My everyday lyric. Soothes me to the bones and from the bones. Vile naomba siku moja nipate uwezo niende Zanzibar niwaone hawa live on stage, baadaye niende Israeli kwa ule ukuta nijiombee amani rohoni.
Wako waja wana shukrani yapunda pambeee👌👌👌nimemic jahazi jamani
@ShamteAbdallah10 ай бұрын
Nampenda anaimba kwa hisia anatabasamu nampenda kumuangalia muda wote
@SubraBweta5 ай бұрын
Alafu ako tu normal ananga naringo nkpnd pia
@SubraBweta5 ай бұрын
Alafu ako tu normal ananga naringo mashaallah
@abdulmalickferuzi91463 жыл бұрын
sijui tena kama itajirudia wakati kama huu ambapo palikuwa na tungo nzuri na waimbaji kama hawa
@fatemaligalawa19183 жыл бұрын
sizani
@mwajumakweli67743 жыл бұрын
Sana yani
@arafaomari18326 ай бұрын
Sahau
@MartinsAgufana3 ай бұрын
Natamani sana wafanye remix ya hizi nyimbo bado wengi sana tunazisikisa bado @MzeeYusuf
@JumaaOmary-rn4vd3 ай бұрын
Ndio basi tena
@Poetword2 жыл бұрын
Mama angu mdogo, Mwl. Lukoya, zuberi Tabu(Mwenyezi Mungu amrehemu) aliupenda sana hii Taarab, miss her alot
@hahumsakamali3065Ай бұрын
My the best twarrabu song till now..!!
@AhmedBeka-l3q7 ай бұрын
Ila jahazi ilikua pambe ❤
@fadhilamtwale7695 Жыл бұрын
Nayapitia magumu sana😢😢😢
@ayshajeffa734311 ай бұрын
Kwann ndugu yangu😢
@kadijahajali3918 Жыл бұрын
Mtihani kweli binaadam shukuran hakuna mtihani. Mungu atusaudiye kweli
@aminakassim74862 жыл бұрын
Mwenye uungwana wake, hukumbuka wahisani wake
@IssaAdamu-jz3ng3 ай бұрын
Tujuwane wadau kitambo sana dar nakumbuka hii nyimbo kwa mala ya kwanza inatambulishwa pale musoma bar mango hatali sana
@FARIDANAMWANGO6 ай бұрын
Hinyimbo ni mzuri sana hila huyu dada sijuw yuko wap halitoka jahaz kabla jahaz hijafa hakapotea th
@kadijahajali39182 жыл бұрын
Nimekumis dada nyimbo yako nzur sana nikweli binaadam hatuna shukuran
@AffectionateCroissant-he5fc27 күн бұрын
Sana inauma utende wema shukran usipewe,tena inachoma yote mema wayamaani upewe😅😅
@LouisianaRiri Жыл бұрын
kama wema sifanyi tena maana nilishafanya sana nikambiwa najipendekeza .
@arafaomari18326 ай бұрын
Kwakweli
@user-yq1pw1zw9w3 ай бұрын
Mwenye ungwana ukumbuka wahisani wake
@meddytoto932 жыл бұрын
14/04/2022 nimekumbuka mbali sana,nyimbo nzuri sana.
@user-tq6xf1xr7g Жыл бұрын
Nyimbo za zamani ziko poa kabisa
@fettymurhan2293 жыл бұрын
daaa enzi hizo bora mtuwekee tu humu
@fatemaligalawa19183 жыл бұрын
saana
@kigoliwakinyalu82083 жыл бұрын
Nilitaka kuidorodwon inakatA msaada jaman
@kesiabdalla41363 жыл бұрын
Hata Mimi inakataa
@tatotato5062 жыл бұрын
@@kesiabdalla4136 labda muendeuko gugo
@ommyommyboi9964 Жыл бұрын
Zama hzo kwa waimbaji wenye ujumbe saii awapo pongezi zimfikie fatma Ali
@salimsaleh39342 жыл бұрын
Hii wimbo shairi sijuw kaoteshwa aw maana maneno madhima na Wala hi nyimbo haitashuka hadhi maana Kila siku ndo binaadam shukuran hawana
@arafaomari18326 ай бұрын
Nambona sasa hv mtunzi hawezi tena
@naxorharun508411 ай бұрын
October 2023 still🔥🔥🔥 emotional
@kelvinkiangokipingu3702 жыл бұрын
2022 bado ngoma kali.
@ShamteAbdallah9 ай бұрын
Ujumbe umefika
@jackobembi Жыл бұрын
Fatma Ali alisema ukweli, binadamu hana Shukran. Wimbo nzuri sana.
@jumakinonono-jj4zy3 ай бұрын
Uyu mbaba Sasa alivyomshika uyo mdada dou!
@alijuma4182 жыл бұрын
Asante sana dadangu iyo maneno yko poa
@mwikyamunyiva78 Жыл бұрын
Binadamu hana shukrani
@mwikyamunyiva78 Жыл бұрын
Huu wimbo umenikubusha mbali sana
@jumaomar4646 Жыл бұрын
Good job.Mashallah maneno mazito sana.Mungu akubariki .
@stephennzovu_tv Жыл бұрын
Abarikiwe huyu mamaa, huu wimbo mashaallah❤
@ramadhanmohamed1290 Жыл бұрын
Mom "I love song is ok with me
@samiragillian59722 жыл бұрын
I miss TZ home sweet home
@zuberindete80983 жыл бұрын
I love this song is ok with me
@atrashomar4623 Жыл бұрын
My favourite Best taarab Mashallah
@ibrahimmwata10432 жыл бұрын
Mashallah, nampenda mwimbaji🥰💝
@pendoathumani56233 жыл бұрын
Kweli kabisa Bora mbwa kuliko binadam wanafiki
@mashaurijohannes90713 жыл бұрын
Ni fuate
@mashaurijohannes90713 жыл бұрын
Ni fuate
@lovenesmoses94122 жыл бұрын
Bora mbwa kweli 👌👌
@JumaAlberto-h3y Жыл бұрын
Vijana wa sikuhiz Hawajui hii mambo
@HusnaChimamy-i2f10 ай бұрын
Mashallah❤❤❤❤❤❤❤
@Malaikakisseto2 жыл бұрын
Maneno mazuri mno
@saumumsami56302 жыл бұрын
Kweli tenda wema 😘😘😘😘😘
@sweetdiva93683 жыл бұрын
Nyimbo nzuri sn kila siku inazidi hamu👌
@aidugwaya94142 жыл бұрын
Nimeipenda xaana ina ujumbe nzuri
@zenerdiode11942 жыл бұрын
Daaaaa nimekubali, kumbe ndivyo ilivyo. 2022
@keykariabu7012 жыл бұрын
Tenda wema,kanyanga kubwa kubwa,mungu takulipa kwa wakati wake
@hadeeegahalmawali5042 жыл бұрын
Nimekumbuka zamani nyumbani temeke ❤️❤️
@gilliansimon851711 ай бұрын
Oh yes, bora fulani mbwa ndani..mwaweza saidiana..kuliko ya ihsani..mtakuja kugombana
@mfamauathumanimasai85127 ай бұрын
Am listening 2024 is still i feel like am in 2007
@bahatibakari80757 ай бұрын
Bado iko 🔥🔥
@agnesandrew27424 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤
@mashakajunzu76853 ай бұрын
Sana2
@aminaomar40732 жыл бұрын
I woke up to this song today
@yvonnepeter9192 жыл бұрын
Happy newmonth
@mwanarusimusa3620 Жыл бұрын
Hii nyimbo yasema kweli kabisa .ndio maana haishi fashion.
@keylamussa6997 Жыл бұрын
2023 ❤️🔥❤️🔥❤️🔥❤️🔥❤️🔥
@zawadially46032 жыл бұрын
Nyimbo pambe sanaa👌👌👌
@baiyakilanga6195 Жыл бұрын
nagawa ustarsbu
@mwanarusimusa36202 жыл бұрын
Hii nyimbo imenikubusha mbali.the best song.
@kadijahajali39182 жыл бұрын
Nipo ufunge mbwa ni kweli
@shainnakamoto53108 ай бұрын
Ni kweli binadamu hana shukrani hata umpe ngapi hana shukrani pia kuna wazazi hawana shukrani moja wao mama yangu 😢hatosheki iliyobaki nimejitenga almost 15 years now na ananiroga kishenzi😢😢
@sauda45058 ай бұрын
Innalillahi wainnailayhi raj huun
@rahmaseifu90803 жыл бұрын
Safi sana dada
@mwajumalibaba1973 Жыл бұрын
Mashaallah nakupenda san uko vizur sana mungu akulinde
@lehemayusuf36852 жыл бұрын
Bora fuga mbwa ndani ♥️♥️
@tatuseleman88192 жыл бұрын
Mpk sasa naangaliaa.
@ramanjau2244 Жыл бұрын
Dada maneno yako ni kwel kabisa binadam hana maana yeyote bora mbwa atakulinda
@ramanjau2244 Жыл бұрын
Umenigusa nikiwa chalinze nikiwa dereva wa dar msata mwaka 1998
@DokitaMpalu7 ай бұрын
Kali.nakweli.fanyawema.uwende.jaman
@mariamjulius20422 жыл бұрын
Nimekimic fetty jamani
@salwasuleiman35252 жыл бұрын
Nimeipendaa
@fadhirampita52002 жыл бұрын
❤️❤️ tamu sana
@kadijahajali3918 Жыл бұрын
Bass haya mimi siongei kitu nangalia hatima tu
@khanniebaraka15153 жыл бұрын
Show lini jaman
@qacmyseyyid31152 жыл бұрын
Nakumbuka mbali sana dah kwel siku hazigandi
@noahlugano5113 Жыл бұрын
Dahh aiseee
@salmamasoud3977 Жыл бұрын
Jamani Wana shukurani ya punda kweli
@hadijamgeni43142 жыл бұрын
Jamani enzi zetu koyanga kiwalan acha tu
@OmanOman-bx5du Жыл бұрын
Weee umenikumbusha. Mambo ya kijiwe samli kiwarani daa
@salmamohamed1506 Жыл бұрын
Safi sana naipenda balaa
@shamidubadru95052 жыл бұрын
Big talent thanks
@sabrinachopeta786MISTON2 жыл бұрын
July 2022 still 🔥🔥🔥🔥
@AminaOmari-bd5xv10 ай бұрын
Safi sana ❤️
@hustlerskiosk7357 Жыл бұрын
I love it sana
@PascalSammy5 ай бұрын
👏
@hustlerskiosk7357 Жыл бұрын
taarab finest
@shabanikisagaseathumani7603Ай бұрын
2024 Go
@ghatimunyoro-jz6yb Жыл бұрын
Mm naenda taarabu zako mungu akuogezee kipaji unapatikana wapi
@user-zr5wo4qs4q Жыл бұрын
❤❤ love song 🎵
@user-yq1pw1zw9w7 ай бұрын
Bora fuga mbwa
@selemaninguogani1136 Жыл бұрын
👏👏 more fantastic
@MussaHamidu-rh3eo Жыл бұрын
Kweli
@mashakajunzu76852 ай бұрын
Sana 2😂
@RioIpo3 жыл бұрын
Namuona Bilal Mashauzi
@shaxboy72163 жыл бұрын
nzul
@mwajumamaya7202 жыл бұрын
Kweli kabisa ujumbe Mauro sana hù
@madameliza73662 жыл бұрын
Naipenda sana hii taarabu
@mwanamussa9650 Жыл бұрын
Kwa kwel mtunz alitulia shukran ni ngum sna maan shukran hakuipata nyuki kwa Asal yake