He's tensed n not ready for discussion....hes behaving locally,n confused.....shouting can not flow his point in matter.....bt most of ths guys its like thyre bitter of something....
@samuelmoses92434 жыл бұрын
Crazy man
@rosetteuwase9765 Жыл бұрын
Mungu saidiya wa Ismlam kutoka katika giza kubwa wamo ndani
@sulehassanshall61404 жыл бұрын
Huyu ndacha nigaidi shetan Amemua kwasumu mwenzake x pasta..wahshii n'dundhi.huyu ndacha shetan Amelaaniwa Anamtukana mpka mungu...Ndacha Ashikwe matutamatuta Akatoswe baharini kwenye maji ya kina kirefu.huyu Amekufuru mungu sana Anamtukana mungu sana na manabii wamungu. Ndacha Amekufuru sana..huyu ndacha nishetan Anakufuru sana Anamtukana sana mungu..
@naimaabdallah94914 жыл бұрын
Kwa Yesu tunasimama
@winniehall55694 жыл бұрын
Ndugu mwalimu Onyango bwana asifiwe. Nakuomba unijulishe nambari ya nguvu ya miwani ya miwani ya kusoma. Sio vizuri kukuona ukisumbuka hivyo kukisoma kitabu. Uiache hapa hapa nikiipata,nitakutafutia miwani nanitatumana.
@yesunialamayakiama.90134 жыл бұрын
Amina, fanya hivyo ndugu. MHUBIRI 5:4-5
@sarahabdulatif73914 жыл бұрын
Waisilamu nivichaa kama mtume wao hawajielewi mana niwafuwasi wamarehemu MUHAMAD dini yao inakufa kama alivyokufa mwenyew
@khalfanikishki36094 жыл бұрын
Kila siku wazungu wanasilimu huko ulaya, tena ndio wenye huo ukristo. England makanisa 500 yamebadilishwa kuwa Misikiti. Wazungu ni watu wenye upeo mkubwa. Nyie kazi yenu matusi na mabalaa mengine. Ndio maaana Wakristo siwapendi hawajielewi.
@nassorsharifu98374 жыл бұрын
Hujielewi wewe
@reutthemoabite Жыл бұрын
😂😂mzee anarukarukatu kachanganyikiwa kabisaa🙏
@جانيتكينيا4 жыл бұрын
Plz before mlete any one in this studio awe anajielewa coz huyu mzee aki mimi simuelewi
@richardkiarie7445 Жыл бұрын
Deutronomy 31=29 Deutronomy 32:21 romans 11:1 -11
@jackiekerry3244 жыл бұрын
This Muslim is very clever,is asking silly questions so that you give him verses and he is writing every verse so that he will use them later to confuse Christian's who do not read the Bible
@josephmwina8626 Жыл бұрын
Waaah,siku ingine nawaomba mtafuteni mwalimu wa kiislam mwenye hekima, kwa maana huyu hajielewi kabisa!!He's like been possessed na dini yao ya majini ambayo ni kiislam!
@deriusmahugu68364 жыл бұрын
We want to download please
@patrickndaro3724 жыл бұрын
Drop your no nikutumie hyo clip watsap
@deriusmahugu68364 жыл бұрын
@@patrickndaro372 0704165913
@johngichu79104 жыл бұрын
His aurgument makes strong a certain verse...that kutakuja mtu ummi....Hahaha,anaaibishi other muslims
@euniceeunice76804 жыл бұрын
Kbs aibu
@janenjenga56394 жыл бұрын
Very true
@drallicemugasa30863 жыл бұрын
Mzee picha unayoonyesha hapo studio si ya kufundishana kistaharabu ,Bali umeingia studio najaziba,kubwa! ha je wasikilizaji wako tutajifunza nini kwako? hebu elimishaneni kwa kupeana nafasi kwa kusikilizana .wasikilizaji tupate kuelimika.
@miketzee8064 жыл бұрын
Huyo mzee hajielewi na wala hajui anachokisema, hajui maandiko, ana hulka ya ubishi, yaani anadhalilisha uislam sana
@joshuanyamaiswe43274 жыл бұрын
Msialike watu wa namna hiyo siku nyingine maana hajielewi huyo . Kwa ujumla ametia aibu
@sokakilumbi92934 жыл бұрын
Prof S.A yesu anasema Yohana 20:17 Ninapaa kwenda kwa Baba yangu naye ni Baba yenu, kwa Mungu wangu naye ni Mungu wenu. kutokana na andiko ilo yesu anathibitisha kuwa yeye anaye Mungu!! swali kati ya yesu na uyo mungu wake yesu nani aliyemuumba mwenzie???
@yesunialamayakiama.90134 жыл бұрын
BND TV mnatuletea watu gani hawa jamani!!? 🤔
@davidotv82284 жыл бұрын
Huyu mzee alikuja kufunzwa hajui kitu..
@abcdg19953 жыл бұрын
The gentleman is something else
@oscahinyangala14903 жыл бұрын
Msiokote matakataka mkileta studio kama hili mzee gongomeza mate Hana mwelekeo hata
@godisgreat18454 жыл бұрын
Na mnapotaka kudanganywa watu juu ya Imani ya kufa kwa Yessu huwa mnatoa maandiko kuwa Yessu ni mwana wa Adam lakini baadae mnabadilika mnapotaka kumwita Mungu huwa mnaanza kumwita neno na mwana wa Mungu na Leo kwa Mara ya kwanza kutamkwa Yessu ni mwana Adam
@sokakilumbi92933 жыл бұрын
MSEMAJI kutoka Vatican ameshangaza kutangaza rasmi kuwa kurejea kwa Yesu Kristo mara ya pili kunaweza kukosekana baada ya kusubiriwa sana, japo akiwarai waumini kuendelea kuwa na imani. Kadinali Giorgio Salvadore alisema kuwa maadhimisho ya 1981 katika Jiji la Vatican yatakuwa ya mwisho, kuhusiana na kusubiri Yesu kurejea duniani. “Tunahisi kuwa Yesu harudi duniani tena kulingana na jinsi mambo yanaonekana,” akasema Giorgio, “Imekuwa miaka mingi. Huenda anafanya mambo mengine ya muhimu kwa watu mahali pengine.” Alikuwa akisema haya kutokana na hadithi ya Biblia kuwa miaka 2000 iliyopita, Yesu aliahidi wafuasi wake kuwa atarejea tena. “Kuna maboma mengi huko anakoishi baba yangu, na ninaenda kuyaandaa kwa ujio wenu. Kila kitu kikiwa tayari, nitarejea kuwachukua ili muwe name milele,” Yesu akaahidi wafuasi wake, katika kitabu cha Yohana 14:1-3. Lakini mkatoliki huyo wa Vatican alidai kuwa wakati alipokuwa akisema maneno hayo “huenda alikuwa akinywa mvinyo.” “Sote tunaweka ahadi ambazo hatuwezi kutimiza tunapokuwa walevi. Yesu alikuwa hivyo tu,” akasema Salvadore. Kanisa hilo sasa limesema kuwa litaangazia kujenga heshima yake duniani, japo bila kupoteza matumaini kuwa Yesu anaweza kuja tena. kama unabisha click iyo link hapo chini usome mwenyewe taifaleo.nation.co.ke/?p=26260 Eti mungu wenu alikuwa mlevi a.k.a chapombe !!! na hao waliosema kuwa yesu alikuwa chapombe ndio mabosi katika kampuni yenu ya ukristo!!! Thsy nasema ukristo ni kama movie ya kihindi uongo mwiingi!!!
@saimonlion4262 Жыл бұрын
Eti hayo ni maneno Yako 😂😂😅😅😅🤣🤣🤣
@margaretomwakwe91623 жыл бұрын
Huyu mzee ni comedian tu,
@raphaelkimaro17534 жыл бұрын
Mwalimu Onyango huyo mzee muhurumieni mfundisheni mana hajielewi wala hakujipanga mana hajui ni nini kinazungumziwa haswa.
@khalfanikishki36094 жыл бұрын
Matayo 24:3,5) Matayo 7:21,23) Wacorinto wa 1(11:17,22)
@raphaelkimaro17534 жыл бұрын
@@khalfanikishki3609 sasa hii inakusaidia nini shekh. na wala mistari hii haina uhusiano na mada tajwa hapo juu je, roho mtakatafu ni binadamu? shekh amalehangaika mpaka akadanganya muhammad ni roho lakini hana andiko. mtu mzima kutumia sauti badala ya maandiko ni aibu sana
@khalfanikishki36094 жыл бұрын
@@raphaelkimaro1753 Muhammad siyo roho mtakatifu. Bali ni nguvu ya Mungu inayotenda kazi zake(Gabriel)
@raphaelkimaro17534 жыл бұрын
@@khalfanikishki3609 Muhamad sio nguvu ya Mungu shekh. nguvu ya Mungu inakuwaje inalogwa? vipi nguvu ya Mungu itende dhambi?
@khalfanikishki36094 жыл бұрын
@@raphaelkimaro1753 Nimekuambia Muhammad siyo roho mtakatifu. Muhammad ni Nabii na Mtume wa Mungu wa kweli
@godisgreat18454 жыл бұрын
Halafu kufunga sio kila nabii aliopewa amri ya siku 40 kuna walio funga siku 3 na siku 7 ibada na wakati wa umati wake
@patrickndaro3724 жыл бұрын
Toa andiko basi tusome😂
@eunicebukokhe68052 жыл бұрын
BND mlileta mwendawazimu kwenye studio kidume hiki haki jielewi, angalieni watu wa kuleta studio wowote wenye akili, huyu akili imeraruka.
@richardshikuku62884 жыл бұрын
Naomba mtafute Dr Mazinge
@abbyadams86914 жыл бұрын
Waislamu kila kitu wanatumia nguvu. Mara zote huwa hawana hoja.Mzee hana hoja anaandika notice tu mwanzo mwisho. Mara asema Biblia ni uongo lakini pia anatumia Biblia hiyo hiyo kutetea hoja zake.
@gideonbarasa4534 Жыл бұрын
Huyu mzee mlileta is a jocker, and disgrace kwa muslim community. Hakuna kitu alijibu
@abbyadams86914 жыл бұрын
Siku zote Roho si mwili sasa inakuaje Roho akawa binadamu? Haitatokea siku hata moja Waislamu wakaielewa lugha na maneno ya Biblia kwa kuwa hawamtaki Roho Mtakatifu ambaye ndiye mwalimu wa maneno ya Mungu.( Biblia)
@nairobiflavour3 жыл бұрын
MTU mwenye hana roho mtakatifu hawezi shika kilichomo dani ya biblia takatifu
@rosetteuwase9765 Жыл бұрын
Huyu muzee ni abunwasi hajuwi kitu kweli akaye chini afundishwe
@jeniferedaya5283 жыл бұрын
Yesu ni nuru
@triuneapologeticsevangelis59124 жыл бұрын
Huyu jamaa amechanganyikiwa lakini ni sawa juu hii ndio Tania za hawa ndugu zetu,anasema roho ni MTU,halafu anaruka.....
@allyissalipawe70724 жыл бұрын
Kwani hapa unazani muislamu mh kalaga bao wenye akili zetu waislamu tunaangalia mbali uliza katoka wapi wametaka kumaliza bando langu hawajielewi wote
@profs.a54124 жыл бұрын
Hivi mpaka saiv hamjui kwamba uislam ni dini ya shetani kwa mujibu wa utabiri wa ufunuo wa Yohana ? Hawa si wanaabudu sanam ya jiwe jeusi lilipo kaaba kule ........mnapoteza nao muda tu ....hao waislam faham zao zimemilikiwa na shetani ....kawajaza ujuzi wa uongo. ..wanapindua maandiko sawa sawa na utabiri wa manabii .
@Footballer-19924 жыл бұрын
Exactly prof USA.
@issackabdi70014 жыл бұрын
Neno ukirsto hakuna katika bibilia nzima
@issackabdi70014 жыл бұрын
Neno ukiristo hakuna katika bibilia nzima uless itaandikwa after curfew is uplifted
@issackabdi70014 жыл бұрын
we respect all prophets and we love them all that is islamic faith ....i thank God for giving me this golden faith where a billionaire cannot buy ....Allahu Akbar ..mohamed is the final messenger ...
@timotheojumal8944 жыл бұрын
@@issackabdi7001 hilo neno ukristo n neno lenu lakn letu ni kristo na wakristo lakn hilo ukristo ni lenu wala katika Biblia yetu halimo
@sifaeliamazia60224 жыл бұрын
Jina la YESU liimidiwe.....abatizwe uyo
@khalfanikishki36094 жыл бұрын
Ubatizo wa Yesu kasome Yohana 17:3) Ukiamini hilo andiko, huwezi kuwa kafiri
@josephkamani20933 жыл бұрын
Haiii huyu Mzee amebanwa saaaaana Hana lingine
@erickmaisha47732 жыл бұрын
Mngelitoa huyo Mzee hapo bure kabisa
@idrissatuppa39974 жыл бұрын
Mnachekelea mmepata kibonde.🤣🤣🤣🤣
@Footballer-19924 жыл бұрын
Ndacha! Please this is like joke, leteni watu wanguana, mtu mwenye anatoa maandiko, si huyu!!!!!
@sokakilumbi92934 жыл бұрын
Josphat Ledama huu ni upumbavu hivi wewe unamwamini vipi paulo!!! ikiwa paulo anasema Matendo ya Mitume 26:9-11 Kweli, mimi mwenyewe naliona ndani ya nafsi yangu kwamba yanipasa kutenda mambo mengi yaliyopingamana na jina lake Yesu Mnazareti; nami nikayafanya hayo Yerusalemu; niliwafunga wengi miongoni mwa watakatifu ndani ya magereza, nikiisha kupewa amri na wakuu wa makuhani; na walipouawa nalitoa idhini yangu. Na mara nyingi katika masinagogi yote naliwaadhibu, nikawashurutisha kukufuru; ... paulo anasema kuwa yeye mambo meengiii anayoyafanya ni kinyume na yesu!!! ambae uyo yesu nyinyi wagalatia ndio mungu wenu!!! hii ni SHIIDDAH na amesema kuwa mara nyingi alikuwa anaingia misikitini(masinagogi) kwenda kuwa shurutisha watu(waumini) wamkufuru mungu wao!!! Duuuh na hii ni zaidi SHIIDDAH!! swali nyinyi mnaemfuata paulo nanyi mmeshurutishwa kukufuru au mmeamua kwa hiari yenu kuwa makafiri!!??? na tumsikilize tena paulo anasema.. 2 Wakorintho 11:17 Ninenalo silineni agizo la Bwana, bali kama kwa upumbavu, katika ujasiri huu wa kujisifu. Hiii sasa ni PASUA KICHWAAA!!!! na hapa nataka kujua, ikiwa yeye paulo haneni lile agizo la mungu!!! vipi kile kitabu chake kiitwacho biblia kina maneno ya nani!!!? kwasababu yeye ndio mtunzi mkuu wa biblia!!! kama vile anavyothibitisha mwenyewe 2 Wathesalonike 3:17 Salamu zangu mimi Paulo, kwa mkono wangu mwenyewe. Hii ndiyo alama katika kila waraka, ndio mwandiko wangu.
@truth77964 жыл бұрын
This man is Confused 😕 just like a kid
@patrickndaro3724 жыл бұрын
😂😂😂😂huyu mzee ni fani anauliza koja kumi na ngapi aandike aki ako shule karibu sana ufundishwe dini yakweli😂😂😂
@sulehassanshall61404 жыл бұрын
Hawa kina ndacha niwakora nichama cha shetan Washapigwa muhuri kupiteza watu .waislam mara nyingi washawaelimisha sana lkn hawa ni makafiri wakubwa sana .hawa niwendazimu. Hawa Akili kbsa..
@idrissatuppa39974 жыл бұрын
Kutetea uungu wa yesu ni kazi kubwa sana.
@mathewmoturi28954 жыл бұрын
yaani muislamu hata humsomee hawezi amini badala yake anatafuta njia ya kuepa.mzee hajibu maswali ni kurukaruka ili atimize uongo aliopokea kutoka kwa walimu wake wa madrassa.wachungaji wakiristo Mungu azidi kuwapa nguvu ili mpate kuwafundisha hawa waislamu atakaye taka ukweli afuate yule asiyetaka ukweli aangamie
Kwan ajawah fanya nao midaharo?sema waislam kelele kibao then kichwani ni 0 aibu
@جانيتكينيا4 жыл бұрын
Huyu mzee ajielewi kabisa send him back to sender aki ata quran yenyewe asomi
@taifastarstv24464 жыл бұрын
Uyo mzee kelele nyingi vp Kwan
@idrissatuppa39974 жыл бұрын
Mungu alimuuwa yesu siku tatu kisha akamfufua🤣🤣🤣🤣 Kumbe kuna mungu na yesu🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@petromachanga294 жыл бұрын
Aya gani mungu alimuua yesu, haaaaaaaa
@idrissatuppa39974 жыл бұрын
Petro Machanga muulize mwalimu paul sio maneno yangu nimenukuu.
@petromachanga294 жыл бұрын
@@idrissatuppa3997 hahaaaa elim ya madrasa
@idrissatuppa39974 жыл бұрын
Petro Machanga mwalimu wako kasema mungu alimuuwa yesu.inahitaji elimu kweli kuelewa. Au ni uelewa mdogo.mbona mnapinga maandiko.paul anasema binadamu ndy anakufa mungu hafi. Sasa yesu alikufa kama mungu au binadamu.
@idrissatuppa39974 жыл бұрын
Unajifanya unaongea lugha ya nabii muhammad lakini ya mungu wako yesu hujui hata neno 1🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@idrissatuppa39974 жыл бұрын
Paul muongo kuna maandiko kibao anamsingizia yesu na yesu mwenyewe anakataa.
@issackabdi70014 жыл бұрын
Wacha uwongo murtad ...ati mtume mohamed Aliambia fadaran " nikuamzishwa ..suratul fadiir iko katika sura ya ngapi na kuna neno ngapi ya fadirani katika quran kabla haijatarishushwa hio sura
@trezynjeri82882 жыл бұрын
Waislamu hamna masomo kweli
@ritharitha16854 жыл бұрын
Onyango achana na huyo hana lolote bibilia hajui qurani hajui mwambie asome wakolosai 2:8
@annewasike72904 жыл бұрын
Huyo mgojwa hajui bibilia
@issackabdi70014 жыл бұрын
Give time to express ..even if the studio belongs to you my friend ukewili
@johngichu79104 жыл бұрын
Alikua anataka kuonekana kwa Tv
@sambajohn50154 жыл бұрын
We unajua
@mussaabobakar75374 жыл бұрын
Mm naona kama wenyewe kwa wenyewe yote ata kusoma hamsomi vzr izo dalili za kwaza alie soma Quruan hawez soma izo et jaman mh
@idrissatuppa39974 жыл бұрын
Siku nyingine uongee kiarabu chako hicho mbele ya sheikh yahya ili akufundishe maana sahihi.Innimutawafikah haina maana 1.usidanganye watu.Eti mungu ndy alimuuwa siku tatu na mnaposema yesu ndy mungu tuwaelewe vp.mbona mnajichanganya nyie.
@mariamwakabuta10344 жыл бұрын
Huyo mzee anasema biblia inachanganya, mimi nakuelewesha hapo biblia imejaa hadithi za mitume na manabiii kila mtume na manabii na wote waliandika historia ya yesu maana yesu hawo wote waliwo muandika walikuwa washuhuda wake, wanafunzi wake na wafuwasi wake yesu, Ndiyo maana kila andiko yesu yumo. Huyo mzee amekuja kusoma hajui mengi yaani ni mbishi hatari yaani anauriza jambo alijaandikwa katika biblia.
@ramazecha28772 жыл бұрын
Mbna mwachukua watu wasiojua dini sio waubiri wa dini
@raphaelnzulimwashibanda37622 жыл бұрын
Mzee mbishi huyo haonyeshi maandiko
@derickomoghela99484 жыл бұрын
Huyo Hashim sio wa ulimwengu huu, maana amekuja bila kujielewa yuko wapi na anaongelea ni ni.
@sokakilumbi92934 жыл бұрын
kama utakuwa ni shabiki wa dini basi swadakakta wewe endelea na UKRISTO sababu huko kanisani kuna mziki, comedy na warembo wasio jaaliwa stara yaaani kama vile wako Disco!! ila kama unafuata dini ili usalimike kesho ktk maisha ya kaburini na maisha yajayo baada ya kufufuliwa basi anza mpango wa kushuka mapema ktk iyo meli iitwayo (MV. KRISTO) ambae dereva wake ni PAULO..!!! sababu yeye na abiria wake wanaelekea katka kisiwa cha adhabu kali na moto wa milele huko jahannamu ambayo ni mafikio ya khasara kuuubwa kabisa!!
@derickomoghela99484 жыл бұрын
@@sokakilumbi9293 Sioni kitu chochote kinachoweza kunibadilisha kuwa muislam maana nikiwa muislam siwezi kuupata uzima wa milele, siwezi kuwa mwana wa Mungu, siwezi kuurithi ufalme wa Mungu, siwezi kujua hatima yangu nikifa, Siwezi kuwa mtu mwema maana nitatesa nafsi za watu kwa kuwaua ama kutowapatia huduma zao stahiki hasa watoto wangu. Nikiwa Muisla siwezi kuwa na akili timamu maaana logic ya kuoa katoto ka miaka sita haijawahi tokea kwa Nabii yeyote yule, nikiwa Muislam nitakuwa mfiraji. Nikiwa Muislam nitakuwa ummi yaani mtu nisiyejua chochote hapa ulimwenguni. Nikiwa Muislam nitakuwa Muuaji kama ilivyoandikwa "Wasioamini wauwawe" Wapi na wapi Mungu akakulazimisha kuupata uzima wa milele? Wapi na wapi Mungu akakuambia dini ni ya Uislam ndio safi? Lini Musa alikuwa Muislam? Ibrahim, Yakobo, Isaka, Nuhu, Adam wapi walikuwa Waislam? Torati imeandikwa katika virabu vipi vya kurani tukutu?
@sokakilumbi92934 жыл бұрын
Dericko Moghela Ukristo ni shiddah eti kafiri nae anatafuta uzima wa milele ndani ya ukristo!!!... يَا أَيُّهَا الَّذِينَ آمَنُوا اسْتَجِيبُوا لِلَّهِ وَلِلرَّسُولِ إِذَا دَعَاكُمْ لِمَا يُحْيِيكُمْ ۖ وَاعْلَمُوا أَنَّ اللَّهَ يَحُولُ بَيْنَ الْمَرْءِ وَقَلْبِهِ وَأَنَّهُ إِلَيْهِ تُحْشَرُونَ [ AL - ANFAAL - 24 ] Enyi mlio amini! Muitikieni Mwenyezi Mungu na Mtume anapo kuitieni jambo la kukupeni uzima wa milele. umeona wewe mgalatia uo ndio uzima wa milele kumuitikia mwenyezi Mungu na Mtume wake!!! na kumuitikia kwenyewe ni huku قُلْ يَا أَهْلَ الْكِتَابِ تَعَالَوْا إِلَىٰ كَلِمَةٍ سَوَاءٍ بَيْنَنَا وَبَيْنَكُمْ أَلَّا نَعْبُدَ إِلَّا اللَّهَ وَلَا نُشْرِكَ بِهِ شَيْئًا وَلَا يَتَّخِذَ بَعْضُنَا بَعْضًا أَرْبَابًا مِّن دُونِ اللَّهِ ۚ فَإِن تَوَلَّوْا فَقُولُوا اشْهَدُوا بِأَنَّا مُسْلِمُونَ [ AL I'MRAN - 64 ] Sema: Enyi Watu wa Kitabu! Njooni kwenye neno lilio sawa baina yetu na nyinyi: Ya kwamba tusimuabudu yeyote ila Mwenyezi Mungu, wala tusimshirikishe na chochote; wala tusifanyane sisi kwa sisi kuwa mola Walezi badala ya Mwenyezi Mungu. Na wakigeuka basi semeni: Shuhudieni ya kwamba sisi ni Waislamu. sasa wewe ukiwa una muabudu kiumbe badala ya Mwenyez Mungu wewe unakuwa kafir wala hutoupata uzima wa milele ,,,kwasababu Yeremia 17:5 BWANA asema hivi, Amelaaniwa mtu yule amtegemeaye mwanadamu, Amfanyaye mwanadamu kuwa kinga yake Na moyoni mwake amemwacha BWANA. kwa iyo wewe na wagalatia wenzako mmelaaniwa kwa kumtegemea.... 1 Timotheo 2:5 ..., Mwanadamu Kristo Yesu; sasa kaa peke yako changamsha bichwa lako kwa kujiuuliza kuwa "ivi mtu mwenye laana atapata uzima wa milele!!!???"
@derickomoghela99484 жыл бұрын
@@sokakilumbi9293 Hakuna mahali kwenye Quran mmeahidiwa uzima wa milele. Ila sisi wakristo tunaemfuata Yesu tumeahidiwa uzima wa milele Yohana 17:3 "Na uzima wa milele ndio huu, wakujue wewe Mungu wa pekee wa Kweli na Yesu kristo uliyemtuma". Yohan 14:6 "Mimi ndimi njia na kweli na uzima, 7 mtu haji kwa baba ila kwa njia ya mimi, basi lolote muombalo ombeni kwa jina lanhu nami nitalifanya. Sasa Muhammad kwanza hamjui Yesu na wala hana taarifa za Yesu, kwa hiyo katika utume fake wake, sioni alipoonesha ishara yoyote ya Unabii.
@sokakilumbi92934 жыл бұрын
Dericko Moghela قُلْ مَا كُنتُ بِدْعًا مِّنَ الرُّسُلِ وَمَا أَدْرِي مَا يُفْعَلُ بِي وَلَا بِكُمْ ۖ إِنْ أَتَّبِعُ إِلَّا مَا يُوحَىٰ إِلَيَّ وَمَا أَنَا إِلَّا نَذِيرٌ مُّبِينٌ [ AL - AH'QAAF - 9 ] Sema: Mimi si kiroja miongoni mwa Mitume. Wala sijui nitakavyo fanywa wala nyinyi. Mimi nafuata niliyo funuliwa tu kwa Wahyi, wala mimi si chochote ila ni mwonyaji mwenye kudhihirisha wazi. ngoja ni kufundishe vipi maana ya aya iyo .. kwanza jua kuwa Mtume (s.a.w.) anajua hali yake na hali ya washirikina huko Akhera pamoja na hali za waumini (baada ya ufufuo). Kwa sababu Mwenyezi Mungu alimpa habari ya hilo; kama zinavyoeleza Aya kadhaa; mbali ya kuwa ilimu hii ni katika nyenzo za utume. na zimekuja Hadith mutawatir, kwamba Mtume aliwabashiria pepo watu kadhaa. Kwa hiyo basi Maana ya Aya hii ni kuwa Mtume hajui yatakayo mtokea yeye na yatakayowatokea wao washirikina katika maisha ya duniani na Mwenyezi Mungu atawatia mtihani gani . Vile vile hajui kuwa Mwenyezi Mungu atawaadhibu hapa duniani au ataahirisha adhabu yao mpaka siku ya ufufuo. Mimi nafuata niliyopewa Wahyi tu, wala mimi si chochote ila ni mwonyaji mwenye kubainisha. Sio kazi ya muonyaji kujua ilimu ya ghaibu; isipokuwa yeye anafikisha anayopewa wahyi na Mwenyezi Mungu kuhusiana na yale yatakayowatokea baada ya ufufuo washirikina na waumini.. kuhusu kujua hatima ya hapa duiniani hata yesu alikuwa hajui kuwa Mwenyez Mungu atamfanyaje!!!? kuthibitisha ilo kwanza sikiliza maneno ya yesu mwenyewe.. Yohana 8:29 Naye aliyenipeleka yu pamoja nami, hakuniacha peke yangu; kwa sababu nafanya sikuzote yale yampendezayo. umemsikia yesu alivyojinadi kwamba mungu wake yu pamoja nae na hawezi kuachwa na mungu wake, sababu siku zote anafanya yale yampendezayo!! ....sasa msikilize tena yesu Marko 15:34 Na saa tisa Yesu akapaza sauti yake kwa nguvu, Eloi, Eloi, lama sabakthani? Maana yake, Mungu wangu, Mungu wangu, mbona umeniacha? swali ivi kama yesu angekuwa anajua hatima yake angejinadi kuwa mungu wake yu pamoja nae na hatomuacha!!? Sasa ngoja nikufundishe maneno ya tauhidi kuwa, nafsi haikujua kuwa ingekuja duniani na wala nafsi haijui itakutana na mtihani gani hapa duniani!! na laiti nafsi ingekuwa inajua hayo wale waliokufa wakati wakujifungua basi wasinge beba mimba kabisa wangetumia vidonge!!! na wala nafsi haijui itakufia wapi na saa ngapi!!! kwasababu قُل لَّا يَعْلَمُ مَن فِي السَّمَاوَاتِ وَالْأَرْضِ الْغَيْبَ إِلَّا اللَّهُ ۚ وَمَا يَشْعُرُونَ أَيَّانَ يُبْعَثُونَ [ AN-NAML - 65 ] Sema: Hapana katika mbingu na ardhi ajuaye ya ghaibu isipo kuwa Mwenyezi Mungu. Wala wao hawajui lini watafufuliwa. na hata yesu mwenyewe hajui lini siku ya kufufuliwa wafu!! Mathayo 24:36 Walakini habari ya siku ile na saa ile hakuna aijuaye, hata malaika walio mbinguni, wala Mwana, ila Baba peke yake. ivi unajua kwanini yesu hajui ilo ..!!? kwasababu 1 Wakorintho 2:11 ....mambo ya Mungu hakuna ayafahamuye ila Roho wa Mungu. umeona ndugu kuhusu hatima yko ya kesho ukifa ktk hali iyo ya ushirikina (kuabudu Mungu zaidi ya mmoja) basi kuhusu ilo hata mimi najua kuwa wewe ni wa motoni tena milele.!! lakini kuhusu mitihani itayokupata hapa duniani mimi sijui wala uyo Yesu nae hajui!!! kwasababu ayo ni mambo ya mungu. Mungu mwenyewe ndie ajuaye kama vile hukujua kama ungezaliwa!! ila unachotakiwa uuache ukafiri(ukristo) kwanza alafu uwe muislam kisha uumche mungu ili mungu aweze kukuhurumia kwa kukuepusha na adhabu zake na akuingize katka bustani za milele..
@raphaelkimaro17534 жыл бұрын
huyu mzee hajielewi kazeeka lakini hana ufahamu wa maandiko akisomewa maandiko anabadili mada
@urbanstranger88402 жыл бұрын
Mzee amekataa quran takatifu na amesema ni maneno ya watu...
@moreyotheheartbeat32704 жыл бұрын
Leteni kina Yusuf ndio mujisifu sio mzee hasiyejua maandiko
@patrickndaro3724 жыл бұрын
Eti biblia umetaja nyumba 12 kasomewa sasa anauliza kunawakenya apo ndani😂😂😂😂 uyu ata anaibisha waislamu huyu uzuri anaandika tu ako tuition
@issackabdi70014 жыл бұрын
Murtad ahmed
@mariamwakabuta10344 жыл бұрын
Mwambieni huyo mzee anafanana na petro alikuwa mbishi kama yeye 🤣🤣🤣 quruan inahakikisha yesu alikufa siku 3 yeye bado anakataa eti hawakuwepo kuona hayo yote hajui kilicho mleta ukristo unamuingia taratibu inatakiwa asome vizuri viatu vyote ndiyo ajibu.
@sokakilumbi92934 жыл бұрын
maria mwakabuta hakuna aya ktk qur an inayo hakikisha kuwa yesu kafa!!! coz qur an hainaga mambo za uongo kama biblia!!!
@yesunialamayakiama.90134 жыл бұрын
Mmmh, huyu jamaa bhana. Na hajui anaowaabisha hapo.
@seraphimhotty70173 жыл бұрын
Mpaka Leo sijajua muhhamad nani alimpa unabii
@derickomoghela99484 жыл бұрын
Huyo hajui kitu juu ya haya mambo.
@CK-ii5cc4 жыл бұрын
Kweli uislamu Ni upumbavu
@khalfanikishki36094 жыл бұрын
Matendo 10:39) Yesu aliuwawa, akatundikwa mtini. Matayo 27:16) Alikuwa akilalamika msalabani, swali; Maiti analalamika?
@khalfanikishki36094 жыл бұрын
Huyo Paulo, angekuwa nchi za kiislamu, angekuwa keshachinjwa. Maana amekufuru. Sahihi Bukhari 6922)
@khalfanikishki36094 жыл бұрын
Kifo hicho, siyo chakwenda kaburini. Kifo hicho, ni kama cha usingizi. Qur,an 6:60)
@khalfanikishki36094 жыл бұрын
Wakristo mkibanwa, mnasema Yesu ni mtu. Na wakati mnatangaziana ni Mungu
@khalfanikishki36094 жыл бұрын
Paulo mnafiki kafiri, shoga. Bado kufirwa tu.
@idrissatuppa39974 жыл бұрын
Onyango Kwa Imani yenu yesu sio nabii.mfano wa musa sio yesu umehepa swali.
@aminland8764 жыл бұрын
ACHA UWONGO WE WE UNACHUKUA WATU WASIO JUA UWISLAM
@mashakamkolwi78294 жыл бұрын
Hutu jamaa mbona hajui maandiko, inatakiwa MPE chakula kilaini maana huyo nimtoto wa nasali, uwiiiu msiba.
@kelvinmichae7284 жыл бұрын
Huyo mzee mmemtoa wap? Maana anamalza bando langu tu!!
@sarahabdulatif73914 жыл бұрын
Hashimu vichekesho kweli
@idrissatuppa39974 жыл бұрын
Acheni kumsingizia yesu wala hajafa kwa ajili ya zambi zenu Kwa imani yenu.Imeandikwa kila mtu ataubeba mzigo wake mwenyewe. Na sio mzigo wa mahindi,bali ni zambi zako mwenyewe.ndy mana sisi hatuamini kifo cha yesu nabii wa mungu msalabani.😱
@euniceeunice76804 жыл бұрын
Maandiko ndo tunafata so pole sana. Ukitaka andiko utapewa
@idrissatuppa39974 жыл бұрын
Mimi Mimi kama yesu kawafia zambi kanisani mnaenda kufanya nini.
@presenttruthpioneersministry4 жыл бұрын
Ndacha fanyeni hima mkuwe mnaiweka aya kwa screen, hii kukataa imekuwa nyingi. Tena watu kama issa ni watu wabishi hawana maana
@sokakilumbi92934 жыл бұрын
kama utakuwa ni shabiki wa dini basi swadakakta wewe endelea na UKRISTO sababu huko kanisani kuna mziki, comedy na warembo wasio jaaliwa stara yaaani kama vile wako Disco!! ila kama unafuata dini ili usalimike kesho ktk maisha ya kaburini na maisha yajayo baada ya kufufuliwa basi anza mpango wa kushuka mapema ktk iyo meli iitwayo (MV. KRISTO) ambae dereva wake ni PAULO..!!! sababu yeye na abiria wake wanaelekea katka kisiwa cha adhabu kali na moto wa milele huko jahannamu ambayo ni mafikio ya khasara kuuubwa kabisa!!
@allanmogusu36544 жыл бұрын
Mlimbana bwana huyu sana...jamani wahurumieni hawa
@samuelmoses92434 жыл бұрын
Mjadala mbovu kabisa maaana huyu mzee hana adabu
@felixgitonga67835 ай бұрын
Hapo alikuwa amekufa na kufuka hio
@raphaelkimaro17534 жыл бұрын
Yesu wangu kumbe hekima haipo ja wazee tena? huyu mzee ni kilaza haswaa hata hajielewi
@hassandawaah98313 жыл бұрын
Hawa ni waigizaji ili kuharibu Uislamu,pili huyo mzee Wala simuislamu
@piterlaiza55764 жыл бұрын
Hahahaha waislamu weeee!!!! Wewe ni mwanadamu???
@sokakilumbi92934 жыл бұрын
Piter Laiza kama utakuwa ni shabiki wa dini basi swadakakta wewe endelea na UKRISTO sababu huko kanisani kuna mziki, comedy na warembo wasio jaaliwa stara yaaani kama vile wako Disco!! ila kama unafuata dini ili usalimike kesho ktk maisha ya kaburini na maisha yajayo baada ya kufufuliwa basi anza mpango wa kushuka mapema ktk iyo meli iitwayo (MV. KRISTO) ambae dereva wake ni PAULO..!!! sababu yeye na abiria wake wanaelekea katka kisiwa cha adhabu kali na moto wa milele huko jahannamu ambayo ni mafikio ya khasara kuuubwa kabisa!!
@interiorpaintingdesign93074 жыл бұрын
Mada hi ni nzuri ila mungeweka mda kwa kila mtu dakika 15 15
@danielernest85883 жыл бұрын
Mbona mmemleta mllevi
@frenkifrenki4775 Жыл бұрын
uyu mzee aeleweki analukaluka
@yesunialamayakiama.90134 жыл бұрын
Hata Kiswahili hajui, yaani neno sisi hajui kuwa ni la wingi. Eti anataka clip, kwa kipi ulichokifanya unatafuta kiki.
@sokakilumbi92934 жыл бұрын
kama utakuwa ni shabiki wa dini basi swadakakta wewe endelea na UKRISTO sababu huko kanisani kuna mziki, comedy na warembo wasio jaaliwa stara yaaani kama vile wako Disco!! ila kama unafuata dini ili usalimike kesho ktk maisha ya kaburini na maisha yajayo baada ya kufufuliwa basi anza mpango wa kushuka mapema ktk iyo meli iitwayo (MV. KRISTO) ambae dereva wake ni PAULO..!!! sababu yeye na abiria wake wanaelekea katka kisiwa cha adhabu kali na moto wa milele huko jahannamu ambayo ni mafikio ya khasara kuuubwa kabisa!!