Mtoto wa kislam unatamani vi2 vya kidunia nilitegemea utasema unatamani kwenda Hijja
@bauchiza338216 күн бұрын
Haya proud to be amefika
@MelanyMelany-ep4bw16 күн бұрын
Km hujui alishaenda hijja basi ina maana humfatilii mwijaku😊
@souvenirweber716916 күн бұрын
Huyu pamoja na bahati alizonazo kupitia ubarozi anaopata hana akili ni mropokaji anajisifia sana masifa ya kijinga
@souvenirweber716916 күн бұрын
Iwe taasisi au mtu binafsi ukitoa kitu kwanini ufatilia kwani alikuwa hafiki kazini ?
@nasrimohamed755616 күн бұрын
@@MelanyMelany-ep4bwalienda umra wala c hijja
@Marioarsenal16 күн бұрын
Tulioangalia mpaka mwisho like apa
@boubabizo24616 күн бұрын
Naskilia huruma huyu😂mwanamkee kwa kweli.. ivi huwa nadanganywa marangapi kwa siku😂?
@aishaaisha987616 күн бұрын
Masifa nimengi sana brother 😂😂😂
@user-cb2us2nu2m16 күн бұрын
MKE WA MWIJAKU ANAKIBALI CHAKE KWA MOLA WAKE KWAMAANA MWANAMKE KUMVUMILIA MWIJAKU SIO RAISI KWAKWELI
@ankalmzito25416 күн бұрын
😂😂😂eti baba levo anafyatua mapua kwa redio
@husseinmushi16 күн бұрын
Sio kweli Baba Levo amekosa Visa kwa sababu aliwahi kufungwa
@mlekwa15 күн бұрын
Oya bwana mm hata mkinitukana Kwenda marekani kazi sana😅😅
@fadhilisafari640315 күн бұрын
Nmeangalia hii vedeo nzima ,, wueee Likes za wakenya banaa😂😂
@nemhinamsuya16 күн бұрын
MKE WAKE ANATAMAN KUCHEKA,SEMA ANAJIKAZA.
@user-fz1kh9in2c16 күн бұрын
Acha Roho msaidie mwenzio ana familia
@zahrababygarl156816 күн бұрын
Mke mzuri anahela mpole alafu anatako og😂
@AbediMananga16 күн бұрын
Uyu mama ao mke wa mwijaku anavumiliya mengi
@IOSARBX16 күн бұрын
Simulizi Na Sauti, I loved this video so much, I had to hit the like button!
@patricemacky116416 күн бұрын
Ule ujinga wako wa chaina wa kugusa gusa watu hovyo upunguze hapa usa usije kupigwa risasi bure.
@leonidamachuru596014 күн бұрын
zuchuu lazima atachwe ndio tutazame zuchuuuuuuuuuuu 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@user-rh2ex3dy1z16 күн бұрын
Jamani uyu kaka mi naona kusoma alikosoma elimu haijamsaidia chochote kazi yake ni kuongelea habari za watu sio kufanya kazi zake anazopewa za ubarozi Hakuna mwanaume mbeeya km huyu Shangingi wa kiume du Kesho Kwa Allah atakiona
@BarbaraPatience-qt9cc16 күн бұрын
Wala hajasoma
@minaeli598916 күн бұрын
Nyoo eti elimu yake hamsaidii wee mtu mpaka mama anamtaja mwijaku mwanangu yupo sasa wee ni nani umkatae kwa tariff yako mwenzio elimu imemsaidie amejua technic ya kuitumia elimu yake
@minaeli598916 күн бұрын
@@BarbaraPatience-qt9cceti hajasoma roho mbaya itakuuwa ikuwa rais anajua elimu yake wee ni nani umkatae mwenzio anaingiza pesa
@nasrimohamed755616 күн бұрын
@@minaeli5989 duuh umejkakamua hvyo kumtetea mwijaku hahaha haya bhna
@ChireGriffin15 күн бұрын
Ndo wanafunzi wa kitanzania
@JeremiaKasambala-d2s16 күн бұрын
Mwanamke aliyeolewa na mwijaku sijui inakuwaje yani anaweza vipi kuishi na kiumbe hiki
@thequeenawifeofking851810 күн бұрын
Pasua kichwa ila kumbuka mungu anakupa wa kufanana nae😅
@hassanisaimon15319 күн бұрын
Toka kuzaliwa mpk leo cjawahi kuona mtu mjinga kama huyu
Na ndio mkoa wenye watu wenye akili nyingi sana kwasababu ya uwepo wa chumvi ya uvinza.
@omarybakunda255415 күн бұрын
Baba levo mkubwa sana kuliko wewe mwijaku
@AhmedyMahmudu16 күн бұрын
Malawi hawaongei kiingereza bana
@user-pt7lc4xu3d15 күн бұрын
Mke WA mwijaku ana akili sana kuliko mwijaku
@mancholotrasco835016 күн бұрын
Yani waandishi wa habari wanachukua mda kuckiliza ujinga na comedy ya kipuuz
@BarbaraPatience-qt9cc16 күн бұрын
Imagine
@Mumewangu15 күн бұрын
Acha wivu
@realramjen327015 күн бұрын
Ungekwenda na b levo ba ingekuwa poa
@Siriwanjehapamusic16 күн бұрын
Shooobo tu 😊
@HazardHbcomEmmanuelprodduseign15 күн бұрын
Attention mwijaku mais siya wai kukwelewa na kama unekuwaka muntu gani weule masikini tuh auko na kitu pauvre vraiment comme les autres chawa baba levo il est Boss parmis vous les chawa , tu mourra pauvre monsieur essayer de créé un atreprise privé.🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
@user-fz1kh9in2c16 күн бұрын
Sasa Kama gari alipewa anapangiwaje Kama alipewa
@giftgasper650115 күн бұрын
Wewe hovyo sana akili kisodaw
@hsometz535615 күн бұрын
Mke wa mwijaku baada ya kuskia jamaa anaenda alipopigwa trump risasi😂😂😂😂
@Eliabennet15 күн бұрын
Kuna vitu jamaa anadanganya nauli milioni kumi ehehe 😂😂
@AbediMananga16 күн бұрын
Mwijaku ivi ni mwananume ao
@rajabdibwa641515 күн бұрын
Mondi ashaenda sana leo wewe ndio wajisifu?
@rajabdibwa641515 күн бұрын
Wamekuchunguza wamejua wewe wazimu tu😂😂
@user-nb2jw4km6f16 күн бұрын
Kwa kuongea hatari 😂😂😂
@happynkya977015 күн бұрын
Huyu bwege anapendaga kujilinganisha na mondi jaman
@ThomasGabriel-x1i16 күн бұрын
Hana heshima kwa konde hana heshima kwa alikiba Sasa silent ocean inahusika vipi Na alikiba na konde Jamani mwijaku akili hamna
@user-fz1kh9in2c16 күн бұрын
Mwenzio ana familia inamtegemea usimnyime Ridhiki mwenzio
@rizikiabdalla250116 күн бұрын
Aaaa anaongeaa tu baba Levo amekaa jela na vizaa ya marekeni kama umekajaaa jelaa ni ngumuuu ukweli hasemi kwasababu ni rafiki yake hawezi kumsema vibaya
@Robinson2456016 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 kwa hivyo we si chawa sawa DC endelea kuheshimu tembo mwenyewe hana mbele wala nyuma
@BarbaraPatience-qt9cc16 күн бұрын
Simulizi hiini ujinga
@ericfelician799615 күн бұрын
😅😅😅
@marceljohnkimaty498616 күн бұрын
Yaani mke wake anacheka tuu
@DJDAPHERTZ15 күн бұрын
hahaha mtu wa maana kabisa
@ChireGriffin15 күн бұрын
Acha uongo.....,.wengi wamefungwa na wameenda... useless