Mwanaume kamuwekea mkewe sumu kwenye maji ya kunywa...kisa? (Hekaheka)

  Рет қаралды 29,570

Millard Ayo

Millard Ayo

Күн бұрын

Leo August 1, 2017 kupitia Hekaheka ya Leo Tena ya Clouds FM mtangazaji Geah Habibu ameifuatilia hii stori ya mwanaume ambaye anadaiwa kumuwekea mkewe sumu kwenye chakula kwa ajili ya mwanamke mwingine

Пікірлер: 80
@safinaalfred1062
@safinaalfred1062 5 жыл бұрын
Daaah!!Pole sana Dada,Mungu ndiye muweza wa yote,
@naimamushi4819
@naimamushi4819 5 жыл бұрын
Daaah pole Dada mwenyewe yalisha nikuta mwanaume alikuwa ananilazimisha nigonge nikiwa naendesha gar doooooh wanaume mungu anawaona
@karungikarem4577
@karungikarem4577 5 жыл бұрын
Naima Mushi duh
@ashuraatanas5967
@ashuraatanas5967 6 жыл бұрын
Hatari sana binadam wa sasa pole mamy
@videralfred8889
@videralfred8889 2 жыл бұрын
Hapo Kwa madilu sistim🤩 ila pole sana dada
@princessyvetteevedollyisma2586
@princessyvetteevedollyisma2586 7 жыл бұрын
Kweli Mwenyezi Mungu akikuandikiya wafa utakufa tu,,,,,lakini binadamu hawezi towa huwai wa mtu kama Mungu ajaamuwa
@edinawilliam2943
@edinawilliam2943 3 жыл бұрын
Kweli
@TheSalma1999
@TheSalma1999 5 жыл бұрын
Mungu ambariki dereva wa bodaboda jamani wanawake tunapitia mazito jamani duh
@rosekaiza2716
@rosekaiza2716 2 жыл бұрын
Pole sana dada ila nimecheka kama mazuri pale uliposema yupo kama madilu sistimu!!
@alexkabeho5609
@alexkabeho5609 7 жыл бұрын
Duuh nimeishiwa nguvu nahiyo story pole sana monika
@bethcharles1794
@bethcharles1794 3 жыл бұрын
Pole sana
@dodomikleni9299
@dodomikleni9299 7 жыл бұрын
Kama mtu humtaki mwenzio bora umuache tu sio kumuua akaah.. Alhamdulillaah kua muislam.
@winniepaul6499
@winniepaul6499 5 жыл бұрын
Kwamba wakristu ndio wauaji au? Ukatili ni roho ya mtu maan ukiangalia makundi mengi ya kighaidi dunian ni ya kiislam chunguza vzur
@rehemaparis2161
@rehemaparis2161 5 жыл бұрын
@@winniepaul6499 jamani mwenye namba za geah abibu naomba mana namtafta sana ila naona hasomi coment namba zangu ni 0674943312
@rehemaparis2161
@rehemaparis2161 5 жыл бұрын
Nagea naomba namba zako
@pamelakasambala9589
@pamelakasambala9589 4 жыл бұрын
Duhh pole sana
@omarisuleiman2611
@omarisuleiman2611 5 жыл бұрын
Njon ktk uislam ataoa wake had 4 ila mnakaa huko mke 1 ndo uyo uyo 2 maish hat uktaman mwengne usubr afe ulienae au km ukion anacherew kuf ndo uanze mipango ya kumuua, mamb gan hayo?
@davidkimario9601
@davidkimario9601 2 жыл бұрын
Umenikela sana na hii kitu yako ebu nikwambie kitu tabia ya mtu ni tabia tu haijalishi dini wew na dini ya mtu ni dini yake tu huo sio ushauri ni upumbavu mjinga wa kufikili wew
@sifamugwaneza1178
@sifamugwaneza1178 5 жыл бұрын
Duh!!!!Jaman Ndoa zingine bhan ndo tunaambiwaga siku zote Mwana Mme nimtoto wamwengine hilo neno nikweli kbs
@zahrahamiskisuda8630
@zahrahamiskisuda8630 5 жыл бұрын
Wadada wa Oman mnatia aibu
@floranahashon1485
@floranahashon1485 6 жыл бұрын
Pole Sana Dada ila huyo Dada WA Oman ukae ukijua kuwa mwenzio akinyolewa we tia maji Leo kwake kesho kwako
@gracelee61
@gracelee61 6 жыл бұрын
Sasa wewe ushahisi ume kunywa sumu Alafu unapanda kitandani kulala, dada mungu anakupenda ungekufa,
@hadijaabdallah5477
@hadijaabdallah5477 5 жыл бұрын
@Ali Ali ww msenge kweli ww kumamako yaani we huijui roho ya kutapa tapa ww au unaropoka tuu ww nyooooo
@aminakassim7486
@aminakassim7486 2 жыл бұрын
Hapo sasa, nilitegemea angeenda hata kwa jirani aombe maziwa
@kurusumuissah2831
@kurusumuissah2831 5 жыл бұрын
Mtume wangu wanaume nyie kawalaani naniet ataungemuuwa ungefungwa ata huyo Malaya wako usinge muoa
@sifaali1744
@sifaali1744 7 жыл бұрын
mmmmh mashagara wa oman noma mwavunjisha ndoa za watu sasa hiili lijanaume harina hata akir
@leiratykisura6718
@leiratykisura6718 2 жыл бұрын
We dda usijumrishe watu kwa mtu moja ok mashagala noma sasa wote ndio wamemchukuria mume uyo dda koma kutujumrisha ok...pya uyo mdda ariopo oman hana makosa mume ndio mwenye makosa kwan sio mkweri,,
@liciouscharles3370
@liciouscharles3370 4 жыл бұрын
Ndio mana kaachwa anamuitaje mwenzie madilu system
@wemamtotochanelyusuphomari8262
@wemamtotochanelyusuphomari8262 7 жыл бұрын
Nae mwanaume hana kazi kusikia mtu yupo omani bac
@hasinatilafaeli616
@hasinatilafaeli616 5 жыл бұрын
Hahahaha
@juliethhouseofdesigns147
@juliethhouseofdesigns147 2 жыл бұрын
Dada tafadhali usije ukajitia kirudi kwa uyo mume ukirudi either atakupiga mapanga au akutafutie vibaka muache, na uyo mwanamke anayetaka kuolewa asubiri siku yake atajua hajui. Yaani uyo mwanamke alikuwa anajua kwanini akucheke ulipomwambia wewe ni mke? Na akujibu zilipendwa
@zuenamuogopemunguewemwanam1843
@zuenamuogopemunguewemwanam1843 5 жыл бұрын
dada rudi kwenye nyumba yako, yeye ndio aondoke. mwanajeshi gani mjinga hivyo huyo tahira tu.
@rehemamgeni203
@rehemamgeni203 2 жыл бұрын
Huyo mwanaume shetani na huyo bint ajiandae maana kama kaweza kumufanyia hivo mwenzie nayy ajiandae
@rahmamshiraz2223
@rahmamshiraz2223 5 жыл бұрын
Wanaume awa wasiokuwa na akir mh
@hadijaabdallah5477
@hadijaabdallah5477 5 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Madilu system mbavu sinaaaa yaani
@zenachottah8218
@zenachottah8218 2 жыл бұрын
Atareeeeee 😂😂😂😂😂😂😂
@salmaiddy6059
@salmaiddy6059 6 жыл бұрын
Tupeni nambazenu hekaheka
@lucymassawe2835
@lucymassawe2835 7 жыл бұрын
duuu,jamani,hadi machozi yananitoka.
@edithabusumabu2189
@edithabusumabu2189 6 жыл бұрын
Madilu system hahaahaa
@neemathomas2656
@neemathomas2656 7 жыл бұрын
yaani simtaki tenaaa mungu kaninusuru nakalia nini? nasepa amuowe tu
@najma3268
@najma3268 7 жыл бұрын
Neema Thomas pole sana mamy
@najma3268
@najma3268 7 жыл бұрын
Neema Thomas hata huyo anaeolewa unafikiri kwa hivyo ni mume huyo ! Yaan ni shetan kabisa
@user-ui5ut6xp3z
@user-ui5ut6xp3z 7 жыл бұрын
Huyo mwanaume pmbv zake
@nadyahassan7924
@nadyahassan7924 5 жыл бұрын
jaman km mtu humtaki kwann usimuache kuliko kutak kumua mtt wa mwenzio na ww unaejifanya umefika huko Oman utaja lipwa hphp duniani ukumbuke na ww pia ni mwanamke
@user-ui5ut6xp3z
@user-ui5ut6xp3z 7 жыл бұрын
Naitwa Zay npo Muscat naskili hapa
@hamidahamida1473
@hamidahamida1473 3 жыл бұрын
Zay.tujuwane.nautwa.Hamida.nime.oman
@edinawilliam2943
@edinawilliam2943 3 жыл бұрын
Nasisi tupelekeni basi
@princessyvetteevedollyisma2586
@princessyvetteevedollyisma2586 7 жыл бұрын
Alafu nawapa wanawake ushuri jamani ukijuwa mtu kaowa ama kaolewa usiwe chanzo za ww kuvunja ujuwi kesho yako itakuwa vipi
@fatihiaawadhi6696
@fatihiaawadhi6696 7 жыл бұрын
yaan huyoo mwanaume hastaili kuishi kabisaa japo hatutakiwii kuhukumu
@amongodfrey7266
@amongodfrey7266 3 жыл бұрын
Uyo baba kauwa wengi basi
@jamillahkheir6536
@jamillahkheir6536 7 жыл бұрын
madilu system😂😂😂😂😂
@zenachottah8218
@zenachottah8218 2 жыл бұрын
🤣🤣🤣😂 Ataliiiii
@hongerakkachawasemewwkzbut4996
@hongerakkachawasemewwkzbut4996 7 жыл бұрын
huyo mwanaume fala tena hana akili ana akili za kuazimwa na huyo hawara yake wa oman pumbavu zake nyoko tena.
@zenamilanzi1471
@zenamilanzi1471 7 жыл бұрын
Uyo ni shetani sio mume
@hasinatilafaeli616
@hasinatilafaeli616 5 жыл бұрын
Naitwa khasinat nipo sibu Oman nasikia store hii duuu wanaume mkisikia mwanamke yupo Oman mnatoa macho kwanini lakini
@جزجزشكطا
@جزجزشكطا 5 жыл бұрын
😂😂😂
@حليمهال-غ1ظ
@حليمهال-غ1ظ 5 жыл бұрын
Sema wewe nduguyangu. Yaani kama kwenye group zawassap wanaume baadhi ni kutafuta namba zaomani
@sikuzanibusanya6423
@sikuzanibusanya6423 5 жыл бұрын
@@حليمهال-غ1ظ umeona eee tena uyo dd Aisikie hii hekeheka kbs maana sio vizur kbs eti
@shamsiakitindi5806
@shamsiakitindi5806 4 жыл бұрын
Dada pole sana lla we baba mungu atakuwo nyesha na we dda uliopo oman mungu ata kuhukumu utakiona wwe warabu watakutesa had ukome
@shamsiakitindi5806
@shamsiakitindi5806 4 жыл бұрын
Dada pole sana lla we baba mungu atakuwo nyesha na we dda uliopo oman mungu ata kuhukumu utakiona wwe warabu watakutesa had ukome
@genovevaoiso2111
@genovevaoiso2111 3 жыл бұрын
Mwanaume.uyo.akamatwe.afungwe.Dada.ukirudi.kwake.wafa
@chancelinechuchu7333
@chancelinechuchu7333 5 жыл бұрын
siweze nikarud kiukwel mwanaume kama huyo
@mwanalikhamis9875
@mwanalikhamis9875 4 жыл бұрын
pole sana wanaume wengine sio
@mwanalikhamis9875
@mwanalikhamis9875 4 жыл бұрын
dag eya nakupenda mimi
@mwanalikhamis9875
@mwanalikhamis9875 4 жыл бұрын
dagea mimi nipo zanziba nakupenda kweli
@nagmagalkharous1635
@nagmagalkharous1635 7 жыл бұрын
mashaghala acheni kuchafua jina la oman
@fatmakiruwasha1752
@fatmakiruwasha1752 7 жыл бұрын
Wewe unapajuwa Oman palivy
@princessfettyrashidi2409
@princessfettyrashidi2409 6 жыл бұрын
@@fatmakiruwasha1752 😂😂
@حليمهال-غ1ظ
@حليمهال-غ1ظ 5 жыл бұрын
@@fatmakiruwasha1752 mimi napajua
@deborahelling9579
@deborahelling9579 6 жыл бұрын
MIaka 10 na mkeo Than anatokea kizabana tena muuza kuma Oman akatake mkatisha mkeo life hapana kwa kweli karma is bitch dada iko siku yata mrudia
@edinawilliam2943
@edinawilliam2943 3 жыл бұрын
Kweli
@leiratykisura6718
@leiratykisura6718 2 жыл бұрын
We kahaba acha kuwambia wanaofanya kaz oman basi ni wanauza kuma koma iyo kauri yako uwezi jua warikuwa na mausiano toka tz sasa arivyo kuja uku oman ndio mapenzi yamepamba moto na tatizo kuowa mke moja bola sisi wake 4 ok
@leiratykisura6718
@leiratykisura6718 2 жыл бұрын
Sasa hapo tatizo mke moja na mbaka hafe ndio uwerewe ndio shida iyo aritaka hafe aowe ifike tim warusu kuowa mke zaid ya moja miaka 10 mke moja jmn mume hawezi
@gaspermassawe7397
@gaspermassawe7397 7 жыл бұрын
Huyu mwanaume ana Akili za kuazima kwani mwanaume yeyote anatumia akili kwenye mapezi siyo moyo,uwezi kuua mkeo kwa ajili ya hawara yako,STUPIDEST
@mam_salum
@mam_salum 9 ай бұрын
Pole sana
HEKAHEKA: DSM haiishiwi mambo, isikupite hii ya Kawe
25:45
Millard Ayo
Рет қаралды 28 М.
Ful Video ☝🏻☝🏻☝🏻
1:01
Arkeolog
Рет қаралды 14 МЛН
How complex is the Implementation process ? | NBS Morning Breeze
36:38
Mama amwaga machozi kumlilia Mwanae wa kiume alieolewa
15:36
Millard Ayo
Рет қаралды 31 М.
Hekaheka ya mtoto wa miaka mitano anayedaiwa kubakwa na kaka yake
20:44
DUNIA (Ep 48)
23:19
ASMA FILMS
Рет қаралды 153 М.
MUME AFUNGUKA CHANZO KIFO CHA MKEWE, "SIMU YATAJWA KUHUSIKA".
7:43
Ful Video ☝🏻☝🏻☝🏻
1:01
Arkeolog
Рет қаралды 14 МЛН