Ni follow kwenye mitandao ya kijamii. / lilommy / lilommy
Пікірлер: 127
@mannyelectechm.e.t4215 жыл бұрын
Ndio maana anaitwa Mwanafarsafa. Very intelligent dude, street smart with humility a down to earth dude. Safi sana @mwanafa @lilommy
@koffiarnold95925 жыл бұрын
#Baba_lilommy_Tanzania hakuna mtangazaji mkali kama ww ukovizuri!!!!!
@anelkaking93425 жыл бұрын
Kwa tanzania sijaona mtangazaji mwenyewe maswali mazuri kama lilommy, i like you bruda and big up kwako, nawachukia awa watangazaji wanao uliza maswali ambayo ayana msingi. Zao choko choko. Nawaomba watangazaji wengine waige jinsi lilommy alivyo. You're the really king bruda lilommy much love from zanzibar.
@mussamakange74212 жыл бұрын
Hakika kak mung amlinde huy mwamba💪💪💪💪💪💪
@biza605 жыл бұрын
Much respect my brother lil omy maswali yako ya uchunguzi Sana, unaitendea haki tasnia yako wewe balaaa nakuelewa Sana...unavyo chimba Maswali kwa undani upo tofauti na watangazaji wengine
@idrisashelimo3074 жыл бұрын
👍
@nuuhsavage77225 жыл бұрын
Mwana fa anajibu vzr mnoo
@johnmwangi24355 жыл бұрын
Ya kizazi sana namkubali sana mwanafa
@seffsamwel56493 жыл бұрын
God bless you and your family mwana f a one day we will singing together,
@Yegon2545 жыл бұрын
Much respect Omari Tambwe maswali yako ni ya kizazi sana, kabla ya interview unafanya utafiti kwa faida yetu mashabiki.
@jacobiejonnied_135 жыл бұрын
Huwa najua show kali au sio kali kwa kusoma mesej kwanza kabla ya kutazama🤣🤣🤣
@awadhtevez29185 жыл бұрын
Kichwa kimeja madini nakukubal Mwana FA among of very very powerful MC
@nasryshabany72045 жыл бұрын
M.fa dah upo vizuri sana mm shabiki yako shoh love
@oconnorcruz46725 жыл бұрын
W nikioo chawa tangazaji😃😃😃 Lv u bro**** O'Connor from sandton
@evansmallya55255 жыл бұрын
As You Have Said Mwana..UR A VERY GOOD PERSON MUNGU AKUBARIKI..Hats Off
@brightonsalim31115 жыл бұрын
Mwana FA anatunga sana yaani anatisha💥big up @lilommy
@andrewmtalemwa69705 жыл бұрын
Lily Ommy is f genius man
@bashirusalehenandoro31285 жыл бұрын
Yes ile sound isee nilkuwa najiulza how abibad make it sawa namkubal na ni mkalii ila ile imeenda extra kidgo big up kwa big P majan touch zake ni majan tu ndio anazo
@Zaidiyanusumedia5 жыл бұрын
Mwana mwenye falsafa zake🔥🔥🔥
@mortishavida51705 жыл бұрын
Nisaidie nielewe maanake ya" Falsafa" plz!
@barakakambi14695 жыл бұрын
From the word philosophy in Swahili Falsafa
@malewoemmanuel72365 жыл бұрын
Kuna wasanii ,halafu kuna Mwana Fa...
@straightkonect16135 жыл бұрын
Msanii pekee aliyejipa jina linaloonesha uhalisia jamaa ana FALSAFA si ya kupima.Ommy sikuiti Lil coz unafanya mambo makubwa Kizaz sana
@faresaconga21585 жыл бұрын
Ikiwa kuna mtu atakubishia kama kuna mwanamke anyeimba kama lady jaydee,basi mpige ntakuja kukutowa polisi,nipen likes hapa jaman hata kum10
@mussamussarajabu40165 жыл бұрын
Kzazi sana hom boy
@hassanmaganga15445 жыл бұрын
We jamaa ni noma nakuombea kwa Allah na huko marekani uchukue mtangazaji bora
@jameschanja83045 жыл бұрын
You never let me down my brother lilyommy appreciate you mwamba
@tarsissingano96935 жыл бұрын
Huyu jamaa anajua kuinterview musicians aisee. He is doing analysis first on the particular musician. Keep it up DJ the ommy
@munakatonga85465 жыл бұрын
Congratulations lilOmyTv uko vzur brouda
@kurwajuma24925 жыл бұрын
King of interview lily ommy
@LilOmmyTV5 жыл бұрын
👊
@anelkaking93425 жыл бұрын
Like you lilomy. Big fa nice interview.
@honeyjerrylugose33125 жыл бұрын
I love this man
@yohanabaraka81925 жыл бұрын
Maongez ya kikubwa sana haya....salute to ya' all
@khadeejaabdullah70835 жыл бұрын
Big up mwanaF
@ashamambo95025 жыл бұрын
Nakupenda sana
@stevenfumbi95665 жыл бұрын
Nakukubali sana liliomy good interview
@emmanuelahmedbyona2353Ай бұрын
LilOmmy TV huaga ana stali yake special ya interview 🎉🎉🎉
@mwendwamjukuu94685 жыл бұрын
Hapa kwa lilommy lazima uwe umejipanga na majibu yakutosha
@bekadavid73915 жыл бұрын
yani broo wewe kwama inta viu Mimi na kukubari sana
@khamisramadhan51335 жыл бұрын
Sure umekagua vizur ngoma za Somu Yangu.... (kuhusu 'pesa' kwenye mistari
@AlexanderMutuku5 жыл бұрын
Interview ..... Kizazi sana !!
@pastorycelvin24475 жыл бұрын
#LilOmmy ni sumu na nusu upo deep sana mzazi
@gineuspaul5 жыл бұрын
yaani Msanii ikienda Clouds au kwa liliommy inabidi ujipange vizuri sana
@deebrown79085 жыл бұрын
Kwa lilommy tu ndohunatakiwa ujipange
@charlzzesonconsciousness66855 жыл бұрын
Lil ommy anajua sana
@mclize73815 жыл бұрын
Kweli tambwe unafanya kitu ambacho kiko moyoni huwa huongei usichokijua saruti kwako bro mfuasi wako Niko nyuma yako siku zote
@rojasramadhany12095 жыл бұрын
Brother so is good all music
@fizzojay74415 жыл бұрын
Bg up ommy
@RamazaniMulongeca5 жыл бұрын
MwanaFA and the #KingOfTheBestInterviews NAWAKUBALI MPAKA MWISHO WA DUNIA 🙌🙌🙌
@mytelecom20195 жыл бұрын
aya bwana ramseyy tumekusomaa
@Nico-ek3nq5 жыл бұрын
interview imefanyika baada ya utaft ambao upo deep sana, big up lil ommy & fa
@azizimakotha49295 жыл бұрын
Sanaaaaaaaaaa aiseeee
@binamubinamu11513 жыл бұрын
Aiseeeee lilyommy unatishia Aman aiseeee
@rihanjama16435 жыл бұрын
Lilommy 🙉🙉🔥🔥🔥🔥🏆
@alvinmalle96245 жыл бұрын
Much respect F A..👊
@simonmuga20835 жыл бұрын
The Master Mind him self
@allyking3245 жыл бұрын
Ommy wejamaa nihatar
@blackseason5995 жыл бұрын
Sinung'uniki Sina Viatu Wenzangu Hawana Miguu. FA tatizo kubwa Tz.
@fadhilinyengo78535 жыл бұрын
Faida ya kusoma vitabu hiyo utaikuta kwenye THE MAGIC OF THINKING BIG cha DAVID J. SCHWARTZ
@bakarinamayano66225 жыл бұрын
Mtu yeyote hatakaekumbia yupo msanii wa kike anae imba vizuri kibongobongo kumpita lady Jay dee we mpige fa hatakuja kukutoa police!!!!!!!
@sameersaid50585 жыл бұрын
Hii ikiisha tu ipost in full manake lazma ni iwatch plz
@patrickmabula34075 жыл бұрын
Amazing show,,,
@mukangwapaul31135 жыл бұрын
Super interview
@LilOmmyTV5 жыл бұрын
Appreciate
@gaganog72995 жыл бұрын
FA is genius overflow 🙌👑
@lusekelomoses92005 жыл бұрын
Respect lily ommy Your Genius 🙏
@stevewanga9575 жыл бұрын
Yaani Interview za FA zimekomaa ni mtu watamani kumskiza,haboeshi kabisa... Alafu King interview pia anajipanga sana... Interview ya kibabe 🇶🇦 🇶🇦 🇶🇦
@muftiachuu66765 жыл бұрын
Omy nakukubali nauy mtoto wakitanga ndio msii bora kwangu ki tz
@gerrywin2194 Жыл бұрын
..."napenda sana harufu ya noti hasa zikitoka benki, nazirudisha huko ila kwenye akaunti tofauti'
@saleheramadhani93995 жыл бұрын
Uyu jamaa lilommy nibonge la mtangazaji maana atajipanga sana kwenye maswali
@saidnasihu5402 жыл бұрын
Yes i get money japo sio kama za fifty (50 cent) cousin ni genius
@franknurudin84565 жыл бұрын
Fa anajbu kwa weledi sana
@lowasamollel98525 жыл бұрын
#FA mkali kila wakati
@patyndugaja70145 жыл бұрын
🔥🔥🔥
@shaphyvuai68055 жыл бұрын
Falsaaafaaaa
@fasanitzfasanitz96315 жыл бұрын
@lilomy moto FA heshima milele ujawai kosea
@minahqassim80315 жыл бұрын
🔥🔥🔥🔥
@bakarikishaa48894 жыл бұрын
Mwana fa.. God bless you
@dutchballaka34225 жыл бұрын
We endelea tu
@oneboyjahman14404 жыл бұрын
Ommy did his homework damn it!
@LilOmmyTV4 жыл бұрын
👊
@zuhrasulyman57015 жыл бұрын
binamuuuuu
@omarymbalala62245 жыл бұрын
Fa
@mmungalubunga44045 жыл бұрын
Unafatilia sana
@shaffihsiraji31415 жыл бұрын
Tambwe we ni genius
@mwlrobinson2 жыл бұрын
Tambweeeee
@ramlaameer20575 жыл бұрын
Mwana f.a l.s.a.f.a ukipenda nasso z show tym niite zeyzey wa2 wanakwenda na ward........... dah
@ramlaameer20575 жыл бұрын
Kizazi ssana
@shaabanramadhan67705 жыл бұрын
Jamaa ana akili san ana mashairi yakisomi san
@hamismalimungu99595 жыл бұрын
Humu lazma kutakua namadini acha niichek
@abdallahjumannekisalo86995 жыл бұрын
Makin
@beatricesalama98085 жыл бұрын
Unazingua hamisi yani mpaka baadhi ya wasanii wapitie kwa dozen ndio aje kwako tena umfanyie interview ndio nini hvyo????
@juliusdaniel35145 жыл бұрын
Hahaha dada Beatrice Dozen ile ni brand nyingine kubwa
@asrymohd66905 жыл бұрын
Lly bigup sana ila kilasiku Waite ss shabikizako tupo sis sio wbc
@Mandenge5 жыл бұрын
Kama unakumbari wasafi media ni like afu tu hone niwa ngapi 🇹🇿🇹🇿🇹🇿 tuta mbaki juuuuuuuuuuuuu
@honeyjerrylugose33125 жыл бұрын
Mdwanzi tuu
@nehemiabilphon27595 жыл бұрын
Mshamba wa wapi sijui
@hilalmtangi52415 жыл бұрын
Let's me handle this #WeEndeleaTu
@bahatisteven28265 жыл бұрын
Watu tuna majibu nashangaa watu hawaulizi maswali, duuuh! Huyu jamaa kibongo bongo sijui kama kuna mtu anaweza kumwelewa kirahis kulingana na misemo yake
@jumalove26315 жыл бұрын
Naomba Leo unijibu kwann msanii akitoka clouds anakuja kwako Teena kufanya interview
@djmorefire51545 жыл бұрын
Juma Love ni ratiba za artist tu i think broo
@andrewmtalemwa69705 жыл бұрын
Ikiisha xxl inafata the playlist so msanii anaamua kufanya xxl then the play list
@user-pv6ih4nq5pАй бұрын
Mwalimu
@alvinmalle96245 жыл бұрын
Apo kwenye viatu tu match mzee
@michaeljeremiah6345 жыл бұрын
Lil ommy akuna kama ww najifunza kupitia kwako
@charlzzesonconsciousness66855 жыл бұрын
#Falsafa
@masongatz5 жыл бұрын
Yeah ni maneno yanayoonesha msisitizo, lugha ya picha namuelewa sana kzbin.info/www/bejne/qKPJmWusat2Ch7M
@hasijoh48052 жыл бұрын
E bwana e mi sana uyu fa majibu yake sijui kwawengine
@nonstopafrica5 жыл бұрын
Comment ya 100
@hawaynatimam9825 жыл бұрын
🇴🇲🇴🇲🇴🇲🇴🇲
@NestadonNestadon5 жыл бұрын
kwani hufanyi interview na diamond
@deebrown79085 жыл бұрын
I think Diamond he too busy
@sebariberio96212 жыл бұрын
unyama
@idrisahamza10235 жыл бұрын
Umesahau amin
@KiooTvOnline5 жыл бұрын
Ammygal stop looking @lilommy when u ask qns look at ur respondent
@abdulbakari41225 жыл бұрын
Falsafa za mwanafalsa fundi mashair ila jamaa unajua sn kuuliza maswal yaan wew bonge la mchunguz wa mashair ya binam yng.
@hammynassor30285 жыл бұрын
FALSAFAAAAAAA
@mortishavida51705 жыл бұрын
Falsafa maanake ni nini?
@mvungigaming5 жыл бұрын
MwanaFA
@mrs29185 жыл бұрын
@@mortishavida5170 mwana falsafa ni kirefu cha Mwana FA, moja ya majina anayojiita au aliyojiita