Baba joan hakika mimi ni sijawai kukosa tazama kazi yako na kila kazi huwa ni nzuri hivyo basi kwa binafsi mimi naomba utoe mwendelezo wa mali za marehemu kwani nijifunza kitu kwa series hiyo naipenda kweli kutoka MUSOMA -MARA .
@unique1brand984Ай бұрын
Uwe unamaliza movie baba Joan, finishing Yako hàtuielewi, Mali za marehemu hujamaliza bado
@charlesshitobelo6870Ай бұрын
Asante sana Comred Emmanuel Nchimbi, umeonyesha ukomavu wa kisiasa. Hao vijana limbukeni wanaodhani siasa ni tiketi ya kufanya uharifu wachukuliwe hatua. Hayo ni majambazi yamejipenyeza NDANI ya vyama kuficha uhalisia wao. Hata hivyo tabia zao halisi hatimaye tunaziona kupitia matendo na kauli zao.
@Edith-rq3mmАй бұрын
Nashangaa wengne cjui mnaonaga nin Kwan hamuon kama Mali za marehem haijaishaa mbon mnasifia Kaz ingne wakt ingne bado
@HilaryKalundeАй бұрын
Movie nzuri kiukweli inavutia hongera kwake baba joani
@HilaryKalundeАй бұрын
Like zangu jaman wapendwa maana sijawahi kupata like leo na mimi iwe siku yangu ya kupata like
@user-qi1ni8cq6qАй бұрын
Baba Joani unajuwa papa
@user-rz9uf2xx1xАй бұрын
Baba John mbona sasa humalizii kazi sasa ata hii atuna imani ka itaisha ak ila mali za marehemu ilikua tamu sana🎉🎉🎉
@rebeccasomeke22507 күн бұрын
Wabongo shida hapo tu hawanaga mwishoo
@user-on7in9tz6eАй бұрын
Kazi njema
@otrackdevidАй бұрын
Auna baya baba Joan aki mwlm mgn🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@user-qx4nk8jk9bАй бұрын
Hiyo nokal🎉🎉🎉
@Pascal-mu5hfАй бұрын
Dah baba Joan kweli na kubali Sana kazi zako nawa fwata 5/5 kutoka drc Congo 🇨🇩🇨🇩, alafu yule binti mwanafunzi kwakweli ni mrembo Sana angekuwa karibu na mimi ninge mtongoza❤❤ nawa takiya kila la heri kwenu.
@InssaManssaly5 күн бұрын
Inssa,manssaly
@DottoAthumani-lu7blАй бұрын
Ba Joan jikaze mwanaume kwanza nazikubal saana kazi zako utafika tu uendako
@IddyAbdallaАй бұрын
hii nimeipenda inafundisha sana bba Joan ila shida hujui mtu niwa aina gan kibinadam ni haki kumsaidia mtu akiwa hajiwez
@VeronicaNanjala-lv6eyАй бұрын
Wakwanza Leo naombeni like zangu much love from Kenya 🥰
@SharonJepzz-th7lqАй бұрын
ok mamboz
@IsmaelElfas26 күн бұрын
Chukua
@albertnyabwari7253Ай бұрын
Ni moto sana hii
@user-fn6tb3si7mАй бұрын
Mke wa baba joan jamani❤❤🎉🎉
@stevenkomba4621Ай бұрын
Kaz nzur sana Yan
@user-bt1vl8nu5nАй бұрын
Sas wew baba joan unafel hujamaliza mali za marehem unatuletea mpya tutakuwa atutizami
@user-ff4zw7oj8iАй бұрын
Mbona unaongelea movie iloisha angalia hadi full movie uelewe ni tatizo la kiufundi sio yeye
@user-bt1vl8nu5nАй бұрын
Kipenzi ata yeye kakosea maana uwezi angalia season ya kwanza mpak hyo afu full mv si inakuwa ni Ile Ile ko bando linaenda mara 2 ila nimeenda kumtazama mwisho kabisa ila ilipaswa hii story aitoe kwenye season ya 4
@PendoMkaneАй бұрын
mmh enaleta utam
@user-zb3po4xt2xАй бұрын
Kazi nzuri sana baba Joan
@user-lz8kb9ds8kАй бұрын
Baba joani naombeni likes zangu from 🇰🇪 idd mubaraka nyote baba joani family
@AmerDeMnsterАй бұрын
Sijakuelewa
@MakokyaEbinda22 күн бұрын
Minacitumiyaayo
@FelistersamwelАй бұрын
Tatizo lenu series zenu mnaishia njian hatuon mwafaka
@PaschalCharles-tm6vxАй бұрын
Huyo bint mzur sana🎉
@goodluckmhagama5363Ай бұрын
Baba joan Ss Mashabk zako ase Nisaidie namba ya huyo jini😂😂
@theylove_mayaАй бұрын
Ogera baba Joan tuna kukubari sana
@user-wj7vo5kv4nАй бұрын
Baba jon unatuchanganya movie zako huzimaliz unaleta nyengine malizia kwaza
@user-jf7rs5ms1qАй бұрын
Uyu baba ana move MZr ila amalizii hata mama mkwe pia mwalimu mgeni
@Tevian-jm4zzАй бұрын
This is awesome this movie is nice
@otrackdevidАй бұрын
Wa Kwanza Leo naomben lake zangu😅😅
@user-wv3du7ld2pАй бұрын
For sure karibu kumalizia movie zako am here waiting for Mali ya marehemu naomba umalizie
@HilgathRamadhaniАй бұрын
Malizia kazi Baba Joani kua mbunifu maan muv unaruka hatukuelewi
@DottoAthumani-lu7blАй бұрын
Ba Joan angalia kuna kitu anataka kutoka kwako
@kingsalim3958Ай бұрын
Cinema hii nimeipenda sana,,, zidi kugrow na kutupa content nzuri zaidi kila siku. I love your great work from here at university of eldoret, Kenya ❤️ Mungu awabariki siku zote
@gimpesamsontv706Ай бұрын
Kazi nzuri sana story safi
@AbihudiShonza18 күн бұрын
Xxvdeo
@AbihudiShonza18 күн бұрын
Xxx
@AbihudiShonza18 күн бұрын
Xxxxx
@AbihudiShonza18 күн бұрын
Xxxxx
@AbihudiShonza18 күн бұрын
Abihudishonza
@jackiekhajiji388928 күн бұрын
Nilikuwa nimepoeka na nyinyi juu amumalizi movie
@user-dm1hs5vz2cАй бұрын
Na imani hii kazi utaimaliza tena kwa uzuri kabisa
@jasonlinetv1Ай бұрын
Hii itaisha nimeongea nae
@mudharyomaryАй бұрын
❤ injoii move Iko vizur
@dondeprincer9527Ай бұрын
maliza mobie baba hii mambo ya kuruka itakufanya ukose ubunifu kwa kazi zako
@goodluckmhagama5363Ай бұрын
Safi sana mwanangu Nice comment
@user-ff4zw7oj8iАй бұрын
Wewe sio shabiki ungefatilia vzuri ungejua kipi kilitokea hadi hajamaliza movie angalieni full movie
@user-gk8xg2dx6mАй бұрын
Hongera Sana Baba joan
@user-gk8xg2dx6mАй бұрын
Napenda Sana move zako
@JoashiMangaАй бұрын
Movie ninzur kweli
@nationaltrendingmedia4603Ай бұрын
Kazi safii
@MillyGesareАй бұрын
Story safi hiyo 🎉🎉🎉🎉
@ernestmnyagala2904Ай бұрын
move kali sana hii
@amoswafula4095Ай бұрын
Ala nomaha sana
@IsaiahIsaiahmolle-mn4tjАй бұрын
Congratulations 🎈👏
@user-yi6ub2uq2iАй бұрын
Movie nzuri xna kiuqweli inavutia much love ❤️❤
@jeremiahmashaka963Ай бұрын
Wigwa nigwa nahene lolo
@SAIDSALUM198111 күн бұрын
Kaziyako nzuri sana
@Brenny-lm6pj2 күн бұрын
Very nice
@wilsonsamsonwilliamsАй бұрын
Kali sana
@user-hr6ds2uq3uАй бұрын
Asee mkuu vipi 😅
@mathayoJeremia-ze5hh21 күн бұрын
Vp wadau
@user-hr6ds2uq3uАй бұрын
Poleni sana jamani mkuu 😢
@user-ib1bl7tk8xАй бұрын
Kaka johan ukovizur
@MillyGesareАй бұрын
Good job god blessed
@HamisOmar16521 күн бұрын
Well done 👍
@Mutimabonheur19 күн бұрын
Baba joan ww nakukubali san ❤
@HidayaHongole13 сағат бұрын
Vizuri umsaidie🎉🎉🎉😢😮😅
@IshmaelOkongoАй бұрын
wa kwanza Leo aki naomba like hata kumi 🙏🙌🙌
@MwitaChacha-kb7zk25 күн бұрын
Biti kama zakwenye movie zakanumba yani nimoto 😊😊😊
@WeremaSagati-tk5diАй бұрын
Ushaanz kufelii make unaanzisha ki2 hukimalziii eleweka mm nikajua naftilia mali za urithii tena umetoka umeinhia kwingine angalia mashabiki tunaftiaga sanaa
@user-ii7yw3bp2kАй бұрын
Uwe unamalizia movie baba Joan unatuacha pazuri kisha tunajua mwendelezo unakuja kumbe hakuna 😂😂mali ya marehemu niliipenda basi tu😢😢
@user-ff4zw7oj8iАй бұрын
NAONA MNALALAMIKA KUHUSU MALI ZA MAREHEMU LAKINI ALISEMA KUNA TATIZO LA KIUFUNDI LILILOTOKEA HADI HAJAMALIZA KWANI HAMJAANGALIA FULL MOVIE??
@zanishaikhonge7296Ай бұрын
Patronaiza pamoja sana kwa kipaji chako hakukubali sana
@FelisterSteven-fn7nrАй бұрын
Umetisha
@RajabuMlekwaАй бұрын
Unajitahd lkn baba joan
@EmmanuelStanifordАй бұрын
Hii ni nzuri sana nimeipenda
@damasmalipesa2477Ай бұрын
Mudy matuluuu
@DottoAthumani-lu7blАй бұрын
Ushaur unapoanzisha kaz jitahid bas uwe unazifikisha ili mashabiki tuwe tunazifurahia zaid na zaid
@ShallnDama-ew5ivАй бұрын
yes iko mwwwwaaa
@ShallnDama-ew5ivАй бұрын
❤❤❤❤
@hamxohamxo284525 күн бұрын
Ama kwel nimaabu
@OripaMoshaАй бұрын
Baba Joan kazi zako ni nzuri sanaa Ila uwe unamaliza kazi maana hata Mari za malehemu hujamaliza
@user-zz9uy8xo8iАй бұрын
Ww baba Joan utafanya mashabiki wako wakutenge Kwa hivo unavofanya humalizii kazi
@josephpeter4398Ай бұрын
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@TomasBenetdki8 күн бұрын
Binge la burudani
@user-ge3tn7zs8rАй бұрын
Nakukubali baba joan🎉🎉🎉
@lulupeter-xf9gsАй бұрын
Naomba like na mm sijawahi pewa like, kitu cha idd mubarak 2024 hii kwa babajoan
@graffinamisiАй бұрын
Like hunaenda kuziuza ama
@lulupeter-xf9gsАй бұрын
@@graffinamisi ndiyo nauza
@thamratysuleiman3053Ай бұрын
Bila music movie zinapendeza .sass kwa nn muweke muziku.munakelaa
@numpefikimwaipopoАй бұрын
Sasa upewe like wewe za nini wewe ndo umpe Baba Joan like 😂
@lulupeter-xf9gsАй бұрын
@@numpefikimwaipopo baba Joan lazma nimpe like mapema sana yani haipingwi kwasababu kazi zake najitahidi kuzifuatilia sana pia nazikubali sana
@SophiaHassan-fl8wwАй бұрын
Huluma mda mwingne zinatuponza jamani 🎉🎉🎉
@user-xu5rh6ub5jАй бұрын
Huyo mke wako ana roho mbaya
@user-hq4dz9sn8nАй бұрын
Nakukubali sana patronize
@suleimanbuta3217Ай бұрын
Nice
@pamelamasitsa-qw2yhАй бұрын
Kazi bora
@jasili3144Ай бұрын
Iko powa
@InnocentArmadillo-do9vmАй бұрын
Good job
@user-hr6ds2uq3uАй бұрын
Poleni sana jamani 😭
@mayayatv5045Ай бұрын
Like siyo mchongo sana ila Awa jaamah awajuwi kumaliza kazi zao
@FillahKeruboАй бұрын
Great video
@DottoAthumani-lu7blАй бұрын
Ba Joan jikaze mwanaume kwanza nazikubal saana kazi zako utafika tu uendako 😅
@yetu1016 күн бұрын
Movie zako ziko Sawa
@DavisOndieki-lm7jzАй бұрын
kipindi hiki moto sanaàaaaaaaasss
@DavisOndieki-lm7jzАй бұрын
weeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee!
@DavisOndieki-lm7jzАй бұрын
rada nzuri kweli
@GHgh-hq3zjАй бұрын
Saf kbs 😂😂😂❤❤❤❤
@WeremaSagati-tk5diАй бұрын
Tatizo lako humaliziii hujui chochite bora ukalime usiwe unatumalzia MB
@NelcyAfricaАй бұрын
NEW EPISODE WAAAU❤❤❤
@user-nh6nt2mf6rАй бұрын
Congratulations
@user-te6qu3fx9zАй бұрын
Jamani mbona mali ya marehemu hamjaimaliza mumetoa nyengine mnatuchanfanya wadau.