MWAMPOSA AFUNGUKA MISAFARA NA ULINZI “YESU ALIKUWA NA MABODYGUARD 12”

  Рет қаралды 18,717

Millard Ayo

Millard Ayo

Күн бұрын

Пікірлер: 138
@nicaswaziri
@nicaswaziri 2 ай бұрын
Watu wengi hamna maarifa ya Mungu Mungu awasaidie sana heri ya wale wakaao kimya wakitafakari ukuu wa Mungu kuliko wale waliokaa na kubishana na mambo wasiyoyajua. Kama malaika wa ulinzi walivyo mbinguni ndivyo ilivyoduniani pia maana hakuna kilicho duniani ambacho hakijatoka kwa Mungu. Kwani Mungu ndiye muanzilishi wa vyote.
@katemachanda7035
@katemachanda7035 2 ай бұрын
Mfano tu wanaokuchukia hata kwenye comment humu walivyo wengi, wengine Hadi matusi wanakutukana, na Ukiachilia mbali wale wanaojaribu kukuloga wapo ambao wangediriki kukutupia mawe, ngumi, visu, risasi n.k kama wangekua karibu nawe, halafu hao hao wanataka usilindwe 😂😅😆 people are very funny.. Na Bado usingelindwa angetokea mtu akafanikiwa kukudhuru Bado wangesema Walokole akili hakuna kabisa😂. MKUU WE FANYA KAZI YAKO TU KADIRI MUNGU ANAVYOKUONGOZA!
@geroldjohn4698
@geroldjohn4698 Ай бұрын
🙏🙏
@HotNew360
@HotNew360 Ай бұрын
Jamaica yupo sawa Sanaa namkubaliii hadi kesho
@bilid4128
@bilid4128 2 ай бұрын
Apostle ! Tupe andiko linalosema Mungu analindwa na walinzi wenye macho nyuma na mbele
@fredrickmagele7065
@fredrickmagele7065 2 ай бұрын
Hawez kuwa na kifungu Cha Biblia kinachotetea huu upuuzi
@robertchuwa9701
@robertchuwa9701 2 ай бұрын
Cherubim, in biblical tradition, are angelic beings associated with the presence and majesty of God. They appear in various books of the Bible, often depicted as guardians of sacred spaces and symbols of God's power and glory. Their primary roles include: 1. **Guardianship**: Cherubim are first mentioned in Genesis 3:24, where they guard the entrance to the Garden of Eden after Adam and Eve are expelled. 2. **Divine Presence**: They are depicted as part of the divine chariot in Ezekiel's vision (Ezekiel 1 and 10), symbolizing the presence and movement of God. 3. **Adorning the Ark of the Covenant**: In Exodus 25:18-22, two golden cherubim are described as covering the Ark of the Covenant with their wings, representing the throne of God. Cherubim are often described with multiple faces, wings, and eyes, reflecting their complex and powerful nature.
@robertchuwa9701
@robertchuwa9701 2 ай бұрын
Cherubim ni makerubi
@japhetbukuru5300
@japhetbukuru5300 2 ай бұрын
Kuna tofauti kati ya walinzi na bodyguards. Yesu hakuwa na walinzi Bali alikuwa na bodyguards Kwa ajili ya kuwajibika kwanza kabla yake. Popote alipokuwepo Yesu, Petro, Luka n.k walikuwa karibu naye Ili kuguard
@gastongowi672
@gastongowi672 2 ай бұрын
Hapa atafutwe mch. Hananja kusahihisha hili
@fredrickmagele7065
@fredrickmagele7065 2 ай бұрын
Duh mbna ni hatari sema ndgu zangu hakuna tusome maneno ya Mungu haiwezkani anayetulinda na kutupatia mahitaji yetu leo Ana walinzi hapa ametudanganya
@PendoPeter-rr4jk
@PendoPeter-rr4jk 2 ай бұрын
Manabii wa uongo ndo kama Hawa,mungu hajawai kuumbwa,iweje alindwe na kiumbe alicho kiumba
@AwardHakimu
@AwardHakimu 2 ай бұрын
​@@PendoPeter-rr4jkunabisa soma maandiko
@nicaswaziri
@nicaswaziri 2 ай бұрын
Huelewi wala hautaelewa mpaka ufunuliwe pengine unatumia akili ya kawaida lkn haiko hvyo.
@nicaswaziri
@nicaswaziri 2 ай бұрын
​@@PendoPeter-rr4jkumejua vp? Hata maelezo yake hujayaelewa hata bible hausomi pengine unatumia akili ya shule ya msingi pole sana ila sikumoja utaelewa
@IBRAHIMUGABUSU-i6x
@IBRAHIMUGABUSU-i6x 2 ай бұрын
Nyie acheni vineno mbona YESU alipo vamiwa na maaskali mbona Petro alimkata skio Yule askali acheni unafiki wenu
@bushbabytz
@bushbabytz 2 ай бұрын
HAPA KAZINGUA, MUNGU HANA ULINZI, WALA YESU HAKUWA NA ULINZI...WALE NI WANAFUNZI WAKE 12 HAKUNA SEHEMU BIBLIA INASEMA WALE WALIKUA WALINZI 12...KICHWA TOFALI WEWE
@LaurentMpilu-qe6lq
@LaurentMpilu-qe6lq 2 ай бұрын
Soma biblia, maraika wa vita mbinguni wanakazi gani? Shetani alipoasi kichapo alichopata kilitoka wapi?
@cryptoboy_5
@cryptoboy_5 2 ай бұрын
wew una wazimu mungu mwenyew ana lindwa na malaika na wapo walio beba alshi yaani ni kama kiti cha ufaulme amabao malaika hao wako wa nane mkuu lazima ulinz uwepo kwa watu maalufu wa aina yoyot ile
@bushbabytz
@bushbabytz 2 ай бұрын
@@LaurentMpilu-qe6lq wewe acha ujinga wewe, biblia gani unifundishe wewe, malaika walioasi ilikua ni shetani na wenzake, malaika mkuu mikaeli alipigana vita ile kama majeshi ya Mungu, lakini sio walinzi wa Mungu per say!
@bushbabytz
@bushbabytz 2 ай бұрын
@@cryptoboy_5 shida sio kuwa na ulinzi mimi sikatai yeye kulindwa nakaa anaposema Yesu alilindwa na Mungu analindwa acheni ufala
@cryptoboy_5
@cryptoboy_5 2 ай бұрын
@@bushbabytz kama haujui kuw yesu kalindwa kasome tena mtume muhamadi kalindwa wakata akiwa kwenye vita uhudi kwahyo yeye yesu alikjwa anafikiwa tu kilahisi mtu akimuitaji
@daudiazizi8495
@daudiazizi8495 2 ай бұрын
Swali langu kwenu wote,,mungu mwenyeweAna maadui ama hana,pata majibu kwenye gitabu Cha zaburi,huu sio mchungaj Bali no mwokozi,,lazima apate ulinzi wakimwil.paulo mtume alikosa ulinzi akaburutwa
@colletatesha5265
@colletatesha5265 2 ай бұрын
Ssa mnatupotosha jamani ulivokua huna pesa mbona kulikua hakuna bordy guard
@mathewdaniel4341
@mathewdaniel4341 2 ай бұрын
Mungu hana walinzi bana ko unavoona hapa duniani maarufu wanalindwa mungu halindwi
@HassanMugire
@HassanMugire 2 ай бұрын
Huyu jamaa anajua kuchukua hela zetu kirahisi sana
@MbeziAmos
@MbeziAmos 2 ай бұрын
Kama ni rahis na wewe kafanye
@nicaswaziri
@nicaswaziri 2 ай бұрын
Umetoa sh ngap ww? au unaongea tu sisi tunaotoa tunajua nn tunapata kwake ni tumetendewa nn ww wapelekee waganga ss tunawapelekea watumish wa Mungu aliye juu.
@Leeeeeeee-96
@Leeeeeeee-96 2 ай бұрын
na wewe kachikue kama rahisi 😂
@GeraldElias-s7j
@GeraldElias-s7j 11 күн бұрын
Nyakati zamwisho manabii wauwongo wengi sana
@enezermwafrica7443
@enezermwafrica7443 2 ай бұрын
Yesu hakuwa na walinzi! na hata alipoambiwa wayahudi wa Jerusalem wanakutafuta ili wakuue wala hakukimbia, bali alisema tutashika njia kuelekea Jerusalem, ambapo yote yalioandikwa na Mitume na Manabii yatatimia huko, sasa wewe Mwamposa msafara wote wa ulinzi unaogopa nini? Biblia imeandika waoga hawataurithi ufalme wa Mungu😂😂😂
@nicaswaziri
@nicaswaziri 2 ай бұрын
Wewe kweli ndo wale wale kama unasema Yesu hakuwa na ulinzi je wakati wanakuja kumkamata wakamsurubishe kwann mwanafunz wake alimkata sikio yule moja ya askari waliokuja kumkamata? Huwezi kuielewa biblia mpaka umuombe Mungu akupe hekima zaidi na neno la Mungu ni pana huwez soma bible huku unawaza mchepuko na ugumu wa maisha.
@japhetbukuru5300
@japhetbukuru5300 2 ай бұрын
Kama haumuamini Yesu basi amini kazi zake na mamlaka aliyowaachia wale waliomwanini!. Yesu ni mwana wa Mungu aka Mungu na mamlaka yote duniani na mbinguni Iko kwake ndiyo maana wagonjwa wanapona au changamoto yeyote Ile ngumu dawa yake ni jina la Yesu. Kataa au usikatae Yesu atahubiriwa watu na dini zao wataokoka
@topesafi9742
@topesafi9742 2 ай бұрын
Point alyoipatia ni kusema watumishi/walokole wanaweka milango kwenye nyumba zao ilihali wana mungu,,ila hayo mengine kaongea pumba au ushubwada mtupu.
@shaddybmc8342
@shaddybmc8342 2 ай бұрын
Ulinzi muhimu sana👏
@edgarmtekele6710
@edgarmtekele6710 2 ай бұрын
tunaomba interview fulll
@PeterTweve-t1c
@PeterTweve-t1c 2 ай бұрын
Kwaiyo wewe ni Yesu
@damaspmtz1018
@damaspmtz1018 2 ай бұрын
Ulimuona Mungu anawalinzi gani!! Acha Uongo
@majaliwabwitonde6900
@majaliwabwitonde6900 2 ай бұрын
Sikiliza ndugu
@jumannemalungo5018
@jumannemalungo5018 2 ай бұрын
Watumishi hawa acha tu
@dicklenny1957
@dicklenny1957 2 ай бұрын
We nawe soma ufunuo wa Yohana soma Ezekiel utaelewa usibishane tu
@japhetbukuru5300
@japhetbukuru5300 2 ай бұрын
Ukishakuwa m2 mkubwa ktk mamlaka yeyote Ile lazima uwe na bodyguards sio mlinzi. Kiswahili hakijakamilika Kwani mlinzi anakilinda lakn bodyguards anaangalia Kwa karibu jambo lolote likitokea yeye awajibike kwanza
@colletatesha5265
@colletatesha5265 2 ай бұрын
Wai ngachoka acha nimwombe mungu mmi mwenyewe bana
@mariusmashelle4528
@mariusmashelle4528 2 ай бұрын
😂 leka tiki
@mmassyferguson4959
@mmassyferguson4959 2 ай бұрын
Bora tungeendelea kutambika kwa mila zetu tuu
@michaelpaul2237
@michaelpaul2237 2 ай бұрын
Hata Bwana Yesu hakuna andiko linasema alikuwa na walinzi na kama wangekuwepo mwanamke aliyetokwa damu myaka 12 angeshikaje pindo la vazi la Yesu?
@Stellastella-yi5vu
@Stellastella-yi5vu 2 ай бұрын
Tangia wafe watu 23 Kilimanjaro eti wanagombania kukkanyaga mafuta nilishajua wew Freemason. Mrudie Mungu ni mwing wa rehema
@fredrickmagele7065
@fredrickmagele7065 2 ай бұрын
Bwana huwazungukia na kuwalinda wamchao leo ana walinzi toka huko pastor Yesu yuko karibu kuja
@washingtonngullo1988
@washingtonngullo1988 2 ай бұрын
Yuko sahihi kabisa kuwa na ulinzi yeye Yuko kiroho na kimwili
@IBRAHIMUGABUSU-i6x
@IBRAHIMUGABUSU-i6x 2 ай бұрын
MUNGU anaulinzi wa😂malaika tena mkubwa tu kila upande
@daudiazizi8495
@daudiazizi8495 2 ай бұрын
Nyie ambao munabisha hamna neno la mungu ndani,Bali mna maneno.namtu asipo kuwa n'a neno Kila kitu anabisha Mana ni mnyama
@sportsmantv8397
@sportsmantv8397 Ай бұрын
Yesu ana uwezo wa kujua unachowaza hao walinzi walikuwa wa nini?
@rashowshine7849
@rashowshine7849 2 ай бұрын
Kwaiyo yesu ni mungu ama kuna mungu mwingine huko mbinguni mbona hamueleweki😂😂😂
@FURAHAKICHEKO-n3e
@FURAHAKICHEKO-n3e 2 ай бұрын
YESU NDIYE MUNGU MWENYEWE.
@rashowshine7849
@rashowshine7849 2 ай бұрын
@@FURAHAKICHEKO-n3e 🤣🤣🤣🤣hujielewi
@nicaswaziri
@nicaswaziri 2 ай бұрын
Kuna ulinzi wa kiroho na kimwili. Kama uko kimwili ya rohoni hautayajua wala hutaelewa. Usibishane na kitu usichokijua Yesu ni mwana wa Mungu na ni Mungu.
@rashowshine7849
@rashowshine7849 2 ай бұрын
@@nicaswaziri nyie mko nashida sasa wewe umesema ni mwana mungu huyo naye kasema ndie mungu mwenyewe 😂😂😂😂
@nicaswaziri
@nicaswaziri 2 ай бұрын
@@rashowshine7849 kwani mtoto wa mtu huitwa nani? Maana Mungu mwenyewe alisema huyu ni mwanangu mpendwa niliyependezwa naye msikilizeni yeye. Unaweza kunipa tafsiri? Kaka mambo ya kiroho yanahitajiutulivu wa kupambanua sio kukurupuka.
@pasiensiabel7278
@pasiensiabel7278 2 ай бұрын
Yuko sahihi
@JohnFrancis-h7q
@JohnFrancis-h7q 2 ай бұрын
Kbsa ulinzi ni muhimu
@enezermwafrica7443
@enezermwafrica7443 2 ай бұрын
Yesu alijua Jersalem wanamtafuta ili wamuue, lakini alisema tunakwenda Jerusalem bila woga, haya huo ulinzi kwa hawa mitume na manabii wanaogopa nini
@majestyjames6499
@majestyjames6499 2 ай бұрын
Kwaiyo na yeye anajifananisha na yesu
@sarahgaula2220
@sarahgaula2220 2 ай бұрын
Yesu alikuwa na walinzi ama wanafunzi 12? Nielewwsheni.
@YustoMlay-cv4zb
@YustoMlay-cv4zb 2 ай бұрын
Yesu alikuwa na wanafunzi sio walinzi
@LaurentMpilu-qe6lq
@LaurentMpilu-qe6lq 2 ай бұрын
​@@YustoMlay-cv4zbPetro alikata mtu sikio yesu alipokamatwa, sasa panga alitembea nalo la Nini?
@dicksoncyprian9511
@dicksoncyprian9511 2 ай бұрын
@@LaurentMpilu-qe6lq kwani wamasai wanatembea na visu vya nini
@LaurentMpilu-qe6lq
@LaurentMpilu-qe6lq 2 ай бұрын
@@dicksoncyprian9511 kwa hiyo Petro alikuwa Masai?
@dicksoncyprian9511
@dicksoncyprian9511 2 ай бұрын
@@LaurentMpilu-qe6lq atakuwa mmasai
@josephatjoseph1755
@josephatjoseph1755 2 ай бұрын
Naamin ipo siku atatokea mtu kama Eliyah ambae atawaaibisha sana.
@MonaMaiko
@MonaMaiko 2 ай бұрын
Ukiuliza Kwan Yesu ni Mungu? Uje wewe upo dunian lakin haupo
@designdesign4426
@designdesign4426 2 ай бұрын
Mungu anawalinzi!!!? ndo maana nasemaga uyo lunguwenu ni kenge kama kenge zingine mungu anawalinzi wanamlinda dhidi ya adui gani? pili nyie mnajilinda sisi mnatuambia tujilinde namafuta yaupako chumvi keki no sens
@uwembatvonline
@uwembatvonline 2 ай бұрын
Kwa mantiki hiyo na yeye anajikuta Yesu 😂Au
@nicaswaziri
@nicaswaziri 2 ай бұрын
Kwani anamtumikia nani na ametumwa kufanya kazi ya nani? Kwani wakuu wamikoa wanamuwakilisha nani? Wivu mwingi sana. Anaponya kwa jina la Yesu tunafanikiwa kwa jina la Yesu hivyo lazima tufanane na Yesu.
@samuelmakara
@samuelmakara 2 ай бұрын
Yesu alikuwa na walinzi 12?
@HASSANBAKARI-q9c
@HASSANBAKARI-q9c 2 ай бұрын
KAMA MZIGO UNAO WEKA ATA 10 WAKULINDE...SI PESA YAKO AU
@epicart3351
@epicart3351 2 ай бұрын
Kuna jambo hapo halijaa kaa sawa. Kulingana na maelezo yako. Kama Mungu nimuweza wa yote. Naanajua hili kabla halijatokea kwanini? Awe na ulizi? Wakati anaweza akawageuza maadui zake wawevipofu wasimuone. Hii ni story pia unatutengenezea kama story nyingine. Lengo lenu nyie nikuwafanya watu wasiwaelewe nini? Mnachokifanya kwa kutekeleza mahitaji yenu...!
@mohamedkisenga6654
@mohamedkisenga6654 2 ай бұрын
Kwan mungu yupo mbinguni acheni kudanganya watuu waongo nyie
@Mosesswalehe
@Mosesswalehe 2 ай бұрын
Wale walikuwa wana funzi wake sio walinzi wayesu mungu hana ulinzi acha kuwapotosha watu wewe
@salehegiza3305
@salehegiza3305 2 ай бұрын
Kama yesu alikuwa na body gadi mbona alikamatwa na wayaudi 😅😅
@gilbertbidimbuka9104
@gilbertbidimbuka9104 2 ай бұрын
Huyu ni muongo mkubwa kweli kweli. Kunautofauti kati ya Mlinzi na Mwanafunzi
@thobiasanthony-ep6lb
@thobiasanthony-ep6lb 2 ай бұрын
Hawa jamaa wanatumia hofu zetu kama mtaji na wanafanikiwa sana.
@COMPASSIONMEDIA
@COMPASSIONMEDIA 2 ай бұрын
MUNGU HALINDWI. YEYE ANAJITOSHELEZA
@nicaswaziri
@nicaswaziri 2 ай бұрын
Na malaika wanafanya kazi gan mbinguni? Je shetani alishusha na malaika gan? Someni biblia sio kubishana na kitu msichokijua.
@abeidmayanga809
@abeidmayanga809 2 ай бұрын
MUNGU ANAWALINZI
@IBRAHIMUGABUSU-i6x
@IBRAHIMUGABUSU-i6x 2 ай бұрын
MUNGU anaulinzi wa😂malaika tena mkubwa tu kila upande acheni unafiki na ana lindwa kama mungu kina Mikael 4:18 4:18 wanafanya nini kwa MUNGU
@mustaphahassan589
@mustaphahassan589 2 ай бұрын
nani wamdhuru huyo MuNGU anaelindwa
@aboudasilver6541
@aboudasilver6541 2 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@21himself-
@21himself- 2 ай бұрын
Huna lolote mwizi tu huyo
@barrynzeyimana6270
@barrynzeyimana6270 2 ай бұрын
Miliabudishwa viumbe mkaambiwa kua ni Mungu. Mungu awe na walinzi Ili asiuawe?
@augustinofifi
@augustinofifi 2 ай бұрын
Kitu kama hujui ni bora unyamaze tu ndugu yangu
@augustinofifi
@augustinofifi 2 ай бұрын
Na huyo haijui dini anamjua Mungu ww endelea na kuijua dini itakupeleka kwa Mungu
@avitusmichael5
@avitusmichael5 2 ай бұрын
We mbwa umekomenti ujinga
@augustinofifi
@augustinofifi 2 ай бұрын
@@avitusmichael5 mzee matusi ya nini? Kila mtu abaki na imani yake. Mana kila mtu alikuja duniani kivyake
@avitusmichael5
@avitusmichael5 2 ай бұрын
@@augustinofifi sikuambii ww broo namwambia huyo mbwa uliyemshauri
@michaelpaul2237
@michaelpaul2237 2 ай бұрын
Mungu mbinguni ana walinzi ? Du anamwogopa Nani? Jamani Mungu sio mwamposa yeye ndiye anatutunza na kurinda viumbe wake.
@wemaMichael-fr4th
@wemaMichael-fr4th 2 ай бұрын
acha kutufanya wajinga yesu hakuwa na walinzi bali alikuwa na wanafunzi 12
@GilgariMinistryTanzania
@GilgariMinistryTanzania 2 ай бұрын
Ww ndio mshamba hujielewe na mchanga wa biblia mjinga wa injiri ww
@katemachanda7035
@katemachanda7035 2 ай бұрын
Hao hao ndio waliomlinda.... Kama unafikiri Mwamposa anachukiwa ambapo mmojawapo wenye chuki naye ni ww, basi tambua kwamba Yesu alichukiwa maradufu na watu wengi zaidi ya Mwamposa. Usiku wa hukumu askari walivyokuja kumkamata Yesu Biblia inasema Petro akachomoa Upanga wake na kumkata askari sikio. So hawakuwa wakimfuata tu Yesu, walikua wakimlinda pia kikamilifu na kila mmoja alikua na Upanga wake, sio kwajili yakukatia nyanya .... KWAJILI YA ULINZI.
@faridmohamed203
@faridmohamed203 2 ай бұрын
hawa matapeli hawajui hata dini eti mungu analindwa
@augustinofifi
@augustinofifi 2 ай бұрын
Kitu kama hujui ni bora unyamaze tu ndugu yangu
@augustinofifi
@augustinofifi 2 ай бұрын
Na huyo haijui dini anamjua Mungu ww endelea na kuijua dini itakupeleka kwa Mungu
@augustinofifi
@augustinofifi 2 ай бұрын
Wewe unaeijua dini ushawaombea wangapi wamepona?? 😅
@GilgariMinistryTanzania
@GilgariMinistryTanzania 2 ай бұрын
Ww dini imekusaidia nn mshamba ww wa dini
Touching Act of Kindness Brings Hope to the Homeless #shorts
00:18
Fabiosa Best Lifehacks
Рет қаралды 18 МЛН
The CUTEST flower girl on YouTube (2019-2024)
00:10
Hungry FAM
Рет қаралды 48 МЛН
Самое неинтересное видео
00:32
Miracle
Рет қаралды 2,5 МЛН
'Nilishtuka na mwili kufa ganzi nilipohukumiwa kunyongwa'
37:06
BBC News Swahili
Рет қаралды 22 М.
How Your Gut Can Shape Your Brain | Vantage with Palki Sharma
4:22
SNURA NA MUMEWE USO KWA USO NA SHEIKH KISHK AL-HIKMA FOUDATION
18:56
Kishki Online TV
Рет қаралды 98 М.