Рет қаралды 18,283
BWANA Yesu alituonyesha wazi kwamba, Safari ya Mbinguni ni vita vikali kwamba "Tujitahidi kuingia kupitia ule mlango mwembamba; n kwamba Wengi watataka lakini waziweze." (Luka 13:24). Je ni vitu gani vinaweza kusababisha mtu wa Mungu asifanikiwe kuingia mbinguni? Vitu hivyo tumeviita "MAADUI WA IMANI" katika somo hili. Unaweza kupata vipindi vyote vya wiki nzima kwa kuwasiliana nasi kwa +255753497655. Barikiwa na tafadhali, SHARE link hii kwa wengine wengi, nawe utakuwa umemtumikia Mungu pamoja nami.
Asante, ni mimi Mwl. Mgisa Mtebe