Kagoma day. Maana Yake siku hiyo imegoma. Hivyo mnaenda kulidhililisha taifa
@modestusndunguru718321 сағат бұрын
Utazika sana kwa akili hizo kweli we utopolo 😂
@DanfordSimon20 сағат бұрын
😅😅
@charlesnzenga468110 сағат бұрын
Huyu jamaa anaishi kimchongo sana hapo mjin kumbe ombaomba😂😂
@WakiliAbasi7 сағат бұрын
Uko vizuri
@HamisiSalimu-d1n22 сағат бұрын
Matangazo ya vifo na salamu redion 🎉🎉🎉🎉😂😂😂😂HUMU tu
@HamisiSalimu-d1n22 сағат бұрын
Sasa kwa Hali hii kweli maneno ya manara yataishi milele 😅😅😅 Akili hakuna umu
@maliadii482921 сағат бұрын
Kuna ubaya gani kwa mtu kuogelea matatizo yake? Ni sawa na timu zetu zinavyotafuta ufadhili jamani pole mzee wa utopolo
@ernestkibano16 сағат бұрын
Ingawa timu yako km inakufanya kuwa mwehu ila pado Mungu kakupa uzima pole kwa yote nakuombea uzm mtani Kagoma Day karibu😂🎉😊😊
@dawayao283721 сағат бұрын
Sina fedheha =Sina fadhila ✔️ ongea taratibu mzee duh
@aishahaji312820 сағат бұрын
😂😂😂😂 jamani unavituko ww nakusubiri uje tu huku utapata mikwaju
@Jerie-q1c20 сағат бұрын
SIMBA HAWANAGA HAYO MAMBO YA SIJUI ZENGELI DAY, MARA PACOME DAY, MARA AZIZ KI DAY. ALICHOSEMA MSEMAJI WA SIMBA NI KWAMBA KAGOMA ATAKUWA " MGENI RASMI" NA HAJASEMA KAGOMA DAY. MSIFANANISHE NA HIZO EVENTS WANAZOFANYAGA YANGA
@maliadii482921 сағат бұрын
Eti nani Day 😂😂😂😂
@user-cv4yi5hz9b6 сағат бұрын
Mzee wa utopolo😂😂😂😂😂😂😂watoto wa mudi jombe la looser 🤣🤣🤣😂😂😂
@lenziangowoko932522 сағат бұрын
Zee halina hata mvuto kama Mzee saidi wa Simba, ni kwasababu linaropoka tu ovyoovyo,
@DanfordSimon20 сағат бұрын
Ata ww unalopoka ovyo ovyo
@NgamelaYussuph11 сағат бұрын
Hyo Stairi Ndiyo Iliyomyambulisha Kuiga Kunakupoteza Haraka hyo Ndiyo Freva Ya Pekeee Ambayo Itamfanya Adumu Sana Kwenye Gemu Ya Waongeaji If u want To Be Upon For Long time don't Copy and paste
@farajasospeter96689 сағат бұрын
Na usicho jua mzee saidi wanaompenda ni watu wa yañga😂😂😂😂
@PaulHuncho-v3u6 сағат бұрын
🎉
@bartholomewasorael66165 сағат бұрын
Tafuteni watu wenye akili sawasawa eti wachezaji kama Yanga mara laki 7 wewe ni mwehu wachezaji wengi Club ya simba ni wakigeni mkia kweli wewe ulitaka wacheze taifa star