He 😂😂😂😂 kazi ipo jamani, 😂😂😂😂kitumbua umelaaniwa sana, watu wanatoa ahadi zakufa mtu sababu yako😂😂😂
@fallymetoo191Ай бұрын
Ni darasa tosha Ahsanteni mtunzi na msimuliaji Endeleeni kutupatia mafundisho ya kimaisha We ❤them 🎉🎉🎉
@TeklaNdekejaАй бұрын
Ukwel inamafunzo😢
@LujinaRamalanАй бұрын
Hii ndio simulizi yani unasikiliza hadi unarudhika so kisimulizi tone tone na pati kibao kinbe mnaweza kusimulia simulizi refu tu na hairurishi kitu hongera kaka ❤❤
@avelinabaluhya2804Ай бұрын
Mhhh! siku tatu mtu hajajifungua wanamwangalia bila kuchukua hatua, hiyo siyo sawa
@Wakiomiss.78Ай бұрын
Huyu mam ni mbinafsi kweli,yuajiwaza yeye tu,hamwonei huruma mtoto alie tumboni,yy ni kulilia mwanaume saa zote utadhani amekufa, mwanaume mwenyewe asha move on,kuwaza ujinga tu, wakati alikufukuza bila kukusikiza kilichokutokea ulipokua saloon,,ww kulia tu,siutakufa 😅😂😂😂
@avelinabaluhya2804Ай бұрын
Hongera Mamu kwa kumalizia vizuri sana simulizi yako, hadi raha💪
@MamuHssn-o6hАй бұрын
Thank you 🙏 😊❤
@priscillahsirya6544Ай бұрын
Hatimae tunamaliza mzigowetu❤❤❤❤ maua yako mtaalam jonathan
@zenaathumani8144Ай бұрын
Asante sana Jonathan simulizi ni nzuri sana 😢😢😢🙏🙏🙏🔥🔥🔥♥️♥️♥️♥️♥️ from Italy 🇮🇹 🇹🇿 ciao ciao
@MaryamKhamis-w9sАй бұрын
Asant wee maan nimeitafuta mpaka bas 😂😂😂😂
@Rais__772daughtersАй бұрын
Mbona huyu rob kama paka sume 😂😂😂😂😂wadada wanaweza enda mairu Mia kisa urembo tuh😅
@avelinabaluhya2804Ай бұрын
Kutoa hukumu bila kusikiliza pande zote ni jambo baya sana hata kama umeona ushahidi
@evelynlyimo1557Ай бұрын
Avery sweet tale of love and betrayal..kwenye familia wazazi wakiwepo matatizo huwaga inapataga suluhu❤,wazazi ni muhimu sana maishani mwetu, Nasra ni bora ulibadilika,❤maisha ni lazima usameheane ba kuungama..God bless you all
@echawekab3796Ай бұрын
Mamu ❤❤ ongera sana kazi mzuri
@MamuHssn-o6hАй бұрын
❤❤❤
@LouisianaRiriАй бұрын
@@MamuHssn-o6hleta nyingne
@avelinabaluhya2804Ай бұрын
😮❤❤❤thanks Jonathan🙏
@MamavailethMamavailethАй бұрын
Aise ni nzuri Sana ❤❤❤❤❤❤😅😅
@rauhiyasuleiman4626Ай бұрын
Wow! Wa 10 leo😂 nilivoisubir kwa ham zote kama muamala wa bank 😂, Naomba usitucheleweshee sehem ya 4, unatufanya tuchok kusubir
@Regina-p6rАй бұрын
Simulizi tamu sana❤
@TeklaNdekejaАй бұрын
❤❤Asante, tulivo imiss, Asante San mapemat tunaenjoy siku njema kwenu wadau wa J🔥🔥💯👌
@RehemaAbdallaKomboKombo-u3zАй бұрын
Jamani we kiumbe umenishinda tabia🤣🤣🤣
@SelemanAlmas-i2gАй бұрын
Ni kama Mimi niliimis sn
@MwanatumuJumaa-rj4fgАй бұрын
Siku njema kwako pia ...sema you tube kulikuwa kumepoa sana
@susansamira8137Ай бұрын
Simulizi tamu kweli mashem walipatikana
@MariamJuma-o9zАй бұрын
❤❤❤❤shukran kaka nice one 👍👌👏
@irenecherotich4975Ай бұрын
Amazing 🎉
@LujinaRamalanАй бұрын
Mungu mwema ila na wewe mjinga kuacha funguo kwa gari lazima uwe makini na wanaume wa hivi nawataka sana nahakika lazima atajuwa ukweli na atajuta tu ila namuacha kwwupe natafuta atakae nisikikiza siwesi mie ujinga kama huu
@Sss-b9w6fАй бұрын
Shukrani sana kwamwenderezo ❤❤
@MwanaMpole-mo5diАй бұрын
More love
@beatricesemiti5997Ай бұрын
Utalipia.dada ni nzuri mno
@MariamJuma-o9zАй бұрын
Shukran sana bro
@rauhiyasuleiman4626Ай бұрын
Simulizi ishaniuzi kwa kukubal kuwa na hansi
@khadijasayeed3381Ай бұрын
Jamani mbona hivyo😭😭😭😭
@AishamzamiluАй бұрын
❤❤
@RoseImaniАй бұрын
Mwisho waubaya niaibu
@annakinyi218Ай бұрын
Achia sai please 😢
@EvelyneAKIMANA-f9cАй бұрын
Simulizi zenu munaweka wongo xan hadi zinafanana namuvi zagihindi🤨
@RoseImaniАй бұрын
Asante sana
@hadiaali5517Ай бұрын
❤❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉
@LouisianaRiriАй бұрын
Yani nikionaga Mtunzi “MAMU HASSANI basi hapo huwa lazima tu nitulize fuvu Kusikiliza
@marthasonia5005Ай бұрын
🤔
@jonathanalexsimuliziАй бұрын
Hey guys samahani kwa kuchelewesha lakini leo nd tunamaliza kabisa simulizi yetu ili wiki ijayo tuianze simulizi mpya
@MwanatumuJumaa-rj4fgАй бұрын
Kazi safi kaka ...❤❤❤🎉
@TeklaNdekejaАй бұрын
❤❤❤❤💖💖💖💖🤝
@AnnaMelikionАй бұрын
Nitakuchapa fimbo ujue 😂😂😂 Ndio utucheleweshee kwann jmn😢
@TeklaNdekejaАй бұрын
@AnnaMelikion mulikokua wap na shostie🙇
@AnnaMelikionАй бұрын
@TeklaNdekeja Tulikuwa tunamalizia sikukuu 😂
@RehemaAbdallaKomboKombo-u3zАй бұрын
Twende nalo
@TeklaNdekejaАй бұрын
@@RehemaAbdallaKomboKombo-u3z 💐💐💐💖👍
@FarahaShwaibuАй бұрын
❤❤❤
@EvelyneAKIMANA-f9cАй бұрын
Simulizi zenu munaweka wongo xan hadi zinafanana namuvi zagihindi🤨
@AnnaMelikionАй бұрын
Khaaaa Wewe nae umetumwa kwsni😂😂😂 sio lazima uisikilize km unaona ni uongo
@ataamansi8941Күн бұрын
Sijasikiliza,huwa nasomaga comment kwanza, nisije jutia bando langu wengi humu wamevamia hii fani, dada yangu, hawana kipaji kabisa na hata kuna wasimuliji wanalazimisha kusimulia lakini kutokana na uwezo mdogo wanafanya simulizi iboe mfano kuna wadada humu wanafanya simulizi isinoge sauti 0 kipaji 0 tofauti na Veronica Frank yule dada kiboko anajua kuuvaa uhusika mpaka unasikiliza lakini akili anakuambia unaona movies,. au mwamba wa sauti Felix Mwenda, oen pia🔥🔥 kwahiyo kipenzi ana mtu akimkosoa mtu, sio kumchukia bali anatamani mwandishi au msimuliaji waboreshe wawe bora zaidi, si ndio hata tunasoma shule kunakuwa na mtihani ili wanafunzi wapimwe uwezo wao, uck mwema ana
@AnnaMelikionКүн бұрын
@@ataamansi8941 Umeelewa Lakin alichokicommet hapo huyo unaemtetea???au umejibu tu.ni kwamba anasema simulizi zao ni uongo.. Na Wewe hapo umeongelae saut ya wasimuliaji..mie nlimjibu kulingana na alivomment . simulizi za uongo ni mpka zinafanana na movie za kihindi Ndicho alichosema Na Wewe hapa umeongelea sauti sawa
@AnnaMelikionКүн бұрын
@@ataamansi8941 Sawa simulizi hizi Ndio ni uongo yani tuseme ni nadharia tu za watunzi na sio za kweli je kulikuwa na haja gani ya kuanza kuponda simulizi hujaielewa unasepa au msimuliaji hujamuelewa unasepa na sio unaanza kuponda sio poa hizi ni kazi za watu yani ni kama kazi nyingne tu imagine mtu aje kazin kwako aanze kukuponda hivi unajisikiaje?? sasa Ndio maana mie nikamsema sio poa