Hii nchi bn naona wengi wanamchukia huyu jamaa,but amini usiamini,he is the best Boxer kuwah kutokea ktk nchi yetu
@yusuphmtuga49515 ай бұрын
The best kwako
@AbshirMubaarack5 ай бұрын
@@yusuphmtuga4951 najua tu wivu unakusumbua,hvy ucjal ni jambo la kawaida kwa cc bnaadamu
@Fathma-vt8lx5 ай бұрын
Kweli
@daudinyello40335 ай бұрын
@@yusuphmtuga4951 kinyooooooooo....hakuna kama MWAKINYO acha ubishi
@sleyumngolo5 ай бұрын
@@yusuphmtuga4951ata kwako pia utake usitake
@AugustinoNgereja-n6c5 ай бұрын
Binafsi ninakuelewaga sana kaka. Unachokitaka kwa watanzania wakuheshimu na waijue thamani yako. Binafsi wewe ndio bondia namba moja kwa TANZANIA hakuna anayekufikia kwa Sasa. #hassanmwakinyochampez❤
@FayeezAlbahassaney5 ай бұрын
Allah akusameh Hakik umetelwz ibada ni kubwa mno mbel ya Allah
@@MariaJacob-w5v ibada ni maombi kat ya mola na mja wake
@FayeezAlbahassaney5 ай бұрын
@@MariaJacob-w5v sasa ni makosa binadam kusem yey ni bora kulik ibad yan anajitukuza Allah amsameh InshaaAllah kwan Ibada ni yake Allah mola wa viumbe wot
@FayeezAlbahassaney5 ай бұрын
@@jamalibella9707 tumuombe InshaAllah Allah atamsameh hakun mkamilifu
@Starlighttz5385 ай бұрын
Na kukubali sana mwambaaa mwakinyoo Na akifika Beii Mkandeee Akandike
@hamzaamry62515 ай бұрын
Huyu ndie boxer bora aliepo hapa tz team mwakinyo 💪
@allyharoub-rl6rb5 ай бұрын
The Best boxer eveer
@mariamharuna-co4it5 ай бұрын
Mwakinyo yuko vizuri hamonaizi bangitu nakukubalisana hassani Allah akuongoze inshallah hamonaiz hakuwez twaha pia hakuwez ukovizuri
@NgabireJapfet5 ай бұрын
Tumekubali mwakinyo 🇧🇮🇧🇮🇧🇮
@stanslausjohn87915 ай бұрын
Boxer number moja Tanzania
@mariamharuna-co4it5 ай бұрын
Usisikilize maneno yawatu hassani ukovizuri nasubili pambanolako inshallah Allah akufanyiewepesi
@rayamohammed3395 ай бұрын
Mmakonde mjinga yule anasema eti anahisi mungu angekuwa mwanamke
@JosephDaudi-f3x5 ай бұрын
Respect Sanaa broo for that word
@speciallvoice80915 ай бұрын
Uyu jamaa Yuko Smart sana naweza kudiliki uyu ndo bondia Bora kwa Sasa hapa Tz watu wanao fikir kua bondia apigane tu kiolela
@SalimFeruz5 ай бұрын
Ukimpiga nje ya ulingo utaadhibiwa , ajiunge na afuate utaratibu, awe bondia, ndipo upigane naye, #Hassan Mwakinyo busara ikutangulie, mrumeeeeee
@Mwanajah5 ай бұрын
Kiukweli hakufanya vizuri. Huyo hamo.amuache mwakiyo wetu kama katumwa na ashindwe usimkosee adabu mwakinyo
@RamaNgari-b1d5 ай бұрын
Mwakinyo ni mmoja tu tz🙌
@saleheinnocent76365 ай бұрын
Ata Mimi sikupenda vile hatupasw kuish kwa visa ilihali sisi wote ni Ndugu.
@SefuHussen-nh9lt5 ай бұрын
Team mwakinyo mkande uyo mmakonde
@lucasmaziku55655 ай бұрын
Mwakinyo utani wetu wa Makonde usiulete ulingoni, ukirusha ngumi za seriously tutakuloga
@amirilizo67065 ай бұрын
Kuronga Tena itakuwa vita kati ka mdigo n mmakonde au Tanga. N mtwara
@dstaroficial5 ай бұрын
Kwanza mfundishe kiduku
@saidshabani77405 ай бұрын
Full content, champion 🔥🔥💪
@Don_wa_kitaa5 ай бұрын
MKUBALIE #KIDUKU
@DogoLakeOfficial5 ай бұрын
Hakuna chuki kwa hamo anataka kujua kwamba boxing alie ingia kwamba ipo jee wewe kaka mupe na fasi sio kusema wewe ni kifo ama yeye ety ni kifoo mupe muda watu tuone Tanzania tupo na watu wa boxing mpka wa Sani ❤😂❤❤❤
@Jayfocuss-nf6ww5 ай бұрын
Hapana wa tz Atumchukii mwakinyo lakini kama mpiginaji mkubwa watu wanakuja kukuzalau inatakiwa uwafinye wafinyikeee ndo upate Eshima
@iranangole70075 ай бұрын
Wew Kuna twaha kiduku Anakutaka Sana Lakn Auzungumzii kitu Pumbavu
@samsonkingdom-xc8cg5 ай бұрын
Boxer mwenye hekima na busara🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@ITIKACLASSICWEAR-sb5kr5 ай бұрын
Bro malizana basi na twaha kiduku basi. 🤣🤣
@daudimaniseli7595 ай бұрын
MWAKINYO ACHANA NAE....MPE WADOGO ZAKO,,NGUMI SIO VYUMA NGUMI NI SCIENCE,,NDIO MANA BRUCE LEE,DON YEN, JACK CHAI SIO WATU WAVYUMA NI WATU WA SCIENCE TU YANI TIMING..
@FarajaMakucha5 ай бұрын
Wewe si mpiganaji wew boya tu ujuw kupigana maneno meng ufanic Amna wew mcheza mduara tu
@mambas2645 ай бұрын
Usiongee sana. Kama unapigana kapigane
@IsackBaritirel5 ай бұрын
Mwakinyo naomba huy mmakonde ni mbage tu achana nae anataka akufie tu
@hamisihemedi10995 ай бұрын
Kama konde anataka kupigana nawewe,basi aiombe baraza lamichezo nchi ni awe mdhamana wa hilo Bambano.laa sivyo atakuvunjia cv yako
@PeterMkonyi-cc2bt5 ай бұрын
Hii kitu haitakiwi maneno mob itaisha utamu mnatupotezea muda wa ngumi kwa kubishana kuna mtu anatakiwa aelekezwe kuwa huku siko abaki na kwake
@raphaeldominiko5 ай бұрын
Kaka We pgana Nae t Ajifunze Hana Adabu huyo mtoto Tena Omba serikarin pga Nakuuwa
@herbertbavuma72285 ай бұрын
Mbona kwa kiduku aujajimaliza ivo ? Mm nakuwa wa mwisho kuwaamn star's wa bongo huenda n kiki
@SaidiAbdallah-nd2wm5 ай бұрын
Mwakinyooooo
@lyrics_forum5 ай бұрын
Mwakinyo kumbe na wewe ni Mvuta Bangi tu, Harmonize zile ni Bangi pale akili hamna kazi yake kiki tu hamna la Maana.
@allykayanda69305 ай бұрын
Anaharibu keria na sifa zawatu,natamani atandikwe mbwa yule
@LovelyOmbreSky-pu4jt5 ай бұрын
Acha maneno hayo yeye ameeleza hisia zake sasa bangi ikowapi
@MATESO-sk7hu4 ай бұрын
Kaka una wabaya wengi sana wee ni m2 wabusala adi magufuli anakujua😮❤
@FaridaOngala5 ай бұрын
Nakupenda mwakinyo mpige uyo mshamba wa kimakonde 😂😂😂
Kafunguliw milango mara tu mwakinyo alipomaliz pambano lake la ubingwa Zanzibar na wameshindw kuweka pesa mapromota wake
@sadickkasaba80695 ай бұрын
Anamuogopa kiduku
@Saidyomarybakary5 ай бұрын
@@sadickkasaba8069 waliweka pesa mezan akakataa kupigan ngumi ni biashar ngumi ni ajira sio maneno matupu kama taarabu bro
@ayubuyesaya66035 ай бұрын
Hizo kiki TU,ndo wasanii wa kibongo ,,,,,brz ajee akufate TU mlango umemwachia.
@MinesesjoaoMwani4 ай бұрын
MMakonde Noma sana
@khamissymtonele64185 ай бұрын
Kamkande tu ili atie adabu mjinga yule
@ShellaMaundu5 ай бұрын
Mmakonde chizi yule anapenda sana kiki ,muziki umemshinda anataka kucheza ...Piga kabisa mvuta bangi huyooo
@shafiigama5 ай бұрын
Tafuta mshauri au msemaji aww anacongea kwa ajiri yako ww uwe pemben usikitikisa kichwa kwa ishara ya kukubali kinachosemwa Hassani kinacho kufanya unakosa mvuto ni speech tu bac kwingine kite unastahili
@SeifMuhammed-il3si4 ай бұрын
Unajua mwakinyo ww ni Mt ambae unajielewa Sana hayo mazungumzo yako t bas kwa mwenye akil lazm ya mfeel yule mgonjwa
@GabrielBarikish4 ай бұрын
Kijana yangu ni siter tz
@yusuphmtuga49515 ай бұрын
Mbona ulimrukia acha ushamba we mwoga
@allybobsaith5 ай бұрын
Msituzingue, manajuana nyie😊😊😊😊😊
@Marwadismas5 ай бұрын
Haaa kumbe ww ndo ulimuanza boy jamaa alikuwa anatariii zake
@daudinyello40335 ай бұрын
YULE MMAKONDE NI FALA SANA
@evdsam72865 ай бұрын
Uanze na Twaha kwanza bondia mwenzio ndio uje kwa harmonize, mbona unamchenga Twaha
@tyivbra5 ай бұрын
Huyo harmonize kataka yy mwenyew
@dstaroficial5 ай бұрын
Nikwel anachungulia iv kwel kama nibobondia anataka kupigana na hamonize huyu kwel hamna kitu
Ameshaanza kuogopa huyu, atakataa pambano kwamba hajafika bei 😀😀😀
@MussaMelolo4 ай бұрын
Kweli kabix broo iyo ni sarau aixee mpe bonge la ngumi haache wenge aixeee
@wamburakigumbo37035 ай бұрын
Hawezi
@AllyBabu-kr6lg5 ай бұрын
Nyie sasafi konde kapiga chawa wenu bado uyo bosi wenu domo a.k.a mond 😂😂😂😂😂
@sammasika36275 ай бұрын
Yule mvuta bangi
@Khalid123_55 ай бұрын
Acha nikuchanue bangi is not part of the exercise u can smoke and still train asf👀
@sadickkasaba80695 ай бұрын
Hyu mwenyewe mvuta bangi
@fredykaitani5955 ай бұрын
Amna k2 apo mikwala 2 kenge ww jichanganye kama autasema umesahau viatu vyako kwenye ndege..
@HerriThabiti-qd5rr5 ай бұрын
Namimi nasema mpige mpaka uji atafuniwe
@rajogemzanaki30303 ай бұрын
Pole mwanangu uyo jamaa ni mshamba ata kuvua nguo akiambia ni ustaa anavua bange tatizo
@Thatsbarnacving5 ай бұрын
Muulizeni babalevo ata waambia😂😂😂
@godfreymwandoje68515 ай бұрын
Inatakiwa uue kabisa
@vincentndonye79895 ай бұрын
Mwakinyo utakinywa vibaya mno....
@yasini57945 ай бұрын
Ulirusha ngumu bhana acha uongo
@edwinanyitike55035 ай бұрын
we nae linafiki tu
@immanuelcharles26995 ай бұрын
hatutaki maneno yenu,, piganeni tuprove ni nani bingwa.
@Tanafa-j9q5 ай бұрын
Wote kuma hao kistuli ftkinyooo kamwe hawawez zima nyimb za Simba la masimba dangote haujui#raha, commasava ndo abar ya mjini now
@fredykaitani5955 ай бұрын
Kwel ww chichi na kuma pia..
@babalao32505 ай бұрын
We pia uneona
@eliudkimani89775 ай бұрын
Kama Mimi hapa iliniuma Sana mpaka nahisi kumdai yeye ulingoni haniwezi pia🇰🇪
@mansooranam8315 ай бұрын
Muuwe tu
@kapondadr58405 ай бұрын
Champions 🔥🔥🔥
@EmmanuelMupunga5 ай бұрын
Nakukubali sana ustarabu wako haukurupukii jambo
@idinado-wk3lx5 ай бұрын
Chimanogo Tena 😂😂😂😂😂
@RichardHenjewele-gs8rk5 ай бұрын
😊😊😊
@jastinmkandala56205 ай бұрын
Imeisha hio
@musiccaentertainment100k85 ай бұрын
Sign the contract big boy 😊😊
@RobertsonNandime-eo9fp5 ай бұрын
Eti nilikuwa bauwexo wakupigana ba wote wale msenge nini kwani boxing hautumii nguvu ?? Wew haumuez mudi msenge wew akikukamata unaweza ukamwea
@emmanuelbernard95525 ай бұрын
Mbona unatumia hasira kujibu na matusi juu,tumia akili ww ni mtu mzima matusi ya nini ?
@sports007tv45 ай бұрын
Huna unachojua unaongea tu kwenye boxing kuna bondia na bodybuilding unatakiwa kuelewa sawa
@Rizikialiamechannel7635 ай бұрын
@@emmanuelbernard9552😂😂😂
@FabianAlex-y8c5 ай бұрын
Duu tuwe tujitaidi kutumia kauli nzuli au kama huwe kaakimya
@steveanthon55235 ай бұрын
Huyo moody amewahi kuwa mpiganaji wa kick boxer mzuri sana, ameshinda mashindano mengi sana ya mkoa wa Dar, mpaka leo yupo fit sana, huo mwili ameamuwa kuuongezea ili awe na muonekano wa kupata kazi, ila ukiruhusu aoneshe uwezo wake jamaa yupo vzr sana, ukitaka uijuwe historia yake vizuri nenda manzese uliza moody mnyama, ngumi anazijuwa mpaka anakela, huyo mwakinyo watamzeesha namateke kama ya Van dame, hayupo kizembe anajuwa ngumi haswaa!!
@Harmontwo2555 ай бұрын
#mwakinyo
@NordineIssa5 ай бұрын
Wew mbona ulikuwa ulingon, kwanini ulishuka ukamfuata
@HussenNgulube4 ай бұрын
Kka ww ni thaman kwetu achana nae unatuheshimisha watanga nakukubali sana
@RechaelEasily4 ай бұрын
Ninavo mkubali harmonize Yani mm nakuloga weww ndio akupige mpaka uvae pempasi alafu mm nakuchukia bila ata sababu
@VeronicaIsinika5 ай бұрын
Kandahar chili lile
@HajiAlly-sk5zb5 ай бұрын
Ila ndugu yangu aikua na haja yakukasilika kufikia uko kwakua mimi kama ndugu yako mkoa 1 achananae kama alitaka trending kwakumziaki mungu kumwita mwanamke ndugu yangu ata manabii walipigwa vita achananae
@EliasIbrahimAkonay5 ай бұрын
Champions
@adelalupumbwe-yu5pg4 ай бұрын
Mwakinyo weni bondia mwenye akili 2kopamoja brother
@giftgeza36625 ай бұрын
Twaha kiduku je?
@PaulPeter-sl7rc5 ай бұрын
Watch out part3😂bongomovie😂
@davismwape75005 ай бұрын
Huyu dogo mm namuelewa sana
@GibsonNtamamilo5 ай бұрын
Nimeota Harmonize anang'oka meno ya mbele yote. Usicheze na bixing kuna kitu kinaitwa Jab na Upper Cut.
@PaulAloyce-iw9qg5 ай бұрын
😂😂😂 upper cut.
@mussaali-n6s5 ай бұрын
mogadishu family💪🏾
@noelymwakasege24285 ай бұрын
Shida ya amonaiz amebeba Jim ndio linalo mdanganya ngumi ni mchezo ambao ni hatali Santena San asichulie kubebajim ndio kujua ngumi ,Na mshauli ngumi inatakiwa uwe na punzi nyingi San ,Alfa amonaiz amewai pamban na nani hat mitaan tu ajalibisha kwanz mitaani ndio atajua ngumu ni Nini
@GabrielSky645 ай бұрын
Team konde tujuane. Mpaka tumkarishe Huyu Mtanga
@allykayanda69305 ай бұрын
Yule kondeni fala kama unashabikia fala na vuta bangi kama lile umepata khasara pimbi wewe,angalia watu wakushabikia
@officiallnobystar5 ай бұрын
@@allykayanda6930Tafuta Pesa Kk Acha Chuki Zako Za Kimasikini Kwani Usipokuwa Wewe Fans Yake Yeye Anakosa Nn Acha Kushobokea Watu Bro