Mzee wetu big up aise nilikuwa nime miss kucheka😂 nipo USA 🇺🇸 ata nikia kazin lazima niagalie mahojiano yako na mwanangu changamba
@rosenamilia4140Ай бұрын
Chagga pokea🎉🎉🎉❤❤ kwa kumleta Mzee Said leo kutupa RAHA ❤❤.
@mnyongeiddi2454Ай бұрын
Alhamudulillah mzee wetu Said anatupa raha sisi mashabiki zake
@charlesmtamala4912Ай бұрын
mzee wetu Mungu aendelee kukutunza🎉🎉🎉
@mwanaidimtengo8151Ай бұрын
Chagamba Asante sana Mungu akubariki sana,kwa kuteletea Mzee Saidi
@user-ed5cx2vn3xАй бұрын
Nimefurahi kusikia sauti ya mzee said leo😂 nakupenda mzee wangu uishi miaka 100🎉🎉🎉🎉
@iddfundikira2817Ай бұрын
Kinyume tu na uchambuzi wa mzee Saidi pia mzee anatoa na elimu Dunia na yuko vizur wanadamu tusijisahau kwa kiburi cha afya zetu za muda mfupi hapa duniani tumche Mwenyezi Mungu hili kuandaa makazi mema huko tuendako
@AisamCapadiaАй бұрын
Like za mzee Said
@issaabdi9129Ай бұрын
Mzeee Said ALLAH akupe maisha marefu ingawa, mimi ni Yanga bali nampenda sana.
@RashidyMuhuzarАй бұрын
Mzee nampenda sana hana baya❤❤❤❤
@styvendjuma9684Ай бұрын
Mzee wangu , naku kubali sana , from Rwanda 🇷🇼 baba
@EmmanuliM.lugembeАй бұрын
Nakufatiria Mzee saidi na chagamba wanangu sana tupeni raha
@IbrahimlundengaАй бұрын
tunao muelewa Mzee saidi hapa
@chandeyusufu9570Ай бұрын
Mzee said nakukubali sana nakufatilia nikiwa dubai
@HussenAdam-z6bАй бұрын
Jamani mzee said unatusahaulisha ugumu wa kaz yani nacheka kama nnahela saf sana mzee wetu
@user-hk6ms7vo1hАй бұрын
Tuambie chagamba shida ya Mzee wetu saidi tutachanga me Niko Kenya tutawajibika Saidi n mzeee wetu
@mwanaidimtengo8151Ай бұрын
Jaman Mzee Saidi MUNGU akuweke Kipenz Chetu,Unatufurahisha sana
@NdeonasiaMahavaАй бұрын
Mzee Said,Chagamba mnanifurahisha sana msipoonekana nawamic
@MichaelKandongaАй бұрын
Namba ya Mzee saidi apo uwe unaiweka walau tuwe tunampa ata ya maji ,,tunampenda saaaan ❤❤❤
@fafa_thedonАй бұрын
He’s so great mzee wetu maashaallah 🙏
@gonnetheboss1708Ай бұрын
Mi naomba namba ya mzee said au muwe mnaiweka tunatamani kumpa ata maji ya kunywa jamani ❤❤❤❤❤❤kopa nyingi kwa mzee said
@mohamedmangopola5657Ай бұрын
Baba me ninaakili ya kuona kule sio hapa 😂😂
@maganga7263Ай бұрын
Kutoka SOUTH AFRICA naomba namba ya mzee Said
@GeradinaJohn-xh8pwАй бұрын
😂😂😂😂😂
@MossiSaadatАй бұрын
Penda sn huyu mzee wangu mm allah amuweka miaka mingi yenye kher na wew
@AmisiAmani-vm5jhАй бұрын
Nikweli kabisa mzee saidi anatukosha sana
@elizabethywinnie1090Ай бұрын
Chagama kuwa makini na mzee atakuweka kofi😂😂
@IssaMtamilaАй бұрын
mzee saidi unanifraisha sana
@MagrethMgesiАй бұрын
Nampenda sana mzee saidi
@JolotaErastoJumaАй бұрын
Mzee said atatuua kwa fulaha ❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@Wami-SababishoАй бұрын
Mzee Said mtu wa maana kabisa 🎉🎉🎉🎉🎉
@bakariomarimndeme6059Ай бұрын
Hakika mzee zaidi inafurahisha sana sina raha bila kukusiki.
@SulaymanibunHamidu-kh7sxАй бұрын
Mzee saidy up vzl
@EbambeWakilongoАй бұрын
Na kukubali sana mzee nakufwatiliya nikiwa marekani 😊
@DonatiKilasiАй бұрын
Mzee saidi mwenyezi MUNGU akuzidishie maisha marefu
@errydeo8865Ай бұрын
😂😂😂😂mzee Said kachatuka na kuingilia Mbagala
@assumedprivacy3940Ай бұрын
😂 CDA Dodoma watoto wa nyumbani
@jumambwamboАй бұрын
Kwaham kubwa nilikua nakusubiri sana mzee saidi
@directorwizard7310Ай бұрын
Mzee’s Said wangu mbona umejisaulisha nyie Simba msimu ulio pita mliendesha Basi la Wachezaji kinyume nyume toka Msimbazi hadi Uwanjani 😂😂au mmesahau???? Sasa unajitoaje kuwa ww sio Mswahili ww pia ni Maswahili vile vile😂😂😂😂😂😅😅😅😅😅
@rehemamahendeka-rm2ekАй бұрын
Yaani uncle Mzee Said unajua unajua unajua kweli !,amini usiamini unatutoa vijimawazo mawazo kwa story zako za kuvutia/kifurahisha !,pia hicho kiswakinge unachochombeza chombeza ni rahaaaa tu,pongezi sana,Amani izidi kutawala Tz tupate burdan za Mzee Said.
@RabsonSalmon-ys7bfАй бұрын
Mzee saidi"! Nime kusubili Kwa hamu❤❤❤❤❤❤
@mwajumampokileomckapela7541Ай бұрын
Tuliokiwa tunamsuniri mzee saidi tujuane💛💛💛💛🟢💚💚✅
@amaniomar1755Ай бұрын
Big up sana Mzee Saidi Daima mbele nyuma mwiko
@jacksonpeter2496Ай бұрын
*Nafurahia sana kipindi hiki nipo Congo nikirudi Tz naomba kukutana na mzee saidi *
@FreddyFreddy-e4uАй бұрын
Mzee sidee bigap
@user-zw4np2gi1gАй бұрын
Mze Saidi ananifurahishaga sana akiwa anaongea 😂😂😂 big up sana mze wetu
@Shadia544Ай бұрын
Jamaniii leo nimechelewa jamaniii 😂😂Mzee saidi jamaniii ubizeee huu jamaniii mzee saidi chagamba anainjoi sanaaaaaa 😂😂😂
@JosephMwaipopo-px4wiАй бұрын
Mzee saidi nakupenda sana mtani wangu,. Njoo yanga basi mzee wangu
@JosephMwita-g2dАй бұрын
😂😂😂😂😂😂 ety ameulizwaaa
@davidstephano1772Ай бұрын
Mzee saidi,mi mshabiki wa yanga ila ukweli zimbwe kwa nidham ni namba moja kwa wachezaji wa nyumbani
@iddimngazija1957Ай бұрын
Mzee Said👏👏👏👏
@GasperMwaisa-rb1lfАй бұрын
😂😂😂😂😂 mzee said sema nne ine
@salumtiba2339Ай бұрын
Mzee wetu mungu akupe maisha marefu
@user-yr1eg2rl4nАй бұрын
Mzee uko vizuri sana
@MossesSamweli-ig6oiАй бұрын
Mzee Sidee ndani ya nyumba
@Evance-op4jwАй бұрын
😂😂😂😂 mzee said bhana ukweli unaburudisha kweli
@SadatiRajabuАй бұрын
Weweeeeee mzee said jamani nilimiss kukuona na kukusikia
@fredymachaba223Ай бұрын
Sema Chagamba mwanangu unapiga kazi sana nakukubali sana na huyu mzee ndo ananipa raha zaidi