Mziki wa dansi zilipendwa- Washirika -Julie

  Рет қаралды 126,541

Eddie Nassor

Eddie Nassor

Күн бұрын

Пікірлер: 96
@TamuzaKale
@TamuzaKale 8 жыл бұрын
We Eddie unataka kutuliza tu!
@deogratiusmwanicheta8193
@deogratiusmwanicheta8193 18 күн бұрын
Watunjatanjata EDDY hongera sana unatukumbusa mbali sana
@allenshetuli9100
@allenshetuli9100 2 ай бұрын
Uyu mtu nikipaji kikubwa sana ,Kaka yangu Mungu akupumzishe pema ,,kwao vuga lushoto Tanga
@tumainindaki6464
@tumainindaki6464 4 жыл бұрын
Tumepoteza muziki wetu kwa kisingizio cha kizazi kipya, aibu kwetu. Fast mover Eddie Sheggy alikuwa makini sana
@moseswere7478
@moseswere7478 4 жыл бұрын
Kweli. Kizazi kipya kimeua real artist. Mbaya kabisa
@iddikambi7086
@iddikambi7086 5 жыл бұрын
Nikawa radhi hata cfikii nafsi yangu thaman ya kukupenda nilidiliki dunia nzima kunitenga lakin si wewe kipenz.kwa kwel nasema nasikitika kwanza kumpoteza eddie na pia kupoteza mziki huuu jaman daah
@zainabuselemanimsalama2703
@zainabuselemanimsalama2703 6 ай бұрын
Hata kuidhiki nafsi yangu
@ughcleo7746
@ughcleo7746 10 жыл бұрын
Mungu amuweke mahali pema shujaa huyu Eddie Sheggy!Kazikwa akiwa masikini kabisa nyumbani kwao Tanga!Alikuwa anajua sana muziki huyu bingwa!
@eddienassor480
@eddienassor480 10 жыл бұрын
Ni kweli kabisa Charles
@TamuzaKale
@TamuzaKale 8 жыл бұрын
HAPO ndo inapouma sana..
@jeffnanume2404
@jeffnanume2404 7 жыл бұрын
Tunasubiri wafe ndio tuanjitia.....ooh marehemu alikuwa mchango na mkubwa sana kwenye muziki wa dansi.
@jacksonzebedee4668
@jacksonzebedee4668 6 жыл бұрын
First mover huyo !! Kaka!!??? wee wacha tuu!!!!
@othumanlorenzo260
@othumanlorenzo260 6 жыл бұрын
Eddy christian sheggy alikuwa mwanamuziki sana sema ndo mambo ya maisha .....na alikuwa msomi wa kiwango mengine ni tunaawaxhia mwanamuziki wenyewe japo tuna jukumu LA kuwakumbusha sana mini wafanye maishani mwanamuziki wa zama zao walikuwa sana kipato zaidi ya mamesenja na wafanyakazi wa level flan sema ndo changamoto ya kazi
@toshamezaw1460
@toshamezaw1460 6 жыл бұрын
...Ufukara umekuwa kashfa ya mapenzi yangu.. nakumbuka migombani street mikocheni mwaka 1989 nikiwa darasa la 3 Mbuyuni primary. Narudi home nakuta ugali na ndondo halafu RTD kinapigwa hiki kibao.
@hassanmachano6827
@hassanmachano6827 6 жыл бұрын
Hahaha
@kelvinrashmarwa7357
@kelvinrashmarwa7357 7 жыл бұрын
Nimekumbuka zamani sana tulianzisha band yetu magitaa ya madebe nilikuwa mwimbaji nikijiita Sheggy
@hassanmachano6827
@hassanmachano6827 2 жыл бұрын
Hahaha wewe wacha kutudanga eddy sheggy wa kuchovya hohoho
@najmasaleh9231
@najmasaleh9231 7 жыл бұрын
Bendi ilikusanya wagosi wengi mno na kazi zake ziko poa asante sana watunjatanjata Abdul salvadoo, sheggy, kalala na wengine wengi
@fadhililihinda6491
@fadhililihinda6491 2 жыл бұрын
Ingawa nadhani kipindi wimbo Hu unatoka, Abdul Salvador alikua Iringa na wana TANCUT Almas
@julithamuhale7271
@julithamuhale7271 4 жыл бұрын
Duuh! Eddy shage! Umenikumbusha mbali Sana! Asante Sana kwa burudani. Asante washirika
@jamesmlularipjalalaally5522
@jamesmlularipjalalaally5522 2 жыл бұрын
Mnasifia wote mnamuacha mtunzi Madaraka Morissi
@erickwambia2653
@erickwambia2653 10 жыл бұрын
Duuh.njata moto wa kuotea mbali.nimekubali eddie
@bigdad1816
@bigdad1816 7 жыл бұрын
Ndugu Edie Asante sana kwa nyimbo hizi nzuri kwangu umenikumbusha mbali sana toka sukuma land CCM kirumba,Pamba sana Tp lindanda,Pan African kweli Watanzania hawana shukurani vipaji kama hivi havitaweza tokea na wala hawakumbukwi kweli nabii uwa anathamani kwao ,huu ndio muziki uliokuwa unapigwa ns watu wenye vipaji na sauti sio bongo fleva wakati wamekopi soul au zouk au hip hop halafu wanasema bongo fleva asante sana
@clementhiddi1486
@clementhiddi1486 2 жыл бұрын
On point bro
@HalunaSimba-yg9hv
@HalunaSimba-yg9hv 10 ай бұрын
Kila kitabu na wakati wake bado tutawakumbuka milele
@nowelaraymond5986
@nowelaraymond5986 3 жыл бұрын
Big up sana japo haupo nasi bro.
@idrisamtamike4871
@idrisamtamike4871 8 ай бұрын
Nakumbuka miaka ya 1989 JKT Makutupora tukiwa tunaenda kukata kuni ( Mitunduru) asubuhi huku tunasikiliza RTD kipindi cha Kombora.
@mwasakafyukasamson
@mwasakafyukasamson 4 жыл бұрын
Music huu nilikua nausikiliza kwa utulivu , hayati Babu yangu alipenda sana music .....Asante Mungu kwa kuishi zama ambazo Tz ilikua na Muziki maridadi sana . Zama ambazo wote tulisikiliza Radio ya Taifa ikiungurumisha kwenye mawimbi ya Short wave kwenda duniani kote .
@rubamann
@rubamann 4 жыл бұрын
Hii ni kabla mambo ya Uaya, Marekani hayatukamata. Tulikuwa tunathamini vya kwetu.
@rehemadongo1570
@rehemadongo1570 5 жыл бұрын
Daaaaahhhhhhh huuu ndio ulikua mziki,,,,,,
@robertnkungwe1542
@robertnkungwe1542 5 жыл бұрын
Daaah,92 club,pale siku hizi sanciro....Adam Bakari,panduka,fast mover..aisee kulikuaga hakuna foleni,niko mgabe primary school la 4 b 1992...
@zainabuselemanimsalama2703
@zainabuselemanimsalama2703 6 ай бұрын
Mwanagu nakumbuka sana 92 enzi hizo
@julithamuhale7271
@julithamuhale7271 4 жыл бұрын
Daah! Wimbo naupenda huu! Asanteni Sana washirika watu njatanjata!
@salomefelix2052
@salomefelix2052 7 ай бұрын
DA JUL ACHA TU MI MPAKA NALIAGA NIKIKUMBUKA ZAMANI ZANGU....2024 sasa ,,,namshukuru Allah.
@elialesley1740
@elialesley1740 3 жыл бұрын
Julieeeee kwangu ni maumivu makubwa sana niusikiapo huu wimbo
@claudibrain1153
@claudibrain1153 10 жыл бұрын
asante nyimbo nzuri sana na sauti ya Eddie sheggy..
@eddienassor480
@eddienassor480 10 жыл бұрын
Claudi Lewete
@fredricknkwanga7845
@fredricknkwanga7845 5 жыл бұрын
Nampenda sana Idi Shegi. Yupo sawa .
@mohamedykitwiko762
@mohamedykitwiko762 4 жыл бұрын
Mbona nyimbo nyingine azionekani Jamani, kama Anitha, Subila, za Eddy shegy izo
@shanjarikayusuph6152
@shanjarikayusuph6152 9 жыл бұрын
safi sana nimemkumbuka eddy sheggy fast mover wakati nasoma msingi na secondary Eddie namba niongezee nyimbo za sheggy kama zayumba,ketti ,anita,penzi LA ulaghai,milima ya kwetu, na nyinginezo
@dottomkalenda9366
@dottomkalenda9366 5 жыл бұрын
Nirikuwa nazisikiriza Sana nirudipo shureni mchana kwenyekipindi chapokeasaramu RTD
@ba3206
@ba3206 10 жыл бұрын
Mziki safi sana...nakumbuka mbali sana...Thanks Eddie
@fadhilihussein6580
@fadhilihussein6580 9 ай бұрын
Siku zinaenda kw Kasi sana
@fadhilihussein6580
@fadhilihussein6580 9 ай бұрын
Watunjatanjata, WATANZANIA~ TUONDOE~NJAA~TANZANIA
@elizabethmakaranga1469
@elizabethmakaranga1469 6 жыл бұрын
Umenikumbusha Mbali sana hongeraaa
@aminashauli6351
@aminashauli6351 4 жыл бұрын
Duuuuu,hatari sana,kitambo lkn leo ni burudani tosha
@josephkidunda2998
@josephkidunda2998 9 жыл бұрын
nakumbuka baba alivyokuwa anaupenda huu wimbo, hatari sana....
@barnabachiee1277
@barnabachiee1277 6 жыл бұрын
Joseph Kidunda
@NowelaRaymond-zq4ys
@NowelaRaymond-zq4ys 6 ай бұрын
Hatareee. Sana❤❤❤
@sangomamourice3539
@sangomamourice3539 2 жыл бұрын
Ilove this song mwamba toka sambaani
@aidanmagovela6407
@aidanmagovela6407 2 жыл бұрын
Nakumbuka kipindi hicho naenda shule mchana miaka ya themanini huko....
@lupakisyomsese8210
@lupakisyomsese8210 4 жыл бұрын
Ufukara nilio nao ee Julie hatari sana, nahisi kama nilikuwepo vile enzi hizo.
@DulaMandai
@DulaMandai Ай бұрын
Daaaaaaaah
@edinamtote8338
@edinamtote8338 Жыл бұрын
Ngoma Safi Sana
@williamjohn7633
@williamjohn7633 8 жыл бұрын
Fast mover tunakuombea
@munaaishakhamis9319
@munaaishakhamis9319 7 жыл бұрын
daaa kwakweli. macho. nimeloa.yani.kama.namuona.bab.yangu.anavyo.tikisa.kichwa.
@jacksonzebedee4668
@jacksonzebedee4668 6 жыл бұрын
Ni kweli Muna, wanaopendwa na wengi hufa wangali vijana.
@fadhililihinda6491
@fadhililihinda6491 6 жыл бұрын
munaaisha Khamis Enzi za hunters club miaka ya 80 mwishoni na mwanzoni mwa miaka ya 90, kwa wasio fahamu hiyo iliokua hunters club sasa hvi ni kanisa la askofu Gwajima pale Ubungo. RIP Eddie Shegy
@waziriselemani5773
@waziriselemani5773 8 жыл бұрын
Eddi nasor kuna wimbo wa vijana jazz unaimbwa hivi. nyote wake zangu mapenzi yangu kwenu ni sawa mpendane ndio heshima ya ndoa he
@chrismpanji4185
@chrismpanji4185 5 жыл бұрын
Nakumbuka tukiwa kijiji cha chitekete kule Newala baba yangu mzee Mpanji akiwa mwalimu miaka ya 80-90
@marykennedymarwa1641
@marykennedymarwa1641 2 жыл бұрын
Asante ndugu , mwaka 2022 Bado kitu kinasikika
@rutarutahindurwa2080
@rutarutahindurwa2080 2 ай бұрын
Bado nasikiliza November 16 2024
@jujukashasende4637
@jujukashasende4637 8 жыл бұрын
I love this song 😍 Julie
@jacksonzebedee4668
@jacksonzebedee4668 6 жыл бұрын
First mover alikuimbia wewe, Julie Kay :-)
@mohamedwage9232
@mohamedwage9232 2 жыл бұрын
@@jacksonzebedee4668 and the same
@nasirally9098
@nasirally9098 10 жыл бұрын
shukrani kaka Eddie kwa huu wimbo aisee
@eddienassor480
@eddienassor480 10 жыл бұрын
Karibu tena Nasir
@hassanmachano6827
@hassanmachano6827 6 жыл бұрын
@@eddienassor480 kaka huu wimbo Anita mbona siuoni au upo kwa jina gani?
@athumanimnyasa5696
@athumanimnyasa5696 Жыл бұрын
Hatokei tena kama huyo,
@alexmanyerere9651
@alexmanyerere9651 9 жыл бұрын
kaka Eddie hebu anza kutupia za toto tundu hapa matching itakuwa murua
@rutarutahindurwa2080
@rutarutahindurwa2080 5 ай бұрын
Wakati ukuta
@linusleon7018
@linusleon7018 7 жыл бұрын
Ilikua hotell 92 shekilango
@cassianndunguru3560
@cassianndunguru3560 Жыл бұрын
Walijitahidi kutuliza akili wazee wetu....
@eddienassor480
@eddienassor480 9 жыл бұрын
Zote ulizotaja zipo hewani tayari
@twilamtumbi2647
@twilamtumbi2647 8 жыл бұрын
asante kaka
@hermanshirima3730
@hermanshirima3730 7 жыл бұрын
Eddie Nassor kaka ntumie wimbo wa Leila sijui uliimbwa na bendi gani unaimbwa "ahaha yemee yemee nataka nijenge mnara kwa heshima ya penzi letu usiweke moyo wangu mbali mama Leila" plz bro
@mohamedykitwiko762
@mohamedykitwiko762 4 жыл бұрын
Anita, siuoni umu na subila vp mkuu
@lewiskitembe7718
@lewiskitembe7718 6 жыл бұрын
Dah!
@abdulililibaliliba4258
@abdulililibaliliba4258 5 жыл бұрын
Kwanza nashukuru kwa nyimbo nzuri ila naomba nyimbo zifuatazo bulwa tabia mwanjelwa ubaya wa jilani malijani rajabu kilamunu avena kwao 1
@rehemaaugustino6762
@rehemaaugustino6762 10 жыл бұрын
Ya kale diamond zaidi ya Dhabi
@eddienassor480
@eddienassor480 10 жыл бұрын
Umeona eh?
@rehemaaugustino6762
@rehemaaugustino6762 10 жыл бұрын
Nimeona Swahiba inaburudisha na kusahaulisha taabu realy like it mwa
@eddienassor480
@eddienassor480 10 жыл бұрын
Haya burudika mwaya!
@rehemaaugustino6762
@rehemaaugustino6762 10 жыл бұрын
Usihofu, ila natafuta mapenzi ya wake wawili hayawezi kuwa ya kweli eze unaupata swahiba?
@eddienassor480
@eddienassor480 10 жыл бұрын
Wa nani huo?
@fadhililihinda6491
@fadhililihinda6491 8 жыл бұрын
msafiri suba kwenye trombol, mzee mzima hamza kalala kashika mpini, lead guitar, father kidevu kwa keyboard ndani ya ukumbi Wa hunters club ( sasa ni kanisa la askofu Gwajima) enzi hizo mwishoni mwa miaka 80.
@othumanlorenzo260
@othumanlorenzo260 6 жыл бұрын
Mbele yapo shegy....zahir Adam bakari etc hebu endelea kaka tafadhati
@mussaesanju9783
@mussaesanju9783 4 жыл бұрын
Kati ya 1987__1990 nikiwa o level Ruvu ss daaaa machozi
@willbrodngua3116
@willbrodngua3116 2 жыл бұрын
Hapo Mzee hamza kala alihama vijanjaazi natimu mzima nauanzisha watunjatanjata washirika tz stars
@fadhililihinda6491
@fadhililihinda6491 2 жыл бұрын
@@willbrodngua3116 Correct. Vijana Jazz pengo la Hamza Kalala aliliziba dogo mmoja anaitwa Shaaban Yohana aka Wanted, wao walikua na mpiga kinanda mwanamke mmoja hivi namsahau jina
@OmaryIddi-qw9ww
@OmaryIddi-qw9ww Жыл бұрын
ll
@fadhililihinda6491
@fadhililihinda6491 8 жыл бұрын
msafiri suba kwenye trombol, mzee mzima hamza kalala kashika mpini, lead guitar, father kidevu kwa keyboard ndani ya ukumbi Wa hunters club ( sasa ni kanisa la askofu Gwajima) enzi hizo mwishoni mwa miaka 80.
@galinoma
@galinoma 6 жыл бұрын
wakati mwingine huwa nasahau kuwa niliwawahi sehemu ya hii bendi ya ushirika wa tanzania stars! niliwahi kuwa kiongozi wa hii bendi nguli ya ngoma za gorofani....kabla ya watunjatanjata!!! Salvado sailas ndumbalo mzee mapili Hussein sadiki mzee makata makunguru shabani kwenye rhythm bure mussa balaha!! bila kumsahau bi Tabia! Halfani. Mbwebwe allibita pia kabla hajaenda msondo. ama kweli muda ni dhahabu!!!!
@fadhililihinda6491
@fadhililihinda6491 6 жыл бұрын
galinoma Mkuu Galinoma nakukumbuka sana tu, kidogo nimepoteza kumbukumbu, ulipitaga pia TANCUT Almasi ya kwenu Iringa?
Une nouvelle voiture pour Noël 🥹
00:28
Nicocapone
Рет қаралды 9 МЛН
СИНИЙ ИНЕЙ УЖЕ ВЫШЕЛ!❄️
01:01
DO$HIK
Рет қаралды 3,3 МЛН
So Cute 🥰 who is better?
00:15
dednahype
Рет қаралды 19 МЛН
Une nouvelle voiture pour Noël 🥹
00:28
Nicocapone
Рет қаралды 9 МЛН