifo sio adhabu ni njia ya kila mwanadamu
@rachidkidugo11272 жыл бұрын
Msiba hakuna Kutoa Hera yoyote
@dicksonkilupa68812 жыл бұрын
Akate rufaa la sivyo watakamata mali zake kwa kushindwa kumlipa Bernad Membe. MUSIBA ULIJUA KUMSEMEA ! !
@johnmwasilu70872 жыл бұрын
@@dicksonkilupa6881 anaweza pia kwenda jela akishindwa kulipa
@ramathedon40012 жыл бұрын
@@johnmwasilu7087 hatake asitake atalipa
@thomasgege10092 жыл бұрын
Hongera Membe haka ka cypirian kilikuwa kinajifunia kweli, amepatikana ss amejifunza
@kingbuddah63722 жыл бұрын
MAHAKAMA GANI HIYO KUNA MAHAKAMA WEZI WATUPU
@j.c.maxima8162 жыл бұрын
Sisi tunaheshimu Institutions zetu...
@wendinkomba20832 жыл бұрын
Wezi tu hao hakuna mahakama
@AhmedAli-gh1lm2 жыл бұрын
Tulipokuwa tukisema Mahakama za Tanzania ni soko la kuuza na kunua haki mkatukejeli. Sasa yamewakuta na nyie. Tuungane tudai katiba mpya ije kurekebisha uchafu huu.
@ekisuka1 Жыл бұрын
Nashauri kwa pigo hili familia ya marehemu Membe iachane na hili, ifute hili deni,
@ramseyhusseinkhamis82582 жыл бұрын
Huyu membe si mtu mzuri hata kidogo nawala siwezi mtu kama huyu
@Papaahansmo2 жыл бұрын
Pole sana msiba ulijiona MUNGU m2😭😭😭😭
@witneskilinda50342 жыл бұрын
ngoja aisome no!!!
@bernardinaa75652 жыл бұрын
Dawa ni moja, ccm toka madarakani
@privamushi2512 Жыл бұрын
Duh kifo bwana kina Siri kubwa sna Leo hii n marejem jamn pumzika kwa amani Mzee wetu
@florameza95292 жыл бұрын
Mbona hukufungua enzi za Mwamba ni wakati wenu mafisadi kujidai
@mtumishimathias77622 жыл бұрын
Ni mda weo sasa hivi tutakoma
@florameza95292 жыл бұрын
@@mtumishimathias7762 umeonaa kaishiwa anafikiri ndo hela ya kampein kapata maana alisema atakuwa manager wa samia
@waytvtz25492 жыл бұрын
Lakin dada ata wewe ukifunguliwa kesi kuthibitsha ufisadi wa membe utaweza au unaropoka tu kila binadamu anapaswa kuheshimiwa utu wake si unarukia tu kumtukana mtu kashifa mbona yeye mwendazake hakutaka kukashifiwa ulikuwa ukijaribu utaona
@florameza95292 жыл бұрын
@@waytvtz2549 jibu unalo
@mbwanarajab47562 жыл бұрын
Hakuna Mwamba mbele ya Mungu.. Mwamba ni Mungu peke yake na ndiyo maana kamtoa roho yake na sasa yupo nae sambamba kumlipa yale yote aliyoyafanya
@medicalamon908 Жыл бұрын
Hakuna atakae ishi milele duniani, Hata kama Marehemu alikuwa na makosa au ni mwema tunapaswa kujua kuwa kila mtu atapita njia hii, Tutumie maneno yenye staha.Huu ni msiba RIP Bernad Membe
@aduanobella46712 жыл бұрын
Wewe ni mwizi tu
@malopemaliyamungu52432 жыл бұрын
Kelele zote za Musiba hakuwa na ushahidi... Waliomtuma nao hawakuweza kumpenyezea nyaraka hata moja.. ili athibitishe wizi wa Membe, Je wewe wa mitandaoni hujioni Kama Ni debe tupu?
@rashdiyange77582 жыл бұрын
Kuma mako mwiz mwenywe malaaya www
@dorahy15792 жыл бұрын
Wacha kudanganya watu. Kuna watu wenye kesi za haki wala hazsikilizwi
@RamazaniMulongeca2 жыл бұрын
Kama kesi yanani sister? Tunaitaji haki Sawa kwa wote...🤷♂️🤷♂️
@dorahy15792 жыл бұрын
@@RamazaniMulongeca kuna kesi nyingi nyingi u wala hazisikilizwi hata wewe unajua. Unajua huyu mzembe ni nani, na ndiyo maana kesi yake imedikilizwa harska harska na hukumu kutolea haraka haraka . Kuna watu wanalilis gaki, wamefukzwa su kusimsmidhwa maxi bila makosawana familia zao wanateseka, West wako jells kwa kuongea makesi ya uongo ns unajua sasa huyu membe aliyeficha pesa Dubai clip zipo unasema haya mambo unaona kwa social media usijufanye hujui. Watu wenye haki hawajasikilizwa Aisha jaji hayupo au kesi zinahahirishwa kila zikifika kotini. Ndugu unajua kwa nini jedi nimesikiliza na kuwmiliwa. Wewe ni wa hii nchi unajua kila kitu
@dorahy15792 жыл бұрын
Halafu kiisha malipo gani hayo ya kuchafuliwa jina ya $ 4 million. Hiyo pesa watakula na huyo jaji? Yaani ni uongo uongo wa hukumu wakati watu wanafia magerezani kwa kuongea nils hatiya. Hivi vitu mnsbijua lakini mnavumbia macho, mnaziba masikio, watu wamesimamishwa makaziwe bila hatiya, kedi hazisikilizwi, watu wanateseka na familia zao, nyiye watu, siku ya kihama mtasutwa mapesa mtaiacha duniani. Madegree ya ujaji mtaacha yanabembea ukutani mtakutana na shetani anawanhija ba mapesa mumeacha Banks
@yohanaleopoldleopold25722 жыл бұрын
Musiba koma
@tedymwandara54802 жыл бұрын
Yani mafisadi wote wanarudisha pesa zao, walikua kimya sasa mwenzao kaingia, fungulia goli hii
@aishaalbalushaishabalush82912 жыл бұрын
kabsa yaani ni eid ya mafisad
@umojawawatanzania38132 жыл бұрын
Duh!
@amosmahona433 Жыл бұрын
Aise!
@f.a60432 жыл бұрын
Haya Musiba mwenyewe yuko wapi na yeye ajibu mashambulizi aisee hii Dunia 🌍 ni ya MUNGU MWENYEWE sio watu kweli sisi Wanadamu tunapita tu tukaeni kwa amani na upendo ndio dawa ya kushinda chuki na vinyongo na hasira na mambo mengine mabaya kama hayo!
@gracegrace62002 жыл бұрын
Hii hukumu sio ya Musiba pekee. Pengine wewe ni tajiri. Hii hukumu ni ya Watanzania masikini ambawo ndiyo wengi, wamezibwa midomo. Jaji ana akiri zake timamu kutowa hukumu kama hiyo? Ni nani ana mabilioni kama sio watu kama wakina Rugemalila, Manji. Seith, na viongozi wengi serikalini waliyojitajirisha kwa mali za Watanzania na kusababisha wamachinga wengi mitaani na Panya road, ambao kwa sasa wako huru. VIONGOZI WA NCHI HII ONENI AIBU. Mengi yamesababishwa na uongozi mbaya. Hamutaki tuseme, tukisema Wanasema tuwalipe mabilioni.
@gracegrace62002 жыл бұрын
HATA MEMBE ATAPITA. TENA ATAPITA BILA YA BILIONI ALIZOFANIKIWA KWA HUKUMU ISIYOKUWA YA HAKI. NANI HAJUWI MEMBE ALITAKA KUUNUNUWA URAIS NA KUSHIKWA NA MAMILIONI DODOMA. THE CORRUPT ARE BACK IN FULL SWINGS.
@abdilnas7563 Жыл бұрын
@@gracegrace6200 seems like you knew this beforehand 😶
@hatibuyusufu46682 жыл бұрын
Musiba ukichangiwa na Wazalendo 2000000 ni sawa shilingi 3000 tu ushalipa iyo pesa hivyo omba msaada usaiidiwe toa namba ya acaunt Ili umlipe huyu Kamanda wa siasa Mzee Membe na pia ikiwezekana muombe radhi huyu Kamanda,kukosa ndio ubinaadamu usione tabu kufanya hivyo maisha yanapita tu haya
@josphjosphmsigwa5752 жыл бұрын
Poleniii sanaaaa
@pilgrimonanarrowway20342 жыл бұрын
Eenh safi. Upholding the rule of law!
@justinekamala97032 жыл бұрын
Nimefurahi sn kwa Mahakama kutenda haki, Musiba alijiifanya Mungu mtu hapa Tanzania binafsi Nilimchukia sn Musiba, Sasa alete kiburi chake tuone
@ummimustafa53302 жыл бұрын
Point of corrections! Wewe ndio unamchukia, sio WATANZANIA!!!
@samsonmagesa39592 жыл бұрын
Musiba Alijiona sana Halijua siku zote Mh atakuwepo tu haya Sasa matokeo yake ndiyo hayo
@mbwanamungia9921 Жыл бұрын
Musiba kaponzwa na kukosa akili na wajinga wenzie walikuwa wanamshangilia. Alikuwa keshapotea akaongeza speed wajinga walipo mshangilia ndio kabisaa akapamba moto
@djmeza411a582 жыл бұрын
Wewe tokahapa mgiga acha kelele
@whatisthetruth.87932 жыл бұрын
Mafisadi tuu hawa wanadhani watu wajinga
@mtangag7742 жыл бұрын
kiukwel bwan TANZANIA TUMEPIGWA TYU HAPA NI MAONI YANGU MIMI
@josephgomalo412 жыл бұрын
Uko right. Biden aliiba uchaguzi 2020 kukwepa kifungo kutokana na scandals zake na mwanaye .. membe anatumia mahakama za walarushwa kunyamazisha wasema ukweli kuficha ukweli juu ya wizi na ufisadi dhidi ya Watanzania!
@khamisjuma85012 жыл бұрын
Good job membe
@iuem57922 жыл бұрын
Ndugu zangu,Mungu pekee ndie akiwa nyuma yako unaweza kuwa na uhakika wa maisha yako.Kamwe usinyanyase watu kwa maneno au kwa vitendo kwasababu kuna mwandamu anakupa kiburi wanadamu wanaondoka na utajuta.Farao aliondoka na kiburi chake,nani ambae hataondoka!!!.Jifunzeni kitu.Huyu baba ameongea kwa hisia sana.
@ndogoroedson199 Жыл бұрын
Hisia gani Sasa? Alichokuwa anaongea musiba alikuwa kweli Kwan sauti zao hazikuvuja? Acheni uhuni Mungu anahukumu yske
@marianmartin74832 жыл бұрын
Maskini hawezi kushinda kesi, na atahangaishwa sana. Hata kama inaukweli ndani yake. RIP JPM
@Prince0fald2 жыл бұрын
very good desicion
@aduanobella46712 жыл бұрын
Kata rufaa
@josphjosphmsigwa5752 жыл бұрын
Joseph
@jamesshao5382 жыл бұрын
Daaah baada ya mwendazake kuondoka imekuwa shida
@deusrobert13432 жыл бұрын
Tanzania hatuta fika kwahali hii mafisa ndio Wanaludi ivo utawajuatu najaji pia yumo sio kwa kuraisisha uko billion 6 mchezo et
@mbwanarajab47562 жыл бұрын
@@deusrobert1343 Watanzania walikua gizani mno na matukio mengi mabaya yalikua yakifichwa huku watu wakiumia
@dianajohn34932 жыл бұрын
@@mbwanarajab4756 nyoko
@evancemwita33252 жыл бұрын
Tutayaona meng sn mwak huu
@mbwanarajab47562 жыл бұрын
@@dianajohn3493 Hiyo ndio akili yako sikulaumu, ni matokeo ya malezi uliyopewa
@malelabmalela50162 жыл бұрын
JAMAN
@revocatusmashimba13472 жыл бұрын
Helaza Gadafi mabilion uliyopitanayo yamekushindsha kes et daa
@herbertsamweli8592 жыл бұрын
MLIMTUKANA MAGUFULI HAMKUFANYWA CHOCHOTE LEO HII MAJAJIJI WANAWAONEA WATU WADOGO
@whatisthetruth.87932 жыл бұрын
Kweli kabisa
@wilsonmikate75702 жыл бұрын
Acha ushamba msiba alipokuwa ana tukana watu ww ulifrahi malip ni hapa hapa
@whatisthetruth.87932 жыл бұрын
@@wilsonmikate7570 anasema hivyo labda waliosemwa na Musiba walikuwemo wazee wako ambao ni mafisadi , pia serekali ya samia ni ya kifiaadi tuu , taifa linarejeshwa nyuma . Miaka 60 ya uhuru bado watoto wa kitanzania wanasoma chini ya miti , na wala taifa halijijui , tupo kuomba misaada .
@salumumakombo91362 жыл бұрын
@@wilsonmikate7570 we ni mrundi
@emmanuelgwaay47732 жыл бұрын
@@whatisthetruth.8793 Acha ujinga kumtaja Rais wetu! Jiheshimu tafadhali
@damaspmtz10182 жыл бұрын
Mbona akuna anaedumu katika Dunia hii Wala halitusikitishi hilo lakini macho yanaona
@richardmembe29342 жыл бұрын
That's the spirit dad
@egidiusthadeo55732 жыл бұрын
Kwenye hizo pesa usisaau kulipa kodi
@waukweelinikkon65552 жыл бұрын
Yule musiba yule ,mpuuzi sana
@cottamanywele92792 жыл бұрын
Hongera jaji kwa kutoa hukumu ilio safi maana huyo musiba almchafua sana mzee muass wa chama tawala berdad camilios membe. Musiba ni jeuri kawatukana sana waass wa nchi hii.
@abdallahrunwa18862 жыл бұрын
Cota manywele hayo sasa sii mapenzi bali ni kufuru ya hali utasababisha hata bubu aongee waasisi wa nchi inamaana membe na wenzake ndiyo wameiasisi hayo ni matusi makubwa kwa watanzania ni lipi tutalomkumbuka membe kwa nchi hii huenda ndugu unafukuzia kaaslimia ka hizo bilioni huwo ndiyo kwa watu wanaojua haki hawawezi kufagilia uozo huu unaofanyiwa watanzania wenye mamlaka kukumbatia dhuruma Mwenda Zake alisha tufumbuwa macho nyie endeleeni tu Mungu Anawaona....!
@latifabashiru55982 жыл бұрын
Kwan ww membe utaishi milele, sote tunapita apa acha kuleta dharau kwa mtu alietangulia mbele za haki, kama mlikua wezi msiambiwe maamae zenu. we mwizi tu, yan nchi ishakua yawapiga dili then utashangaa raia humu ndan wanasapot mafisadi, Saiv ikulu imekua kama pahala pawalanguzi tu
@minskbelarus72552 жыл бұрын
Una uhakika na unachokizungumza??
@salumumakombo91362 жыл бұрын
@@minskbelarus7255 endelea kulala
@KADALAtv2552 жыл бұрын
Mmmmmh Mungu MTU! Hatutamuona Tena huko aliko? Musiba popote ulipo akupe pesa zako. Huyo Mungu MTU NI Nani ? Hatutamuona Tena umempeleka wapi? Mmmmmmmh God have mercy
@hannajoseph6452 жыл бұрын
Mungu nimkubwaa hapendi kujiinua Mungu niwahaki.
@mashirimathias60062 жыл бұрын
Kuangalia na kusikiliza ujinga wa watu Kama hawa ni aibu na ni ajabu Kweli Kweli hamjajua tu kinachoendelea naomba watz wenzangu tuamke usngzn kwa utaratibu huu naona dalili ya chuki binafsi na kutaka kujiosha kwa watu tusipoangalia hii itaitafuna Taifa.
@nyaganyaga38762 жыл бұрын
Chuki binafsi kati ya nani na nani? Na inatutafuna vipi upuuzi wa mtu mmoja kutafuta Fame ndio ugarimu watanzani. Upuuzi
@abdalahmaganga81832 жыл бұрын
Kweli hii nchi machizi wapo wengi hivi huyo musiba kama alikuwa hatumwi kuchafua watu kwa nini asiwapeleke mahakamani kudai hicho alichokuwa anatudanganya
@aduanobella46712 жыл бұрын
Huyo jaji mwenyewe ajichimbie kaburi lake.
@malopemaliyamungu52432 жыл бұрын
Hujui Sheria kaa kimya.. comments zako zitakuponza. Unadhani bahati mbaya imetokea kwa Jaji utabaki salama?
@f.a60432 жыл бұрын
@@malopemaliyamungu5243 kweli inaonekana haelewi sheria inabidi aelimishwe taratibu
@khamisjuma85012 жыл бұрын
@@malopemaliyamungu5243 hahahaha msiba.kwesha
@josephgomalo412 жыл бұрын
@@khamisjuma8501 mafisadi mmeshinda au sio?
@khamisjuma85012 жыл бұрын
@@josephgomalo41 no more makufuli pay price musiba
@saeedally2682 жыл бұрын
Mafisadi oyee wakati wa mwamba jpm yalikuwa kimya
@awadhally10522 жыл бұрын
Kwel kabisa walikuwa kimy sana hawa sshv wamerud kwa kasi
@kabojamaluku78942 жыл бұрын
Mafissd oyeeeeeeee
@avitusmichael52 жыл бұрын
Oyeeeeeeeee
@aishaalbalushaishabalush82912 жыл бұрын
oyeeee
@Nyamisango2 жыл бұрын
Kila kitu msiba alikisema kuhusu membe kimetokea na wengi wamesibitisha ni kweli. Siiamerudi ccm kama msiba alivyo sema…
@zulfaissa78142 жыл бұрын
Ushakwisha kamaumeanza kuomba pesa wakati upuuzi wako ulioneka dhwahili hiyo pesa utapewa lakin kamahujaacha unafiki radhima uambiwe hujatukanwa ilaumeambiwa
Safi sana musiba musiba upo wapi leo wewe lipaaaaaaa nyambavu ulijiona upo juu ya sheria musiba eeeh
@revocatusmashimba13472 жыл бұрын
Pumbavu
@editrudesmbonde90512 жыл бұрын
Tena Musiba afilisiwe hadi bucta yake,maana amedhalilisha wengi. Iwe fundisho kwa wengine wenye tabia hiyo hapa nchini kwetu. Bravo Membe💪👍
@happymakoye23292 жыл бұрын
Msema Ukweli JPM amekwenda. Sasa wasema ukweli wote mtahukumiwa. Lkn .MUNGU YUPO HAKIMU WA KWELI.
@athumanirugami42302 жыл бұрын
Moyo kichaka.
@j.c.maxima8162 жыл бұрын
Msenge huyo...
@jacksonmars78942 жыл бұрын
Wewe naye kakojoe ulale uzee wako unaenda vibaya
@zakariampompo953 Жыл бұрын
Inasikitisha
@ancyb65072 жыл бұрын
Freedom of speech! Ukiwa na data na justifiable facts just bring them on the table. Ila usikurupuke kureporti vitu huna uhakika au unashinikizwa au kulipa kuchafua watu, be it waziri or mpiga debe. Ila kusema hakuna kuwasema viongozi wa serikali present, past, dead or alive ni kuwanyima watu uhuru wa mawazo. While no one is above the law, but also no one is too special eti asisemwe. Yesu Alisemwa na kushitakiwa kwa uzushi bila hatia yeyote. Kama kiongozi hataki kusemwa kwa mabaya basi awe makini akiwa uongozini kuhakikisha hafanyi Madudu na kutegemea hatasemwa kisa kiongozi wa serikali. Truth hearts, lie is devilish.
@stellakaluwa36472 жыл бұрын
Ongea kama wewe membe mara mliitumki nchi kwa waaminifu watazania sio wajinga wewe chukua chako nenda maraviongozi wastaafu inahusu na wewe huraishi milele usiwasemee
@ahmedalbalooshi8518 Жыл бұрын
Membe hajasema viongozi,iwe wa zamani au wa sasa,wasisemwe.Linalotakiwa ukimshtumu mwananchi na kumchafua bila ya ushahidi wa kutosha basi utakuwa umevunja hio "freedom of speech"
@user-uy2dk2yv2c Жыл бұрын
Rubbish
@dawaphilipo76002 жыл бұрын
Bilioni 6 ha
@ngelelapeter99842 жыл бұрын
Hiyo ndio zawadi kwa Msiba alijifanya msemaji wa Ikulu, ndo maana Bibilia akaandikwa amelaniwa yeye amtegemeae mwanadamu, msaada wa mwanadam unamwisho. Liwe fundisho kwa watu wengine.
@salumumakombo91362 жыл бұрын
woga wako umasikini wako
@ummimustafa53302 жыл бұрын
I cannot imagine Tanzania has started recruiting sectarians.
@kingbuddah63722 жыл бұрын
WALIOUSIKA KUWIBA MALI.ZA WAMACHINGA NA WALIOVUNJA VIBANDA VYA WANYONGE TUWAFIKISHE MAHAKAMANI WAWALIPE WANYONGE
@aishaalbalushaishabalush82912 жыл бұрын
kabsa
@hajjiomary23832 жыл бұрын
Akuna kibanda wanazuhia njia tu kariakoo
@jacksonamos20082 жыл бұрын
Watu wanaomba hela zao na Mimi sijui nmwombe Nani jamani
@kingbuddah63722 жыл бұрын
Wewe mbona umeiba pessa za gadafi rudisha
@ziadasadiki81962 жыл бұрын
Atadaiwa na Gaddafi
@kingbuddah63722 жыл бұрын
Shemeji yake kikwete Asishinde kesi rais mpezi wao wa zamani
@hatibuyusufu46682 жыл бұрын
Na wewe chunga kalamu Yako ukiambiwa uthibitishe unaweza thibitisha hayo
@rachelbahahazo63622 жыл бұрын
Hahahahh haloooo
@rashidmohammed48872 жыл бұрын
Safi sana mahakama. Alipe hizo pesa tu atajua mwenyewe atapata wapi
@hashamadewa64512 жыл бұрын
Aliesema kesi ina miaka 2. Wakati ule tulidanganywa nchi ina uchumi wakati haina hata kiwanda Cha kutengeneza bodaboda
@hashamadewa64512 жыл бұрын
Aliesema kesi ina miaka 2. Wakati ule tulidanganywa nchi ina uchumi wakati haina hata kiwanda Cha kutengeneza bodaboda
@nestoemanuel17682 жыл бұрын
Bro ! Hata sikuelewi kabisa kwani siku zote ulikwepo wapi mhhh
@KADALAtv2552 жыл бұрын
Mimi simo bana
@jitabojilala61622 жыл бұрын
Wewe mwenyewe membe hapo ulipo umeanza siasa tena hahahahaaaa
@muslimmunde59072 жыл бұрын
Huyu muheshimiwa fisad Nazan angekuwepo kipenz cha wazanzibar maalim Seif pia angemshitaki kua alimdhalilisha kwakusema afadhali Mzee Wa ubwabwa kuliko membe" Maana sasa niwakati wao Tutaona mengi.
@RamazaniMulongeca2 жыл бұрын
Akuna chawakati wao bro, tunapenda haki zitendeke mahali pote, kama unaushaidi jamaa Ni FISADI mpeleke maakaman pia, 😂😂😂😂
@muslimmunde59072 жыл бұрын
@@RamazaniMulongeca ushahidi kaka ni aliye kuwa mwenyekiti wake wa chama" kumuacha na kumuunga mkono wachama kingine na kusema afadhali mzee wa ubwabwa Unajua maana ya afadhali? Fisadi niyule anaependa apate bure Nawengine waharibikiwe Sasa anataka b6
@nyundomaster15412 жыл бұрын
Nchi na Mali zote ziijazavyo hakika ni Mali ya bwana
@maulidiathumani12952 жыл бұрын
je na rais anashtakiwa akikosea ? uo ni uongo bn mahakama iko chin ya wtu bn msitudanganye cc membe ana nguvu sana ndomana imekua hv
@malopemaliyamungu52432 жыл бұрын
Rejea Katiba ya JMT
@songamberetv22192 жыл бұрын
Msiba uko uliko naomba unilipe pesa yangu tuanze kilio😂🤣🤣
@lugelosanga57982 жыл бұрын
Hii ndo tz chezea sharubu za Babu wew utaliwa kichwa
@kingbuddah63722 жыл бұрын
MAFISADI NA WEZI WALIOIBA TANZANIA MALI ZA WANYONGE MBONA MNAWAACHA
@RamazaniMulongeca2 жыл бұрын
Wastaki, wafungulie mastaka makamani msibaki kubwabwaja tu huku mitandaoni...
@ismailwaryoba44202 жыл бұрын
@@RamazaniMulongeca we mwenyew unabwabwaja tu mitandaon
@josephgomalo412 жыл бұрын
@@RamazaniMulongeca Ni wajibu wako pia kufanya hivyo kama weweni Mtz mzalendo. TUKIACHA KUMZOMEA NA TUKISIMAMA NA MUSIBA TUNAWEZA FUNGUA HIYO KESI ILI KUPATA UKWELI .. KAMA WATANZANIA KWANI JUKUMU LA KUILINDA NA KUITETEA TZ NI LETU WOTE SIO MUSIBA PEKE YAKE. Amka, dai ukweli uipiganie Tz.
@RamazaniMulongeca2 жыл бұрын
@@josephgomalo41 TATIZO SIO KUSIMAMA NA #MSIBA, TATIZO HAPO NI KUVUNJA SHERIA, KUNA NJIA NYINGI ZAKUTAFUTA HAKI YAKO BILA KUVUNJA SHERIA BRO, IS MY DUTY TO PROTECT HUMANS RIGHTS. KWANINI ASINGE TAFUTA WANANCHI KAMA WEWE NA MIMI TWENDE KUFUNGUA JARIDA LAMASTAKA MAHAKAMANI? KULIKO KUDHALILISHA UTU WA MTU HADHARANI? Bro, fanya yote uwezayo lakini usivunje sheria, tutahishia kukuonea huruma tu. Kama tunavyo fanya kwa Msiba sasahivi... HATAKAMA UNAVYOSEMA VYOTE NIKWELI, BILA EVIDENCE/USHAIDI HUTOBOI BRO... TUCHUNGE SANA ULIMI WETU🤐 “ACTIONS SPEAKS LOUDER THAN WORDS”
@RamazaniMulongeca2 жыл бұрын
@@ismailwaryoba4420 😂😂 As long as sivunji sheria bro, Niko sawa😂😂😂
@mugundajames43352 жыл бұрын
Acha wamuoshe mjinga sana msiba
@depaolo34612 жыл бұрын
Mawakili wote wachaga 😂😂😂 watakomaa mpaka hela itoke?
@JumaMbena-dq6ws10 ай бұрын
Ukiandika ama kutamka maneno ya matusi ama kejeli ama matusi bila kuwa na ushahidi. Alietukanwa,kukashifiwa ama kufanyiwa kejeli akienda mahakamani.inakula kwako chungeni matendo yenu
@hudumayakufunguliwanakuwek13662 жыл бұрын
SOMETIMES THINGS CHANGE HAO HAO WALIOKUA WANATUPILIA MBALI HIZO KESI WAKATI MAGU AKIWA HAI LEO WANASEMA TOFAUTI SASA SISI WANANCHI WA KAWAIDA ITAKUWAJE
@jumakalukule53122 жыл бұрын
Tz mpya 😎
@muhammadimtesa11992 жыл бұрын
Musiba ndg.yangu nenda kamuangukie mzee Membe atakuelewa yeye hanashida ya fedha kikubwa umevunja heshima yake umemvua nguo hadharani kamuombe radhi atakufunga wewe hauna hela hio.
Umefanya Kazi Gani? Akupe kiasi chote hicho cha sekeli
@frankmtei30172 жыл бұрын
Musiba toa hela za watu haraka sana....
@sasmosmkenge19902 жыл бұрын
Alikula hels? Hivi nguvu hii ya kuongea inatoka wspi? Serkali itoe kauri. Vinginevyo hali haitakuwa nzuri .
@aminatanzanya74752 жыл бұрын
Jaji mbingun huend billion 6 alipwe Membe jee km hana inakuajee ama ndo kumkomoa mtu kisa JPM hayup
@gidionkadaraja1403 Жыл бұрын
Kwa kutumwaa na kulipwaa Membe ana visibitishoo au na yeye analopokaa2
@edwinalexander11702 жыл бұрын
Aiseee ila huyu musiba bhana kipindi cha mwendazake alikuwa akijifanya kuzungumza sana, sasa ndo atajua kila kitu kina mwisho wake, alipe sasa.
@mwesblind89902 жыл бұрын
Ningekuwa yeye nawategea jini kwenye izo pesa kila anayechukua anakufa😄😄
@aishaalbalushaishabalush82912 жыл бұрын
@@mwesblind8990 kabsa maana wanamdhulum kisa tu mafisad yanaongoza inch kwa sasa
@hatibuyusufu46682 жыл бұрын
Na wale wanamuonea huruma Musiba mchangieni tu kuleta maneno ya kejeli kwenye mitandao haisaidii kubadilisha hukumu
@abdalahmaganga81832 жыл бұрын
Safi Sana Kaka
@mossilamanne33502 жыл бұрын
Miungu mtu walikuwa wengi sana tujifunze kuwa binadamu hata awe nani haifai kumtegemea kwa kiwango hicho kuna mipaka yake hongera mzee membe
@aduanobella46712 жыл бұрын
Mbwa wewe mzee
@binhussain34452 жыл бұрын
@@aduanobella4671 Mfuate ukamwambie kama unaweza,halafu matusi hayasaidii ndugu, hii ndio shida yenu umewekewa sehemu ya kuandika maoni we unaandika matusii
@dianajohn34932 жыл бұрын
Kuma wew.
@binhussain34452 жыл бұрын
@@dianajohn3493 njoo nikuoe halafu tuone nani atakayebeba mimba.
Mzee inaonesha hana busara kabisa yaan anaanzaje kumsema vibaya rais wetu mpendwa kabisa ambaye alikua akiipenda nchi yake mpaka mzee anakufa kwaajili ya kuijenga Tanzania halafu ye anakuja anaongea ujinga?? Aisee ukitaka tukupe eshima acha kumzungumzia mzee wetu vibaya maana yunamuombea huko aliko apimzike kwa aman kabisa yaan
@josephmusagasa55662 жыл бұрын
Atapumzika kwa amani kama alitenda mema,msijipendekeze kwa Mungu,matendo yake amefuatana naye,hivyo huna haja ya kumdhalilisha huyu mzee
@leahmgunda4154 Жыл бұрын
Angekuwa hana busara angechukua sheria mkononi
@rossemissusomuchmjsungura8890 Жыл бұрын
Na yeye leo kaenda ukouko
@Aida-qh3jq Жыл бұрын
Hakujua kuwa Kila mja atauoja umauti
@ombennassary74382 жыл бұрын
Analipa lini?
@princeteu9732 жыл бұрын
mbona wewe ulimudharisha Magufuli na ushahidi upo
@eliudablaham91762 жыл бұрын
Bado MWIJAKU kushitakiwa maana nayeye uchawa wake nikama musiba
@nijulishenijue11682 жыл бұрын
sio kila mtu anaweza kupata mlango wa mahakama kuu , watu kibao uku wanabambikiziwa kesi na kuonewa na kuzalilishwa lakini wanaishia kulia tu
@brunokimaro10532 жыл бұрын
Mungu adhihakiwi
@micamathew25952 жыл бұрын
Billion6??? Mama yangu!' Ni kubwa sana aise.
@innocentpeter64092 жыл бұрын
hakunaga faini ya hivyo hukiwa na pesa wewe si wote wanazo na wala pesa si matako kwamba kila mtu anazo ,bila shaka alietoa hukumu hiyo wanajuana vyema sisi makabwela elfu mbili ya kula tu unawaza sembuse b 6 omba upigwe risasi tu ufe kaka
@dorahy15792 жыл бұрын
Yaani esi ya upuuzi na upendeleo. Amemufanyia mtu fulani. Hiyo 6 billion unataka kutumia kwa campaign kuingia Ikulu
@RamazaniMulongeca2 жыл бұрын
Sijaoana kosa hapo, “ukipigwa mawe, usiwarudishie yaokote uanzie msingi wa nyumba” 😂😂😂😂
@saadasuleiman47462 жыл бұрын
Mmmnh et naomba hela zangu
@dorahy15792 жыл бұрын
Sasa huyo jaji, serikali, Membe wote wanajuana mambo wanayofanya. Kuna kesi kazi kuhairishwa tu. Sasa Membe anaomba $ 5 million almost. Hata aibu hawana.
@nuruworldinsight29572 жыл бұрын
Mi natafuta sehem mahakama inapoelekeza siku ya mwisho kulipa hiyo fidia
@asalitv88102 жыл бұрын
LIPENI WA MACHINGA FIDIA ZAO LAAANA NYINYI KWENYE MAISHA YETU