Mwana FA - HAKUNA WIMBO UNAOWEZA KUFUNGIWA / NAWEZA KUWABANA

  Рет қаралды 37,285

LilOmmyTV

LilOmmyTV

Күн бұрын

Ni follow kwenye mitandao ya kijamii.
/ lilommy
/ lilommy

Пікірлер: 72
@kasimuyahaya4010
@kasimuyahaya4010 5 жыл бұрын
Kama baada ya interview hii Umeenda kuitazama video Ya wewe endelea tu gonga like kwa mwana FA
@benmkare1095
@benmkare1095 5 жыл бұрын
This one is fabulous. FA n Lilomy having the best interview. FA is a real lyrics master
@Yegon254
@Yegon254 5 жыл бұрын
kuna wasanii ambao wakikaa kwenye interview ninawalaelewa sana, Mwana FA, Professor Jay, Jay moe na AY ninawakubali sana. Lilommy unaweza sana bro
@dejaevevents
@dejaevevents 7 ай бұрын
Mwana Fa napenda interviews zako.. LilOmmy ahsante sana King of Interviews
@mrmoh4234
@mrmoh4234 5 жыл бұрын
Watu makini wakikaa vitu makini huongeleka 💓🤝
@djmorefire5154
@djmorefire5154 5 жыл бұрын
hii interview sitaman iishe presenter mnyamaa guest mnyamaa falsafaaaa likewise dope interview
@1BoyJahman
@1BoyJahman 5 жыл бұрын
The chemistry between Ommy n Binamu is dopest...Mwana hafungii na kuepuka.. #Legacy!
@anelkaking9342
@anelkaking9342 5 жыл бұрын
Much love lilommy interview mzuri natamani isiishe yani,big up hamisi a.k.a FA.love from zanzibar.
@CSWafrica
@CSWafrica 5 жыл бұрын
wa kwanza, kama unamkubali FALSAFA bonyeza kitufe cha like
@bashirusalehenandoro3128
@bashirusalehenandoro3128 5 жыл бұрын
Yes ile sound isee nilkuwa najiulza how abibad make it sawa namkubal na ni mkalii ila ile imeenda extra kidgo big up kwa big P majan touch zake ni majan tu ndio anazo
@kasimuyahaya4010
@kasimuyahaya4010 5 жыл бұрын
Lil ommy upo vizuri kwenye interview pia napenda unavyofatilia mziki na mistari eti dakika ya pili sekunde ya nane
@binamubinamu1151
@binamubinamu1151 3 жыл бұрын
Lilommy nakukubali pia mwambie FA SALUTY KWAKE ANANIFUNDISHA SANAA KWENYE KISWAHILI HATARY
@RamazaniMulongeca
@RamazaniMulongeca 5 жыл бұрын
Big up sana #MwanaFA and #TheKingOfTheBestInterview crew🙌🙌🙌 #KIBOKOYANGU FT #ALIKING ONE OF THE BEST SONG🙌🙌🙌
@mytelecom2019
@mytelecom2019 5 жыл бұрын
unapita mule mule mwangu ramsey, kiboko yangu all time ni nyimbo yangu bora
@awadhtevez2918
@awadhtevez2918 5 жыл бұрын
Kichwa kimeja madini nakukubal Mwana FA among of very very powerful MC in Tz this guy is genius man whether you like or not
@newloudbitz2555
@newloudbitz2555 5 жыл бұрын
Hata usingezungumza bro mm ningeingia kichwan mwako kwa maelezo ya tshet yko hyo mesej hapo daah we sio king wewe ni teacher like a krs one
@ahmedsubar900
@ahmedsubar900 5 жыл бұрын
Fa wewe ni mtu wa pekee sana kwenye jamii hufanyi burudani tu bali unanyoosha na kurekebisha pia jamii
@djmorefire5154
@djmorefire5154 5 жыл бұрын
brooh your are really king ov interview keep it up broh falsafaa mtu mbaaaaaad sana madini Kama yoteee
@agustinokubagha8405
@agustinokubagha8405 5 жыл бұрын
Nakubali sana mweshmiwa mwana fa kama vile hajasoma kaongea kiswahili chenyewe sasa wameishia njiani sasa ni😴😴😴😴
@pastorycelvin2447
@pastorycelvin2447 5 жыл бұрын
Mzee wa kushuka nazo #Fa ft mzee wa kuchimba #LiliOmmy noma Sana'a
@ashurabairu25
@ashurabairu25 5 жыл бұрын
Mwana fa ni shabiki sana wa Nas Jayz na fabulous
@stevewanga957
@stevewanga957 5 жыл бұрын
Half man half amazing.... Yaan FA amekomaa sana.. Show ya kibabe 🇶🇦 🇶🇦 🇶🇦
@rehemahussein748
@rehemahussein748 5 жыл бұрын
Namkubali sana #mwanaFa kwenye freestyle anamaliza 💥
@honeyjerrylugose3312
@honeyjerrylugose3312 5 жыл бұрын
Half man half amazing na mwna falsafa🔥🔥🔥🔥🔥
@ramsomedia3550
@ramsomedia3550 5 жыл бұрын
Dah Lily wewe n tatizo mjombaaa U can.....
@beentertained4173
@beentertained4173 5 жыл бұрын
Nice interview#kizazi sana
@hilalmtangi5241
@hilalmtangi5241 5 жыл бұрын
Nimeisubiria hatimaye hii hapa part 2
@shaniayubu2669
@shaniayubu2669 5 жыл бұрын
#lilommy kills me when he says mi ni KingofInterviews 😉 yes you are
@hamimumankanga5302
@hamimumankanga5302 5 жыл бұрын
fa, fa, fa... mr old
@pinotv1004
@pinotv1004 5 жыл бұрын
Wapili kuangalia cham la wana gong like
@bongo3609
@bongo3609 5 жыл бұрын
Kweli kabisa maana hi t-shirt umerudia ulishaivaa kweny interview ya XXL clouds fm hau deal na vitu vidogo bro
@alinassor6139
@alinassor6139 5 жыл бұрын
F/A I like you brother
@adilinanduguze2464
@adilinanduguze2464 5 жыл бұрын
Nakuelewa sana F A
@raphaeljerry6356
@raphaeljerry6356 5 жыл бұрын
Kisasi kisikufanye kuwa ndo kazi yamoto sana iyoo
@Yegon254
@Yegon254 5 жыл бұрын
Oyaa Lilommy sijui kama unasoma hii na watu wangu wa 254 naamini mtaniunga mkono kwa hii, watangazaji wa kenya hawana akili wengi wao, interviews ni za kishenzi utapata wengi wanazungumzia ngono tu.
@yohanapetro4937
@yohanapetro4937 5 жыл бұрын
FA nakuelewasana tena ukiwa kwenye kipindi bola cha lili om baada ya miladi Ayo ninyinyi apo maswali Yaakili
@vicentmatius9361
@vicentmatius9361 5 жыл бұрын
hata kusikiliza 2 ni burudani yani unasuuzika na unaongeza siku za kuishi pia unajifunza vitu ningi mno bgb fa kaza zaid yahapo
@benjaminmwampamba3748
@benjaminmwampamba3748 5 жыл бұрын
Nakubal
@khizzer_jr
@khizzer_jr 5 жыл бұрын
@linex kasema ivo ivo lazima watu wabaki kwa password zao ,mambo yatakuwa fresh #still OG
@jeshiwataaramo9982
@jeshiwataaramo9982 5 жыл бұрын
Nilisubir sana
@jeshiwataaramo9982
@jeshiwataaramo9982 5 жыл бұрын
Nini
@husseinmucky829
@husseinmucky829 5 жыл бұрын
Msanii wang bora wa mda wote,big boY
@burundidiana7906
@burundidiana7906 5 жыл бұрын
Ata mi napnd Kiboko yao kbs
@johnmwangi2435
@johnmwangi2435 5 жыл бұрын
Nice interview
@vicentmatius9361
@vicentmatius9361 5 жыл бұрын
yes fa hebu fanya utakavyo weza ifike moshi hio fyn
@smartmussadozen3535
@smartmussadozen3535 5 жыл бұрын
Fa
@akilimingimedia
@akilimingimedia 5 жыл бұрын
FA ni Msanii ambae sijawahi kumsahau tangu Ingekua vipi?
@sebariberio9621
@sebariberio9621 2 жыл бұрын
unyama
@benadam6411
@benadam6411 5 жыл бұрын
Yalaiti ndo mpango mzima
@khadeejaabdullah7083
@khadeejaabdullah7083 5 жыл бұрын
Kizaz sana
@khadijajuma3039
@khadijajuma3039 5 жыл бұрын
Jamani jamani ww m2 mm sijawai kuku chokagaaaaa
@shickkitabunda3959
@shickkitabunda3959 5 жыл бұрын
huyo msanii anayemsemea FA mwenye punchlines halafu wimbo hauna content ni Stamina
@gastorrogath3257
@gastorrogath3257 5 жыл бұрын
😁😁
@rick_bey
@rick_bey 5 жыл бұрын
Ni fid q
@charlesjonas4412
@charlesjonas4412 5 жыл бұрын
😂😂😂😂 kweli bro
@emmanuelmwambogha1088
@emmanuelmwambogha1088 5 жыл бұрын
Mbona hutoi wimbo na Ay tena
@emmanuelmwambogha1088
@emmanuelmwambogha1088 5 жыл бұрын
It's like Jay Z is your mentor.
@harrisnyingi6725
@harrisnyingi6725 5 жыл бұрын
Upo hapo yupo na Ay
@radjabushabani28
@radjabushabani28 5 жыл бұрын
nakukubal saaaaaana FA
@mariamkaaya8639
@mariamkaaya8639 5 жыл бұрын
🔥
@mtedewede22
@mtedewede22 5 жыл бұрын
Akil nying
@malickkasuga4805
@malickkasuga4805 5 жыл бұрын
Hata mim8 mnoko mnoko kwelii siwezi kuruhusu bint aolewe na hao jamaaa
@jaluumtanke8252
@jaluumtanke8252 4 жыл бұрын
Common men ,nadeal na vitu vikubwa .
@joesimba
@joesimba 5 жыл бұрын
0:09 lol
@vawamusic9495
@vawamusic9495 5 жыл бұрын
uyujamaa kiboko
@stevebruno984
@stevebruno984 5 жыл бұрын
Shilole kasha maliza ckuhz watu mnmtabaka wasanii wnogopa kwenda wasafi media kufanya intvw wataacha kusaportiwa 'na chapaaaaaa clouds
@josecharz7960
@josecharz7960 5 жыл бұрын
Kichwa madini
@R10_Rajab
@R10_Rajab 5 жыл бұрын
B!
@momuhija1832
@momuhija1832 5 жыл бұрын
Ww “yalaiti” ni nyoko na nusu
1 сквиш тебе или 2 другому? 😌 #шортс #виола
00:36
버블티로 부자 구별하는법4
00:11
진영민yeongmin
Рет қаралды 20 МЛН
VAMPIRE DESTROYED GIRL???? 😱
00:56
INO
Рет қаралды 7 МЛН
Help Me Celebrate! 😍🙏
00:35
Alan Chikin Chow
Рет қаралды 86 МЛН
Mwana FA Nitachagua kufa mimi ila sio mke wangu
19:15
The XO
Рет қаралды 97 М.
AWS Certified Cloud Practitioner Training 2020 - Full Course
3:58:01
freeCodeCamp.org
Рет қаралды 6 МЛН
Quiet Night: Deep Sleep Music with Black Screen - Fall Asleep with Ambient Music
3:05:46
لماذا تحريرها كلها ممكن؟ - بودكاست مع تميم
3:46:56
1 сквиш тебе или 2 другому? 😌 #шортс #виола
00:36