Mtangazaji Maa'shaallah umependeza kuliko siku zote
@Zuu6735 ай бұрын
Wewe dada vaa ivyoivyo kila siku unapendaza mnooo
@dotogiving92935 ай бұрын
Simba atakuwa vile 😂
@MCNgakungaJunior5 ай бұрын
DAAAH!😂😂😂 HUYU MWIJAKU AKILI ZAKE ZINAMTOSHA MWENYEWE.
@hawaalihassan39325 ай бұрын
Lakini mwijaku kaongea point mwanamke ndo haonekani pengine yeye mwanaume ndo anaenda kumlilia nisamehe ukirudi tena ndo unaonekana king’ang’a
@aboudijaaboudija5 ай бұрын
kwan lazima? kuingilia mahusiano ya watu kama kuachana wataachana tu wale hawawez kuowana zaid daimond atazidi kumuumiza zuchu kwa matukio ni bora amove on basi maisha yasonge