DULLY SYKES ABANANISHWA NA SALIM KIKEKE/ AIMBA KASWIDA LIVE/ NILIMTOA DIAMOND NA ALIKIBA

  Рет қаралды 80,565

Crown Media

Crown Media

Күн бұрын

Dully Sykes kwenye Kasri La Kikeke.
Follow us on Social Media Platforms
Instagram:
Crown FM - / crownfmtz
Crown TV - / crowntvtz
Twitter (X):
CROWN MEDIA SWAHILI: / crownmediatz
CROWN MEDIA ENGLISH: / crownmediaen
Facebook:
CROWN MEDIA: www.facebook.c...
TIKTOK:
www.tiktok.com...
SUBSCRIBE & WATCH OUR SHOWS: / @crownmediatz

Пікірлер: 209
@SuleimanJembe-qj9nd
@SuleimanJembe-qj9nd 3 ай бұрын
Dully sykey ndio msani wa kwanza kuja kenya Tanzania zima
@rahmatsumo3274
@rahmatsumo3274 3 ай бұрын
Si wa kwanza kuna marehemu mbaraka mwishee na pia alikufia mombasa kenya hapo kengeleni kwa ajili ya ajali ya gari
@salumuseif3324
@salumuseif3324 2 ай бұрын
bo kidude unamjua
@Jamal_muller_Jordan
@Jamal_muller_Jordan Ай бұрын
Dah kengeleni lights duuh mwaka gan mitaa yangu i​@@rahmatsumo3274
@kinjekitilew
@kinjekitilew 3 ай бұрын
Asantee king kwa kumuleta salim kikeke mupe zawadi ya v8 ndio baba yetu wa habari
@fredmbossa-kc3qn
@fredmbossa-kc3qn 3 ай бұрын
sasa wewe kwa akili zako unazani hii media ya kiba 😆😆,,yani kikeke ndo mwenye media then kiba ni brand tu katumia yani ni kama unavyoona wasafi ni ya kusaga alafu diamond ni brand ametumia ,,
@kinjekitilew
@kinjekitilew 3 ай бұрын
@@fredmbossa-kc3qn sasa wewe kwaakili zako. Unajua nini acha ujuaji
@allykwaya
@allykwaya 3 ай бұрын
​@@fredmbossa-kc3qn Hujui kitu kuhusu kampuni, ndo maana unasema hivyo
@fredmbossa-kc3qn
@fredmbossa-kc3qn 2 ай бұрын
@@allykwaya hongera kwa wewe unaejua
@gloryjohn4531
@gloryjohn4531 2 ай бұрын
Haswaa huyu baba apewe maua yake
@alibachirofficial3939
@alibachirofficial3939 3 ай бұрын
From Mozambique 🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿 We recognize him as the first bong flavor creater
@BonusNdamcho-gx2mq
@BonusNdamcho-gx2mq 3 ай бұрын
Founder of bongo fleva💯🇹🇿
@elisharuhonkonya
@elisharuhonkonya 3 ай бұрын
Hongera Kikeke bro tunakukubari na HAPO upon sehemu sasa
@mcshujaa6496
@mcshujaa6496 3 ай бұрын
Crown FM crown Digital makofi mengi mengi Sana aaaa❤❤❤❤
@رقيهالخصيبي
@رقيهالخصيبي 3 ай бұрын
👋👋
@amisamaurid1882
@amisamaurid1882 2 ай бұрын
Mm nishie kusema hivi nyimbo zote alizoimba prince Dully Sykes zote ni Hit songs 🔥🔥🔥🔥🙏🙏🙏
@ce-08
@ce-08 2 ай бұрын
Tukianza na nyambizi ❤️‍🔥🔥❤️‍🔥
@sk-wj9or
@sk-wj9or 2 ай бұрын
Bahati mbaya hiyo inamfata ktk familia yai Dully. Hata uhuru wa nchi hiyo Tanzania ulianzishwa na babu zake lakini hawakumbukwi wala kutajwa. Hakina jipya kwake
@mikidadyhamis4070
@mikidadyhamis4070 3 ай бұрын
Mwanga na Nuru Kwa watanzania wooote🎉🔥🔥🎤🎧📻📺👑👑👑
@JescaShirima-ko7gx
@JescaShirima-ko7gx 3 ай бұрын
Noma san ❤❤❤
@adorateurpaulbukuru6864
@adorateurpaulbukuru6864 3 ай бұрын
Big 🆙 King KIBA 👑 Big 🆙 Mr Kikeke Salim, we are proud of you from DR C.O.N.G.O🇨🇩 Lubumbashi WANTANSHI🇨🇩✌️
@Shokolokobango9385
@Shokolokobango9385 3 ай бұрын
Uyo ndo baba wa huu muzik anatakiwa apewe tuzo kubwa sana ya heshima
@franksereki8558
@franksereki8558 14 күн бұрын
Crown ndo namba Moja kwangu kwa sasa
@AmaniAnzuruni
@AmaniAnzuruni 3 ай бұрын
Asante sana
@fatmasayid8895
@fatmasayid8895 3 ай бұрын
Kaka salim M.mungu akubariki sana kipindi kinapendeza❤❤❤mashalwa
@S.king_7
@S.king_7 3 ай бұрын
Crown on 🔥🔥🔥
@SuleAmber-lw2tx
@SuleAmber-lw2tx 3 ай бұрын
Huyu ni LEGEND wallah ❤
@salomewandya7257
@salomewandya7257 3 ай бұрын
Dully Sykes yuko Vizuri ❤❤
@tasamtv
@tasamtv 3 ай бұрын
Syo vizuri tu vzur sanaa😂😂😂
@nesymichael4286
@nesymichael4286 3 ай бұрын
Jamani tutafutieni na marrow
@roseamosi4324
@roseamosi4324 2 ай бұрын
Mr.Misifa O.G......mbrrrooookeeeh!!!!
@abdulazizjeizan-vx1mc
@abdulazizjeizan-vx1mc 3 ай бұрын
Dini INA umuhimu mkubwa sana kwa ajili ya maadili na kusafisha iimaan zetu vipindi vya dini pia no muhimu sana kuliko kila kitu maadili yetu yameharibika kwa sabu dini hatuipi kipaumbele
@pablotm3231
@pablotm3231 3 ай бұрын
Crown media...HAPA ndio nyumbani 🎉🎉🎉
@kidawajuma9597
@kidawajuma9597 3 ай бұрын
Kikeke ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@MosesNtiruchika
@MosesNtiruchika 3 ай бұрын
Kikeke broo uko vzr
@bonnypaul1516
@bonnypaul1516 3 ай бұрын
Kali sana
@nickojunior2
@nickojunior2 2 ай бұрын
RESPECT TO U 🎉🎉
@rashidkejo8666
@rashidkejo8666 2 ай бұрын
Of course yes you're bongo flavour legendary! Keep it up bro.
@NasoroMgongo
@NasoroMgongo 3 ай бұрын
Salute kikeke kutuletea maojiano hayo bwana dury
@BrunojnrMz
@BrunojnrMz 3 ай бұрын
Ongera sana Crown 🎉
@mrsinia3064
@mrsinia3064 3 ай бұрын
Dullysykes kwer ni wa kitambo sana aisee mi mwenyewe nimekuwa namskiliza tokea kipindi nasoma primary mpk secondary na moja kati ya song iliyonibamba sana ni ile ya Dhahabu i think watu wa zaman mnaujua huu wimbo
@enocksilungwepondajr9707
@enocksilungwepondajr9707 3 ай бұрын
Najaribu kuidowlod
@josephbundala7277
@josephbundala7277 3 ай бұрын
King Kikeke 👑 🔥 🔥
@abubakarimussa9131
@abubakarimussa9131 3 ай бұрын
Kikeke wallah wewe ni number one
@Oficialkb
@Oficialkb 3 ай бұрын
Safi sana, ❤❤❤❤
@salumuseif3324
@salumuseif3324 2 ай бұрын
crown ya motooo kila kipind hot ❤
@Luningatz
@Luningatz 2 ай бұрын
Ni Dully sykis na Daz baba 2 tu. Ambao wanakumbuka nyimbo zao zote toka enzi hizo mpaka leo
@salomewandya7257
@salomewandya7257 3 ай бұрын
Kali sana aiseee ❤❤🔥🔥
@abdulazizjeizan-vx1mc
@abdulazizjeizan-vx1mc 3 ай бұрын
Assalam alaykum warahmatullahi wabarakatuh all jumaa kariim all jumaa Mubarak mashaallaah tabaarakallah ndugu zangu wapendwa we crown FM crown kasri nawaomba kwa hisani yenu na iimaan yenu inshaallah muweke pia vipindi vya Dino vipindi vinavyohusu Dino shukran afwan
@mussamgonola3983
@mussamgonola3983 3 ай бұрын
Asante kwa kufikisha
@shamte9musicofficial126
@shamte9musicofficial126 3 ай бұрын
Mungu akupe maisha marefu bro dullysykes
@mohdkhalifa8828
@mohdkhalifa8828 3 ай бұрын
Hahahah asante duli ni wapeke lkn leo umejielezea vzr sana kk kitenge unajua❤❤
@IssahMfundo-un6hz
@IssahMfundo-un6hz 2 ай бұрын
The legend prince dully msanii wangu pendwa
@jibrilmohammed3698
@jibrilmohammed3698 3 ай бұрын
Wanyama
@jamilaathumani5481
@jamilaathumani5481 3 ай бұрын
Laiti kama ungesajili ubongo freva kama founder au mbunifu wa bongo fleva naalafu ungekuwa unachukua asilimia zako naamin sasaiv ungekuwa tajiri namba moja Tanzania na afrika kwa pamoja ..kama waliobuni sawap au twita au chochote walioanzishaga izo web site or whatever uko marekan..ungepiga sana ela..big up sana duli huna rohombaya wala malalamiko..heshima kwako kaka duli Sykes
@buanaquendaabdalaabdala8260
@buanaquendaabdalaabdala8260 3 ай бұрын
Kaka Dully ❤❤❤❤🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿
@RamadhananMambo
@RamadhananMambo 3 ай бұрын
Baby candy,I like it
@NeymarSinganoMuhando-gw1cb
@NeymarSinganoMuhando-gw1cb 2 ай бұрын
Kaka angu kipenz nilikuwepo kwenye video Ya hi ya kaka dully Sykes ilove you bro my pacha
@malikeyndotopopote
@malikeyndotopopote 3 ай бұрын
Nyambizi nakupenda. Wapi hiyo
@silashemed4849
@silashemed4849 3 ай бұрын
uzur wake dull hanaga sijui mambo ya kingeleza
@williamsongoro4397
@williamsongoro4397 3 ай бұрын
Crown fire
@EstherDavid-x2f
@EstherDavid-x2f 2 ай бұрын
Daaah kibaaaaa babaaaa nakukubal xanaa bro kutuletea huyu mwambaa dahh umetishaaaa
@abdulazizjeizan-vx1mc
@abdulazizjeizan-vx1mc 3 ай бұрын
Inshaallaah muweke pia na vipindi vya Dino vipindi vinavyohusu masuala ya dini I vipindi vinavyozungumzia dini shukran
@abdallahkambangwa7215
@abdallahkambangwa7215 3 ай бұрын
upo sawa kaka
@fredmbossa-kc3qn
@fredmbossa-kc3qn 3 ай бұрын
studio kali sana ,,ila hii media itafika mbali sana
@AbilahSalumu-qx1cb
@AbilahSalumu-qx1cb 3 ай бұрын
Safisana Dully Sykes
@JoaquimMashalangende-fw7xs
@JoaquimMashalangende-fw7xs 2 ай бұрын
Moto sana
@ShabaniAssumani
@ShabaniAssumani 3 ай бұрын
Crown❤
@PhilipoEmanueli
@PhilipoEmanueli 25 күн бұрын
Dully mfalume wa bongo atare 1
@Sakinaamani-o1t
@Sakinaamani-o1t 3 ай бұрын
Safi cnaaa
@JescaShirima-ko7gx
@JescaShirima-ko7gx 3 ай бұрын
❤❤❤
@starjay3052
@starjay3052 2 ай бұрын
oya sio poa dully noma
@KassimHanga-xr7rb
@KassimHanga-xr7rb 2 ай бұрын
The time had gone l'm remember him him very well
@sumayaishengoma4543
@sumayaishengoma4543 2 ай бұрын
Hongera sana Dully.. alafu hiyo miwani imekufanya ufanane zaidi na Will.i.am
@emmanuelkituma
@emmanuelkituma 3 ай бұрын
safi
@Othmanog
@Othmanog 3 ай бұрын
Good
@lukasmnyethi5903
@lukasmnyethi5903 3 ай бұрын
Owaaaaa
@jamilaathumani5481
@jamilaathumani5481 3 ай бұрын
Duli skykes hazeeki ... mashalah..tuliosikia salim kikeke kalikwepesha swali la Daimond fasta akamzungumzia alikiba tujuane🤣😂
@RaymondMuga
@RaymondMuga 3 ай бұрын
Crown fm mnatuangusha, Dully Sykes sio muasisi wa bongo flava, hebu fanyeni utafiti kabla hamjarusha hewani
@malikeyndotopopote
@malikeyndotopopote 3 ай бұрын
Tuambie wewe
@TwalibuAlbaamiryShoka
@TwalibuAlbaamiryShoka 3 ай бұрын
Hawa ni waongo muasisi ni TID alianza na Tutakumbuka na malaika
@bonnymakuke3153
@bonnymakuke3153 3 ай бұрын
​@@TwalibuAlbaamiryShokaTID kamkuta dully na juma nature washa toka kitambo2😢😢😢
@Hassan-ot1mc
@Hassan-ot1mc 2 ай бұрын
​@@bonnymakuke3153 wew kweli mtoto
@EdwardBalloho
@EdwardBalloho 15 күн бұрын
​@@bonnymakuke3153𝔱𝔯𝔲𝔢🤸🤸
@JumakhalifaMuhammady-w3f
@JumakhalifaMuhammady-w3f 2 ай бұрын
Nakukubali xana silimu kike mungu akulinde na akusimamie kwenye mapambano
@Aziza-z4f
@Aziza-z4f 2 ай бұрын
Mashaallah nawakubali wote
@Lando_Anthony
@Lando_Anthony 3 ай бұрын
Unyama mwingi sana
@JeremiahWilfredy
@JeremiahWilfredy 3 ай бұрын
Hapa ni nyumbani
@chodohbbway2843
@chodohbbway2843 2 ай бұрын
KING KIKEKE KWENYE HII ANGLE KING KAUA KINGS NA CROWN FOR LIFE
@waziribakari122
@waziribakari122 2 ай бұрын
Dully Mwanangu kitambo alikuwa akizinguliwa anatuita tunaenda kumtetea dah tushakuwa watu wazima
@PhilipoEmanueli
@PhilipoEmanueli 25 күн бұрын
King dully
@princekassimtz5848
@princekassimtz5848 3 ай бұрын
🎉
@Drive1day
@Drive1day Ай бұрын
kuna wasanii ni nadra sana kuaona kwenye interview big up sana crown fm
@saadaliy3979
@saadaliy3979 3 ай бұрын
Nakubali
@OckendenMkandawire
@OckendenMkandawire 2 ай бұрын
Harmonize anamuiga Dully Sykes hadi Muonekano, Dully karidhika hana shida., asnte mshikaji wangu Dully baba Mdogo.
@JhoseMulokozi-fl4io
@JhoseMulokozi-fl4io 3 ай бұрын
Mungu ni mkubwa 🎉
@Dianibeach718
@Dianibeach718 3 ай бұрын
Munipe likes hapa natokea kenya
@Caterllinegonzombilinyi
@Caterllinegonzombilinyi 4 күн бұрын
Dully mwenye bongo fleva yake
@matambitvog8786
@matambitvog8786 3 ай бұрын
@adamsonmwasumbi4201
@adamsonmwasumbi4201 3 ай бұрын
❤️❤️🙌
@yonamakeleleilenge2545
@yonamakeleleilenge2545 25 күн бұрын
Nakubali uyu muze kwa kuoji
@kapondomanda6442
@kapondomanda6442 Ай бұрын
The king salam
@kareemkiwamba139
@kareemkiwamba139 3 ай бұрын
big up kikeke nakukubali
@abinikaka2579
@abinikaka2579 3 ай бұрын
Daaah G kawatoa wing halafu yeye wala hatabuliki jmn ktk hili wasani muwatazame hawa jamqn
@VitusEmmanuel-pe3yi
@VitusEmmanuel-pe3yi 3 ай бұрын
Mmetixha crown mmmh hatalbxana
@LavieStrong
@LavieStrong 3 ай бұрын
Crown naifata 🇨🇩🇨🇩🇨🇩
@barakaramadhani662
@barakaramadhani662 3 ай бұрын
DAGALA BEMBEE😊
@Johnsonnsteven-zs1pg5cx9k
@Johnsonnsteven-zs1pg5cx9k 3 ай бұрын
Jmn tunaomba izo mak mziwek nembo ya crown jmn
@sergebaleke695
@sergebaleke695 3 ай бұрын
Uko sahihi kabisa hata mimi nina maoni hayo
@Johnsonnsteven-zs1pg5cx9k
@Johnsonnsteven-zs1pg5cx9k 3 ай бұрын
Kabisa
@MbongoBoy-yg9tq
@MbongoBoy-yg9tq 3 ай бұрын
Kikekebwaaa
@DaudiJoseph-s1s
@DaudiJoseph-s1s 3 ай бұрын
Yoo!ooo clouwn nawakubari kinoma noma sema nini daa! Iyo story ya uyo mwamba apo dully amenifuraisha sana kumgusia uyo mzee dagaa,rabembe siyo pow nimecheka kweri kweri!😅😅😅
@allykwaya
@allykwaya 3 ай бұрын
Sykes Prince.
@echasafuraha3423
@echasafuraha3423 3 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉
@King_Of_Everything
@King_Of_Everything 3 ай бұрын
👍✌️👊.
@djtobasoba3660
@djtobasoba3660 3 ай бұрын
Ila jamani ebu nielewesheni mnaposema founder wa Bongofleva mnamaanisha nini hasa?! Mkisema mmoja wa watu wa mwanzoni mwa Bongofleva nadhani ni sawa
@mrsinia3064
@mrsinia3064 3 ай бұрын
Maana ya neno founder ni kuwa mwanzilishi wa jambo au kitu fulan linatokana na neno foundation yaan msingi
@octavian54
@octavian54 3 ай бұрын
HIP HOP from America Zuku Rumba from Congo Rage from Jamaica Takeu from TZ Muhasisi Mr Nice Bongo frava from TZ muhasisi Dully but wengi wa walikuwa wanaimba ZUKU identity ya Congo
@alibachirofficial3939
@alibachirofficial3939 3 ай бұрын
​@@octavian54very explained
@simpleboytz255
@simpleboytz255 3 ай бұрын
Yeye ni founder ndiyo kwa sababu ni msanii wa kwanza kutumia biti la bongo flavor kuimba. Wapo sahihi
@mbatatakiazi1678
@mbatatakiazi1678 3 ай бұрын
Dully mkorofi sana. ETI why hapa kuna waZENJI wengi? Hahahaaaaaa!
@AsungaSteven
@AsungaSteven 2 ай бұрын
Dully hazeeki aisee
@JofreyAmi
@JofreyAmi 3 ай бұрын
Here is home.
@HarrisOthman-p7i
@HarrisOthman-p7i 3 ай бұрын
Ila crown inasikika vizr kinoma
@Finalist29
@Finalist29 3 ай бұрын
Kwahyo wasafi haisikiki vzur? acha unafki mzee
@kareemkiwamba139
@kareemkiwamba139 3 ай бұрын
tuipende sana iwe kubwa
@N.T.KDigitalCreation
@N.T.KDigitalCreation Ай бұрын
Nimependa Radio na maudhui ya radio hii.
The selfish The Joker was taught a lesson by Officer Rabbit. #funny #supersiblings
00:12
Harmonize alivyokutana na Diamond Platnumz - INTERVIEW PART 2
29:10
Millard Ayo
Рет қаралды 2 МЛН
Dully Sykes Ft Hidaya - Nyambizi (Official Audio)
5:44
Dully Sykes
Рет қаралды 52 М.
EXCLUSIVE: FID Q: SITAKI UTAJIRI MIMI/ HELA SIO KITU NATAFUTA
29:00